Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Njia iliyotumika kumpa uwaziri Mkumbo nadhani ni rahisi zaidi kuliko kugombea jimbo. Km lengo ni Paulo kuwa waziri basi angeteuliwa kuwa mbunge then akachukua wizara kirahisi tu
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Duu watu wanaona Mbali kwa hiyo Msando ndiyo angepewa ukuu wa Mkoa au.... Aisee people at work
 
Bashite anachokitoa kwa baba yake hajawahi kukifahamu mbona anakuwa mwehu kwa ajili ya kijana asiyekuwa na nidhamu hana sudi anachukiwa anaujinga mwingi mwongo hadi anachosha huyu mzee analamba nini kwa bashite
 
Katika vitu ambavyo vinamshushia hadhi na heshima aliyojijengea jpm katika wizara mbalimbali kabla ya kuwa rais ni kuendelea kumbeba mgongoni bashite angali anayembeba habebeki

Jpm anatakiwa aangalie sana jinsi sifa yake inavyozidi kushuka kutokana na maovu ya bashite
Maovu yapi hayo wewe ndezi?
 
Hahaha nimependa hapo "mzee kachukia sana,na sio ajabu kuna watu wata tumbuliwa" yani pogba saivi kila mtz anajua akili zake
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Uzuri ishu zinazomuhusu Bashite huwa hazikamiliki.
Na hili kubuma sio ajabu maana wanaopanga hizi mission ni mazero brain tu.
 
Makonda anawahenyesha sana, kama ni uwaziri ataupata tu. Kwa sasa ngoja asafishe jiji.
Mbu waking'ata bavicha wanamlaumu makonda, bavicha fc ikifungwa mnamlaumu makonda, chupi zikiwabana mnamlaumu makondo.
Kawabana hatari huyu jamaa!! Na bado, mumzoee tu na hizi sindano anazowapa maana he's here to stay!!
nje ya mada lumumba fc
 
Usihofu utawekwa wewe Kamanda. Ila poleni sana kwa msiba mzito wa Kamanda Mbwa
Angekufa mwanadamu mwenzio ungekejeli kama unavyofanya sasa. Ulaaniwe wewe na kizazi chako.
 
Katika vitu ambavyo vinamshushia hadhi na heshima aliyojijengea jpm katika wizara mbalimbali kabla ya kuwa rais ni kuendelea kumbeba mgongoni bashite angali anayembeba habebeki

Ana hadhi gani huyo Bandido? Sehemu zote alizopita ni vimeo tu! Ashukuru tu watanzania wengi ni zombies! La sivyo angekuwa jela sasa hivi, na siyo Ikulu.
 
Hata kama hawaiheshimu mahakama, lakini tukio hilo litaleta picha mbaya ambayo haitafutika. Hata hivyo na wenyewe wamegundua kuwa hizi kelele za wao kutoheshimu mahakama zimeshavuka mipaka ya nchi na huko nje ambako ndio bakuli letu la ombaomba linatembea wameanza kuchoshwa na malalamiko haya.

Chifu, unafikiri mataifa ya nje yanajali? Sasa hivi Ulaya na Marekani ni mitifuano tu! Right wing parties na watu wenye mirengo ya kinazi na kinationalist wanazidi kuongezeka! Pia tatizo la uhamiaji na wahamiaji linawatesa. Watapata saa ngapi muda wa kufikiria shida za watanzania?

Bakuli mbona limeshapunguzwa sana!

Yaani sasa kinachopaswa kufanyika ni sisi wenyewe raia kuanzisha vuguvugu! Jambo ambalo kwa kweli watanzania tumezidi! Yaani hata waoga wazimbabwe wametushinda!!
 
Mbunge hahitaji cheti muhimu awe anajua kusoma na kuandika tu rejea katiba yetu isipokuwa dereva wake lazima awe amefaulu kidato cha nne
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.

ndio maana mnaambiwa hamna la kusema!! unajifariji na hivi viuzushi

Makonda anaweza kuwa waziri hata kesho, swala la mbunge wa kuteuliwa kujiuzulu linawezekana kisha akateuliwa yeye na kupewa wizara
 
Makonda anaweza kuwa waziri hata kesho, swala la mbunge wa kuteuliwa kujiuzulu linawezekana kisha akateuliwa yeye na kupewa wizara

Kwa hiyo chifu, nawe hauna shaka na uhalali wa Daudi Bashite alias Paul Makonda kuja kuteuliwa na kupewa wizara?
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
Kuna mtu alipiga RAMLI kama wewe kwenye uzi fulani...yeye hakutumia neno wizara muhimu kama wewe, yeye alisema wizara nyeti.

sasa wewe umejaribu kuitetea ramli yako kwa kusingizia ni habari kutoka kwa vigogo wawili.....

"TANZANIA BADO TUNA SAFARI NDEFU"
 
Kuna mtu alipiga RAMLI kama wewe kwenye uzi fulani...yeye hakutumia neno wizara muhimu kama wewe, yeye alisema wizara nyeti.

sasa wewe umejaribu kuitetea ramli yako kwa kusingizia ni habari kutoka kwa vigogo wawili.....

"TANZANIA BADO TUNA SAFARI NDEFU"
Watu wengine mnashangaza sana. Wewe ni member tokea 2009 na unajuwa matukio mengi tumepashana hapa JF kwa mtindo huu wa mapema na yanatokea kabla wa nje ya jf hawajajua sie tayari. Lakini lijapo jambo la DAB siku hizi mnaita ramli na likitokea hamuombi radhi kwa kuliita ramli.
Mmelishwa nini na hawa watu wawili sasa hivi kiasi kuwa kila kinacho wahusu kama wamekosea lazima mtapinga tuu bali utetezi ndio kazi yenu? (Tetesi) haipingwi ila kama huiamini ipite tuu usubiri matokeo.
 
Back
Top Bottom