Kumekuwaa na hoja mbali mbali za kumshtaki, kumwondolea kinga Raisi mstaafu mkapa kuanzia kwenye magazeti, bunge, mpaka ndani ya JF.
Je ni makosa gani ambayoo utawala wa Mkapa ulifanya kwa sasa hayafanyikiii???Bado tuna mikataba mibovu ya madini, TRL, ATCL, nk..
Tumeendeleea kushuhudiaa utendajii mbovuu zaidi na kushuka kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa maisha ya watu (infalation kubwa zaidi 13%) na uwoga wa kufanya maamuzi hata ya kuwasha jenereta za IPTL!!!!!!!
Je tunasonga au tunarudii nyumaaaaaa???
Je ni makosa gani ambayoo utawala wa Mkapa ulifanya kwa sasa hayafanyikiii???Bado tuna mikataba mibovu ya madini, TRL, ATCL, nk..
Tumeendeleea kushuhudiaa utendajii mbovuu zaidi na kushuka kwa ukuaji wa uchumi na ustawi wa maisha ya watu (infalation kubwa zaidi 13%) na uwoga wa kufanya maamuzi hata ya kuwasha jenereta za IPTL!!!!!!!
Je tunasonga au tunarudii nyumaaaaaa???