Mkandarasi wa barabara ya Mbeya mjini inayokwenda kwenda Zambia amesusa kutokana na kutolipwa na serikali?

Mkandarasi wa barabara ya Mbeya mjini inayokwenda kwenda Zambia amesusa kutokana na kutolipwa na serikali?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Wakuu, weekend hii nimeingia Mbeya kwa ku-drive toka Dar, na nikashangaa sana kukuta maendeleo kidogo sana ya ujenzi wa hii barabara ya kwenda Tunduma hadi Zambia toka nitembelee hapa miezi minne iliyopita. Nimeuliza wenyeji kwa nini kasi ya ujenzi wa barabara hii uko chini kiasi hiki? Nimeambiwa wakandarasi wa barabara wamesusa baada ya kuwa hawalipwi na serikali.

Sasa Mbeya ni jimbo la Spika wa Bunge Tulia, na huko nyuma tuliambiwa miradi ya maendeleo Mbeya haifanyiki kama adhabu kwa watu wa Mbeya kwa kumchagua mtu wa upinzani kama mbunge wao, Sugu. Sasa kulikoni tena Mbeya mambo hayaendi na mbunge wao ndio huyo Spika wa Bunge Tulia?

Au labda sasa serikali imewasusa tena kwa sababu ya Mwabukusi wa TLS?
 
Wakuu, weekend hii nimeingia Mbeya kwa ku-drive toka Dar, na nikashangaa sana kukuta maendeleo kidogo sana ya ujenzi wa hii barabara ya kwenda Tunduma hadi Zambia toka nitembelee hapa miezi minne iliyopita. Nimeuliza wenyeji kwa nini kasi ya ujenzi wa barabara hii uko chini kiasi hiki? Nimeambiwa wakandarasi wa barabara wamesusa baada ya kuwa hawalipwi na seikali.

Sasa Mbeya ni jimbo la Spika wa Bunge Tulia, na huko nyuma tuliambiwa miradi ya maendeleo Mbeya haifanyiki kama adhabu kwa watu wa Mbeya kwa kumchagua mtu wa upinzani kama mbunge wao, Sugu. Sasa kulikoni tena Mbeya mambo hayaendi na mbunge wao ndio huyo Spika wa Bunge Tulia?

Au labda sasa serikali imewasusa tena kwa sababu ya Mwabukusi wa TLS?
Ujenzi ndio huo unaendelea hata kama sio Kwa Kasi kubwa tofauti na hapo nyuma ambako hata huo wa kusua sua haikuwepo.
 
Sasa Mbeya ni jimbo la Spika wa Bunge Tulia, na huko nyuma tuliambiwa miradi ya maendeleo Mbeya haifanyiki kama adhabu kwa watu wa Mbeya kwa kumchagua mtu wa upinzani kama mbunge wao, Sugu. Sasa kulikoni tena Mbeya mambo hayaendi na mbunge wao ndio huyo Spika wa Bunge Tulia?
Hiyo njia inafumuliwa na kujenda kila baada ya miaka mingapi,
Baada ya kujengwa miaka ya 1970s ilifumuliwa na kujengwa 1990s, ikajengwa tena 2014 au 15
 
Umetembelea Mbeya lini mara ya mwisho? Yaani hakuna kinachoenelea kwa sasa, hata vifaa vya ujenzi wa barabara inaonekama kama vimeondolewa
Nashangaa mradi wa Kimkakati Kwa Ajili ya uchaguzi lakini umeachwa unazorota.

Ni kweli wakandarasi hawajalipwa na usiombe mradi Ukiwa unagharamiwa na pesa za ndani yaani hautaisha Leo Wala kesho 🤣🤣

Miradi yenye Fedha za Mkopo ndio inaendelea na ujenzi
 
Hiyo njia inafumuliwa na kujenda kila baada ya miaka mingapi,
Baada ya kujengwa miaka ya 1970s ilifumuliwa na kujengwa 1990s, ikajengwa tena 2014 au 15
Nadhani ni kwa ajili ya upanuzi pia. Mbeya panakera sana kuingia mjini, barabara ni nyembamba ya two lanes, wakati Mbeya ni jiji. Nadhani Tulia anatakiwa akaze mguu, sio kumsifia tu Raisi na kuwaponda upinzani wakati hakuna linalofanyika jimboni mwake.
 
