#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NYONGEZA MUHIMU

Tatizo hili ambalo limetokea kwenye gari la mhusika, limesbabisha pia uharibifu wa betri ya gari ambayo ilikuwa haijatimiza miaka miwili tangu aanze kuitumia. Kwa hiyo amelazimika kuitoa betri hiyo na ambayo alianza kuitumia mwanzoni mwa mwezi septemba 2019 na kununua nyingine mpya

 
Hapo awali, mhusika alikuwa hajawahi kabisa kugongana mtaani na majirani zake hawa wawili
 
NYONGEZA MUHIMU

Hujuma iliyofanywa kwenye gari la mhusika wiki jana, usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi ilikuwa PLAN C. Plan hiyo ilifanyika baada ya PLANS & AND B kutokutekelezeka siku hiyo hiyo ya Ijumaa .

PLAN B ilitakiwa kutekelezwa mhusika akiwa yupo mazingira ya ofisini, na PLAN C ilikuwa itekelezwe kama angetoka mazingira ya ofisini nakuelekea sehemu sehemu, tofauti na nyumbani kwake. Details za PLANS A & B mhusika anaziwithold kwa sasa

Siku hiyo ya Ijumaa, mhusika alilazimika kuondoka ofisini mapema tofauti na ilivyo kawaida yake siku zote

UP NEXT: NAMNA MAJI YALIVYORUDI NYUMBANI KWA MHUSIKA
 
UPDATE: WEDNESDAY 28 JULY 2021

MHUSIKA APOKEA TAARIFA ZA GHAFLA SANA KUWA KUNA FUNDI AMESHALETA VIFAA NA TAYARI AMESHAANZA KUSHUGHULIKIA SWAL LA MAJI


Mhusika alipewa taarfifa hizi na mama wa nyumba jirani, ambaye mume wake ni staff mwenzake na mhusika, mama huyu yeye siyo staff

Mhusika alipewa taarifa hizi mida kama ya saa moja jioni, akiwa nje kwenye ngazi, baada ya kuwa ametoka nje akijiandaa kwenda kutupa baadhi ya vifungashio alivyokuwa amekuja navyo kutoka madukani/ mtaani
  • Siku aliyopewa taarifa hizi ni ile aliyokuwa amepitiliza hadi mtaani kwenda kufanya manunuzi ya baadhi ya bidhaa ikiwa ni pamoja na kujaza mafuta kwenye gari lake
  • KWA HIYO SIKU HIYO PIA NDIYO ILE ILE AMBAYO ALIIONA GARI YA MMOJAWAPO WA MAJIRANI ZAKE (JIRANI_1) IKIWA IMEPAKI KARIBU NA DUKA ALILOENDA KUNUNUA BIDHAA
MAELEZO YA MAMA JIRANI (TUMWITE JIRANI_3) KWA MHUSIKA KUHUSIANA NA SWALA HILI LA MAJI

Mama huyu alimsimamisha mhusika kwenye ngazi na kuanza kumweleza mambo kadhaa kuhusiana na swala la ujio wa maji. Mama huyu alianza kwa kumuuliza swali mhusika kama amepata ujumbe wowote kuhusiana na swala la maji, ila kabla mhusika hajajibu, mama akaendelea kumpa maelezo mhuiska akisema kwamba
  • Kuna fundi yupo tayari ameshakuja na ameshalaeta vifaa kwa ajili ya kazi ya kurudisha tena maji
  • Mama akaendelea kusema kuwa hata yeye pia huwa hapati maji nyumbani kwake upande mmoja wa bafuni
  • Kwa hiyo fundi ameshaanza kazi na ataunganisha maji hayo muda siyo mrefu
  • Mama akamjulisha mhusika pia kuwa anatakiwa kutoa sh 25,000/= kwa ajili ya kununua pump ya kusukuma maji hayo
  • Zaidi mama alisema kuwa ni nyumba tatu tu zinatazohusika na kuunganishwa huko, ya tatu ilikiwa ni ile ya JIRANI_2
  • Mama pia alisema kuwa OFISA WA NYUMBA hahusiki kwenye zoezi hilo na wala hakuwa na taarifa za kilichokuwa kinaendelea kuhusiana na swala la uunganishwaji wa maji hayo kwa sababu yeye alishaunganishwa moja kwa moja siku nyingi na siku zote huwa anapata maji sehemu zote mbili, bafuni na jikoni
  • Kwa hiyo OFISA WA NYUMBA yeye hakuwemo kwenye mpango huo na ndiyo maana hata hakuwa na taarifa za kilichokuwa kinaendelea
  • Ilielezwa pia kuwa JIRANI_1 (jirani ambaye mhusika alikuwa ameiona gari yake mtaani jioni ile) naye pia alikuwa hahusiki na uunganishwaji huo
Swali aliloulizwa mhusika kuwa alikuwa amepata ujumbe kuhusiana na uunganishwaji huo wa maji hakuwa amepta muda kulijibu, ila alichokuwa anakumbuka yeye mpaka ambayo ilikuwa ni JUMATANO YA TAREJHE 14/07/2021, hakuwa amepata taarifa zozote za uunganishwaji wa maji hayo kutoka kwenye ofisi yenye mamlaka husika

Kwa hiyo maka hapa, mhusika alipata shida kidogo katika kujaribu kuuchambua ujumbe huo wa haraka haraka na ghafla mno kutoka kwa mama huyu, ila alichofanya baada ya hapo ni kurudi ndani kwake na kuchukua kiasi cha TZS 25,000/= na kukipeleka nyumbani kwa mama huyu.

Wakati huo sasa mama huyu alikuwa tayari ameshaingia ndani nyumbani kwake. Mhusika aligonga mlango ukafunguliwa na binti, halafu akamkabidhi mama hela hiyo na kuondoka. Wakati huo, baba mwenye nyumba aidha alikuwa chumbani au alikuwa bado yuko mtaani

……………………….inaendelea
 
MHUSIKA APOKEA TAARIFA ZA GHAFLA SANA KUWA KUNA FUNDI AMESHALETA VIFAA NA TAYARI AMESHAANZA KUSHUGHULIKIA SWAL LA MAJI

……………………….inaendelea


Baada ya mhusika kuwa meakakabidhi fedha hiyo iliyohitajika na hatimaye kurudi ndani nyumbani kwake, vitu kadhaa alianza kuvichakata kichwani na alishinndwa kupata majibu yake. Hali hii aliisababisha yeye mwenyewe baada ya kuwa amefanya uzembe wa kusahanu kuuliza swali moja la msingi sana wakati wa maongezi yake na mama jirani, kwamba je, huyu fundi anayekuja kuunganisha haya maji ni mfanyakazi wa taasiisi yetu?. Swali hili alisahau kuliuliza na lilimgharimu kidogo katika kuwaza na kuwazua juu ya swala la maji hayo

NAMNA MCHAKATO WA KAWAIDA WA KIOFISI WA KURUDISJHIWA MAJI ULIVYO SIKU ZOTE

Mfanyakazi mwenye tatizo hulazimika kufika kwenye ofisi husika iliyo na mamlaka ya maji, na hutakiwa kujaza fomu maalumu ya kuomba huduma hiyo, Muhitaji wa huduma hutakiwa pia kujaza details zake kama vile namba ya simu pamoja na mahali nyumba anayoishi ilipo, vitu ambavyo mhusika alikuwa tayari ameshafanya siku nyingi huko nyuma

