#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KUHUSIANA NA MADAI YA FEDHA ZAKE PAMOJA NA STAHIKI ZINGINE KUTOKANA NA KUWA ANASHUSHWA NGAZI NA ALIYOWAHI KUYATOLEA MAELEZO HUMU JUKWAANI

Madai hayo hajawahi kulipwa hadi leo. Kwa ujumla hakuna chochote ambacho kimeshafanyika hadi leo hii kuhusiana na madai yake yote, yakiwemo ya cheo pamoja na maslahi ya fedha

Mwanzoni mwa mwezi April 2021, aliandika barua zingine tena kwa kutumia anwani sasa iliyokuwa inasemekana kuwa ni sahihi, baada ya zile za mwanzo kuwa zimerudishwa katikati ya Januari 2021
  • Safari hii hakuwapa kopi barua hizo wakuu wengine wa taasisi kwa sababu zile alizokuwa amewahi kuwapa, mwanzo zilikuwa na maelezo yaleyale isipokuwa anwani zake tu ndiyo zilizokuwa tofauti na hizi za april 2021
  • Mpaka leo hii, bado hajaweza kupata majibu ya barua hizo, na hivyo hajawahi kulipwa chochote kama stahiki zake
Barua alizoandika April 2021 ni mbili

  • Ya kwanza aliomba arekebishiwe cheo na hivyo arudishiwe cheo chake alichowahi kunyang’anywa baada ya kuwa amepandishwa daraja Julai 2012
  • Ya pili aliomba alipwe malimbikizo yake kufuatana na marekebiisho aliyoomba yafanyike kwa kutumia barua ya kwanza, yaani ile ya marekebisho ya cheo chake
Kwa kifupi tu ni kwamba mpaka muda huu hajawahi kulipwa wala kurekebishiwa chochote isipokuwa:

  • Kuanzia Mwezi wa 12, 2012 alianza kulipwa mshahara wenye ongezeko kidogo, ila wa cheo cha kidogo kuliko kile alichokuwa amelazimishwa kuwa nacho baada ya kunyang’anywa kile alichowahi kupandishwa Julai 2012
  • Kwa hiyo cheo cha mwanzo kilikuwa KIKUBWA Iila chenye mshahara MDOGO na kwa sasa inasemekana yuko kwenye cheo KIDOGO kuliko kile cha mwanzo, ila msahara wake ni MKUBWA kiasi kuzidi ule wa cheo kikubwa alichokuwa nacho awali
  • Hakuna barua yoyote aliyandikiwa na kuisaini kuhusiana na marekebisho haya mshahara huu mkubwa kiasi, ni ya kulazimishwa
  • Hajawahi kupatai Salary slip tangu mwaka 2018, huwa anaona NET PAY tu wenye aacont yake ya benki
Cheo hiki KIDOGO ila chenye mshahara mkubwa kiasi kuliko ule wa cheo KIKUBWA cha awli awali, alishauriwa hivi karibuni na MWI kukiandika kwenye HATI YA KIAPO YA MAADILI YA WATUMISHI WA UMMA, ambayo ililetwa kwake tena kwa mara nyingine na kutakiwa kuijaza tena kwa mara ya pili.

Possibly hati ya kiapo ile aliyowahi kujaza mwaka 2015 ilikuwa imepotea kwenye faili, hakuuliza sababu kwa nini alitakiwa tena kujaza hati hiyo ya kiapo

Kwa hiyo kwenye hati hii ya pili, MWI alikuwepo na alimwelekeza kuaajza cheo kidogo cha nyuma, nai cheo hicho ndiyo kikawa kina mshahara mkubwa kidogo kuzidi ule aliokuwa nao wakati akiwa na cheo kikubwa

Kwa hiyo, cheo kile alichowahi kunyang’wanywa mwaka 2012 hajawah kurudishiwa hadi leo na vile vile
  • Hajawahi kupanda cheo tena tangu wakati huo
  • Hajawahi kulipwa arrears wala malimbikizo yoyote yale ya mshahara tangu kipindi hicho cha mwaka 2012 hadi leo hii
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAURI MUHIMU KWA WAKUU WA KAZI WA MHUSIKA

Hizi hela zake zisipokuwa zimelipwa, MR X hawezi ku-behave kama binadamu wa kawaida. Ataendelea tu kufanya mambo ya ajabu. Ili aweze kurudi katika hali yake ya kawaida, mhusika anashauri maslahi yake haya yalipwe. Na kama hayapo, basi apewe jibu hilo
Kwa mfano, kwa kipindi cha hivi karibuni, MR X amekuwa akitengeneza wake na wachumba bandia wa mhusika kuanzia maeneo ya ofisini hadi Kanisani.

