Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Katika vitu ambavyo vinamshushia hadhi na heshima aliyojijengea jpm katika wizara mbalimbali kabla ya kuwa rais ni kuendelea kumbeba mgongoni bashite angali anayembeba habebeki

Jpm anatakiwa aangalie sana jinsi sifa yake inavyozidi kushuka kutokana na maovu ya bashite
Maovu yake yana Baraka za Babake.usifikiri nayy ni mjinga kiasi hicho.
 
Bashite alisomea nini chuo kikuu?
Wenzake waliosoma nae kwa hilo jina hawaoni fursa ya utajiri kwake?

Lait ningelikua nimesoma nae kwa nyakti hizo anatumia jina halisi siku nyingi nishakua mkuu wa wilaya
 
CHADEMA lini mtaacha Michezo hii ya kitoto?
Utata wa jina la Paul Makonda mmeshindwa hata kwenda mahakamani, zaidi ya kutumia pesa nyingi kulipa mamluki mitandaoni. mmepiga kelele nyingi hadi mnatia huruma. Kama issue ya kufoji cheti Kama mnavyosema imewashinda kipi mtaweza? Serikali ya JPM sasa hivi inapiga kazi tuu ngonjera za utabiri Kama huu wamewaachia nyie wanasiasa uchwara, mnaofikiri siasa inaendeshwa kwa udaku na umbeya!
Hivi CCM wakiamua kulipa mamluki wa kupiga longolongo mitandaoni Kama nyie hamuoni ndiyo itakuwa kiama chenu? Ukizingatia makubwa waliyonayo ya kuwanadi bila mipaka!
Eti serikali ya JPM inapiga kazi tuu! Kazi ndio kama zile za Hosteli za UDSM ambazo leo zina nyufa hatari za kuweza kuangusha majengo? Hata mwaka bado majengo yanataka kuhatarisha maisha ya wenetu? Mnachofanya ni kutafuta kiki zisizo na maana. Mliyafungua majengo kwa mbwembwe kubwa na kualika wasanii wenzenu na kufanya lisherehe kumbe mnakabidhi mabomu ya majengo? Hamtaki kuambiwa ukweli kwa vile mumezoea uongo
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Kuna wabumge wa kuteuliwa kama hilo lipo ni rahisi tu rais kutengua uteuzi wa mbunge mmoja kama ilivyo kuwa kwa possi na kumpa huyo amtakaye wala hakuna cha kuumiza kichwa hapo , na hapo ni madhara ya kuwakabidhi nchi ma************
 
Na hapo ndio alipojiharibia Magu kwenye hii vita ya rushwa. Akijitapa kuwa anachukia rushwa watu wanamuona kituko
Mkuu tena ni kituko sabb PCCB inaonekana kama mbwa koko asiye na meno. MLOWOLA hana uwezo hata wa kupanua mdomo sabb akifanya hivyo kesho kibarua hana
 
hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.


Kwani tunayo precedent ya pingamizi lolote ambalo mtu wa CCM alishind NEC halafu mahakama ikatengua uamuzi wa NEC?
 
Hakuna uwezekano wowote kiuhalisia na kiutungaji wa story yako wa kumpitisha Makonda kugombea ubunge.

Serikali inatambua watu wenye akili kama zako mleta mada hivyo si rahisi kufanya hata kutamani kufanya hayo yaliyopo katika utunzi wako.

Bado atabaki kuwa mkuu wa jiji.
 
Hyo sio shida Sana.... Mana sifa ya kujua kusoma na kuandika tu inakupa ubunge......
 
Sidhani kama wanaweza fanya makosa Kama hayo...
Kiufupi magu kamchoka Majaliwa, Bashite atachukua nafasi yakr

Waziri mkuu lazima awe ni mbunge wa kuchaguliwa. Acha ummbumbumbu soma katiba inara ya 51(2).
 
Eti serikali ya JPM inapiga kazi tuu! Kazi ndio kama zile za Hosteli za UDSM ambazo leo zina nyufa hatari za kuweza kuangusha majengo? Hata mwaka bado majengo yanataka kuhatarisha maisha ya wenetu? Mnachofanya ni kutafuta kiki zisizo na maana. Mliyafungua majengo kwa mbwembwe kubwa na kualika wasanii wenzenu na kufanya lisherehe kumbe mnakabidhi mabomu ya majengo? Hamtaki kuambiwa ukweli kwa vile mumezoea uongo
IMG-20171203-WA0019.jpg
IMG-20171203-WA0017.jpg
IMG-20171203-WA0016.jpg
IMG-20171203-WA0017.jpg
IMG-20171203-WA0014.jpg
Tukisema sana tunaonekana wabaya haya sasa mchezo ni ule ule kama barabara zilivyojengwa chini ya kiwango. Na hii imechanika kwenye Column kazi ipo dadadadek!
 
Sifa ilishapukutika siku nyingi richaabra ndiyo sababu sasa ni rushwa mbele kwa mbele, kuteka na kutesa, mapanga, visu, marungu na mitutu ya bunduki.

Katika vitu ambavyo vinamshushia hadhi na heshima aliyojijengea jpm katika wizara mbalimbali kabla ya kuwa rais ni kuendelea kumbeba mgongoni bashite angali anayembeba habebeki

Jpm anatakiwa aangalie sana jinsi sifa yake inavyozidi kushuka kutokana na maovu ya bashite
 
Back
Top Bottom