Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Niko na mzee wangu aliyefanya kazi serikalini kwa muda mrefu sana.
Ananiambia Marehemu Mzee Mkapa kwenye teuzi zake aliangalia sana Vetting uliyofanyiwa inasemaje hasa kwenye uwezo wako kikazi, na Mambo ya msingi tu.
Kwa kikwete yeye alimix Vetting inasemaje na uswahiba
Kwa magufuli hapa hakuzingatia Vetting zaidi ya uchawa na jinsi anavyomuona mtu anaweza yeye binafsi.
Sijui mama yangu samia anazingatia mambo gani ila naomba sana asiendeshwe na majungu na fitna.
Ananiambia Marehemu Mzee Mkapa kwenye teuzi zake aliangalia sana Vetting uliyofanyiwa inasemaje hasa kwenye uwezo wako kikazi, na Mambo ya msingi tu.
Kwa kikwete yeye alimix Vetting inasemaje na uswahiba
Kwa magufuli hapa hakuzingatia Vetting zaidi ya uchawa na jinsi anavyomuona mtu anaweza yeye binafsi.
Sijui mama yangu samia anazingatia mambo gani ila naomba sana asiendeshwe na majungu na fitna.