Kumekuwaa na hoja mbali mbali za kumshtaki, kumwondolea kinga Raisi mstaafu mkapa kuanzia kwenye magazeti, bunge, mpaka ndani ya JF.
Je ni makosa gani ambayoo utawala wa Mkapa ulifanya kwa sasa hayafanyikiii???Bado tuna mikataba mibovu ya madini, TRL, ATCL, nk..
Tumeendeleea kushuhudiaa utendajii mbovuu zaidi na kushuka kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa maisha ya watu (infalation kubwa zaidi 13%) na uwoga wa kufanya maamuzi hata ya kuwasha jenereta za IPTL!!!!!!!
Je tunasonga au tunarudii nyumaaaaaa???
Kwa sasa tuna migodi mitano, miaka kumi ijayo tutakuwa na migodi zaidi ya 15!!!!!Watu kama Mkapa ambaye alitangaza mali zake wakati anaingia Ikulu lakini hakutangaza wakati anatoka, makaburi yao yatakuja kutandikwa viboko siku moja hasa maisha yatakapowakung'uta watu huku wakiangalia kwa uchungu mashimo ambako dhahabu, almasi, tanzanite, makaa ya mawe, nk viliporwa kwa kisingizio cha uwekezaji!
Kumekuwaa na hoja mbali mbali za kumshtaki, kumwondolea kinga Raisi mstaafu mkapa kuanzia kwenye magazeti, bunge, mpaka ndani ya JF.
Je ni makosa gani ambayoo utawala wa Mkapa ulifanya kwa sasa hayafanyikiii???Bado tuna mikataba mibovu ya madini, TRL, ATCL, nk..
Tumeendeleea kushuhudiaa utendajii mbovuu zaidi na kushuka kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa maisha ya watu (infalation kubwa zaidi 13%) na uwoga wa kufanya maamuzi hata ya kuwasha jenereta za IPTL!!!!!!!
Je tunasonga au tunarudii nyumaaaaaa???
Zero logic.
maana yake jamaa limeongea pumbaToa hoja! zero logic manake nini?
Mama Anna Mkapa na Basil Mramba walimpeleka puta huyu Mmachinga Benjamin!Watu wa kusini naamini ni decent people,sio corrupt kama jamaa zetu wa migombani!
Ukioa na ukawa unatawaliwa na mkeo ndio matatizo kama haya.Tatizo kubwa uwe Rais!
Inawezekana hata hakujua kinaendelea kuhusu ANBEN etc mpaka bomu likalipuka
Na point yako hapa ni nini? Migodi mitano ambayo tunaibiwa kila siku na miaka kumi na tano tutakuwa na migodi 15 tunayoibiwa kila siku. At the end of the day tunabaki na zero. Wanaotajirika ni akina Mkapa na wazungu wao. Capice?Kwa sasa tuna migodi mitano, miaka kumi ijayo tutakuwa na migodi zaidi ya 15!!!!!
Kipi bora? migodii mitano ya mikataba mibovuu au 15 ya mikataba hovyoooooooo?
Maana yake ni Conclussion!Toa hoja! zero logic manake nini?
zero logic.....! nini huelewi hapo????🙄Toa hoja! zero logic manake nini?