Hakukuwa na Bajeti yoyote kwenye huo mchakato ila walitaka Kudanganya ili kumpamba Tulia Ackson
Wacha uongo wewe nyumbu.Mradi uko sawa tuu isipokuwa Kuna tatizo la wakandarasi kutolipwa na ni Nchi nzima.

Sababu hazijawekwa wazi lakini probably Fedha nyingi zitakuwa zinaenda kulipa madeni yaliyoiva.

Hukuona Wabunge walisuasua kupitiaha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi? Madeni inayodaiwa TanRoads ni makubwa kuliko Bajeti ya inayotengwa.
 
Nadhani ni kwa ajili ya upanuzi pia.Mbeya panakera sana kuingia mjini, barabara ni nyembamba ya two lanes, wakati Mbeya ni jiji. Nadhani Tulia anatakiwa akaze mguu, sio kumsifia tu Raisi wakati hakuna linalofanyika jimboni mwake.
Ulisema hakuna linalofanyika unadanganya ,kabla ya hapo hata hiyo stage ya mradi kusua saua haikuwepo.

Kuna miradi Mingi inafanyika hapo Mbeya na imeshafanyika achilia mbali hiyo Barabara inayosua sua.

Mfano Barabara za TACTIC zinaendelea na ujenzi Mitaani ikiwemo na stendi.
 
😒😒😒😒Muda Sana Hakuna Kazi
Ujenzi unasua sua sana labda hizi kelele zitasaidia.

Kuna miradi naifahamu imesimama kiasi wakandarasi walishasepa site 😂😂

Waziri wa Fedha na ujenzi waseme pesa za Miradi ziko wapi ?

Kuna harufu ya Fedha za Miradi kuishia kwenye mambo ya kisiasa yasiyo na Tija .
 
Wacha uongo wewe nyumbu.Mradi uko sawa tuu isipokuwa Kuna tatizo la wakandarasi kutolipwa na ni Nchi nzima.

Sababu hazijawekwa wazi lakini probably Fedha nyingi zitakuwa zinaenda kulipa madeni yaliyoiva.

Hukuona Wabunge walisuasua kupitiaha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi? Madeni inayodaiwa TanRoads ni makubwa kuliko Bajeti ya inayotengwa.
Acha jazba na kushambuli watu. Kama barabara ina bajeti, sasa kwa nini fedha ziende kutumika nje ya bajeti zilizokusudiwa? Suala la bajeti ya miradi si linapitishwa na Bunge na baada ya hapo hakuna mtu anaruhusiwa kutumia nje ya bajeti iliyopitishwa na Bunge?

Na hili suala lakusema fedha haipatikani kwa sababu inaenda kulipa deni ndio unazidi kutuchanganya. Kama hatuna fedha za kulipa deni hadi miradi inasimama, kwa nini tunaendelea kukopa kwa ajili ya miradi mipya? Au fedha tunazokopa zinaishia mifukoni wa watu?
 
Acha jazba na kushambuli watu. Kama barabara ina bajeti, sasa kwa nini fedha ziende kutumika nje ya bajeti zilizokusudiwa? Suala la bajeti ya miradi si linapitishwa na Bunge na baada ya hapo hakuna mtu anaruhusiwa kutumia nje ya bajeti iliyopitishwa na Bunge?

Na hili suala lakusema fedha haipatikani kwa sababu inaenda kulipa deni ndio unazidi kutuchanganya. Kama hatuna fedha za kulipa deni hadi miradi inasimama, kwa nini tunaendelea kukopa kwa ajili ya miradi mipya? Au fedha tunazokopa zinaishia ifukoni wa watu?
Unajua utaratibu wa Bajeti ya serikali ulivyo? Wanakuwa na hela au wanasubiria wakusanye?
 
Ulisema hakuna linalofanyika unadanganya ,kabla ya hapo hata hiyo stage ya mradi kusua saua haikuwepo.

Kuna miradi Mingi inafanyika hapo Mbeya na imeshafanyika achilia mbali hiyo Barabara inatosha sua.

Mfano Barabara za TACTIC zinaendelea na ujenzi Mitaani ikiwemo na stendi.
Ndio,lakini tulielewa serikali ilikuwa inafanya makusudi kutopeleka miradi Mbeya kwa sanabu Mbeya hawakuitaka CCM. Sasa Mbeya si waliahidiwa wakiwaondoa upinzani miradi yao itaenda? Kulikoni sasa?
 
Back
Top Bottom