……………………inaendelea
B: YALIYOJIRI KABLA YA SIKU J4 WIKI HII
Aliyemvizia tena kwenye siku ya Alhamis ya wiki iliyopita ni yule mwalimu mwenzake waliyeshirikiana hivi karibuni kufundisha kozi ya SOIL MECHANICS
Hilo nalo likapita
SIKU YA JUMAMOSI ALASIRI TAREHE 06/01/2024: GHAFLA VIDEO CARD TA TV SCREEN IKAPOTEZA SIGNAL
Jumamosi hiyo mhusika akiwa yupo myumbani kwake anaangalia documentary zake kwenye TV zilizopo kwenye USB Disk, screen ya TV ikapoteza VIDEO SIGNAL na hivyo kubakiza sauti peke yake kama vile REDIO
Kuna namna ambayo
umeme ulichzeshwa VIDEO CARD ikawa haiwezi kuonyesha picha; possibly frequency za umeme unaoingia kwenye TV zilibadulshwa
Mpaka muda huu uhakika alonao mhusika ni kwamba VIDEO CARD ni nzima isipokuwa kinachopelekea isiweze kuonyesha picha, ni mchezo ulifanyika kwenye umeme
Zoezi hili lilifanyika lengo ikiwa ni kum-scare mhusika asiendelee kukaa nyumbani siku nzima; ili aweze kotoka na kutembea tembea huku na kule
Na kweli baada ya tatizo hilo kutokea, mhusika aliondoka na kwenda kununua baadhi ya mahitaji yake Mwenge
Hiyo siku nayo ikapita
SIKU YA J2 YA TAREHE 07/01/2024 KANISANI WAKATI WA IBADA YA KWANZA: J2 HIYO KM-A ALIMKATIZA MWALIMU ANAYEENDELEA NA SOMO LAKE
FACT NI KWAMBA TANGU MHUSIKA AANZISHE UTARATIBU WA KUHUDURIA IBADA YA KWANZA KWENYE J2 AMBAZO IBADA YA PILI NI YA NDOA, ILIKUWA NI MARA YA KWAZA KWA KM-A KUHUDUMU KWENYE IBADA YA KWANZA YA J2 AMBAYO IBADA YA PILI NI YA NDOA
Mbali na hayo, Ibada zote ambazo huwa zinajitokeza na kupelekea mhusika kuhudhuria
IBADA YA KWANZA, KM-A HAJAWAHI KUHUDUMU KWENYE IBADA HIZO TANGU MWAKA 2021 isipokuwa kwa Ibada ya J2 iliyopita tu
Mhusika alihudhuria Ibada ya kwanza J2 iliyopita kwa sababu Ibada ya pili ilikuwa ni ya ndoa.
Kawaida, siku zote mhusika huwa anahudhuria
Ibada ya pili isipokuwa utaratibu huu wa kuhudhuria
Ibada ya kwanza kwenye J2 zile zenye Ibada ya ndoa kwa Ibada ya pili, mhusika aliuanza tangu mwaka 2020
Hadi kufikia Jumapili ya tarehe 07/03/2021 J2 ambayo ilikuwa ni ya Harusi ya mtoto wa KM-A
- Mhusika akawa amegundua kuwa kila anapohudhuria Ibada ya kwanza, mhudumu kwenye madhabahu anakuwa ni mtu yule yule mmoja ambaye ni huyu kiongozi Juniro ambaye somo lake lilikatishwa na KM-A J2 iliyopita
- Kwa hiyo kuanzia pale, mhusika akawa anafuatilia wahudumu wa Ibada ya kwanza anapokuwa amehudhuria Ibada ya kwanza
- Pattern hii ilijitokeza bila kujali kuwa Ibada ya pili ni ya ndoa ama la isipokuwa pale inapotokea mhusika amehudhuria Ibada ya kwanza, mhudumu huwa ni yule yule mmoja
- Pattern hii iliendelea hivyo hadi ilipofika mwezi Septemba 2022 (mwaka juzi) KM-A alipokuwa amechukua likizo
KM-A akiwa yupo likizo ilijitokeza J2 moja ambayo ilikuwa ni ya ndoa, na mhudumu J2 hiyo alikuwa ni kiongozi ambaye
surname yake inaanza na herufi TA
Kwa hiyo kwa Ibada zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada ya kwanza, bila kujali kuna ndoa ama la, mhudumu amekuwa ni kiongozi yule yule mmoja, isipokuwa kwa J2 moja tu ya mwaka 2022 iliyotajwa hapo juu na ambayo KM-A hakuwepo Kanisani siku hiyo
Pattern iliyopo ni kwamba tangu March 2021,
J2 nyingine ya pili ambayo mhusika alihudhuria Ibada ya kwanza na mhudumu kuwa tofauti na yule wa J2 zingine zote,
ni J2 iliyopita ya tarehe 07/01/2023
Tangu March 2021, KM-A hajawahi kuhudumu kwenye Ibada ya kwanza kwa J2 ambazo aidha ni za
Ibada moja tu au kwenye J2 ambazo Ibada za pili ni za ndoa; hajawahi
Kutokana na ukweli huu,
Lazima kulikuwa na sababu maalumu ambayo ilipelekea KM-A kusimama madhabahuni J2 iliyopita na hivyo kukatiza somo linaloendelea na pia utaratibu wake wa kawaida ambao umekuwaepo kwa takribani miaka mitatu sasa
Tangu March 2021, J2 zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada ya kwanza.
mhudumu wake amekuwa ni kiongozi huyu Junior ambaye somo lake lilikatizwa na KM-A J2 iliyopita, ukiondoa J2 moja tu ya mwaka 2022 ambayo mhusika ameshaitaja hapo juu
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA