mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
.........mmh!!! kukaa kimya pia ni busara.......Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea
Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.
Hoja za msingi hapa ni 2.
1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.
2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.
Just thinking outside the box
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea
Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.
Hoja za msingi hapa ni 2.
1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.
2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.
Just thinking outside the box
Dr Ulimboka ni raia kama raia mwingine na watu wengi washakumbwa na makubwa zaidi yake. Tanzania ina watu milioni 45 sasa itawezekana vipi mtu mmoja awashughulishe watu wa JAMII FORUMS namna hii? Kuna watu wamekufa na wameteseka zaidi ya huyu mtu mmoja, sasa sielewi kwa nini baadhi ya watu wanataka kuilaumu serikali kwa yaliyotokea
Serikali iko bize kushughulikia hii migomo na jeshi la polisi haliwezi kupeleka resources zake zote kushughulia kesi ya mtu mmoja wakati wengine wanapata taabu zaidi yake.
Hoja za msingi hapa ni 2.
1. Serikali haiwezi kulaumiwa kuwa ilimteka na kumpiga. Tanzania sio banana republic na ni nchi inayoendeshwa na sheria na kama hakuna mwenye ushahidi wa kutosha kuwa serikali ilimteka ulimboka then fikirieni conspiracy theories zingine lakini sio kumteka na kumpiga huyu jamaa. Kuna watu ambao wanaiendesha mbio serikali kama akina Issa Ponda wapo na hakuna aliyewateka wala nini.
2. Jeshi la Polisi hawawezi kulaumiwa kwa lolote. Na sikuona sababu ya mkuu wa polisi kuitisha press conference juu ya Dr Ulimboka. wao wangesema kuwa jalada limefunguliwa na wataishughulikia kesi yake kama mtu mwingine.
Just thinking outside the box
ila naapa kama tukio lingenitokea mm kila alieshiriki kwa namna yoyote hata sufuria kwao zisingebaki co panya pekee ningebeba dhambi
Hahahaa haaaa
Sio kwa Uncle magu!!Hiii ndo ushahidi kua wabongo bado tupo mbali saana katika kutafakari mambo huyu jamaa hajui kabisa analo changia na madhara yake.Angalia madhara ya Rushwa ndogo ndogo kama kanga, Tshirt na sherehe kubwa ambazo kipindi hicho ziliitwa TAKRIMA na kubalikiwa na viongoz umezaa vingozi mafisadi coz wametokana na mfumo wa Rushwa hivyo wakiwa madarakani wanarudisha pesa yao kwa namna yoyote madhara yake kila Raia sasa hivi anajua kua kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake so jamii nzima HOSPITALINI,MASHULENI,BARABARANI,BANDARINI,MAHAKAMANI yaani kila sehemu kama huna ndugu bila Rushwa hufiki kokote kifupi niseme TAKRIMA ZA UCHAGUZI ZIMEZAA MFUMO FISADI.Tuje issue ya ulimboka madhara ya vitendo vya serikali kuwateka Raia wake (kama kweli make nachukulia kauli ya dk Ulimboka mwenyewe kua anamtambua vizuri afisa wa serikali aliemteka Lakini pia kule zanzibar kiongozi wa uamsho awali polisi ilikana baada ya wananchi kutishia kutembeza mapanga mitaani wakamuachia) madhara yake ni kua Hata raia wenyewe wanaiga unyama wa namna hii tena kuliko serikali yenyewe kama walivyoiga Takrima mfano halisi Vitendo vya kuwateka watu na kupotezwa kisha kukutwa wamekufa vimeongezeka lakini pia mauaji ya KITOVU CHA USALAMA MWANZA (RPC MWANZA) ni mfano tena mpaka sasa polisi hawajui nani kafanya ndo maana nikasema kua Raia wakiiiga wanapanga vizuri make akina ulimboka na Shakh wa Zanzibar iliwachukua Raia masaa tu kuwajua wliofanya unyama ule hadi mwanahalisi ikafungiwa kwahiyo serikali Lazima ilaumiwe kwa namna yoyote ile kwani Ulimboka kaitaja lakini ndie Baba wa nyumba ambae wanae wanamhisi kushiriki umafya ambao tayari na watoto wameiga kwahiyo ukiona wnaolaumu wajinga ujue ipo siku jamii nzima ikishakua ya kimafya hata ww au katika nduguzo hamtasalimia sawasawa na vita ya wenyewe kwa wenyewe inaua aliekuwemo na asie kuwemo ndege ikiachia Bomu toka angani likfika ardhini linaua nyasi,sisimizi wanyama hadi wanadamu halichagui Mungu isaidie Tz tusifike huko hapa panatosha.