Mkandala Lufufu anastahili Honorary doctorate

Mkandala Lufufu anastahili Honorary doctorate

Huyu mwamba amefanya mengi katika tasnia (kubwa Ni kutafsiri movies toka lugha yoyote Ile kwenda Kiswahili. Anastahili tuzo ikiwemo Honorary doctorate na HESHIMA hata kama kashafariki).
Okay
 
Sijawai mwelewa labda kwa vile nimeona movie chache za kwake .Mostly ya movie nilizocheki ni za ma dj wa chuga akina ommy d , dj kuzi n.K
 
Huyo jamaa hata mimi namheshimu sana, nimeinjoi huduma yake utotoni haswa ile namna yake ya kuiga sauti za wanaoongea wakiwemo wanawake. Baada ya kukua na kidogo kuielewa hii lugha ya malkia, nimekuja kugundua kuwa alikuwa mkweli mno katika masimulizi yake. Hata kama kuna vicomedy alikuwa anavifanya kwa kuongezea hili na lile lkn si kwa kuathiri maana halisi.

Aisee hawa kina dj macky waongo aisee......dah! Linaloongelewa na wanalolisema wao ni vitu viwili todauti kabisaaaa!!!!!!

Watafsiri wengine wakweli ni wale wa Kenya, nawasikia sana kupitia Rembo TV
 
dah huyu mwamba nilimukubali zaidi, inamaana hakuwa na machawa wake angalau tupate mbadala
 
Huyu mwamba amefanya mengi katika tasnia (kubwa Ni kutafsiri movies toka lugha yoyote Ile kwenda Kiswahili. Anastahili tuzo ikiwemo Honorary doctorate na HESHIMA hata kama kashafariki).
PHD ya Heshima naunga hoja
 
Huyo jamaa hata mimi namheshimu sana, nimeinjoi huduma yake utotoni haswa ile namna yake ya kuiga sauti za wanaoongea wakiwemo wanawake. Baada ya kukua na kidogo kuielewa hii lugha ya malkia, nimekuja kugundua kuwa alikuwa mkweli mno katika masimulizi yake. Hata kama kuna vicomedy alikuwa anavifanya kwa kuongezea hili na lile lkn si kwa kuathiri maana halisi.

Aisee hawa kina dj macky waongo aisee......dah! Linaloongelewa na wanalolisema wao ni vitu viwili todauti kabisaaaa!!!!!!

Watafsiri wengine wakweli ni wale wa Kenya, nawasikia sana kupitia Rembo TV
Dj mafii maza Fanta niliachaga kununua zilizotafsiriwa aisee ni makelele tu
 
Sijawai mwelewa labda kwa vile nimeona movie chache za kwake .Mostly ya movie nilizocheki ni za ma dj wa chuga akina ommy d , dj kuzi n.K
wewe umezaliwa mwaka juzi hakuna kama rufufu na uncle msafiri lesi wa niger movies. Hawa waliobaki wengi wapiga krlele na waaribifu wa ubora wa movies
 
Simjui. Kwetu kulikuwa hakuna TV, nimekulia Machungani. Kuchunga ng'ombe na mbuzi.

Kuja kukua, muda wa kuangalia movie sijaupata bado, majukumu yanabana.

Apewe tu.
 
Back
Top Bottom