Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Mkanda wa jeshi (Herpes zoster/ shingles) fahamu kuhusu dalili na tiba yake

Habari wanajamvi. Naomba kujua dawa mkanda wa jeshi au niende hospitali gani nipate dawa maana mgonjwa kapewa dawa duka madawa kama kazidishwa
 
Habari wanajamvi. Naomba kujua dawa mkanda wa jeshi au niende hospitali gani nipate dawa maana mgonjwa kapewa dawa duka madawa kama kazidishwa
Unajua je kazidishiwa sasa wakati hauelewi chochote. [emoji3]

Ni PM nkupe direction nipate kukutibu but dawa zake inabidi utoe Dozi kubwa na mara kwa mara kwa siku sababu hazikai damuni hizo dawa zake
 
Unajua je kazidishiwa sasa wakati hauelewi chochote. [emoji3]

Ni PM nkupe direction nipate kukutibu but dawa zake inabidi utoe Dozi kubwa na mara kwa mara kwa siku sababu hazikai damuni hizo dawa zake
Sijasema kazidishiwa nimesema kazidishwa
 
Ukienda huko Hospitali uwaombe pia kupima na HIV ili ujue na afya yako ipoje.
 
Kama una uhakika/uzoefi kuwa ni mkanda wa jeshi, tumia dawa inaitwa Acyclovir ya kupaka/tube na vidonge pia. Fasta tu, siku 5 mpaka 7 anapona kabisa.
Ila akipaka inauma+kuwasha, so mgonjwa alijue hilo.
 
Kama una uhakika/uzoefi kuwa ni mkanda wa jeshi, tumia dawa inaitwa Acyclovir ya kupaka/tube na vidonge pia. Fasta tu, siku 5 mpaka 7 anapona kabisa.
Ila akipaka inauma+kuwasha, so mgonjwa alijue hilo.
Mkanda wa Jeshi ni dalili ya kwanza ya kiashiria cha kupungua kinga mwilini.

Pia inawezekana ni rashesh zingine tu ambazo hata hazihusiani na mkanda wa Jeshi, hivyo ni muhimu sana kwenda hospitali badala ya kunywa dawa tu.
 
Back
Top Bottom