Mkanda wa jeshi maana ake anahisi tayari jamaa na ukimwi kwsbb dalili mojawapo ni kupata huo ugonjwa wa mkanda wa jeshi.Haujatoa ufafanuzi wa huo mkanda wa jeshi na habari yako Mkuu umeruka tu juu juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkanda wa jeshi maana ake anahisi tayari jamaa na ukimwi kwsbb dalili mojawapo ni kupata huo ugonjwa wa mkanda wa jeshi.Haujatoa ufafanuzi wa huo mkanda wa jeshi na habari yako Mkuu umeruka tu juu juu
Aisee unatisha, niliwahi kuona kwa ndg yangu mmoja hd nilisisimka mwili. Na inavyoonekana huwa unakuwa na maumvivu makali.Duuuh hua unaota kiunoni au mpaka kuzunguka mabega
Izi labda zina watokea wazungu tu sio ngozi nyeusi unajua ukimwi wa afrika na ulaya au asia ni tofautiView attachment 937690View attachment 937692View attachment 937693MWENYE ENZI MUNGU ATUEPUSHE WALAHI View attachment 937689
Army beltMkanda wa jeshi kwa kiingereza tunaitaje??
Habari wakuu,
Miaka mitano nyuma niliwahi kusikia japo nimepata uhakika sasa,ilisemwa alitembea na mama moja huko kijijini .
Ndugu yangu ndo amemaliza masomo yake ya juu,nasikitika sana ,nguvu kazi yake inapotea hivi hivi naona.
Najaribu kutumia akili nyingi sana kumshawishi afanye utaratibu wa kwenda hospitali japo mi najua tayari amekanyaga waya,
Kijana bado mdogo sana,nimejaribu kumwambia tufanye hivi ili twende hospitali ili nimwahishe kuanza dawa lakini amekua hataki,na bado hajajua kabisa hili ugonjwa.
Papuchi tunazipenda ila zinatupa sana shida,
Nimejaribu kumshawishi kiakili lkn bado naona hajaamini ninachomwambia kuhusu hospitali.
Nashindwa kutumia njia gani kumuokoa huyu ndugu yangu na tumekua wote, tumecheza wote, tumesoma wote, hakika inauma sana.
Mungu tu ndo atuepushe na hayo majanga,ulisema uoe ,utajilinda mwenzako tabia yake pia hujui yaani ni shida kweli
Mungu wanguView attachment 937690View attachment 937692View attachment 937693MWENYE ENZI MUNGU ATUEPUSHE WALAHI View attachment 937689
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Duuuh hua unaota kiunoni au mpaka kuzunguka mabega
Siku tatu tu mzee, hapo hizo siku tatu unakuwa Kama umewekewa pasi mwiliniInachukua mda gani toka dalili mpk vipele kujitokeza?
Sent by iOS
Upo sahihi sana mkuu. Ulichokiandika na nilichokifeel / kukishuhudia wakati naumwa ugonjwa huu ni sawa kabisa. Hata dawa ni hizo hizo.NgumiJiwe, inaitwa herpeszoster (sina hakika na spellings) . Google.
Mkanda wa jeshi ni shambulio la nerves by virus. Hii inatokana mostly na upungufu wa kinga mwilini either baada ya kuugua muda mrefu au baada ya stress ya muda mrefu. Magonjwa ya virusi hayana tiba zaidi ya kuu-boost mwili ili uweze kupambana zaidi. Hebu google kwa maelezo zaidi