Awali, mhusika alidhani kuwa wanaohusika na hili walikuwa Kiongozi Mkuu tu na yule mwenzake mhubiri special, kumbe hapana. Hata MR X naye pia yumo. katika hili, tayari mhusika ameshaona kitu kikiwa kinaendelea maeneo ya ofisini ambacho kimemuhakikishia kuwa yalikuwa ni maandalizi yaliyofanywa na MR X

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAURI MUHIMU KWA WAKUU WA KAZI WA MHUSIKA

Hizi hela zake zisipokuwa zimelipwa, MR X hawezi ku-behave kama binadamu wa kawaida. Ataendelea tu kufanya mambo ya ajabu. Ili aweze kurudi katika hali yake ya kawaida, mhusika anashauri maslahi yake haya yalipwe. Na kama hayapo, basi apewe jibu hilo
Kwa mfano, kwa kipindi cha hivi karibuni, MR X amekuwa akitengeneza wake na wachumba bandia wa mhusika kuanzia maeneo ya ofisini hadi Kanisani.

Awali, mhusika alidhani kuwa wanaohusika na hili walikuwa Kiongozi Mkuu tu na yule mwenzake mhubiri special, kumbe hapana. Hata MR X naye pia yumo. katika hili, tayari mhusika ameshaona kitu kikiwa kinaendelea maeneo ya ofisini ambacho kimemuhakikishia kuwa yalikuwa ni maandalizi yaliyofanywa na MR X

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
Mkuu mbna kimya
 
UPDATE: SATURDAY 03 JULY 2021

MAZINGIRA YA KIUSALAMA YA MHUSIKA OFISINI YANAANZA KUWA NA HALI MBAYA SANA KWA SASA

TATIZO BADO LINAJIKITA KWENYE FUNGUO ALIZOKABIDHIWA HIVI KARIBUNI NA MKUU WA IDARA

  • Wameshaanza kuja watu wasiojulikana na idara na ambao mhusika mwenyewe hawajui na wala hajatambulishwa kwao
  • Mmoja wa watu hao amewahi hivi karibuni, kufika moja kwa moja ofisini kwa mhusika, na kuomba apelekwe moja kwa moja kwenye maabara ile ambayo mhuiska amekabidiwa funguo zake hivi karibuni, akihitaji kufanya kazi huko
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhuiska kukutana na mtu huyo, na wala walikuwa hafahamiani naye
Details za mtu huyu atakuja kuziitoa baadaye

Mhusika anashauri wasomaji wajaribu kuipitia tena post hii hapa:
Post #506
Kwa maelezo zaidi, atarudi tena baadayei.

KUHUSIANA NA MADAI YA MASLAHI YAKE YALIYOPELEKEA MR X KUMUITA KWENYE KIKAO CHA KUJADILI MALIPO HAYO
  • Hayajalipwa mpaka leo na yeye mpaka muda huu, haoni dalili zozote kuwa yatayalipwa
  • Kipindi cha nyuma wakati anaitwa kwenye kikao na MR X na ambacho kilitoa mwanga wa maslahi hayo kulipwa ndani ya muda mfupi sana tangu siku ya kikao hicho, ilikuwa March 2020 (mwaka jana)
USALAMA WA MHUSKA UNAANZA KUWA TETE SANA SASA HASA KATIKA KIPINDI HIKI AMBACHO WANAFUNZI WANAKARIBIA KUFUNGA NA KUONDOKA MAZINGIRA YA OFISINI

Meanwhile, katika kipindi hiki ambacho wanafunzi wanatarajia kufunga na kuondoka mazingira ya ofisini, mhusika anajaribu kuangalia uwezekano wa KUOMBA RUHUSA ILI ARUHUSIWE KUFANYIA KAZI NYUMBANI MPAKA PALE WANAFUNZI WATAKAPOKUWA WAMERUDI TENA MWEZI NOVEMBA 2021

Mhusika atarudi kwa maelezo zaidi

STAFF MATES WATATU AMBAO MHUSIKA AMEKUWA AKIKUTANA NAO MTAANI KWA MFULULIZO, MUDA MFUPI KABLA YA GARI LAKE KUSHAMBULIWA

Hawa watu alibahatika kukutana nao mtaani ila kila mmoja kwa wakati wake na kwa muda wake tofauti na mwingine
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kukutana na kila mmoja wao na katika maeneo hayo tofauti tofauti
  • Wawili alikutana nao kwenye eneo moja, lile ambalo gari lake lilipata shambulio la hivi karibuni
  • Vile vile, wawili wao aliongea nao na kusalimiana nao, mmoja alimuona akiwa kwenye gari na hakuongea naye wala kusalimiana naye
  • Mmoja wa wawili aliokutana nao kwenye eneo ambalo gari lake lilishambuliwa, ndiyo yule ambaye hakuongea naye na siku hiyo mhusika hakuwa amepaki gari maeneo yale
  • Kwa hiyo siku hiyo si ile mabyo gari lake lilishambuliwa
Gari lake lilishambuliwa siku ya mbele baada ya hiyo, akiwa ameneo yale yale na akiwa amekutana na staff mate mwingine aliyekuwa na gari yenye namba zilizoanza na namba saba (7) halafu herufi zake zikiwa ni BJV

Mhusika atarudi pia na maelezo ya nyongeza kuhusiana na Staff mates hawa watatu ambao amekuwa akikumbana nao mtaani kwa mfululizo, ila kila mmoja kwa wakati wake, kabla ya gari lake kupata shambulio hili lililotokea mwisho

Staff mate wa mwisho (wa tatu) alikutana naye mtaani siku hiyo, na wale wengine wawili, siku kabla ya hiyo, ila mmojawapo naye akikutana naye eneo hilo hilo ambalo gari lilishambuliwa, japo hawakuongea

Wawili wana uhusiano wa karibu sana na Ofisa wa nyumba ambaye wanaishi ghorofa moja na mhusika, mmoja wao akiwa pia anafanya kazi kitengo kimoja na jirani mwingine wa mhusika yule aliyewahi kushambulia gari la mhusika hivi karibuni. Wa tatu ni mtu ambaye hajawahi kumuona akiwa na uhusiano wa aina yoyote na majirani hawa wawili wa mhusika ila ni mtu anayeshughulika na mambo ya OPRAS

Mhusika ataliongelea hili swala kwa sababu ni unique kidogo kwamba hawa wtu aliwahi kuwa anaonana nao kila mmoja kwa wakati wake, kila alipokuwa anakuwa mazingira ambayo si ya nyumbani wala ya ofisini. Maelezo ya kina na yanayojitosheleza zaidi yatafuata baadaye


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Mkuu pole.. mm nmfuatiliaji kindakindaki maana kunavitu napata Sana... Kwa wale wazembe kusoma hawawez kujua madini yaliyomo ndani ya andko hli...
Ni stori halisi na zinazoweza kuja kuwasaidia watoto huko mbele ya safari wakati huo sisi tukiwa tunetembelea mikongojo
 
Kabla hajaendelea mbele na simulizi ya watu watatu wafanyakazi wenzake kwenye post hii hapa #687, anakatisha kidogo ili aendelee na simulizi nyingine kwanza halafu atarudi tena baadaye kwenye simulizi hii ya wafanyakazi wenzake hawa watatu
 
UPDATE: MONDAY 05 JULY 2021

AUGUST/ SEPTEMBER 2018
: KISA CHA MTU ASIYEFAHAMIKA NA WAFANYAKAZI WENZAKE NA MHUISKA, KUWASILI MAENEO YA OFISINI KWA MHUSIKA AKIDAI KUWA NI MZAZI WA MHUSIKA, NA HATIMAYE MTU HUYO KUPOKELEWA NA MR X NA BAADA YA KUPOKELEWA MR X KUMCHUKUA MTU TENA HUYO NA KWENYE GARI LAKE NA KUMPELEKA KANISA A, AMBAKO NDIKO ALIKOKUWA AMEELEKEA MHUISKA SIKU HIYO

KISA CHA MAMA ANAYEIITWA MARIANA REVOCATUS KAPAMA


  • Kipindi hicho mhusika alikuwa alikuwa bado yuko kwenye likizo yake ya mwaka, ila mara moja moja alikuwa ana tabia ya kupitia ofisini akiwa anelekea Kanisani kwenye Ibada
  • Siku ambazo mhuiska alikuwa anafanya hivi, ni zile za J3 na Ijumaa
  • Mtu huyu alifika ofisini kwa mhuiska siku ya Ijumaa mjira ya mchana na katikasiku ambayo asubuhi yake, mhusika alikuwa amepitia ofisini kwa muda akiwa anaelekea Kanisani
  • Kwa hiyo baada ya kutoka ofisni, siku hiyo mhusika alielekea Kanisani ambako alikuwa na kawaida ya kukaa kuanzia asubuhi mpaka saa 12:00 jioni
Baada ya mhusika kuwa ametoka ofisni na kuelekea Kanisani, mtu huyu alifika na kuanzia JENGO LA UTAWALA OFISI ZA MASJALA, akimuulizia mhusika ambapo baadaye MTU WA MASJALA (jina kapuni) naye alimwelekeza Idarani anakofanyia kazi mhusika

Mtu huyu alikuwa akijitambulisha kuwa yeye ni mzazi wa mhusika, kwa namna alivyokuwa akiwaeleza watu aliokuwa akikutana nao. Alikuwa anawaambia “ NAMTAFUTA MWANANGU ANAITWA XXXXX”

Mtu huyu kwa jina halisi anaitwa MARIANA REVOCATUS KAPAMA (MRK)

  • Si mzazi wala ndugu wa mhusika, bali jamaa wa karibu sana na wanayefahamina kwa karibu sana mhusika
  • Wawili hawa waliwahi kuishi nyumba jirani kwa kipindi cha muda mrefu sana
  • Vile vile wanaishi vijiji jiranihuko mikoani wanakotokea
  • Wakati huo mhusika alikuwa anaishi kwa jamaa yake mwingine , ambaye naye pia hakuwa ndugu yake, na ambaye alikuwa ametokea kuwa wa msaada sana kwa mhusika kwa wakati huo
  • Kwa hiyo huyu aliyekuwa anaishi na mhuiska naye pia hakuwa ndugu yake na mhusika, bali naye pia jamaa wake wa karibu sana
Hata hivyo, huyu MARIANA REVOCATUS KAPAMA (MRK) na huyu mtu ambaye alikuwa ametokea kuwa wa msaada sana kwa mhusika, wao ndiyo ndugu, na hali hiyo ndiyo iliyopelekea kukawa na ukaribu kati ya mhusika na huyu MRK

SABABU ZILIZOPELEKEA HUYU JAMAA MWINGINE KUWA WA MSAADA SANA KWA MHUSIKA

Huyu jamaa yake mwingine na mhusika, alitokea kuwa wa msaada kwa mhusIka baada ya baba mzazi wa mhusika, kuugua ghafla na hatimaye kupelekea mzazi huyo wa mhusika kufariki ndani ya kipindi cha miezi kadhaa tu mnamo mwaka 1990.

Baada ya hapo sasa ndiyo huyu jamaa mwingine wa mhusika ilibidi afanyike msaada kwa mhusika kwa sababu kipindi hicho mhusika alikuwa bado anasoma sekondari

Kwa hiyo siku MRK alipofika ofisini na kukuta mhusika maepitia tu ofisini akielekea Kanisani, MR X naye siku hiyo alikuwa ana ratiba ya kuelekea Kanisani muda huo, na kwa bahati nzuri mama huyu alibahatika kuonana na kuonhea na MR X

  • Baada ya maongezi ya wawili hao, MR X alimpa lift mtu huyu hadi Kanisani, ambako ndiko alalikokuwa ameelekea mhusika Ijumaa hiyo
  • Walipofika Kanisani, walimkuta mhusika bado yupo kwenye Ibada
  • MRK alikabidhiwa kwa Dereva wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A), ili aendelee kumsubiri mhusika mpaka pale atakapokuwa ametoka kwenye Ibada
  • Mara tu baada ya kuwa ametoka kwenye Ibada, Dereva wa KM-A alikuja na kumjulisha mhuiska kuwa kuna mgeni wake yupo mazingira ya palepale Kanisani akiwa anamsubiria
Mhusika alipelekwa hadi pale MRK alipokuwa amepewa kiti kwa mapumziko akimsubiri mhusika, kwenye kantini ya chakula, na mhusika alimtambua. Wawili awa walikuwa wameshapitisha takribani mika 10 pasipo kuwa wameonana wala kuwasiliana kwa simu, kwa sababu kila mmoja hakuwa na simu ya mwenzake

Kwa hiyo MRK alibahatika kufika “KANISA A” siku hiyo kwa msaada wa MR X

Vile vile MRK alipokuwa bado yupo idarani akimuulizia mwanawe (kabla hajachukuliwa kwenye gari na MR X ili apelekwe Kanisani), baada ya kuwa ametoka MASJALA, MRK alibahatika kuonana na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE)na kujitambulisha kwake (SMKE) kwamba yeye ni mzazi wa mhusika na kwamba alikuwepo pale idarani akiwa katika pilika pilika za kumtafuta mwanae. SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) alibahatika kukutana na MRK kwa sababu ofisi Ya mhusika na ile ya SMKE ziko jirani

Maelezo zaidi yanafuata

Muhimu: MR X huwa hana kawaida sana ya kuhudhuria Ibada za katikati ya wiki, na inapotokea amefanya hivyo, basi anakuwa ana kitu special na mara nyingi kinaweza kuwa ni cha kwake binafsi na ambacho kiko tofauti kabisa na mambo ya Ibada. Katika hali hiyo, anakuwa amehudhuria Ibada by the way, lakini lengo hasa la mahudhrio hayo linakuwa ni jingine

………………………………inaendelea
 
MAELEZO YA UTANGULIZI KUHSIANA NA UJIO WA MGENI HUYU MRK MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUIKSA

Siku aliyofika mgeni huyu MRK mazingira ya ofisini kwa mhusika, ndiyo siku ile ile ambayo mhusika alikuwa amepitia ofisini na kukuta barua aliyoandikiwa na mamlaka za juu, aiidaiwai pango la nyumba, fedha isiyopungua TZS 2,000,000/= na ambazo alitakiwa kuzilipa kupitia Benki; madai ambayo alishawahi pia kuyaongelea hapo awali kwenye baadhi ya post zake ikiwemo hii hapa #321

Mgeni huyu MRK alifika maeneo ya ofisini na kuanzia MASJLA KUU, jengo la UTAWALA, na hatimaye kuelekezwa idarani kwa mhusika. Kwa kipindi hicho cha wakati wa likizo mhusika alikuwa anakuwa na ratiba za kwenda Kanisani kila wiki siku zaJ5 na Ijumaa kwa ajili ya Ibada, na kawaida alikuwa anafika Kanisani kuanzia saa 6 na kuondoka jioni kabla ya saa moja usiku

Kwa hiyo mgeni huyu siku hiyo aliwasili mazingira ya ofisini kwa mhusika na kumkuta mhusika amepita tu ofisni akielekea Kanisani. MR X alimchukua MRK na kumfikisha hadi Kanisa A, ambapo walimkuta mhusika akiwa bado yupo kwenye Ibada, hali iliypelekea mgeni amsubirie mwenyeji wake, wakati huo akiwa amewekwa kwa muda chini ya uenyekjie wa derevea wa KM-A

KILICHOTOKEA BAADA YA IMHUISKA KUTOKA KWENYE IBADA
  • Mhusika alikutanishwa na mgeni wake na baada ya hapo, wawili hao waliachwa wakaendelea na maongezi yao
  • MRK alimweleza mhusika kuwa alikuwa anahitaji msaada kiasi, ambapo mhusika alikubali kusaidia sehemu ya hitaji lake
  • Baadaye ya maongezi hayo, wawili hawa walibadilishana namba za simu na kukubaliana kuwa watawasiliana zaidi
  • Mhuiska alipotaka kuondoka ikaonekana hata MRK naye alikuwa anaelekea njia hiyo hiyo, kwa hiyo ikabiidi mwenyeji ampe lift mgeni wake
  • Walipokuwa njiani, MRK akaeleza kuwa ana uhitaji mkubwa sana na wa haraka, hali iliyopelekea mhusika kumchukua MRK hadi maeneo ya Savei, japo kawaida MRK alitakiwa kuishia kwenye kituo cha magari Mlimani City ili kuanzia pale tena achukue magari ya kuelekea Morogoro Road
Mhusika alimchukua MRK hadi Savei dukani kwa jamaa zake, akachukua pale hela laki moja na kumkabidhi MRK na hatimaye kumrudisha kwenye kituo cha Mlimani City na kumuacha pale akaendelea a safari ya kurudi kwake

