Mkakati wa Kuwafelisha Waislam Kidato Cha Sita Wabainika

Mkakati wa Kuwafelisha Waislam Kidato Cha Sita Wabainika

Status
Not open for further replies.
Ndicho nilicho andika hapo! Nimetoa mfano mwaka 1988 ilikuwa ndio mwaka wa kwanza kutumia IT, hilo lipo ila si kwa sababu ni waislamu! Hujaelewa nini hapo?
kwanini udhani mdau,wakati wenyewe wamekiri kuwa IT alikosea??????tuwe realistic,NECTA si malaika, ni binadamu,wanaotunga mtihan ni binadam na wanaosahihisha ni binadam,wapanga matokeo binadam,sasa suala la kukosea lipo,,,,,,tena unaweza ukakuta wanakosea sana tu,ila hatujui,frm now wanaweza wakawa makini zaidi
 
Binafsi ninaamini kwamba hapa JF ndio nyumbani kwa great thinkers ... ninaamini itaendelea kua hivyo na ninaomba hali isibadilike.

Lakini tokea kumetokea malalamiko ya kukosewa kwa matokeo ya Islamic knowledge kwenye mtandao huu, nimeshuhudia hata watu niliokua ninawaamini sana wakitokwa na mapovu kwa kuongea sana na kupinga hayo malalamiko bila ya hata kuwa na data. Sasa ukweli umefahamika! Lakini bado kuna watu na akili zao wanakua wabishi tuu bila sababu za msingi ...

Mfano: Unaposema islamic knowledge ni somo lisilokua na umuhimu kwanini usihoji NECTA kwanini wanatahini hilo somo? Hilo swali lielekezwe kwa NECTA na serikali kwa ujumla na sio kuwashambulia watahiniwa waliofanya hilo somo.

Kwamba mtoto aliefanya islamic anategemea kwenda wapi ni swali unalotakiwa kuwahoji waliotengeneza mfumo huu wa elimu, sio mtoto alie elekezwa kusoma hilo somo, sasa anapolalamika kwamba haamini gredi aliyo pewa (ambapo imekuja kuthibitika ni kweli) basi ndo uanze kumuelimisha eti hata A ya islamic haina mpango ... kwanini haki isingetoka tokea mwanzo? Hadi makelele yapigwe?

Binafsi bado siamini kama NECTA wanampango wowote wa kuwachakachua waisilamu. Ninataka kuamini tu kwamba ni makosa yametokea kwenye ku-compute grade za hilo somo (sina uhakika ni masomo mangapi yamekosea!). Ninacho sikitika ni kwamba kwa ubishi wetu wa wazi wazi badala ya kuchambua hoja vizuri kunawapatia point hata wale waislamu wanao lalamika bila sababu za msingi (lkn sio kwa suala hili) ... sasa watakua ni wakweli siku zote ... sisi ndo teyari tumewapa point iwe hivyo.

Kitu kingine, humu ndani sijaona hata mtu mmoja alie weza kujibu hoja ya kwamba NECTA pameajiriwa mchungaji kwa ajili ya somo la Divinity lakini hakuna Sheikh wala Imamu alie ajiriwa kwa ajili ya somo la Islamic. Yawezekana NECTA wana dharau kama za baadhi yenu mlivyoonekana humu ndani, kwamba ISLAMIC ni somo lisilo na mpango?.

Palipo na ukweli tuwe tunakiri huo ukweli badala ya kutetea uongo!
 
Balaza la mitihani kufanya makosa haitoi nafasi kutetewa kwa maana yoyote ile.

Ni uzembe mkubwa kutoa matokeo yasiyostahiki kwa walengwa. Inawezekana kuna makosa mengine mengi yamejificha hii ni indication tuu kwamba kuna uzembe mkubwa na wanafanya kazi kwa mazoea.

