Mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani anazuga tu, hakuna anachofanya

Mkandarasi wa barabara ya Tanga to Pangani anazuga tu, hakuna anachofanya

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Barabara kama ile haiwezi kufanywa kwa magari mawili ya kusomba vifusi na compactor 2. Wamepewa hela na ili waonekane wako site ndio upuuzi wanaoufanya, kuzuga kuwa wako site kumba hamna lolote linalofanyika. Bashungwa or anybody in charge of this ministry, come and see!
 
Barabara kama ile haiwezi kufanywa kwa magari mawii ya kusomba vifusi na compactor 2. Wamepewa hela na ili waonekane wako site ndio upuuzi wanaoufanya, kuzuga kuwa wako site kumba hamna lolote linalofanyika. Bashungwa or anybody in charge of this ministry, come and see!
I think wataiona soon
 
Back
Top Bottom