Baada ya hapo, muhitaji wa huduma husubiria kupewa taarifa rasmi ZA KIOFISI kutoka ofisi ya mamlaka husIka kuwa mafundi wa kazi aliyoomba kufanyiwa watafika nyumbani kwake kwa ajili ya kazi hiyo ili ajiandae
  • Mafundi hawa hufika mahali husika na kuanza kufanya kazi ndani ya muda wa saa za kazi tu zinzazoruhusiwa kisheria na si vinginevyo, yaani kati ya saa 2:00 asubuhi na saa 10:00 jioni
  • Mafundi hawa pia huwa wamevaa vitambulisho vya ofisini
  • Pale ambapo muhitaji huduma anaweza kuwa hawafahamu mafundi hao, ofisi yenye mamlaka husika huwa imeshamthibitishia pasipo shaka yoyote kuwa watakaofika na kufanya kazi nyumbani kwake ni mafundi wa taasisi husika na si vinginevyo
  • Mhitaji huduma naye pia anao wajibu wa kujiridhisha kuwa waliofika nyumbani kwake ni mafundi wa taasisi yake na kwamba wamevaa vitambulisho vya taasisi, huku wakiwa pia wamekuja kufanya kazi ndani ya muda wa masaa ya kazi yanayoruhusiwa kisheria na taasisi
  • Mafundi wa taasisi huwa hawahitaji muhitaji huduma kutoa fedha yoyote ile kwa ajili ya huduma aliyoomba
Mbali na hayo yote hapo juu, kwa upande mwingine, mhitaji huduma anao pia wajibu wa kuhakikisha na kujiridhisha kuwa pindi wanapokuwa wako site, MAFUNDI HAO WANAFANYA KAZI KWA UWAZI NA KWA UHURU WA KAWAIDA KABISA ANAOTAKIWA KUWA NAO MFANYAKAZI OFISINI, NA SI KWA KUJIFICHAFICHA KANA KWAMBA WANAOGOPA KUONEKANA NA MTU MWINGINE MAHALI HAPO WALIPO/ WANAPOFANYIA KAZI

Kwa kuzingatia maelezo hayo hapo juu, kwa mawazo yake yeye mhusika ukizingatia fact kwamba mafundi hawa walikuwa wanahitaji fedha kiasi cha TZS 25,000/=, ilionyesha kuwa walikuwa si wale ambao ni wa taasisi.
  • Mpaka hapa ikaonyesha kuwa mpango huu ulikuwa ni utaratibu binafsi na ambao mamlaka husika za maji ndani ya taasisi zilikuwa haziujui, hali iliuopelekea ku-support hoja ya kuwa ndiyo maana OFISA WA NYUMBA alikuwa hajui chochote juu ya mpango huo
  • Hata hivyo, kwa upande mwingine ukweli ni kuwa pamoja na kwamba OFISA WA NYUMBA alikuwa hahitaji kuunganishiwa maji, the fact kwamba kuna watu walikuwa wanakuja kutoka ofisi yenye uhuisano na mambo ya nyumba; kuja kufanya kazi mahali pale pale anapoishi yeye na kwa tatizo analolijua miaka nenda rudi, hali hii peke yake tu ilikuwa inatosha kabisa kumfanya awe angalau na “clue” ya aina fulani kuhusina na mafundi haoi
Hata hivyo, m mama jirani yeye alikuwa amedai kuwa OFISA WA NYUMBA alikuwa hajui, na mhusika alianza kuona LOGIC ya kwa nini ofisa huyu alikuwa hana taarifa. Ni kwa sababu mafundi walikuwa wanaonekana kutoka kwenye mazingira yaliyo nje ya taasisi

KWA UPANDE MWINGINE WA MASWALI YALIYOMSIBU MHUSIKA KICHWANI KWAKE SIKU HIYO…………….

  • Kama mafundi hao walikuwa wanatoka nje ya Taasisi, kwa nini huyu mtu msamaria mwema kuamua kufanya utaratibu wa kuleta mafundi hawa muda huu na si kabla?
  • Kwa nini mtu huyu hakumshirikisha mhusika kwenye mipango ya awali ikizingatiwa kuwa mhusika yeye ndiye pekee alikuwa mwathirika wa tatizo hili, na wengine walikuwa wanafanya kama marekebisho ya kujifurahisha tu?
  • Mtu huyu atakuwa amepewa authority ya kufanya hivyo au ameamua yeye mwenyewe tu?
  • Kwa nini taarifa za ghafla hivi, tena kwa maongezi ya kuvizianaviziana kwenye ngazi za kwenye korido muda wa jioni baada ya saa 12 jioni?
Maswali haya na mengine mengi yalipelekea mhusika kuwa na alert kwamba ujio wa mafundi hawa unaweza pengine ukaambatana na kitu kingine cha ziada ambacho kinaweza kuwa kimejificha nyuma yake, na hakika alikuwa yuko sahihi


TUKIO JINGINE LA FUNDI MWINGINE LENYE MFANANO NA HILI

FUNDI WA UMEME ALIYEWAHI KULAZIMISHA KUJA KUFANYA KAZI NYUMBANI KWA MHUSIKA, PASIPO MHUSIKA KUWA AMEJULISHWA NA MAMLAKA HUSIKA KUWA KUNA FUNDI ATAKUJA


Hapo kabla, kuna fundi wa umeme aliwahi kutaka kufika nyumbani kwa mhusika na kufanya kazi kwa mtindo huu wa kujificha ficha. Ilikuwa ni mwaka jana, wanafunzi walipokuwa wamefunga.
  • Umeme ulipungua nguvu ghafla nyumbani kwa mhusika, na hatimaye ilionekana kuna fundi alitumwa pasipo mhusika kupewa taarifa.
  • Na kawaida mafundi wa aina hii huwa wanategea kufanya kazi siku za IJUMAAA, na ilikuwa Ijumaa
  • Ni fundi ambaye hata aliktaa ktaja jina lake kwa mhusika. Fundi huyu alimwelekeza mhusika a-sevu mnamba yake ya simu kwa jina la “fundi umeme”
Maelezo kuhusiana na fundi huyu wa umeme ni marefu na yanahitaji muda wake peke yake. Mhusika ameshindwa kutumia MICROWAVE nyumbani kwake hadi leo. Hata huyu wa umeme naye pia alikuwa yuko linked na OFISA WA NYUMBA

KUHUSINA NA HAWA MAFUNDI BOMBA WA WIKI JUZI
  • Nao pia walikuja kufanya kazi siku ya Ijumaa
  • Walifika na kufanya kazi nje ya muda wa masaa za kazi yanayoruhusiwa kisheria
  • Mpaka baada ya saa 12:00 walikuwa bado wako site, na kazi waliyofanya ilikuwa ni ya takribani masaa mawili na si zzidi ya hapo
  • Kwa hiyo watakuwa walifika kwenye kituo cha kazi kuanzia saa 10:00 au muda mchache baada ya saa 10:00
  • Hawakuwa na vitambulisho na mhusika alikuwa hawafanhamu
Hata hivyo, contradiction ya mwaka ilijitokeza baada ya mama jirani kudai kuwa walikuwa ni mafundi wa Taasisi. Aliwajuaje kama walikuwa ni wa Taassi, mhusika hilo hakupata muda wa kumuuliza. More is to come

Mhusika akiwa anatokea kazini, aliwakuta mida ya saa 12:00 jioni wakiwa nbado wako site

…………………….inaendekea
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSINA NA SWALA LA MICROWAVE YA MHUSIKA

Hii Microwave imeshindwa kufanya kazi si kwamba ni mbovu bali ni nzima kabisa. Tatizo ni umeme. Umeme umerekebishwa katika namna ambayo imeshindwa kufanya kazi. However with time, kuna ukarabati au ujanja unjanja unaoweza kufanyika kwenye MICROWAVE hiyo. Mtu mjanja anaweza siku moja akainggia ndani kukiwa hapana mtu na kuiharibu MICROWAVE hiyo ili baadaye huko mbele ya safari, ije ionekane kuwa MICROWAVE ndiyo ilikuwa mbovu na si umeme.

OFISA WA NYUMBA ndiye alihusika pia katika hili
 
UPDATE: THURSDAY 29 JULY 2021

MHUSIKA APOKEA TAARIFA ZA GHAFLA ZA UJIO WA MAJI

………………….inaendelea


Kwenye maelezo ya jana, tuliishia kwenye yaliyojiri siku ya J5 ya tarehe 14/07/2021 ambapo mhusika alipewa taarifa za ghafula kuwa kuna fundi yupo tayari na anashughulikia swala la maji, na hivyo mhusika kuombwa atoe kiasi cha TZS 25,000/= kama gharama ya pump itakayokuwa inasukuma maji kuingia ndani kwake
  • Taarifa hizi alipewa ndani ya muda mfupi sana wakati wa maongezi yaliyofanyika kwenye ngazi za korido, mida ya kama saa moja jioni
  • Baada ya hapo, mhusika aliingia ndani na kuchukua kiasi cha fedha kilichohitajika na kukipeleka nyumbani kwa mama laliyetoa taarifa hizi
Alivyogonga na kufunguliwa mlango aliingia ndani, na kukabidhi fedha hiyo na hatimaye kuondoka, hakukaa

MAMA MWINGINE JIRANI AONDOKA NYUMBANI KWAKE NA WATOTO WAKE WAWILI JIONI HIYO

Kitu kingine cha msingi ambacho mhusika anaomba awajulishe wasomaji hapa ni kuwa siku hiyo ya J5 mara tu aliporudi kutoka kwenye manunuzi ya mahitaji yake mtaani, akiwa bdo yuko kwenye parking
  • Mama mwingine jirani naye akawa anatoka jioni hiyo akiwa ana watoto wake wawili wadogo
  • Baadaye ilikuja kujulikana kuwa alikuwa anaelekea kwa majirani kwenye block jingine la jirani
  • Muda ulikuwa ni baada ya saa 12:30 jioni
  • Baada ya mama huyu kuwa ameondoka nyumbani muda huo, nyumbani kwake kukawa kumebaki na binti yake mkubwa tu ambaye naye MUDA HUO HUO ALITOKA NJE, AKASHUKA CHINI NA KUANZA KUFUA NGUO
  • KWA HIYO KWA MUDA HUO, NDANI NYUMBANI KWAO HAWA WATU KUKAWA HAKUNA MTU HATA MMOJA KWA SABABU BABA MWENYE NYUMBA NAYE PIA ALIKUWA HAJARUDI KUTOKA KAZINI
Huyu ndiye jirani aliyetajwa kuwa ni wa tatu katika wale ambao fundi alikuwa anakuja kuwaunganisha na maji, wawili wakiwa ni mhusika pamoja na mama aliyekuwa anampa mhusika taarifa hizi ngeni

Kwa ujumla, hawa ndiyo “MAJIRANI_3” ambao taarifa za mmoja wao zimekuwa zikiletwa kwenu kutokana na mume wake na huyu mama kuhusika na uharibifu wa gari la mhusika

Kwa hiyo wakati mhusika anapewa taarifa za uunganishwaji wa maji huu na kuelezwa kuwa wanatotakiwa kuunganishwa ni watu wa watatu, nyumbani kwa huyu muunganishwa wa tatu hapakuwa na mtu except binti ambaye naye alikuwa ametoka nje akiwa anafua nguo; muda ukiwa ni baada ya saa 12:30 jioni

Hiyo ilikuwa J5. Kesho yake ikawa Alhamis na ikapita, halafu ikafuata IJUMAA.

YALE YALIYOJIRI SIKU YA IJUMAA BAADA YA MHUSIKA KURUDI KUTOKA KAZINI


Mhusika alirudi kutoka ofisini kama kawaida yake kwenye mida ya saa 12:00 jioni na kukuta kuna watu wanashughulika chini upande wa kulia wa block, na upande mwingine wa kushoto kulikuwa na watu wengine tena watatu walioonekana kuwa ni wageni; walikuwa wamekaa kwenye viti
  • Katika kipindi chake cha zaidi ya miaka 17 mhusika aliyowahi kukaa kwenye ghororfa hilo, siku hyo ilikuwa ni MARA YAKE YA PILI kuona wageni wakiwa wamewekewa viti na kukaa sehemu hiyo, waliyokuwa wamekaa wageni hawa
  • MARA YA KWANZA ilikuwa takribani miaka mitatu au mine iliyopita, na walikuwa wageni wa mtu ambaye kwa kipindi hiki hayupo tena kwenye block hilo, alihama zaidi ya miaka miwili iliyopita
Mbali na kuwa ilikuwa mara yake ya pili kuona wageni wakiwa wamekaa sehemu ile, ilikuwa vile vile mara yake ya kwanza kuwaona wageni hao kwenye block hilo. Kabla ya siku hiyo, mhusika hakuwa amebahatika kuwaona wageni hao

Baada ya kuwa ameshuka kwenye gari, mhusika aliwasalimia wageni halafu akaanza kupandisha ngazi kwenda juu. Mafundi hakuwasalimia na wala hakuwasemesha kitu kwa sababu wao walikuwa wamezibwa kidogo na ngazi za kupandisha kwenda juu

Alipofika mlangoni kwake akiwa anaingiza funguo za mlango kwenye kitasa, fundi mmoja akapandihs juu haraka haraka akimfuata na kumweleza kuwa anataka aingine ndani kwake aone kama maji yanatoka
  • Wakati huo huo, mama jirani aliyetoa taarifa za ujio wa mafundi hawa,, akawa naye metoka nje akasimama mlangoni kwake huku akimweleza mhusika kuwa “mafundi ndiyo hawa wamekuja, angalia kama maji yanatoka halafu unijulishe
  • Mhusika akamuuliza mama huyu kuwa “hawa mafundi ni wa taasisi yetu?”
  • Mama jirani akajibu kuwa ‘”NDIYO” halafu akaingia ndani akafunga mlango
Mhusika alimruhusu fundi kuingia ndani ili aangalie kama maji yanatoka. Wakati mhusika na fundi wanaingia ndani mlango ukiwa bado uko wazi, hawa wageni watatu nao wakawa wameshatoka pale chini walipokuwa wamekaa, wakawa sasa muda huo wanapandisa juu, wakishuhudia mhusika na fundi wakiwa wapo ndani nyumbani kwa mhusika mlango ukiwa bado haujafungwa

Baada ya hapo, fundi alianza kukagua maji jikoni na kuona yameshaanza kutoka. Fundi akaomba aende akaangalie pia bafuni kama nako yameshaanza kutoka, mhusika akamkatalia. Huko alimwambia atacheki mwenyewe haafu atamjulisha.