Hatua zichukuliwe kwa sababu lengo nikuboresha ufanisi na kuongeza tija ya utugwaji, usambazaji, usashihishaji, ukokotoaji na utowaji matokeo.

Huyu ndugu ametowa malalmiko yake, ameegamia mno kwenye udini lakini amedraw attention walau kunesha balaza la mitihani ni wazembe. tukiwatetea hawatajirekibisha.

Suala la mitihani ya dini (waislam na wakristo) Wangeachiwa wenyewe katika ngazi zifuatazo
1. Utungaji wa mitihani hiyo (waislamu watunge yao na wakristu watunge yao)
2. Usahihishaji ufanywe na wenye dini zao (wakristu wasahihishe yao na waislam wasahihishe yao)
3. Ukokotoaji wa matokeo pia wachiwe Waislam wakokotoe yao na wakristu wakokotoe yao)
4. Upangaji wa matokeo wa kwanza (primary results) wafanye wao

Balaza limalizie tu kwenye matokeo ya jumla ukizingatia matumizi ya tecknolojia itakuwa rahisi kabisa.

Lawama za kijinga za udini hazitakuwepo kwa maana hiyo.

Haiwezkan aslan Mwenye Divi III apate I kwa maana ya matokeo ya din kurekebishwa siamini hilo hapo ni Uchochezi

Kwa maana yoyote ile hatuhitaji wataalam wa dini katika vyuo vyetu vikuu vyetu. Na hizi point za Divinity ni Uchuro kwa maendeleo ya mwanafunzi. Huwezi jigamba wewe ni bora unawani iliyojificha ndani ya A ya dini ni upuuzi mkubwa.

Utashindana vipi na mwenye one ya PCM au PCB au HGE au HGE purely hawajahusisha na hawajafanya mitihani ya dini? Utakuwa kilaza na huwezi shindana na hawa watu na matokeo yake mtihani wa chuo uendapo inaanza Sisi waislamu tunanyanyaswa unasahau kuwa dini ilikubeba kupambana na magwiji walofanya mitihani bila dini na kufauru vema.

Tuache uchochezi wa dini flani inaonewa na dini flani inabebwa, tujitahiji kutathimini ukweli wa mambo badala ya kuleta migawanyiko isio na maana.

Hatkama balaza wamekosea tuwahukumu kwa uzembe wao na si kuwa wanaudini. Inamaanisha kweli ndani ya balaza ni wakristo tu?

Waislamu waliondani ya balaza kweli watakubali waislam wenzao kufelishwa?

Je unapowafelisha waislamu somo la dini ya linaathili vipi taaluma ya matokeo ya ELIMU YA JUU?

Unamaana wakurugenzi, wanasiasa, wahandisi, wahasibu, madaktari na wengineo tunawapata kwa vigezo vya kufauru Dini?

Na hapa ndipo napata utata kwamba inapotokea watu wa dini flani kushinda nafasi nyingi za kazi wengine watibuka na kusema tunanyanyaswa!!!!! kwa lipi? Inamaana wanataka tufanye interview kwa kushindanisha upeo wetu kidini?

TUWE WASTARABU NA KUEPUSHA UZUSHI UNAOLIGAWA TAIFA LA TANZANIA KWA VITU VYA KIPUUZI
 
Binafsi ninaamini kwamba hapa JF ndio nyumbani kwa great thinkers ... ninaamini itaendelea kua hivyo na ninaomba hali isibadilike.

Lakini tokea kumetokea malalamiko ya kukosewa kwa matokeo ya Islamic knowledge kwenye mtandao huu, nimeshuhudia hata watu niliokua ninawaamini sana wakitokwa na mapovu kwa kuongea sana na kupinga hayo malalamiko bila ya hata kuwa na data. Sasa ukweli umefahamika! Lakini bado kuna watu na akili zao wanakua wabishi tuu bila sababu za msingi ...