…………….inaendelea
 
MAELEZO YA UTANGULIZI KUHSIANA NA UJIO WA MGENI HUYU MRK MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUIKSA

Siku aliyofika mgeni huyu MRK mazingira ya ofisini kwa mhusika, ndiyo siku ile ile ambayo mhusika alikuwa amepitia ofisini na kukuta barua aliyoandikiwa na mamlaka za juu, aiidaiwai pango la nyumba, fedha isiyopungua TZS 2,000,000/= na ambazo alitakiwa kuzilipa kupitia Benki; madai ambayo alishawahi pia kuyaongelea hapo awali kwenye baadhi ya post zake ikiwemo hii hapa #321

Mgeni huyu MRK alifika maeneo ya ofisini na kuanzia MASJLA KUU, jengo la UTAWALA, na hatimaye kuelekezwa idarani kwa mhusika. Kwa kipindi hicho cha wakati wa likizo mhusika alikuwa anakuwa na ratiba za kwenda Kanisani kila wiki siku zaJ5 na Ijumaa kwa ajili ya Ibada, na kawaida alikuwa anafika Kanisani kuanzia saa 6 na kuondoka jioni kabla ya saa moja usiku

Kwa hiyo mgeni huyu siku hiyo aliwasili mazingira ya ofisini kwa mhusika na kumkuta mhusika amepita tu ofisni akielekea Kanisani. MR X alimchukua MRK na kumfikisha hadi Kanisa A, ambapo walimkuta mhusika akiwa bado yupo kwenye Ibada, hali iliypelekea mgeni amsubirie mwenyeji wake, wakati huo akiwa amewekwa kwa muda chini ya uenyekjie wa derevea wa KM-A

KILICHOTOKEA BAADA YA IMHUISKA KUTOKA KWENYE IBADA
  • Mhusika alikutanishwa na mgeni wake na baada ya hapo, wawili hao waliachwa wakaendelea na maongezi yao
  • MRK alimweleza mhusika kuwa alikuwa anahitaji msaada kiasi, ambapo mhusika alikubali kusaidia sehemu ya hitaji lake
  • Baadaye ya maongezi hayo, wawili hawa walibadilishana namba za simu na kukubaliana kuwa watawasiliana zaidi
  • Mhuiska alipotaka kuondoka ikaonekana hata MRK naye alikuwa anaelekea njia hiyo hiyo, kwa hiyo ikabiidi mwenyeji ampe lift mgeni wake
  • Walipokuwa njiani, MRK akaeleza kuwa ana uhitaji mkubwa sana na wa haraka, hali iliyopelekea mhusika kumchukua MRK hadi maeneo ya Savei, japo kawaida MRK alitakiwa kuishia kwenye kituo cha magari Mlimani City ili kuanzia pale tena achukue magari ya kuelekea Morogoro Road
Mhusika alimchukua MRK hadi Savei dukani kwa jamaa zake, akachukua pale hela laki moja na kumkabidhi MRK na hatimaye kumrudisha kwenye kituo cha Mlimani City na kumuacha pale akaendelea a safari ya kurudi kwake

…………….inaendelea
Asant..
Bt mbon fupi Sana leo??
 
…………….inaendelea

MHUSIKA AMSHUSHA MGENI WAKE KITUO CHA MABASI MLIMANI CITY

MRK ALIKUWA ANAELEKEA KILUVYA
, kwa hiyo alipanda magari kuelekea Mbezi mwisho.

Baada ya kuwa ameachana na mgeni huyo, mwenyeji alirudi hadi nyumbani kwake akachukua hela aliyoazima dukani na kuwarudisha waliokuwa wamemuazima muda huo huo



KILICHOPELEKEA MHUSIKA AAZIME HELA DUKANI WAKATI ALIKUWA NAYO HATA NYUMBANI KWAKE

Mambo kadhaa yalipelekea mhusika kuchukua hatua hii, baadhi yake yakiwa ni kama ifuatavcyo
  • MRK na mhusika walikuwa wamepotezana kwa muda wa takriban miaka 10 hivi na hivyo hakuwa anapendelea sana kumfikisha MRK mazingira ya nyumbani kwake kwa sababu alikuwa hajui ni mabadiliko gani yatakuwa yamempata katika muda wote ambao ulikuwa umepita katikati pasipo wawili hawa kuwasiliana
  • Wiki kadhaa nyuma kabla ya ujio wa MRK, mhusika aliwahi kupitia kwa muda nyumbani kwake akiwa amemchukua kwenye gari, jamaa yake mwingine. Siku hiyo, mhusika alishuka kwenye gari akapandisha juu ghorofani huku akimwacha jamaa huyo peke yake ndani ya gari.
  • Huyu jamaa aliyefikanyumbani kwa mhusika naye pia anafahamiana na MRK na ilionyesha kuwa huwa wanawasiliana na MRK, japo MRK alikuwa anasitasita kulisema hilo bada ya mhusika kuwa amehoji. MRK alisita katika namna ambayo ilionyesha kuwa wawili hao huwa wanawasiliana, isipokuwa tu MRK alikuwa hataki mhuisika afahamu hilo (why????)
  • Mhusika alikuwa hana amani na mambo yote mawili, lile la kumfikisha mgeni huyu nyumbani kwake na hatimaye kumkaribisha ndani, au kumwacha ndani ya gari nje wakiwa wapo mazingira ya nyumbani, na mhusika kupandisha juu ghorofani kwenda kuchukua pesa kwa ajili ya kumpatia mdaasa aliokuwa anahitaji. Mawili yote haya yalikuwa yanamwia ugumu mhuisika
Kwa upande mwingine, mgeni mwenyewe alikuwa anaonyesha dalili zote za kuwa na shauku ya kufika nyumbani kwa mhusika na ndiyo maana hata route ya safari yake kutokea Kanisa A, ilikuwa imewiana na ile ya mhusika

Kwa hiyo, kwa kipindi hicho, MRK ALIKUWA ANAISHI KILUVYA

BAADA YA SIKU KADHAA KUPITA, IKIWA NDANI YA MWAKA 2019 AU MWANZONI MWA MWAKA 2020


SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) alifika ofisini akiwa na muumini mwenzake ambaye alimtambulisha kwa mhusika kuwa huwa WANAABUDU WOTE KANISANI KILUVYA.

Hapo awali, mhusika hakuwa anajua SMKE huwa anaabudu wapi

MTU MWINGINE ALIYE NA UHUSINANO NA MRK ALIYEWAHI KUFIKA MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA

Miaka kadhaa nyuma, mtoto wa MRK (siyo wa kuzaliwa na MRK, bali ni wa ndugu yake damu damu) aliyekuwa ametoka jela muda siyo mrefu kipindi hicho, alifika ofisini kwa mhusika na katika mazingira ya kutatanisha kidogo
  • Mtoto huyu alikuja kuomba pesa
  • Mhusika hakuwa na mawasiliano na mtoto huyu wala wazazi wake
  • Hakuwa na simu, isipokuwa kibegi kidogo alichokuwa amebeba mgongoni pamoja na kofia aliyokuwa ameivaa kwa mtindo unaoitwa na vijana “MUNGU SINIONE”
  • Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kufika ofisini kwa mhusika
  • Alikuja amenyoosha moja kwa moja hadi ofisini kwa mhusika, utadhani ni mwenyeji ambaye amekuwa akifika kwenye ofisi hiyo siku zote
Siku mtoto huyu wa MRK anafika ofisini kwa mhusika, SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) alishuhudia ujio huo na alikuwa amesimama kwa nje karibu na mlango wa ofisi yake kwa mud asana, na mhusika hakumbuki ni nini kilichokuwa kimemfanya SMKE aendelee kusimama hapo mlangoni kwake kwa muda kitambo

HITIMISHO

MRK alipofika mazingira ya ofisini kwa mhuisika mnamo August/ Septemba 2018, watu wawili aliobahatika kukutana nao mgeni huyu idarani kwa mhusika ni MR X pamona na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE)

MUBARKIWE TENA NA BWANA

NEXT: watu watatu wafanyakazi wenzake na mhusika...............
 
Asant..
Bt mbon fupi Sana leo??

Ni kwa sababu ya tatizo hili hapa chini kwenye hiyo screenshot! Siwezi tena ku-access jamiiforums kwa kutumia mtandao wa kawaida unless nimetumia wa simu


1625560632749.png
 
Post hiyo hapo juu ni kwa wale walio na idea kidogo na mambo ya networking. Ujumbe unaonyesha namna ambavyo kwa sasa mhuiska anaweza kui-access website ya jamiiforums ambayo kwa sasa inapatikana kutoka kwenye mtandao wa simu.
TRACERT na PING STATISTICS zilizopo hapo juu, zinaonyesha connection ya mhusika namna ilivyo kutoka kwenye mtandao wake wa ofisini.
Hapa chini, ni TRACERT na PING STATISTICS zinazotokana na mtandao wa SMARTPHONE ya mhusika.

