Mkakati wa J.Makamba kuokoka ili agombee urais uliishia wapi?

Bwashee umesahau, hii ni awamu ya mkiristo, mama anamalizia tu, kwa mujibu wa sheria,
2030 muislamu ndio ataanza sasa
 
January ni Mluteli kitambo tu
 
Yule Wala Hana shida na Wala Hana
Neno, wanamfanyia figisu sababu ya uwezo wake tuu na sio vinginevyo. Wala Hana maneno na mtu, na sio mwizi. Msomi yule
 
marinda yenyewe huna wahuni washaayala utaweza kumtoa mtu ikulu?

wee firw tuu ndio fani yako

watanzagiza ni waajabu na wanafiki sana, wanajifanya usiku kucha kupinga ushoga lkn ndiyo wako obsessed na ufirauni klk race yoyote ile dunia hii ukiondoa waaraabu, wanaume wa tanzagiza na waarabu maongezi yao, matusi yao yametawaliwa na mambo ya ufirauni tu kwenye culture nyingine wanaume wanaongelea ufirauni ni wale gay community tu lkn huwezi sikia kwa mfano mchina ambaye siyo gay akiongelea mambo ya ufirauni, ni ma gay tu ndiyo huongelea mambo ya ufirauni which makes sense …
 
Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais...
Alikwambia mwenyewe,au mliamua kuzusha tu kisha kuabudu uzushi wenu!?

Kama angetaka kubadili dini Ili agombee kea nini isingekua ukatoliki?

Maana walokole hawana nguvu yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…