Mfano: Unaposema islamic knowledge ni somo lisilokua na umuhimu kwanini usihoji NECTA kwanini wanatahini hilo somo? Hilo swali lielekezwe kwa NECTA na serikali kwa ujumla na sio kuwashambulia watahiniwa waliofanya hilo somo.

Kwamba mtoto aliefanya islamic anategemea kwenda wapi ni swali unalotakiwa kuwahoji waliotengeneza mfumo huu wa elimu, sio mtoto alie elekezwa kusoma hilo somo, sasa anapolalamika kwamba haamini gredi aliyo pewa (ambapo imekuja kuthibitika ni kweli) basi ndo uanze kumuelimisha eti hata A ya islamic haina mpango ... kwanini haki isingetoka tokea mwanzo? Hadi makelele yapigwe?

Binafsi bado siamini kama NECTA wanampango wowote wa kuwachakachua waisilamu. Ninataka kuamini tu kwamba ni makosa yametokea kwenye ku-compute grade za hilo somo (sina uhakika ni masomo mangapi yamekosea!). Ninacho sikitika ni kwamba kwa ubishi wetu wa wazi wazi badala ya kuchambua hoja vizuri kunawapatia point hata wale waislamu wanao lalamika bila sababu za msingi (lkn sio kwa suala hili) ... sasa watakua ni wakweli siku zote ... sisi ndo teyari tumewapa point iwe hivyo.

Kitu kingine, humu ndani sijaona hata mtu mmoja alie weza kujibu hoja ya kwamba NECTA pameajiriwa mchungaji kwa ajili ya somo la Divinity lakini hakuna Sheikh wala Imamu alie ajiriwa kwa ajili ya somo la Islamic. Yawezekana NECTA wana dharau kama za baadhi yenu mlivyoonekana humu ndani, kwamba ISLAMIC ni somo lisilo na mpango?.

Palipo na ukweli tuwe tunakiri huo ukweli badala ya kutetea uongo!

Acha kuropoka mkuu. Necta huwa hawasahihishi mitihani. Mitihani husahihishwa na walimu walioteuliwa na haiwezekani mtihani kusahihishwa na mwalimu asiye wa somo husika.
Kila kitu hadi kupanga division hufanyika kituo cha kusahihisha kwa umakini mkubwa.
Tatizo lililotokea ni kama walivyosema wachangiaji wa awali kuwa kwenye mgawanyo ilitumika 3 badala ya 2. Ni makosa yanayorekebishika.
Sioni tija kukimbilia kudai wahusika wajiuzulu kwani italiingiza taifa gharama kubwa za kuajiri watu wengine na kuwalipa waliojiuzulu.
Let us think outside the box.
Ningeunga mkono hoja ya kuwajibishwa iwapo wahusika wasingechukua hatua yoyote.
 
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limebadili kinyemela bila taarifa matokeo ya Kidato cha Sita ya wanafunzi Waislam. Hii inatokana na malalamiko yaliyotolewa kuhusu kufeli mno wanafunzi Waislam hasa somo la "Islamic Knowledge". Baraza limebadili matokeo yote ya "Islamic Knowledge" kwa kusema kuwa IT wao alikosea pale alipogawanya wastani kwa 4 badala ya 2 kwa kuwa mitihani ilikuwa miwili.

Ukiingia katika website ya NECTA hutapata "new" ya habari hiyo, hivyo kuonesha Baraza linajijua limefanya makosa, na kubadili kibyemela matokeo. MASWALI MUHIMU:-

1. Jee Waislam waliokwisha omba vyuo wakati wana matokeo tofauti na yaliyotolewa na Baraza inakuwaje?
2. Jee hii si dhulma Waislam waliyokuwa wanaitoa kwa Baraza kuwa linawaonea?
3. Kwa nini Baraza wasijiuzulu kwa kashfa hii kubwa?

NB: Naomba mods msiitoe hii, fuatilieni mtajua ni kweli, mdogo wangu alikuwa na Div III, sasa ana Div I.

