nyama kwa nyama ni tamu sana aiseeUkipata taarifa mbaya kama hizi hata kama ulikuwa una dem kitandani mashine lazima inywee. Tuendelee kukumbushana Ukimwi bado upo, hakuna Demu wa kwenda naye nyama kwa nyama.
Hisia hubakia kuwa hisia tuNdio anakoelekea
Huenda wewe ndio ukahitaji pole zaidi ya umpaye pole kwa kukosa elimu sahihi ya mambo ya afyaPole sana
Absolutely, ila kama huna uhakika na afya yake usiende nyama kwa nyama.nyama kwa nyama ni tamu sana aisee
Ukimwi unadawa mlazimishe awahi hospitali na aanze dawa, acha kulia lia humuHabari wakuu,
Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .
Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.
Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,
Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.
Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,
Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.
Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.
Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
View attachment 937690View attachment 937692View attachment 937693MWENYE ENZI MUNGU ATUEPUSHE WALAHI View attachment 937689
Nakushauri kwa kuwa umeshajua tatizo la ndugu yako,msaidie ili akapime ujue uhakika kama ana tatizo zaidi ya hilo ili umsaidie zaidi,hasipokuelewa mwambie mama,baba au rafiki anayependana nae ili mshirikiane kumsaidia.Nakutakia siku njema
Samahani mkuu ,ww ni mwalimu gamba,uliwahi kufundisha nyeginaNakushauri kwa kuwa umeshajua tatizo la ndugu yako,msaidie ili akapime ujue uhakika kama ana tatizo zaidi ya hilo ili umsaidie zaidi,hasipokuelewa mwambie mama,baba au rafiki anayependana nae ili mshirikiane kumsaidia.Nakutakia siku njema
Haujatoa ufafanuzi wa huo mkanda wa jeshi na habari yako Mkuu umeruka tu juu juu
Kwa jinsi ulivyoandika, nina mashaka na hizo akili nying saba ulizotumiaHabari wakuu,
Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .
Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.
Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,
Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.
Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,
Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.
Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.
Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
Daaah wewe ndio watu wanaonyesha kidole mtu wkt vitatu vinakusontaMkuu uko Sawa,ila naamini na uzoefu nilionao ,wala cjakosea akienda kupima lazima positive itokee,najua Nina uhakika na watu wa namna hii nimewahudumia sana