Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

Watu wengine mnashangaza sana. Wewe ni member tokea 2009 na unajuwa matukio mengi tumepashana hapa JF kwa mtindo huu wa mapema na yanatokea kabla wa nje ya jf hawajajua sie tayari. Lakini lijapo jambo la DAB siku hizi mnaita ramli na likitokea hamuombi radhi kwa kuliita ramli.
Mmelishwa nini na hawa watu wawili sasa hivi kiasi kuwa kila kinacho wahusu kama wamekosea lazima mtapinga tuu bali utetezi ndio kazi yenu? (Tetesi) haipingwi ila kama huiamini ipite tuu usubiri matokeo.
Mimi huwa naomba radhi angalia quotes zangu zilizo pita mkuu...shida ni kwamba siku hizi sio Jambo forum..ni Jamii forum, unakuta mtu kaandika tetesi alafu ana-conclude hiyo ndio maana wadau wanaita Ramli...Ni kama takrima na rushwa kulivyo na thin line between the two.

Where we dare to talk openly...
The home of great thinkers....
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Bashite akiwa waziri mkuu mbona tutakoma kuishi Tanzania [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Sidhani kama wanaweza fanya makosa Kama hayo...
Kiufupi magu kamchoka Majaliwa, Bashite atachukua nafasi yakr
 
Wakuu hii imepatikana mahali katika mawasiliano ya vigogo wawili. Ni kuwa jimbo la kinondoni lilikuwa limetengwa kabisa ili aje kugombea Paulo M katika mkakati wa kuja kupata uwaziri wa wizara muhimu.
Mkakati huo uliundwa na ukamshawishi aliyekuwa Mbunge aliyekuwepo na akakubali.
Sasa wakati wa kuanza kuandaa jinsi ya kuja kumuweka Paulo ndio wajuzi wa mambo wakawakumbusha kuwa kutakuwa na tatizo kubwa sana kwani lile pingamizi la jina lake lazima litawekwa na kwa vile hapo hata NEC ikimbeba uwezekano wa kwenda mahakama ya wazi ni mkubwa na watapoteza kila kitu.
Mzee kataarifiwa na kachukia sana, na sio ajabu kuna watu wakatumbuliwa kwa nini hawakuliona hilo kabla ya kuingia hasara ya manunuzi ya mtulila?
Mission Imebuma na huko ndani ni mtifuano. Stay tuned kwa habari zaidi.

Hiyo ndio inaitwa "there is no permanent situation in the world " au "mene mene tekeli na peresi"
 
Haha ha ha hizo mahakama za chadema au?
They own everything, labda waseme wanawaogopa wananchi kwenye kupiga kura.

Maana kama waliweza kulinda kura zisichakachuliwe 2015 sidhani kama watashindwa hata sasa.
 
Kwani zile nafasi 10 za Rais haiwezekani kumtema mtu ili akae Prince?
 
Hivi CCM tukitaka kitu,kuna mtu wa kutuzuia?

Kuna mahakama ya kumzuia CCM Tanzania hii?

We jidanganye tu.
 
Leo hii CCM ndiyo ya kuogopa mahakama? SI kila siku mnasema zinapokea maagizo toka juu.

Au siku hizi huko juu kapanda Mtei?
 
We kinakuuma nini kuna uwezekano mkubwa tz kukawa na wachawi wengi japokuwa hatuna tunguli
 
Kwa hiyo chifu, nawe hauna shaka na uhalali wa Daudi Bashite alias Paul Makonda kuja kuteuliwa na kupewa wizara?

no napinga illogical thread

kwa nn ahangaike kote huko kama ni kipenzi ha JPM

hata akienda mahakamani, mahakama si ni za ccm?

ndio naona ni uzushi

infact hata akisimama, yule ni unstoppable
 
Back
Top Bottom