Wewe mwenyewe umesema mtu wa IT amekosea that means it was not intensional! Sasa masuala ya dhuluma yanatokea wapi? Acha uchochezi mkubwa!
 
propaganda za kijinga ili watu wasijadili mambo ya maana, sielewi kwa nini siku hizi hata wambea wanapost jf si waende kwenye blog ya shigongo
 
Sasa huyo mdogo wako anaenda kusoma course gani? Maana najua huwa ni masomo matatu tu ya muhimu. Yani div 3 had 1. Kweli islamic knowladge ni noma. Lakini kwa nina vyojua mdogo wako bado hajasaidiwa chochote. Na kushauri uwe una kaa na wadogo zako na kuwashauri wasome kwa bidii badala ya kulalamika kila siku. Hebu twambie alikuwa anachukua comb gani? Weka matokeo yake yote hapa tuyaone vizuri,usikimbie uzi.

NB: kusoma kwa bidii hupunguza kulalamika sana.
 
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limebadili kinyemela bila taarifa matokeo ya Kidato cha Sita ya wanafunzi Waislam. Hii inatokana na malalamiko yaliyotolewa kuhusu kufeli mno wanafunzi Waislam hasa somo la "Islamic Knowledge". Baraza limebadili matokeo yote ya "Islamic Knowledge" kwa kusema kuwa IT wao alikosea pale alipogawanya wastani kwa 4 badala ya 2 kwa kuwa mitihani ilikuwa miwili.

Ukiingia katika website ya NECTA hutapata "new" ya habari hiyo, hivyo kuonesha Baraza linajijua limefanya makosa, na kubadili kibyemela matokeo. MASWALI MUHIMU:-

1. Jee Waislam waliokwisha omba vyuo wakati wana matokeo tofauti na yaliyotolewa na Baraza inakuwaje?
2. Jee hii si dhulma Waislam waliyokuwa wanaitoa kwa Baraza kuwa linawaonea?
3. Kwa nini Baraza wasijiuzulu kwa kashfa hii kubwa?

NB: Naomba mods msiitoe hii, fuatilieni mtajua ni kweli, mdogo wangu alikuwa na Div III, sasa ana Div I.

NECTA hii ni kashfa kubwa kumbe hawa jamaa wanacholalamikia ni kweli..

Sijawahi kuona unalala umepata DIV III halafu unaamka umepata Div I.

Ndio maana kila siku mie nasema Tanzania hakuna wasomi.
 
blaki Womani unaamini??? hebu fikiria nini kimetokea, matokeo ya somo moja yanaweza kubadilisha point za mtahiniwa kwa kiasi hicho? to me doens't make much sense

Inawezekana.
Mfano alikuwa na Div III.13, akiwa na E ya Islamic Knowledge ambayo ilitumika katika masomo ma3 ya kukokotoa pts zake.
Baada ya marekebisho, akapata A.
Hapo maana yake pts zake zitapungua by 4, atakuwa na pts 9, ni div 1 hiyo.
 
' Sikuamini! Lakini nimeona kwenye mtandao ni kweli! kwanini Baraza hawakutangaza officially, wamebadili kimya kimya? baada ya waislamu kulalamika. Kuna jambo kubwa limejificha hapa. Ninaanza kuwaelewa waislamu sasa! Sababu zilizotolewa na Baraza kama ni hizo ni rediculous, na ni kuficha ukweli halisi, why Bible knowledge haikugawanywa kwa 4 kama Islamic Knowledge. Naelewa pia kwa nini always shule za makanisa ' Hutesa(wanasema zimepasua)' Sina imani pia na masomo mengine lazima uchunguzi ufanywe wa kina otherwise inatoa picha kuwa wanayodai waislam kudhulumiwa kielimu miaka yote ni kweli. Sikutegemea kuwa dhulma hiyo ipo hadi Baraza?. Ni jambo la hatari hatari sana.


