#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KUHUSIANA NA PLAN YA MAGARI HAYA AMBAYO YALISHAHAMISHWA KWENYE PARKING

MHUSIKA ALIIHARIBU PLAN HIYO BAADA YA KUAMUA KUTOKUCHUKUA LIKIZO MWAKA HUU WA 2023 KWA SABABU INAVYOONYESHA PLAN HIYO ILIKUWA IMEPANGWA KUWA EXECUTED KIPINDI MHUSIKA ATAKAPOKUWA YUPO LIKIZO

BAADA YA KUFELI, JIRANI MAJI MACHAFU AMBAYE NAYE ALIKUWA AMEHAMISHA GARI LAKE KWENYE PARKING, AKARUDI TENA KWENYE PARKING YAKE YA KAWAIDA, NIA IKIWA NI KUIFANYA PLAN IENDELEE KUWA FOOL PROOF KWA AJILI YA KUJA KUWA EXECUTED KWENYE SIKU ZINGINE ZA MBELE

MHUSIKA ANAOMBA SANA NYUMBA HIYO IKAGULIWE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
ULINGANIFU WA MATUKIO KATI YA WATU WAWILI JIRANI MAJI MACHAFU (JMM) NA MKUU WA MAJOR UNIT (MMU)

MMU NDIYE AMEKUWA AKISHIKILIA REKODI YA MATUKIO KWA KIPIND CHOTE LAKINI KWA SASA, REKODI HIYO AMENYANG'ANYWA NA UMM. KWA SASA JMM YUKO JUU ZAIDI KULIKO MMU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 02ND JANUARY 2024
Kwa wasomaji wote;
Heri ya mwaka mpya 2024!
Ufuatao hapa chini ni mwendelezo wa maelezo kutoka kwenye post hii hapa #1,860
UP NEXT:
  • PATTERN ILIYOPO YA KUPUNGUA NA KUONGEZEKA KWA UMEME WA PLATES ZA JIKO LA UMEME LA MHUSIKA
  • SHOTI YA KWANZA KABISA YA UMEME NYUMBANI KWA MHUSIKA TANGU MHUSIKA AANZE KUSHI KWENYE NYUMBA HIYO, ILIYOTKEA USIKU WA KUAMKIA J3 YA KRISMAS TAREHE 25/12/2023
  • PATTERN ILIYOPO YA KUKATIKA MARA KWA MARA NA KURUDI MARA KWA MARA KWA MAJI YA JIKONI NYUMBANI KWA MHUSIKA
 
UPDATE: TUESDAY, 02ND JANUARY 2024

SHOTI YA KWANZA KABISA YA UMEME NYUMBANI KWA MHUSIKA TANGU MHUSIKA AANZE KUSHI KWENYE NYUMBA HIYO, ILIYOTOKEA USIKU WA KUAMKIA J3 YA KRISMAS TAREHE 25/12/2023

CHRONOLOGY OF EVENTS

MWAKA 2021:
KUBADLISHWA INJINI MPYA YA GARI LA MHUSIKA NA KUWEKWA NYINGINE KUUKUU


Mwishoni mwa mwezi March 2021, gari la mhusika lilibadilshwa injini kwa kuondolewa iliyokuwepo ambayo ilikuwa ni mpya na kuwekewa injini kuukuu; wakati wa USIKU gari likiwa lipo kwenye parking nyumbani

  • Kitendo hicho kilifanyika baada ya taa za kwenye maghorofa mawili yaliyo jirani, kuzimwa na hivyo kupelekea eneo lote la nje kuwa giza
  • Injini hiyo ilibadilishwa gari ikiwa haipo kwenye shimo la gereji na hivyo injini kuukuu iliyofungwa baada ya kutolewa ile ya awali, haukukazwa vizuri, kitendo kilichopelekea injini hiyo kuwa inatikisika gari linapokuwa linatemebea
  • Mbali na hilo, injini iliyofungwa ina uwezo wa kuchukua COOLANT Llita 11, ilhali inijini ile iliyotoka JAPAN ikiwa na gari, ilikuwa na uwezo wa kuchukua COOLANT SI ZAIDI YA LITA 7.5
MWAKA 2021: SIKU KADHAA BAADA YA TUKIO LA KUBADILISWA INJINI GARI LIKIWA KWENYE PARKING

Mhusika aliamua kununua TAA YA KUCHOMEKA KWENYE SOCKET, na kuining’iniza taa hiyo nje kutokea ndani nyumbani kwake, nia ikiwa ni kuhakikisha angalau gari lake linamlikwa na taa wakati wa usiku

Taa hiyo imedumu tangu kipindi hicho cha mwaka 2021, HADI USIKU WA SIKU TAJWA DESEMBA 2023, MHUSIKA ALIPOAMUA KUIONDOA

Ilikuwa ni baada ya taa hiyo kuonekana kupiga shoti kitu ambacho kingepelekea NYAVU ZILIZOZUNGUSHWA KWENYE JENGO HILO KUSHIKA MOTO, NA HIVYO MITI ILIYOPO KWENYE JRNGO HILO

MWANZONI MWA MWEZI APRIL 2023
(mwaka jana): JENGO ANALOISHI MHUSIKA LILIZUNGUSHIWA NYAVU NA MITI MIKAVU, HUKU TAA ALIYOWAHI KUIWEKA MHUSIKA MWAKA 2021 KWA AJILI YA ULINZI WA GARI LAKE, IKIZINGIRWA NA NYAVU NA MITI HIYO

Tangu mwanzoni mwa mwezi April 2023 hadi leo, jengo analoishi mhusika limezungushiwa nyavu pamoja na miti

Mwanzoni ilidhaniwa kuwa miti na nyavu hizo zilikuwa ni kwa ajili ya ukarabati wa jengo, lakini baadaye ukarabati ulisitiswha huku nyavu miti hiyo vikiachwa bila kundolewa

Usiku wa J3 kuamkia J4, TAA ILIYOKUWA IMEZINGIRWA NA NYAVU HIZO NDIYO ILIKUWA IPO KWENYE PROCESS ZA KUPIGA SHOTI, KABLA MHUSIKA HAJAIWAHI NA KUIONDOA

Chances ni kwamba contol mechanisms za kiwango cha umeme ambao huwa unaingia kwenye nyumba anayoishi mhusika, ipo kwenye nyumba iliyo juu ya ile ya mhusika na hivyo SHOTI HIYO YA UMEME ILIKUWA INAKUWA MONITORED KUTOKEA KWENYE NYUMBA HIYO ILIYO JUU YA ILE YA MHUSIKA

………………………….inaendelea
 
POST ZA AWALI KUHISNA NA KUBADILISHWA INJINI YA GARI LA SASA LA MHUSIKA
Posts hizi hapa #732 , #741 #967 ziliwahi kuelezea tukio la mara ya pili la kubadilishwa injini kwa gari la mhusika na pia namna mhusika alivyowahakikishia mafundi wa gereji kuwa injini ya gari lake ilikuwa imebadilishwa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY, 07TH JANUARY 2024
KUHUSIANA NA MBARAKA ALIOWAHI MHUSIKA KUAHIDI KUSHIRIKI KANISANI AMBAO ULIAMBATANA PIA NA AHADI YA VIONGOZI WA KANISA A YA KUIWEKWA WAKFU NYUMBA MPYA YA IBADA IFIKAPO MWEZI OKTOBA 2023 (MWAKA JANA)


MHUSIKA AMESHAFUTA USHIRIKI WAKE KWENYE MBARAKA HUO KUTOKANA NA UKWELI KUWA WAKATI TANGAZO LA MBARAKA HUO LINATOLEWA, VIONGOZI WA KANISA A WALIWADANGANYA WAUMINI (UNDUE INFLUENCE) KUWA NYUMBA YA IBADA INGEWEKWA WAKFU MWEZI OKTOBA MWAKA JANA ILHALI HADI LEO HII, NYUMBA HIYO HAIJAWAHI KUWEKWA WAKFU

KWA TAARIFA HII, YULE ANAYETUNZA REKODI ZA AHADI, ANAELELEKEZWA AONDOE MARA MOJA JINA LA MHUSIKA KWENYE ORODHA YA WATU AMBAO WANATAKIWA KUENDELEA KUSHIRIKI KWENYE MBARAKA HUO

NA KWENYE SIKU ZOTE ZIJAZO, MHUSIKA ATAWEZA KUAHIDI NA KUSHIRIKI MIBARAKA YA AINA YOYOTE ILE KANISANI HAPO KWA KUPITIA MADHABAHU YA BWANA PEKE E NA SI VINGINEVYO

KAMA MADHABAHU YA BWANA ITAENDELEA KUTOKUWEPO KANISA A, BASI MHUSIKA HATAWEZA KUSHIRIKI MBARAKA WOWOTE ULE KANISANI HAPO, UWE NI MBARAKA MKUBWA AU MDOGO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 10TH JANUARY 2024
KUHUSIANA NA MIENENDO YA MNUNUZI WA GARI (MWG) TANGU YALIPOTOKEA MAPOROMOKO HUKO MANYARA


MWG AMEKUWA AKIONYESHA DALILI KAMA ANAFICHA PANIC YA AINA FULANI HIVI TANGU YALIPOTOKEA MAPOROMOKO, NA KWA SIKU YA LEO J5 AMEKUWA AKIMSHIRIKISHA OM-1 KUHAMISHIA VIFAA VYA ELECTRONICS OFISINI KWAO MHUSIKA AMBAVYO KAWAIDA HUWA HAVIKAI OFISINI HUMO

OM-1 NI YULE MFANYAKAZI MPYA AMBAYE ALIWAHI KUSAFIRI TANGU MWANZONI MWA SEPTEMBA MWAKA JANA 2023, NA BAADA YA HAPO, OM-1 AMEONEKANA TENA OFISINI KWA MARA YA KWANZA J4 YA WIKI JANA TAREHE 02 JANUARI 2024

KWA HIYO KWA SASA OM-1 YUPO TENA OFISINI NA J5 HII KWA MARA YA KWANZA AMEFANYA KAZI AKIDHIRIKIANA NA MWG

MBALI NA HAYO, KWA WIKI HII, OM-1 AMEKUWA MARA KWA MARA AKIINGIA TENA KWENYE MAABARA YA MR X AMBAMO ALIWAHI KUFANYA KAZI KIPINDI KILE CHA AWALI

NA KWA J4 YA WIKI HII, MAABARA HIYO ILITEMBELEWA NA YULE FUNDI WA SIKU ZOTE WA VIFAA VYA ELECTRONICS KUTOKA KWENYE ILE IDARA NYINGINE AMBAYO HUWA INAHUSIKA NA VIFAA VYA MATETEMEKO YA ARDHI
TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUKIO JINGINE AMBALO SMMKE ANAWEZA KUWA ALIHUSIKA PIA KWENYE SETUP YAKE
NI HILI HAPA

View: https://m.youtube.com/watch?v=W6tpcF6rdcE&t=24s&pp=ygUOQXNoaW5kd2Ega3VhcGE%3D

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

Dyslexia ni kitu ambacho hakifahamiki au kutambuliwa kwenye nchi kama Tanzania kutokana na ujinga uliotalamaki katika kila sekta.
Kuna watu maarufu kama Albert Einstein na kina Da Vinci ambao walikuwa na hili tatizo la kusoma na kuandika kwa ufasaha lakikni walifika mbali zaidi ya mategemeo.
 
SAFARI HII TATIZO LINAWEZA KUWA HALIKO OFISINI; KILICHOFANYIKA OFISINI KINAWEZA KUWA NI MAIGIZO

ALICHOKIONA YEYE HADI KUFIKIA MUDA HUU, KILICHOFANYIKA OFISINI NI MAIGIZO YALIYOKUSUDIWA KU-SCARE TU UWEPO WAKE KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI.

ALWAYS MAZINGIRA YA OFISINI YAMEKUWA NI SALAMA ZAIDI UKILINGANISHA NA YALE YA NYUMBANI

TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 11TH JANUARY 2024

TAARIFA KAMILI KUHUSIANA NA VIFAA VYA ELECTRONICS VILIVYOHAMISHIWA OFISINI KWAO MHUSIKA J5 YA TAREHE 10/01/2023


Vifaa hivyo vimeletwa kwa muda tu ofisini kwao mhusika kwa ajili ya kuchajiwa kwenye umeme

Inasemekana kuwa pale inapokuwa imetokea vimekaa muda mrefu bila kufanya kazi, huwa vinaisha charge, yaani vina-discharge automatically

Kwa hiyo ili viweze kukaa sawa muda wote, linahitajika zoezi la mara kwa mara la vifaa hivyo kuwa vinawekwa kwenye chaji, hata kama havihitaji kwenda field kwa ajili ya kufanya kazi

  • Ni mara ya kwanza mhusika anaviona vifaa hivi vikiwekwa kwenye chaji ndani ya mazingira ya chumba kingine tofauti na chumba kile ambamo huwa vinakaa siku zote
  • Assuming maelezo ya mtaalamu yako sahihi, uwezekano mkubwa ni kwamba siku zote, vifaa hivi vimekuwa vikichajiwa ndani ya chumba kile kile ambamo huwa vinakaa kwa sababu vyumba vyote vinazo socket za umeme kwa ajili ya ku-connect kifaa chochote kwenye umeme
Kwa nini safari hii vikahamishwa na kwenda kuchajiwa sehemu nyingine?

Ndiyo maana mhusika akawa na dhana kwamba pengine vilikusudiwa ku-scare mazingira ya uwepo wake ofisini

Aliyeagiza kufanyika kwa zoezi hilo ni Mnunuzi wa Gari (MWG), na aliyelitekeleza ni Office Mate-1 au OM-1

Halafu kwenye mazingira ya kule nyumbani anakoishi sijui kuna nini!!!!!!
Kwa kipindi hiki, mazingira ya ofisini ni salama zaidi ukilingaisha na ya kule nyumbani anakoishi

Ieleweke pia kuwa mhusika hajawahi kupewa barua yoyote ya kuhama au kuhamishwa kwenye nyumba hiyo.

Mara ya mwisho aliomba re-allocation ilikuwa ni mwaka 2018 na hakupata majibu ya re-allocation hiyo isipokuwa kikubwa kilichofamnyika wakati huo ni kuanza kukatwa pango la nyumba kwenye mshahara wake pasipo taaraifa zozote za awali kutolewa kwake, wakati hadi muda huu mhusika hastahili kukatwa makato ya aina hiyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 12TH JANUARY 2024
MOJAWAPO YA SIFA NZURI SANA WALIZONAZO STAFF-MATES WA IDARA ANAYOFANYA KAZI MHUSIKA


WOTE WAKO VERY COMPETENT KULINGANA NA LEVEL ZA QUALIFICATIONS ZAO, KWA MAANA KUWA HAWANA MISMATCHES KATI YA QUALIFICATIONS ZAO NA COMPETENCE LEVELS ZAO

NA KAMA MISMATCHES ZIPO, BASI NI ZILE POSITIVE MISMATCHE TU KWA MAANA KUWA BAADHI YAO WANAWEZA KUWA NA COMPETENCE LEVELS AMBAZO ZIKO ABOVE THEIR QUALIFICATIONS

ALL OF THEM HAVE VERY STRONG KNOWLEDGE IN THEIR AREAS OF EXPERTISE. ABOVE ALL, VERY HARDWORKING
 
CODE MUHIMU ILIYOKUWA NYUMA YA VIFAA VYA ELECTRONICS VILVYOHAMISHIWA OFISINI KWAO MHUSIKA J5 YA TAREHE 10/01/2024 KWA AJILI YA KUCHAJIWA KWENYE UMEME

VIFAA HIVYO VILIKUWA VINAWAKILISHA EVENT YENYE PARAMETRES ZIFUATAZO

EVENT LOCATION; OFISI ILE AMBAYO VILILETWA KWA AJILI YA KUCHAJIWA
EVENT START TIME: MUDA VILIPOANZA KUCHAJIWA
EVENT DURATION: MUDA ULIOTUMIKA KUVICHAJI
EVENT END TIME: MUDA ZOEZI LA KUVICHAJI LILIPOISHIA

ZAIDI NI KUWA ILISEMEKANA KUWA VIFAA HIVYO HUWA VINACHAJIWA MARA KWA MARA HATA KAMA HAVIHITAJIKI KWENDA FIELD, NA.HIVYO PARAMETERS ZINGINE ZITAKAZOONGEZEKA KWENYE ZOEZI LITAKALOFUATA LA KUCHAJI VIFAA HIVYO NEXT TIME VITAKAPOKUWA VIMERUDI TENA NI FREQUUENCY OF EVENT ( HOW OFTEN) NA PERIOD OF EVENT, AMBAYO HII YENYEWE NI RECIPROCAL YA FREQUENCY

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
IMPLICATION YA PEPO KURUSHWA KWENYE EVENTS; KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA NA SEHEMU ZINGINE PIA NJE YA MAZINGIRA HAYO

PEPO AKISHARUSHWA KWENYE EVENTS, VIPINDI VYOTE VYA MADARASA POPOTE PALE KATI YA WALIMU NA WANAFUNZI, VINAKUWA VIMERUSHIWA PEPO KWA SABABU SESSIONS ZOTE HIZI NI EVENTS PIA

MBALI NA HILO, SHEREHE ZOTE PIA, ZIWE ZA KIDINI AU ZA KISERIKALI
NA IBADA ZOTE PIA HASA ZILE ZA MAKANISANI

ISIJE KUWA MWG ALIKUWA ANAILENGA PIA SHEREHE YA KISERIKALI INAYOFANYIKA SIKU HII YA LEO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 13TH JANUARY 2024

KUHUSIANA NA PLAN YA VIFAA VYA ELECTRONICS OFISINI KWA MHUSIKA J5 YA WIKI HII TAREHE 10/01/2024


Vifaa hivyo vililetwa ofisini kwao mhusika ikiwa ni PLAN B, mara baada ya PLAN A kuwa ime-abort jana yake J4 ya tarehe 09/01/2024

NAMNA AMBAVYO PLAN A ILIKUWA IMEPANGILIWA

A: MATUKIO YALIYOJIRI KWENYE SIKU YA PLAN YENYEWE J4 YA TAREHE 09/01/2024


Mhusika aliingia ofisini asubuhi na kukuta umeme ukiwa umekatika

Baada ya kukaa ofisini kwa muda mfupi, hatimaye alilazimika kupandisha juu na wakati anarudi, aliiona ofisi ya Mnunuzi wa Gari (MWG) ikiwa wazi

Ndani ya ofisi hiyo alikuwemo mwenye ofisi MWG pamoja na mgeni wake Mkuu wa Idara Mstaafu 2006-2012

Wakati yupo maeneo hayo, pale kwenye korido usawa wa mlango wa ofisi ya MWG, mhusika alilakiwa na harufu ya machumgwa, na hapo hapo aliamua kuingia ofisini humo na kuchukua chungwa moja kati ya baadhi aliyokuwa nayo MWG kwenye mfuko aliokuwa ameuweka chini kwenye sakafu pembezoni mwa meza yake

  • Baada ya kuchukua chungwa, wawili hao walimjulisha mhusika kuwa hapakuwa na kisu cha kumenyea machungwa ofisini hapo
  • Mhusika alishukuru kwa chungwa na kwa taarifa hizo, na baada ya hapo aliamua kupandisha juu chumba cha chai ambamo kawaida kisu huwa hakikosekani
Huko alienda akawakuta watu kadhaa wakiwa kwenye chumba hicho, mmojawao akiwa ni Katibu Muhtasi wa MWI--KMWI

Akiwa humo, mhusika alimenya chungwa lake na baada ya kumaliza, alilikata katikati na nusu yake kumpatia kipande KMWI ambaye alikuwa yupo jirani na mahali pale mhusika alipokuwa amesimama wakati alipokuwa anamenya chungwa hilo

Sehemu aliyosimama mhusika wakati anamenya chungwa, ndiyo sehemu ile ambayo mhusika alikikuta kisu; na kwa hali hiyo kabla mhusika hajafika chumbani humo, KMWI ndiye aliyekuwa amekaa karibu zaidi na kisu hicho ukilinganisha na wengine wote waliokuwamo ndani ya chumba hicho

Baada ya mhusika kuwa amempatia KMWI nusu moja ya kipande cha chungwa, hapo hapo alijitokeza ghafla binti mwingine ambaye ofisi yake iko jirani na chumba hicho na ambaye kabla, alikuwa hayupo chumbani humo

  • Binti huyu aliingia humo ghafla akiwa anatokea ofisini kwake na walikutana na mhuska karibu na mlango. mhusika akiwa anajiandaa kutoka nje ya chumba hicho
  • Baada ya kukutana hapo, binti huyu aliiomba nusu ya kipande cha pili cha chungwa ambacho mhusika alikuwa amebaki nacho
Hapo mhusika alikuwa tayari ameshaanza kuibugia nusu hiyo na hivyo ilikuwa haiwezekani tena kumpatia binti huyo nusu hiyo

………………………….inaendelea
 
………………………….inaendelea
A: YALIYOJIRI SIKU YA J4


Baada ya hapo, mhusika alirudi tena ofisini kwake akala na kumaliza chungwa lake akiwa humo.

Hio tukio likapita

BAADA YA MASAA KADHAA KUPITA J4 HIYO

Mhusika akawa ametembelewa na mgeni ambaye hamfahamu ila alikuwa ni mwanafunzi ambaye alikuwa na swali la kuuliza

  • Wakati mgeni huyu anafika, wote OM-1 na OM-2 walikuwa wametoka nje ya ofisi
  • Vile vile wakati mhusika anarudi akiwa na chungwa, OM-1 na OM-2 walikuwa nje ya ofisi pia
Mgeni huyu naye vile vile alifika na kutoka OM-1 na OM-2 wakiwa bado hawajarudi ofisini

POSTURE YA WAWILI HAWA WAKATI WALIPOKUWA WANAFANYA NAONGEZI YAO HAPO OFISINI


Namna mgeni huyu walivyoongea na mhusika ni kwa mgeni kusimama kulia pembezoni mwa meza ya mhusika, huku mhusika akiwa amekaa kwenye kiti chake

Mhusika na mwanafunzi huyu walielekezana na baada ya hapo, mgeni aliondoka
  • Baada ya muda, OM-1 na OM-2 nao walirudi tena ofisini
  • Baada ya OM-1 na OM-2 kurudi, binti ambaye huwa anafanya kazi kwenye maabara ya MR X, naye alikuja ofisini na kuja kukaa humo kwa mda mrefu sana, akiwa amewafuata OM-1 na OM-2
Huyu binti ana takribani miaka miwili sasa tangu aanze kufanya kazi idarani hapo lakini kwa siku hiyo ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kwa yeye kufika na kukaa ofisini humo

BAADA YA BINTI KUJA NA KUKAA HUMO; MHUSIKA AKIWA ANAENDELEA NA KAZI ZAKE ALISTUKIA OM-1 NA OM-2 WAMESHATOKA TENA OFISINI NA KUMWACHA MHUSIKA AKIWA PEKE YAKE NA YULE BINTI


Muda wakati OM-1 na OM-2 wanaondoka tena ofisini na kumwacha mhusika akiwa yupo pamoja na binti, ulikuwa ni kwenye mida ya saa tisa hivi

TUKIO JINGINE LA NYUMA AMBALO OM-1 NA OM-2 WALIWAHI KULETA MGENI NA KUMTELEKEZEA OFISINI HUMO


Kuna siku nyingine tena huko nyuma OM-1 na OM-2 waliwahi kufanya mchezo huu, na wakati huo walimwacha mhusika pamoja na Staff Mwenye Vituko (SMV)

Kwa DIVETAIZI ambazo tayari mhusika alikuwa ameshazipata kutoka kwa SMV, baada ya kuona ameachwa pamoja na SMV huku siku hiyo SMV akiwa aliwafuata OM-1 na OM-2, siku hiyo mhusika aliamua kutoka ofisini humo kimya kimya akimwacha SMV peke yake

Japo muda wa kazi ulikuwa bado haujaisha mhusika alilazimika kutokurudi tena ofisini siku hiyo kwa sababu muda huo ulikuwa unaelekea kuisha.