Still bado kulikuwa na kitu kingine ambacho kilikuwa bado hakijaenda sawa nyumbani kwa mhusika na ambacho kilikuwa kinamlazimu fundi kuendelea kuwepo mazingira yale, na kilikuwa kinahusisha tena nyumba nyingine ya jirani, ile iliyo juu ya ile ya mhusika (THE APARTMENT DIRECTLY ABOVE)

Fundi huyu hakuwa amevaa kitambulisho cha kazi na vile vile, mpka muda huo alikuwa anafanya kazi nje ya muda wa masaa ya kazi yanayotambulika na kuruhusiwa kisheria na taasisi husika

………………….inaendelea
 
………………….inaendelea

BAADA YA MAJI KUWA YAMEANZA KUTOKA JIKONI NYUMBANI KWA MHUSIKA:

MCHAKATO HUO WA KURUDISHA MAJI ULIKUWA UMEZALISHA TATIZO JINGINE TENA NDANI NYUMBANI KWA MHUSIKA


Baada ya maji hayo kuwa yameunganishwa upya, kuna tatizo jingine (ambalo halikuwa jipya) lilikuwa limejitokeza tena kwa mara nyingine. Kuna maji yalikuwa yameanza kuvuja kutokea juu na kuingia ndani kwa mhuiika, upande wa jikoni. Hata hivyo tatizo hilo halikuwa jipya na haikuwa mara ya kwanza kwa mhusika kuona tatizo la namna hiyo
  • Katika vipindi tofauti tofauti, huwa inatokea maji ya aina hiyo kuvuja na kuingia nyumbani kwa mhusika upande wa jikoni, na hatimae tena kukata bila ya yeye kuwa amemuita fundi wa kuja kuyashughulikia
  • UHAKIKA NI KWAMBA MAJI HAYO HUWA SI YA MVUA NA WALA HUWA HAYAVUJI KUTOKA KWENYE TENKI ZA KUHIFADHIA MAJI ZILIZOKO JUU SUMMIT
  • Amachoweza kukiri mhuska kuhusiana na maji hayo ni kwamba ALISHAHSHINDWA KABISA KUJUA KUWA HUWA YANATOKA WAPI, NA KWA NINI HUWA YANAANZA KUVUJA NA HATIMAYE KUKATA TENA BILA YA FUNDI YEYOTE KUJA KUYASHUGHULIKIA
  • Maji hayo yanaweza kuvuja hata wiki nzima, halafu baadaye tena yakakata yenyewe tu ya bila kuwa yamefanyiwa marekebisho fundi yoyote yule
Kwa hiyo baada ya mafundi hawa kuwa wamefanya kazi yao Ijumaa hiyo, maji haya yalianza kuvuja na safari hii, yalikuwa yanavuja kwa pressure kubwa kidogo

Kutokana na ukweli kuwa mhusika alishashindwa kabisa kujua kuwa maji hayo huwa yanatoka wapi, na safari hii alikuwa amekuja fundi ambaye anao uwezo wa kukata kiu ya mhusika kuhusiana na kuvuja kwa maji hayo ambayo huwa yamekuwa kero kwake muda mrefu, hali hii ilipelekea aambatane na fundi huyu kwenda nyumba iliyo juu; akidhani kuwa pengine labda yaweza kuwa huwa yanatokea humo
  • Hii ilikuwa ni baada ya fundi kusema kuwa aende akaangalie kwenye nyumba iliyo juu kuona kama pengine labda yalikuwa yanavuja kutokea humo
  • Baada ya fundi kusema hivyo, mhusika naye akaona ni bora aambatane naye ili akakate kiu yake ya muda mrefu kuhusiana na maji hayo ya kushangaz ambayo yamekuwa yakimsumbua mara kwa mara
Mhusika aliambatana na fundi kuelekea kwenye nyumba iliyo juu ya ile ya kwake, huku akipitia na kugonga kwa mama aliyehitaji kupewa taarifa za maji kama yatakuwa yameanza kutoka.
  • Alifika akagonga mlango mara kadhaa, lakini hapakuwa na majibu.
  • Baada ya kukosa majibu kwa jirani, mhusika aliendelea mbele kuelekea kwenye nyumba husika, akijua kuwa bado kulikuwa na nafasi nyingine ya kupitiaa kwa mama huyo, wakati atakapokuwa anashuka kurudi kwake
Kule nyumba ya juu walifika wawili wakiwa pamoja na fundi na kwa bahati nzuri waliwakuta wenyeji wa nyumba hiyo wakiwa jikoni tayari, na hivyo wenyeji hao walifungua mlango wa kutokea nje, wa kuingilia jikoni moja moja kutokea nje
  • Walikuwa ni mabinti wawili wa mama mwenye nyumba
  • Mama mwenye nyumba mwenyewe alikuwa anaonekana kama hakuwepo na kama alikuwepo basi atakuwa alikuwa chumbani
  • Mama huyu ndiyo yule ambaye siku ya J5 mhusika alipokuwa anafanya manunuzi ya bidhaa mtaani, aliiona gari yake ikiwa imepaki karibu na duka lile ambalo mhusika alikuwa akinunua bidhaa
  • Huyu ndiye amemwita kama JIRANI_1
Baada ya uchunguzi wake, fundi huyo aligundua kuwa maji hayo yalikuwa hayatoki kwenye nyumba hiyo, isipokuwa possibly yalikuwa yanatokea somewhere juu, yaani SUMMIT.

Ikumbukwe kuwa maji haya si ya mvua na yamekuwa na tabia ya kuvuja nyumbani kwa mhusika bila kujali ni wakati wa mvua ama la. Kwa ujumla tu ni kwamba, ni maji ambayo hayatokani na mvua, MIRACULOUS SEEPING WATER

Baada ya fundi kugundua kuwa yalikuwa hayatoki kwenye nyumba hiyo, fundi huyu akajiongeza akasema aende tena akaangalie juu kabisa ya jengo, yaani SUMMIT
  • Baada ya fundi kusema hivyo, mhusika ndiyo akabaini sababu ya kwa nini maji hayo yalikuwa hayatoki juu kwenye nyumba ya jirani
  • Pale sasa ndiyo ukawa mwisho wa mhusika kuambatana na fundi huyu, na mawasiliano yao yakawa yameishia pale
  • Fundi alipandisha juu, mhusika naye akashuka chini huku akipitia tena kwa jirani aliyehitaji kutaarifiwa juu ya swala la maji kama yatakuwa yameanza kutoka nyumbani kwake mhusika.
Safari hii, mhusika aligonga mara moja lakini hapakuwa na response tena, na hivyo ilibidi aendelee tunkushuka chini kuelekea nyumbani kwake. Alipokuwa anafungua mlango wake ili aingie ndani, mama aliyekuwa anahitaji taarifa za maji ndiyo sasa naye sasa akafungua mlango wake, mhusika akiwa bado hajaingia ndani. Mhusika alipomuona mama huyu alimjulisha kuwa maji yameanza kutoka, na alimshukuru pia. Maongezi yao yakaishia hapo, mama huyu akarudi ndani kwake, na mhusika naye pia akaingia ndani kwake

Baada ya kuwa zimepita takribani dakika 15, mhusika aliamua kupandisha tena kuelekea nyumba ile ya juu ya JIRANI_1, kuona kama labda fundi alikuwa amerudi kutoka juu SUMMIT na kuishia kwenye nyumba hiyo
  • Mhusika hakumkuta fundi kwa jirani huyo, alikuwa tayari ameshaondoka
  • Fundi huyu hakuamuaga mhusika na wala hakuacha maelezo ya nini kitaendelea tena baada ya maji hayo kuanza kuvuja tena nyumbani kwa mhusika
Fundi alikuwa ameondoka bila kuaga

Wakati mhusika anapandisha juu mara ya pili, kwenda nyumba ya juu, ilikuwa inakaribia saa moja jioni
  • Mama mwenye nyumba alikuwa bado hajarudi, na kama alikuwa amerudi basi atakuwa alikuwa chumbani
  • Mhusika akaamua kumuulizia mjukuu wake na rafiki yake, mtoto mdogo wa mama huyo ambaye bado hajanza Class I , alikuwa hajamuona muda wote huo wa mizunguko hiyo
Hadi muda kumbe mtoto huyo naye alikuwa bado yuko shule, alikuwa bado hajarudi kutoka shule

Mhusika aliamua kumuulizia mjukuu wake huyu baada ya fundi kugundua kuwa maji yaliyokuwa yanavuja nyumbani kwa mhusika hayakuwa yanatoka nyumba hiyo, BALI KWINGINEKO NA POSSIBLY SUMMIT

Kwa hiyo kiitendo cha fundi kuamua kupandisha juu SUMMIT na hatimaye pia kuondoka eneo la kazi pasipo taarifa zozote, ndiyo kile kilichopelekea mhusika amuulizie mjukuu wake huyo

Hapa mhusika anaomba awe wazi kwamba siku hiyo, hakuweza kabisa kuwa na courage ya kufuatana na fundi huyu kuelekea juu SUMMIT, alikuwa na courage ya kufuatana naye nyumba ya jira tu.

COINCIDENCES MBILI MUHIMU SANA KWENYE TUKIO HILI LA MAJI

Siku ya J5 wakati mhusika anarudi kutoka mtaani kufanya manunuzi yake

  • Alimuona jirani akiwa anaondoka na watoto wake wadogo wawili akiwa anaelekea ghorofa la jirani
  • Kwa hiyo J5 hiyo, watoto hawa hawakuweza kuwepo nyumbani kwa muda, mida hiyo ya karibia saa moja jioini
Vile vile siku ya Ijumaa wakati maji yanarudishwa:
  • Mtoto wa jirani anayeishi nyumba ya juu ambako kulikuwa kunakisiwa kuwa ndiko maji yalikuwa yanatokea na kuvuja ndani nyumbani kwa mhusika, hakuwepo nyumbani mida ya karibia saa moja jioni.
  • Vile vile mama mwenye nyumba naye pia hakuwepo nyumbani kwake muda huo
Hivyo basi kama matukio haya yaliyoelezwa humu SIYO COINCIDENCES TU, basi yanazidi kutoa indicators nzuri zaidi za KWA NINI OFISA WA NYUMBA AMEIACHA NYUMBA YA JUU IKIWA TUPU BILA MKAZI YEYOTE, TAKRIBANI MIAKA MIWILI SASA

………………….inaendelea,…………. MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 30 JULY 2021

HALI YA GARI LA MHUSIKA ILIVYO KWA SASA: MABADILIKO YA GHAFULA YA AFYA YA GARI LA MHUSIKA


Kwa sasa 9kuanzia leo) gari lake mhusika linatikisika kitu kizito mbele ya bonnet anapokuwa amefikia spidi ya kuanzia km 80 kwa saa, na akiwa kwenye gia namba tano (gari ni manual).
Mwenye kujua hili ni tatizo gani atakuwa wa msaada sana
Fundi wake amejaribu kubadilisha bush za mbele lakini bado lipo, fundi yeye alidhani pengine labda ni bush.
Vinginevyo, kingine alichoshauri fundi kifanyike ni wheel balancing, (ambayo kwa sasa bado haijafanyika) lakini mtikisiko anaoupata mhusika anapokuwa anaendesha gari hilo pale tu anapokuwa amevuka spidi ya 80 km kwa saa, bado unampa mashaka kama tatizo hilo linaweza kusababishwa na wheel balancing. Kinachotikisika ni kitu kizito mbele ya gari, mtikisiko ambao siyo wa usukani bali wa itu kingine ambacho hakia uhusiana na usukani moja kwa moja
Hata hivyo atafanya pia hiyo whee balancing kulingana na ushauri wa fundi, ili aone kitatokea nini baada ya hapo

Iwapo kama humu jukwaani kuna mwenye mawazo tofauti na ya fundi wa gari la mhusika, mawazo yake ya nyoneza yanahitajika ili aweze kuyaunganisha na yale ya fundi wake

Halii hii imejitokeza kuanzia leo wakati alipokuwa analifanyia majaribio baada ya kuwa amefanya zoezi la kuondoa hewa kwenye radiator ikiwa ni pamoja na kubadilisha coolant

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU:

Wakati wanalifanyia majaribio ili kujua ni nini kinasababisha mtikisiko huo, na baada ya kuwa tayari wameshafunga bush mpya
  • Wamebaini kuwa ikitokea mtu mmoja akakaa kwenye viti vya katikati (Gari ni 8-seater) na mtu huyu akawa amekaa katikatii ya kiti hicho cha katikati, gari inaweza kufikia km hata 100 bila mtikisiko
  • Still, mtu huyo akitoka nje ya gari, kiti cha katikati kikawa kiko wazi, gari inatikisika sawaswa na maelezo yaliyotolewa hapo juu
 
UPDATE: SATURDAY 31 JULY 2021

BREAKING NEWS “SPECIAL”:


KUHUSIANA NA GARI LA MHUSIKA LENYE INJINI INAYOTIKISIKA KWA SASA


Inaonyesha kama kuna watu walishafanya kazi tayari kwenye gari hilo siku nyingi
Mafundi wa gari kule Garage hawajui chochote kinachoendelea kwa sababu kama kweli kuna chochote kimefanyika:’
  • Basi mambo hayo yatakuwa yamefanyikia wakati wa usiku mahali pale anapoishi mhusika
  • Yatakuwa yamefanyika kwenye kipindi kile ambacho umeme ulikatwa kwenye parking nje pakawa giza tupu, hadi ikapelekea mhusika kuweka taa yake mwenyewe binafsi ya kumulika pale nje
  • Taa hiyo aliiweka hapo wiki kadhaa baada ya kuwa parking imeendelea kuwa giza totoro, na wakati huo mita ya umeme wa kwenye parking ilikuwa imenyofolewa
Jirani aliyekata bamba la gari la mhusika atakuwa alikuwa anatafuta njia ya kumulazimisha mhusika kwenda garage, ili baadaye huko mbele ya safari, awasingizie mafundi. Ilikuwa ni njia ya kumchonganisha na mafundi

Kama kweli kuna chochote kile ambacho kimeshafanyika tayari, basi kitakuwa kimefanyikia nyumbani wakati parking ilipokuwa ni giza

Ni mara chache sana mhusika huwa anaendesha gari kuzidi km 80 kwa sababu siku zote huwa haendi mbali

ANAVYOONA YEYE MPAKA MUDA HUU, AIDHA WALIKUWA WAMESHAANZA KAZI YA KULEGEZA IINJINI ILI BAADAYE WAJE WACHUKUE KIRAHISI, NA AMBAYO BADO HAIJAKAMILIKA, AU TAYARI WALISHACHUKUA WAKAWEKA NYINGINE AMBAYO HAWAKUFANIKIWA KUIFUNGA VIZURI NA NDIYO MAANA IINATIKISIKA


Juzi alishangaa kidogo kumusikia Mkuu wa Idara anaulizia kwa mara ya kwanza kuhusiana na iinjinin ya gari la mhusika, lile la mwanzo wakati ni jambo limepita zaidi ya miaka kumi sasa. Why now? Could be alikuwa anam-hint kwa nia njema ili kumstua kwamba kuna kingine similar kimeshafanyika tena safari hii

Nyumba iliyoko juu summit na ambayo haina wakazi mpaka muda huu, inaweza kuwa imetumika kikamilifu katika kutekeleza mpango huu, ASSUMING KWELI MPANGO HUU TAYARI UMESHAFANYIKA

THIS TIME ILIKUWA INATAFUTWA MBINU YA KUCHONGANISHWA NA MAFUNDI WA GARAGE. NA IWAPO KAMA KWELI KUNA KITU KIMESHAFANYIKA, MAFUNDI WAKE WA GARAGE HAWAHUSIKI NA CHOCHOTE KATIKA HILI.

MAMBO YOTE NI NYUMBANI PALE ANAPOISHI MHUSIKA!

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-2: SATURDAY 31 JULY 2021

“MORE” BREAKING NEWS “SPECIAL”:

HUYU MHUSIKA INABIDI SASA APUNGUZE MANENO HUMU JUKWAANI
,

TAYARI AMESHAPIGWA TENA. SAFARI HII AMEPIGIWA PALE PALE NYUMBANI ANAPOISHI


Baada ya kuwa amebadilisha coolant jana Ijumaa, mpaka sasa radiator imeshachukua lita kama zaidi ya kumi za coolant wakati ile ya awali ilikuwa inachukua lita saba maximum

Kwa hiyo, uhakika uliopo mpaka muda huu ni kwamba tayari ameshatandikwa tena. Safari hii operation ikiwa imefanyikia pale pale nyumbani mahali anapoishi

Jana akiwa anabadilisha coolant alibaini kuwa
  • Radiator iliyopo kwenye gari kwa sasa inachukua coolant lita zaidi ya 10, wakatialiyokuwa nayo ilikuwa inachukua lita saba pekee
  • Kifuniko cha coolant kilichoko kwenye injini ni kidogo kwa size ukilinganisha na kile kilichokuwepo kwenye injini ile ya mwnzo
  • Vile vile, kwenye sehemu ile ya kukichomeka ili mtu aweze kukikaza na kuki-fit kwenye injini, kifuniko cha awali kilikuwa na meno madogo kama reli iliyosimama wima, wakati hiki cha sasa kina vitobo vidogo vilivyofanana na alama ya kutoa
Wiki hii gari ilipopata tatizo lile la pili ikabidi abadilishe betri, alilazimika kubadilisha pia rubber ambayo huwa inapitisha coolant kutoka kwenye injini kwenda kwenye generator. Rubber ile iliyokuwepomwanzo ilionekana kuota ukungu uliotokana na coolant. Mhusika nalishangaa kidogo kuona hali hiyo wakati coolant aliyokuwa anatumia ni CASTROL kutoka Victoria Service Station. Hata ile aliyoweka jana, alienda kununua VICTORIA

Kwa sasa hivi ndiyo anabaini kuwa hata yale maplastic yanayofunika propeller feni ya radiator, ni tofauti na plastic lile linalofunika air cleaner, hili la sasa lina texture na color tofauti na lile la awali, wakati lile la awli lilikuwa linafanana na la air cleaner lililopo sasa

More news is to come, MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-3: SATURDAY 31 JULY 2021

..............................inaendelea

YALIYOJIRI BAADA YA MAJI KUWA YAMERUDISHWA NYUMBANI KWA MHUSIKA


Mhusika wa taarifa hizi anaomba awahamishe kidogo wasomaji kwenye mambo mapya yanayohusiana na magari, na awarudishe tena kwenye mchakato wa hivi karibuni wa kurudishwa kwa maji nyumbani kwake

Mambo kadhaa ambayo angependa kuwakumbusha wa uzi huu. Ni kwamba:
  • Siku ya Jumatano ya tarehe 14/07/2021 baada ya kuwa ametoka ofisini, alianzia mtaani kwanza kwa ajili ya kununua bodhaa, na hatimaye baada ya manunuzi hayo alirejea nyumbani
  • Kwenye duka aliloenda kununua bidhaa, aliiona gari ya mama mmojawapo wa majirani zake, yaani JIRANI_1
Kitu ambacho alikuwa hajakisema hapo awali ni kwamba kwenye gari hii dirisha la mbele upande wa kiti cha abiria lilikuwa wazi na kulikuwa na mtu aliyekuwa amekaa ndani, kijana wa kiume ambaye mhusika hakuweza kumfahamu
  • Kijana huyo alikuwa amekaa mbele upande wa kiti cha abiria
  • Hapo kabla amhusika alikuwa hajabahatika kumuona kijana huyu mahali pengine popote pale (tatizo la mhusika na ambalo mimi huwa linanikera sana siku zote ni umbea, yaani ni mmbea hakuna mfano. Huwa inafikia mahali najiuliza: yeye huwa anataka amjue kila mtu kwa kazi gani?)
Takribani wiki mbili baadaye, yaani kwenye asubuhi ya J4 ya tarehe 27/07/2021, mhusika alibahatika kumuona tena kijana huyu kwa mara ya pili
  • Safari ilikuwa ni katika mazingira ya nyumbani, mhusika alikuwa anatoka kazini wkati huyu kijana yeye alikuwa amekaa nje ya ghorofa wanaloishi kwenye veranda ya sakafu ya chinii
  • Ni kijana mtaratibu ambaye hakuwahi kumfahamu hapo kabla, na siku hiyo ndiyo alisalimiana naye kwa mara ya kwanza
Kwa kukumbushia tu ni kwamba mgeni huyu ni wa nyumba ile ambayo hapo awali mhusika alikuwa anadhani kuwa kuna maji huwa yanavuja kutoka nyumba hiyo na kuingia ndani kwake, kumbe hapana

KUHUSIANA NA SIKU YA IJUMAA YA TAREHE 16/07/2021; SIKU AMBAYO MAJI YALIRUDISHWA NYUMBANI KWA MHUSIKA

BAADA YA MHUSIKA KUWA WAMEACAHANA NA FUNDI; MHUSIKA AKASHUKA CHINI NA FUNDI AKAPANDISHA JUU SUMMIT KWENDA KUANGALIA MAJI YALIYOKUWA YANAVUJA

…………………inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA WAMEACHANA NA FUNDI ALIYEAMBATANA NAYE KUPANDISHA JUU NYUMBA YA JIRANI_1,

