Mkakati wa J.Makamba kuokoka ili agombee urais uliishia wapi?

Mkakati wa J.Makamba kuokoka ili agombee urais uliishia wapi?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais.

Ikumbukwe kwamba CCM kuna utamaduni usio rasmi, kwamba awamu hii rais akiwa mkristo basi awamu ijayo ni muislamu. Sasa baada ya Samia kuingia ikaonekana itakuwa ngumu 2030 kuingia Rais muislamu tena. Ndio hapo alipokuja na mkakati wa yeye kuokoka ili awe na added advantage.

Hii mada haina umuhimu wowote, Ila ni kutaka kujua tu kutoka kwa unayejua
 
Kijamaa ni kama ki madenge toka gazeti la sani. Kina ujanja wa kiboya.

1725036342911.png
 
Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais.

Ikumbukwe kwamba CCM kuna utamaduni usio rasmi, kwamba awamu hii rais akiwa mkristo basi awamu ijayo ni muislamu. Sasa baada ya Samia kuingia ikaonekana itakuwa ngumu 2030 kuingia Rais muislamu tena. Ndio hapo alipokuja na mkakati wa yeye kuokoka ili awe na added advantage.

Hii mada haina umuhimu wowote, Ila ni kutaka kujua tu kutoka kwa unayejua
Natamani Makamba agombee,huyu mama hakuna kitu
 
Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais.

Ikumbukwe kwamba CCM kuna utamaduni usio rasmi, kwamba awamu hii rais akiwa mkristo basi awamu ijayo ni muislamu. Sasa baada ya Samia kuingia ikaonekana itakuwa ngumu 2030 kuingia Rais muislamu tena. Ndio hapo alipokuja na mkakati wa yeye kuokoka ili awe na added advantage.

Hii mada haina umuhimu wowote, Ila ni kutaka kujua tu kutoka kwa unayejua
Ungetukumbusha na kanisa japo halina umuhimu wowote!
 
Maisha hayaa...

Imenikumbusha yule mgombea urais wa Argentina mwenye asili ya kiarabu....

Mababu zake wa mbali walihamia huko miaka mingi mno....

WALIKUWA WAISLAMU...naye alikuwa ni muislam...

Mh.huyu akaamua kubadilisha DINI na kuwa mfuasi wa kanisa katoliki kwani UTARATIBU WA NCHI YAO NI HUO wa taasisi hiyo.....

Sijajua tu baada ya kushinda na kumaliza UONGOZI WAKE ALIRUDIA tena kuwa MUISLAM ama sasa ni MBUDDHA [emoji1787][emoji1787]

#Ya mtaka cha uvunguni[emoji1787]
 
Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais.

Ikumbukwe kwamba CCM kuna utamaduni usio rasmi, kwamba awamu hii rais akiwa mkristo basi awamu ijayo ni muislamu. Sasa baada ya Samia kuingia ikaonekana itakuwa ngumu 2030 kuingia Rais muislamu tena. Ndio hapo alipokuja na mkakati wa yeye kuokoka ili awe na added advantage.

Hii mada haina umuhimu wowote, Ila ni kutaka kujua tu kutoka kwa unayejua
🤣🤣
 
Back
Top Bottom