Kwa hiyo J4 hii pia, OM-1 na OM-2 walifuatisha tukio lile la zamani la SMV, safari hii wakilitumia kwa mtu mwingine binti, na kwa matarajio kuwa mhusika angeweza kuwa scared tena kama alivyowahi kuwa scared kwenye tukio lile la awali

Kwa siku hiyo, mhusika hakuondoka ofisini na walikaa muda mrefu wakiwa na binti hadi ulipofika muda wa kuondoka ofisini
  • Baada ya muda wa kuondoka ofisini kuwa umewadia, mhusika na binti waliongozana kwenye korido, binti naye akiwa anarudi tena ofisini kwake
  • Hadi kufikia muda mhusika na binti wanafunga ofisi, OM-1 na OM-2 walikuwa bado hawajarudi ofisini
Hiyo ilikuwa ni J4 na haya ndiyo yaliyojiri siku hiyo ya J4

Baada ya siku hiyo kupita, kesho yake J5 ndiyo yakatokea sasa yale aya vifaa vya electronics. mbayo mhusika tayari ameshayaeleza kupitia posts zilizopo hapo juu

B: MATUKIO YALIYOJIRI SIKU CHACHE KABLA YA SIKU HIYO YA J4

TUKIO LA MHUSIKA KUVIZIWA NA MTU KWA MARA NYINGINE TENA AKIWA KWENYE VERANDA ALHAMIS YA TAREHE 04/01/2024


Kwa msomaji wa siku zote, guess who did this!!!

Ikumbukwe kuwa karibia watu wote ambao huwa wanamvizia mhusika akiwa kwenye korido au veranda, huwa wanapewa taarifa na watu ambao huwa wanajua kuwa mhusika kwa wakati huo yuko wapi

…………………inandelea
 
……………………inaendelea

B: YALIYOJIRI KABLA YA SIKU J4 WIKI HII


Aliyemvizia tena kwenye siku ya Alhamis ya wiki iliyopita ni yule mwalimu mwenzake waliyeshirikiana hivi karibuni kufundisha kozi ya SOIL MECHANICS

Hilo nalo likapita

SIKU YA JUMAMOSI ALASIRI TAREHE 06/01/2024: GHAFLA VIDEO CARD TA TV SCREEN IKAPOTEZA SIGNAL

Jumamosi hiyo mhusika akiwa yupo myumbani kwake anaangalia documentary zake kwenye TV zilizopo kwenye USB Disk, screen ya TV ikapoteza VIDEO SIGNAL na hivyo kubakiza sauti peke yake kama vile REDIO

Kuna namna ambayo umeme ulichzeshwa VIDEO CARD ikawa haiwezi kuonyesha picha; possibly frequency za umeme unaoingia kwenye TV zilibadulshwa

Mpaka muda huu uhakika alonao mhusika ni kwamba VIDEO CARD ni nzima isipokuwa kinachopelekea isiweze kuonyesha picha, ni mchezo ulifanyika kwenye umeme

Zoezi hili lilifanyika lengo ikiwa ni kum-scare mhusika asiendelee kukaa nyumbani siku nzima; ili aweze kotoka na kutembea tembea huku na kule

Na kweli baada ya tatizo hilo kutokea, mhusika aliondoka na kwenda kununua baadhi ya mahitaji yake Mwenge

Hiyo siku nayo ikapita

SIKU YA J2 YA TAREHE 07/01/2024 KANISANI WAKATI WA IBADA YA KWANZA: J2 HIYO KM-A ALIMKATIZA MWALIMU ANAYEENDELEA NA SOMO LAKE

FACT NI KWAMBA TANGU MHUSIKA AANZISHE UTARATIBU WA KUHUDURIA IBADA YA KWANZA KWENYE J2 AMBAZO IBADA YA PILI NI YA NDOA, ILIKUWA NI MARA YA KWAZA KWA KM-A KUHUDUMU KWENYE IBADA YA KWANZA YA J2 AMBAYO IBADA YA PILI NI YA NDOA


Mbali na hayo, Ibada zote ambazo huwa zinajitokeza na kupelekea mhusika kuhudhuria IBADA YA KWANZA, KM-A HAJAWAHI KUHUDUMU KWENYE IBADA HIZO TANGU MWAKA 2021 isipokuwa kwa Ibada ya J2 iliyopita tu

Mhusika alihudhuria Ibada ya kwanza J2 iliyopita kwa sababu Ibada ya pili ilikuwa ni ya ndoa.

