Mahotera
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 729
- 1,847
BahatiKipi alichonacho mh.January ambacho mh.Rais SSH amekikosa ?!! [emoji44][emoji44][emoji44]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BahatiKipi alichonacho mh.January ambacho mh.Rais SSH amekikosa ?!! [emoji44][emoji44][emoji44]
Mama yake ni dini ipi kwani?Mbona alibatizwa katoliki.
Utakuwa ulisha sahau,muulize atakuambia kama ni uongo
pole kaka acha ushogaaaa.watanzagiza ni waajabu na wanafiki sana, wanajifanya usiku kucha kupinga ushoga lkn ndiyo wako obsessed na ufirauni klk race yoyote ile dunia hii ukiondoa waaraabu, wanaume wa tanzagiza na waarabu maongezi yao, matusi yao yametawaliwa na mambo ya ufirauni tu kwenye culture nyingine wanaume wanaongelea ufirauni ni wale gay community tu lkn huwezi sikia kwa mfano mchina ambaye siyo gay akiongelea mambo ya ufirauni, ni ma gay tu ndiyo huongelea mambo ya ufirauni which makes sense …
kafirw na babaako huko jinga weweUnamlilia nani sasa? Kwani lazima uende ikulu we Januari?
KALIME, au njoo tufirwe wote tuwe MABWABWA, lakini ikulu HUENDIII tapeli mmoja wewe! Ebo!
Cc: Mzee wa kupambania
Huu nao ni ugonjwa wako/wenu...Tamaa,kutojiamini.hawana sifa[ya kuzaliwa]kuwa viongozi,wabinafsi,wana roho mbaya/katili,wana asili ya unafiki [vigeugeu], hawana uzalendo.
Imani hukaa mioyoni...Lakini nchi hii mitandao inachanganya watu sana.Mwezi uliopita nilikutana naye Msikitini Msasani ,ule Msikiti uliopo Pembeni mwa Bahari wakati wa sala ya Ijiumaa..Basi atakuwa na dini nyingi anazozitumikia.
1]Mz.Mwinyi-alikuwa na hekima,,aliifungua nchi kwa vitendo kutoka kwenye kifungo cha Nyerere,,hakufanya uharibifu wa kihistoria kama huyu mama .Huu nao ni ugonjwa wako/wenu...
Kwenu...
1)Mwinyi ni hivyohivyo
2)Mkapa " " """
3)Kikwete......
4)JPM......
Ni maradhi makubwa hayo.....
Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais.
Ikumbukwe kwamba CCM kuna utamaduni usio rasmi, kwamba awamu hii rais akiwa mkristo basi awamu ijayo ni muislamu. Sasa baada ya Samia kuingia ikaonekana itakuwa ngumu 2030 kuingia Rais muislamu tena. Ndio hapo alipokuja na mkakati wa yeye kuokoka ili awe na added advantage.
Hii mada haina umuhimu wowote, Ila ni kutaka kujua tu kutoka kwa unayejua
Kwani wakatoliki wana haki miliki na urais wa nchi hii ?Anapaswa kuwa Mgalatia sio aokoke awe KKKT au TAG itakula kwake
Umenikumbusha mbali sanaComred Kipepe😃😃😃
Mkuu,Rumi [Vatican] ndiyo inayotawala dunia [mataifa yote ulimwenguni]kisiasa na kiuchumi,bila kujali nchi ni ya kidini/kipagani,,Papa [Pope] ndiye mwenye kiti wa umoja wa mataifa [UN]Kwani wakatoliki wana haki miliki na urais wa nchi hii ?
100% correct!January Makamba ni tapeli wa ccm kama walivyo matapeli wengine kwahiyo sioni ajabu kufanya hizo drama ccm ni dini na mungu wake ni Samia
Umemuita 'mama kutweza' siyo kwa heshima. Nikweli ni mama ila unamwitaje ktk mazingira gani? Siku njema ndugu yangu.🙏🙏🙏Unanionea bure tu,kila mtu anamuita Mama,mimi nimekosea wapi?
Je yeye anajiheshimu?Umemuita 'mama kutweza' siyo kwa heshima. Nikweli ni mama ila unamwitaje ktk mazingira gani? Siku njema ndugu yangu.🙏🙏🙏
Facts tupuTamaa,kutojiamini.hawana sifa[ya kuzaliwa]kuwa viongozi,wabinafsi,wana roho mbaya/katili,wana asili ya unafiki [vigeugeu], hawana uzalendo.