... Nilishangazwa na waislamu kukataa kuwepo kwenye mchakato wa TCU, sasa ninawaelwa, kama hali yenyewe ndio hii inabidi wajihami kwa mengi. Mwisho wake ni kudai Baraza lao LA Mitihani, kwani hili lililotokea halikubaliki.
 
Udini. Uduni, udini! Daaaaah! Ama kweli this iz Tanzania
 
Piga kelelee weeeee, imba weeeee, hi ndo rap katuni!
 
Inawezekana.
Mfano alikuwa na Div III.13, akiwa na E ya Islamic Knowledge ambayo ilitumika katika masomo ma3 ya kukokotoa pts zake.
Baada ya marekebisho, akapata A.
Hapo maana yake pts zake zitapungua by 4, atakuwa na pts 9, ni div 1 hiyo.

Kwani haiwezekani pamoja na kubadili islam know wakabadili na mengine? Long time kitambo ilikuwa ukienda tu NECTA na mshiko wako unapewa div I hivi hivi unajiona. Hiyo mifumo imetengenezwa na watu na watu ndo sisi wenyewe tunaoiendesha. Usikute uchunguzi ukifanywa wa kina utakuta watu wengine hata wasio waislamu nao wamebadilishiwa matokeo ya masomo ambayo sio ya dini. Chezea Tanzania wewe!
 
propaganda za kijinga ili watu wasijadili mambo ya maana, sielewi kwa nini siku hizi hata wambea wanapost jf si waende kwenye blog ya shigongo

Jamani huu si umbeya tuache kuwa wabinafsi. Ila serikali iangalie tena hili somo la dini katika kugawa madaraja lingeondolewa kabisa
 
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), limebadili kinyemela bila taarifa matokeo ya Kidato cha Sita ya wanafunzi Waislam. Hii inatokana na malalamiko yaliyotolewa kuhusu kufeli mno wanafunzi Waislam hasa somo la "Islamic Knowledge". Baraza limebadili matokeo yote ya "Islamic Knowledge" kwa kusema kuwa IT wao alikosea pale alipogawanya wastani kwa 4 badala ya 2 kwa kuwa mitihani ilikuwa miwili.

Ukiingia katika website ya NECTA hutapata "new" ya habari hiyo, hivyo kuonesha Baraza linajijua limefanya makosa, na kubadili kibyemela matokeo. MASWALI MUHIMU:-

1. Jee Waislam waliokwisha omba vyuo wakati wana matokeo tofauti na yaliyotolewa na Baraza inakuwaje?
2. Jee hii si dhulma Waislam waliyokuwa wanaitoa kwa Baraza kuwa linawaonea?
3. Kwa nini Baraza wasijiuzulu kwa kashfa hii kubwa?

NB: Naomba mods msiitoe hii, fuatilieni mtajua ni kweli, mdogo wangu alikuwa na Div III, sasa ana Div I.

yawezekana ni kweli.....na hili huwa ni kosa la kawaida kwa tanzania.....ila sasa si ndalichao alisema masomo ya divinity na islamic knowledge kwa sasa hayaongezi point......yatakuwa subsidiary?? au nilisikia vibaya??

na huili baraza la mitihani kama ni upuuzi wa namna hiyo umefanyika lazima nao wawajibike.....
 
sioni ukweli wa hii post....div3 to div1....hata kama huyo mdogo wako alipata A ya islamic religion.....
haiwezi turn to div1
ingekuwa ni mathematics au kiswahili its true tungejua alipata penalty...
UNA LENGO GANI?
Bila penati div I ya mwisho ni point ngapi?
na div III ya kwanza ni point ngapi?
kutoka F mpaka A kwenye somo moja mtu anakuwa amepanda points ngapi? je hazimtoshi kumfikisha div I kutoka III?
nauliza kwa sababu nimesahau NECTA wanapangaje hizo divisions.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom