Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Mkaka wa kuchati nae tu anatakiwa

Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.

with thanks!
Hallo, habari gani uko pande gani?, mimi niko Arusha.
 
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada ya ku Pm.

with thanks!

0768683021
 
mmh yan hata majirani au classmates wote umekosa wa kuchat naye....nlitaka nkupm but nadhani wapo walioniwah....good luck
 
Mamboz. Umekuwa kwenye mawazo kama yangu leo. Nilipost fb status kama hii. Nlikuwa najiskia nahitaji jinsia tofauti na mimi nibadilishane nae mawazo tu. Kama upo serious siku zote ni vyema kuchat na usiyemjia kwa mawazo aina mbalimbali.
 
Struggle for Heloo..aya me nlishachelewa..hongeren mliopata nafasi
 
Back
Top Bottom