utapunguza gharama Kwa kubeba mzigo mkubwa zaidi,haraka zaidi Kwa kutumia nishati nafuu zaidi. hilo la malori na mabasi kufanya kazi huenda ni wasiwasi wa wenye magari hayo.
utapunguza gharama Kwa kubeba mzigo mkubwa zaidi,haraka zaidi Kwa kutumia nishati nafuu zaidi. hilo la malori na mabasi kufanya kazi huenda ni wasiwasi wa wenye magari hayo.
Jua lakini kuwa mradi wenyewe ni mkopo na kanuni ya kulipa mkopo iko wazi haipindishwi.
Kama gharama za mkopo hazitawekwa kwenye gharama za uendeshaji itakuwa ni kasheshe kwa serikali maana yenyewe ndiyo itabeba mzigo mkubwa wa kutoa ruzuku Ili mradi usife.