Statistics za chini kabisa zilizopo kwenye page moja iliyoungana na desktop, ni sawa na zile zilizopo hapo juu ambazo zimegawanyika kwenye page mbili

1625730066065.png



1625730092118.png


1625729928143.png
 
UPDATE:THURSDAY 08 JULY 2021

NAMNA ILIVYO HALI YA MAJI KWENYE GHOROROFA ANALOSIHSI MHUISKA


MAJI hayana PRESSURE ya kutosha kuweza kupanda juu kwa kutumia mpira, wiki ya sita sasa, na haiwezekani tena kwa maji hayo kuyapandisha juu kwa kutumia mpira.

Unless ni tatizo ni la kawaida la supply ya maji kwenye sehemu zote jijini, ila kama siyo (kama ni la kutengenezwa LOCALLY) basi mhusika katika hili anaweza kuwa na dhana yenye mambo kadhaa kama ifuatavyo
  • Kunaweza kukawa na operation inayotakiwa kufanyika ndani nyumbani kwake mhusika; mtu anatakiwa aingie ndani nyumbani kwa mhusika wakati mhusika yuko chini akiwa ame-concentrate na swala la kuchota maji yanayotoka kwa pressure ndogo
  • Na kamakweli ni la kutengeneza, OFISA WA NYUMBA atakuwa anahusika moja kwa moja katika hili
OFISA WA NYUMBA ndiyo amakekuwa kiini cha matatizo ya umeme na maji nyumbani kwa mhusika, tangu alipohama akitokea ghorofa jirani sana na lile la mhusika, mwaka 2012, kipindi hata kabla hajawa ofisa wa nyumba. Microwave ya mhusika ni nzima lakini haiwezi kupata umeme wa kutosha kuiendesha, alishaacha kuitumia kabisa mpka muda huu. ,

Umeme kukatika nyumba kadhaa tu kwenye ghorofa analoishi mhusika, ikiwemo nyumba yake mwenyewe kila wakati umeme unapokatika wakati maghororfa mengine ya jirani yanakuwa na umeme, ni tatizo la kawaida sana kwa block analoishi mhusika.

HITIMISHO

Haya maji yalikatika nyumbani kwa mhusika tangu Novemba 2018 na kama pengine kulibainika kitu cha hatari ambacho kilikuwa kinaeelekezwa kwa mhusika kupitia kwenye maji hayo pasipo ufahamu wake yeye:
  • Basi yeye anaona kuwa ingependeza kama angeweza kupewa taarifa rasmi kuhusiana na hatari hiyo ili na yeye aweze kuwa na tahadhari ile ya binafsi juu ya hatari hiyo
  • Kama dhana hii ya “hatari kuelekezwa kwa mhusika kwa njia ya maji” iko sahihi, basi wahusika watakuwa wanajulikana, ambao pia mhusika ana haki ya kujulishwa ni akina nani ili aweze kuwa na tahadhari nao, especially kama ni watu walio karibu naye muda mwingi
Vinginevvyo kama hakuna hatari yoyote juu ya swala la hilil la maji, basi maji hayo anaomba yarudishwe kama ambavyo alishawahi kuomba kwa njia ya maandishi, siku nyingi huko nyuma

Unless kama kila kitu kilikuwa kinasubiria tena wanafunzi wafunge chuo kwanza halafu ndiyo mambo yaanze kufanyika, maana kila wakati mambo yake mengi huwa yanakuwa handled pale tu wanafunzi wanaapokuwa wameshaondoka chuoni

Kwa hili la maji anaomba msaada ili asjie akaanza tena kutembea na madumu ya maji kwenye gari

Na kama tatizo hili ni la kutengenezwa, ofisa wa nyumba atakuwa anahusika moja kwa moja katika hili


Zaidi ni kuwa tangu akatikiwe maji Novemba 2018, hapakuwahi kuwa na tatizo la presha ndogo ya maji kwa kipindi kirefu hivi, ndiyo mara ya kwanza anakumbana na hali ya aina hii tangu aanze kukosa maji nyumbani kwake

Kwa hiyo kama tatizo ni la kutengeneza, kuna possibility kubwa ya operation kufanyika nyumbani kwake yeye akiwa yuko chini akiwa ame-concentrate na pilika pilika za kuchota maji. Kama kweli itakuwa hivyo, OFISA WA NYUMBA ANAHUSIKA KATIKA HILI PASIPO SHAKA YOYOTE

NEXT: watu watatu wafanyakazi wenzake na mhusika...............
 
Back
Top Bottom