…………………inaendelea


Mhusika alishuka chini na fundi akapandisha JUU SUMMIT kwenda kuangalia maji yaliyokuwa yanavuja na kuingia ndani nyumbani mwa mhusika
  • Baada ya hapo, mhusika hakuwahi tena kuwasiliana na fundi huyu na pia hajabahatika kumuona tena hadi leo
  • Maji ambayo fundi huyu aliyayaacha yakiwa yanavuja nyumbani kwa mhusika, yaliendelea kuvuja kwa zaidi ya wiki mbele
  • Baadaye yalikuja kukatika menyewe na kwa sasa hivi yanakaribia kutimiza waki nzima bila kuvuja
HITIMISHO
Kwenye J3 ya tarehe 18/07/2021, J3 ile iliyofuatia Ijumaa ambayo maji yalirudishwa, mhusika alijaribu kumpigia OFISA WA MAJI, kutaka kujua kama kwenye siku ya Ijumaa ya tarehe 16/07/2021, ni yeye alituma mafundi kwa ajili ya kushughulikia swala la maji nyumbani kwa mhusika
  • Kwa bahti mbaya, simu zake zote hazikuwa na majibu, zilikuwa zinaita
  • Mpaka muda huu, ofisa huyu na mhusika hawajaweza kuwasiliana
Still, swala la maji nyumbani kwa mhusika bado lipo kwa sababu bado hapati maji bafuni

KUHUSINA NA SWALA MANUNUZI YA BIDHAA ALIYOFANYA MHUSIKA SIKU YA J3 YA TAREHE 14/07/2021

Ikumbukwe kuwa ilikuwa ni mara yake ya pli kwa mhusika kwenda kufanya manunuzi kwenye duka hilo. Kama alivyowahi kudokeza hapo awali kwenye mojawapo ya posts zake kwenye uzi huu ukizingati kuwa mara kwa mara huwa haendi mbali; hivyo pale ambapo hutokea akawa ameenda sehemu ambayo mara kwa mara huwa hatembelei, huwa imekuwa ni kawaida sana: kwa mahasimu wake kuitumia nafasi hiyo ili kupanga mbinu za kumdhuru pindi aidha anapokuwa yupo katika mazingira ya nyumbani au ofisini.

Here the arrangement is as simple as this; kwamba kama ikitokea wakafanikisha azma yao hiyo, basi watasema kuwa huyu mtu alionekana katika mazingira ambayo ni mageni na possibly alikuwa yuko kwenye mchakato wa kutafuta silaha ya kujidhuru mwenyewe

Hapa ikumbukwe kuwa mnano mwaka 2016 (kati ya Julai na August wanafunzi wakiwa tayari wameshafunga), uliwahi kusammbazwa ujumbe kwenye whatssup uliodai kuwa mhusika aliripoti kuona bomu mazingira ya ofisini, kitu ambacho hakikuwa kweli

After all, mtu anatafuta kujidhuru na bomu tangu mwaka 2016, miaka mitano kamili imeshapita mpaka sasa na mtu huyu bado tu hajajidhuru, bado anasubiri nini?

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-4: SATURDAY 31 JULY 2021

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA HUJUMA NYINGINE TENA ILIYOFANYIKA YA KUBADILISHWA KWA ENGINE KWENYE GARI LA MHUSIKA


Engine hii itakuwa ilibadilishwa kipindi taa za kwenye parking zilipokuwa zimezimwa, kama alivyoeleza hapo awali, mwishoni mwa mwezi wa tatu au mwanzoni mwa mwezi wa nne
  • Kwenye ghorofa la jirani lililo mkabala na lile analoishi mhusika, kawaida taa zake za kwenye parking huwa zina uwezo pia wa kumulika vizuri parking ya kwenye ghorofa analoishi mhusika, hata kama za kwenye ghorofa hilo analoishi yeye haziwaki
  • Kipindi hicho, taa za kwenye ghorofa lililo mkabala nazo pia zilizima kwa muda usiopungua siku nne, na hivyo kupelekea kuwa na giza nene kati ya maghorofa haya mawili
  • Huu ndiyo muda ambao mhusika anadhani hujuma hii kubwa ilifanyika kwenye gari lake
Kawaida maghorofa yote haya mawili yana walinzi lakini kuna uwezekano walizidiwa akili
Vile vile inaonyesha KAMA mwizi wa ile engine ya gari la kwanza hayuko mbali sana na mahali pale anapoishi mhusika

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
dah ndefu kama mkojo wa gorofani
 
UPDATE:: SUNDAY 01 AUGUST 2021

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MAJI YALIYOKUWA YAMEKATIKA NA KUWA YANATOKA KWA PRESSURE NDOGO SANA


Kipindi hicho sasa ndiyo walikuwa wamejipanga kuingia ndani na kuiba documents za gari, especially kadi ya gari ile original

Hata mara ya kwanza walipoiba injini ya gari ile ya kwanza, waliingia ndani na kuiba kadi ya garii

Hata hivyo baadhi ya details za gari la kwanza bado anazo na ameshazipiga picha atazileta humu jukwaani muda siyo mrefu
  • Engine Number ya engine (ya gari lile la kwanza) iliyowahi kuibiwa mwaka 2010 ataileta humu jukwaani
  • Vile vile Engine Number ya engine ambayo imeibiwa hivi karibuni April 2021, nayo pia ataileta humu jukwaani
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-2: SUNDAY 01 AUGUST 2021
Covers zilizopo kwenye engine ya gari la mhusika kwa sasa hazina namba ile ambayo kawaida huwa inakuwa imechomelewa kwenye kava la chini la engine. Zote mbili ziko plane hazina kitu
Mhusika amejaribu pia kuwashirikisha watu wengine watano zaidi kwa kuhofia kuwa pengie yeye hajaziona kwa bahati mbaya tu, lakini nao pia hawajafanikiwa kuiona namba hiyo. Hii ilikuwa ni baada ya yeye mwenyewe kushindwa kuziona namba hizo na kudhania kuwa pengine ni sababu ya macho yake, maana sasa uzee wa miaka 70 ameshaupigia hodi
Kama baadaye zitakuja kuonekana, basi utakuwa ni muujiza mwingine wa kipekee. Hata hivyo, mhusika hataweza kuukataa muujiza huo kwa sababu ni kawaida miujiza kuwepo!
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SAHIHISHO MUHIMU
Kilichochukua coolant lita karibia 11 ni engine iliyopo sasa kwenye gari la mhusika na si radiator kama alivyosema hapo awali. Engine ile ya kwake iliuokuwepo awali kwenye gari lake, yenyewe ilikuwa inachukua coolant maximum lita 7 au 7.5
 
UPDATE:TUESDAY : 03 AUGUST 2021

NAMNA GARI LA MHUSIKA LILIVYOWEKWA WAKFU, SIKU KADHAA BAADA YA KUWA LIMEWASILI KUTOKA JAPAN KUFUATIA USHAURI WA “MAMA WA KIROHO (MAKI)”


Baada ya kuwa ameishi miaka mitatu bila gari, hatimaye mhusika alipata gari jingine ambalo ndiyo hili alilonalo mpaka muda huu
  • Baada ya kuwa amelifikisha nyumbani, alimjulisha MAKI kuwa ameshapata gari jingine
  • MAKI alimpa hongera mhusika na kumuuliza swali “vipi tayari umeshaliweka wakfu?”. Mhusika alijibu hapana na kumweleza MAKI kuwa anasubiria siku J2 wakati wa Ibada
Hapa sasa MAKI ndiyo akaingia kutoa ushauri, kwa mhusika kama ifuatavyo:
  • Kwamba pale Kanisani yupo Mzee wa Kanisa ambaye alikuwepo muda wote, kanisani wiki hiyo, yaani Mzee wa Zamu
  • Mzee aliyemtaja ni huyu ambaye mhusika aliwahi kuleta taarifa zake humu jukwaani kwamba ilitokea siku moja kwa bahati mbaya akagonga taa za gari za nyuma za gari yake aina ya Pick-up Double cabin
  • Wakati anagonga gari hilo, mhusika alikuwa katika pilika pilika za kutaka kutoka nje ya gate, lakini ilitokea akakutana na gari nyingine karibu na geti ambayo ilimlazimisha arudi ndani kwanza aipishe ili ingie
Kwa hiyo MAKI alimshauri mhusika aende Kanisani siku yoyote ndani ya wiki na atamkuta Mzee huyo wa Kanisa ili aliweke wakfu gari hilo mapema iwezekanavyo

Mhusika alichukua ushauri huo na kweli siku moja ndani ya wiki aliwasili Kanisani hapo kwa ajili ya kuweka wakfu gari hilo

WATUMISHI WA MUNGU ALIOKUTANA NAO MHUSIKA SIKU HIYO BAADA YA KUWA AMELIFIKISHA GARI LAKE KANISANI KWA AJLI YA IBADA YA KUWEKWA WAKFU

Tofauti na maelezo ya MAKI kwamba angemkuta Mzee wa Kanisa, mtumishi huyo aliyetajwa na MAKI hakuwepo mazingira ya Kanisani siku hiyo. Badala yake alipokelewa na Kiongozi X (ambaye hivi karibuni amehamia kanisa jingine)
  • Zaidi ni kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (MK-A), naye pia alikuwepo
  • Alikuwepo kiongozi mhubiri wa uzinzi
Kwa hiyo, viongozi wote ambao ni top seniors walikuwepo wote kwa mkupuo siku hiyo

Mhusika alijiona ana bahati kwamba top seniors wote walikuwepo siku hiyo ya katikati ya wiki, kitu ambacho huwa ni kawaida ila somehow very rare

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEPOKELEWA NA KIONGOZI X


Kiongozi X alimpa hongera mhusika kwa kupata gari na hapo hapo mhusika naye alimweleza Kiongozi X shida aliyokuwa nayo
  • Kiongozi X alimjulisha mhusika kuwa hata Kiongozi Mkuu naye pia alikuwepo Kanisani siku hiyo
  • Kiongozi X akaendelea kwa kumjulisha mhusika kuwa kama the most senior yupo, huyo ndiyo pekee anatakiwa kuongoza Ibada hiyo
Mhusika na Kiongozi X waliongozana mpaka kwenye Ofisi ya KM-A, mhusika akaingia ofisini na kueleza shida yake. Kiongozi X hakuingia ofisini
  • Mhusika alieleza shida yake na KM-A hakuona hiyana yoyote kwa sababu ndiyo kazi yake inayomuweka pale siku zote
  • KM-A alienda kumuita pia kiongozi mhubiri wa uzinzi ambaye naye alikuwepo ofisini kwake muda huo
  • Walikuwepo pia waumini kadhaa siku hiyo, ambao mhusika alidhani kuwa nao pia wangeshiriki kwenye Ibada hiyo kwa sababu amekuwa akiona ikifanyika hivyo hasa alipokuwa kule uhamishoni Kanisa B
Baada ya Ibada hiyo kuanza, mhusika alishangaa kidogo kuona Ibada ikifanyika huku ikiwahusisha mmiliki wa gari na viongozi hawa watatu tu, bila kukaribishwa waumini wengine waliokuwepo kanisani hapo siku hiyo

Baada ya Ibada kumalizika:
  • Kiongozi mhubiri wa uzinzi alimuomba mmiliki wa gari kama anaweza kufungua bonet la gari
  • Mmiliki wa gari hakuona hiyana, alifungua boneti hilo wakaona kila kitu, kuanzia engine hadi TURBO CHARGER.
  • Sliding SUNROOF pamoja na madirisha yote vyenyewe alikuwa ameshavifungua tayari kabla ya Ibada kuanza
Baada ya Ibada hiyo, mhusika aliondoka Kanisani hapo akijua kuwa gari lake tayari liko salama

Baada ya muda mfupi tu gari ikaanza kupata mashambulizi ya aina mbali mbali

  • Ilianza kwa kuziba mrija wa kupitisha maji yanayoanguka juu kwenye SUNROOF hasa wakati wa mvua, au wakati gari ilipokuwa likioshwa.
  • Tatizo la SUNROOF lilianza miezi kadhaa tu tangu mhusika aimiliki gari hiyo
  • Tatizo hili liliendelea kwa miaka kadhaa, hadi pale alipokuja kugundua kuwa ni la kiroho, ndiyo likakoma
  • Gas ya AC pia nayo ilikuwa inatoka, ikabidi awe anaenda kujaza mara kwa mara, angalau mara moja au mara mbili kwa mwaka.
  • Hili sasa GAS ya AC kutoka hakuweza kujua kama lilikuwa ni la kiroho au zilikuwa ni hujuma, kwa sababu lilikuwa linatokea siku za usiku wa J2 kuamkia J3, gari ikiwa imepaki nyumbani, na katika tarehe ambazo ni za mwisho wa mwezi tu
KWA KIFUPI TU NI KWAMBA, MBALI NA HAYA, YAPO MENGINE MENGI SANA YASIYOKUWA MAZURI AMBAYO YAMEKUWA YAKIENDELEA KWENYE GARI HILI LA MHUSIKA, TANGIA AANZE KULIMILIKI MNAMO JULAI 2013, HALI ILIYOPELEKEA HADI MUDA GARI HILO KUANZA KUTUMIA ENGINE NYINGINE ISIYOKUWA NA NAMBA, NA AMBAYO HALIKUJA NAYO KUTOKA JAPAN.

Siku gani injini hiyo ilianza kutumika kwenye gari hilo, remains a mystery, Ila possibly ni siku moja kati ya mwishoni mwa mwezi wa tatu na mwanzoni mwa mwezi wa nne, kabla ya siku ya Ijumaa Kuu

Mgeni yule aliyewahi kufika Kanisa A siku ya Pasaka na kumuuliza mhusika kuwa “ HAPA LEO KUNA MEZA YA BWANA”, hakuuliza swali hilo kwa bahati mbaya, alikuwa na hinti fulani katika haya yanayoendelea kwenye gari la mhusika muda huu

Anachoona mmiliki wa gari ni kuwa, wakati huo zoezi la swapping ya injini ndiyo lilikuwa tayari limeshafanyika siku kadhaa nyuma

Kama dhana yake mhusika iko shahihi kwamba lilifanyikia nyumbani anapoishi wakati wa usiku, basi litakuwa lilifanyika tarehe za mwishoni mwa mwezi wa tatu

……………………… inaendelea

UP NEXT

SWALI ………“HAPA LEO KUNA MEZA YA BWANA?”…………
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…