Kawaida, siku zote mhusika huwa anahudhuria Ibada ya pili isipokuwa utaratibu huu wa kuhudhuria Ibada ya kwanza kwenye J2 zile zenye Ibada ya ndoa kwa Ibada ya pili, mhusika aliuanza tangu mwaka 2020

Hadi kufikia Jumapili ya tarehe 07/03/2021 J2 ambayo ilikuwa ni ya Harusi ya mtoto wa KM-A

  • Mhusika akawa amegundua kuwa kila anapohudhuria Ibada ya kwanza, mhudumu kwenye madhabahu anakuwa ni mtu yule yule mmoja ambaye ni huyu kiongozi Juniro ambaye somo lake lilikatishwa na KM-A J2 iliyopita
  • Kwa hiyo kuanzia pale, mhusika akawa anafuatilia wahudumu wa Ibada ya kwanza anapokuwa amehudhuria Ibada ya kwanza
  • Pattern hii ilijitokeza bila kujali kuwa Ibada ya pili ni ya ndoa ama la isipokuwa pale inapotokea mhusika amehudhuria Ibada ya kwanza, mhudumu huwa ni yule yule mmoja
  • Pattern hii iliendelea hivyo hadi ilipofika mwezi Septemba 2022 (mwaka juzi) KM-A alipokuwa amechukua likizo
KM-A akiwa yupo likizo ilijitokeza J2 moja ambayo ilikuwa ni ya ndoa, na mhudumu J2 hiyo alikuwa ni kiongozi ambaye surname yake inaanza na herufi TA

Kwa hiyo kwa Ibada zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada ya kwanza, bila kujali kuna ndoa ama la, mhudumu amekuwa ni kiongozi yule yule mmoja, isipokuwa kwa J2 moja tu ya mwaka 2022 iliyotajwa hapo juu na ambayo KM-A hakuwepo Kanisani siku hiyo

Pattern iliyopo ni kwamba tangu March 2021, J2 nyingine ya pili ambayo mhusika alihudhuria Ibada ya kwanza na mhudumu kuwa tofauti na yule wa J2 zingine zote, ni J2 iliyopita ya tarehe 07/01/2023

Tangu March 2021, KM-A hajawahi kuhudumu kwenye Ibada ya kwanza kwa J2 ambazo aidha ni za Ibada moja tu au kwenye J2 ambazo Ibada za pili ni za ndoa; hajawahi

Kutokana na ukweli huu, Lazima kulikuwa na sababu maalumu ambayo ilipelekea KM-A kusimama madhabahuni J2 iliyopita na hivyo kukatiza somo linaloendelea na pia utaratibu wake wa kawaida ambao umekuwaepo kwa takribani miaka mitatu sasa

Tangu March 2021, J2 zote ambazo mhusika amekuwa akihudhuria Ibada ya kwanza. mhudumu wake amekuwa ni kiongozi huyu Junior ambaye somo lake lilikatizwa na KM-A J2 iliyopita, ukiondoa J2 moja tu ya mwaka 2022 ambayo mhusika ameshaitaja hapo juu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA KM-A
KAMA ZIMEWAHI KUWEPO J2 AMBAZO IBADA ZAKE ZA PILI ZILIKUWA NI ZA NDOA NA AMBAZO MHUDUMU WAKE KWENYE IBADA ZA KWANZA ALIKUWA NI KM-A, BASI HIZO NI KATI YA J2 AMBAZO MHUSIKA HAKUWAHI KUHUDHURIA IBADA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA PATTERN YA MACHUNGWA AMBAYO WATU WAMEKUWA WAKIYALETA MAZINGIRA YA OFISINI
MARA ZOTE MACHUNGWA YAMEKUWA YAKILETWA NA KUWEKWA KWENYE CHUMBA CHA CHAI NA BAADA YA HAPO WAHITAJI WOTE KUYACHUKUA KUTOKEA KWENYE CHUMBA HICHO

TOFAUTI NA ILIVYOKUWA J4 YA WIKI HII, MWG ALIKUWA AMEYALETA NA KUYAHIFADHI OFISINI KWAKE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 15TH JANUARY 2024
KITU KINGINE KILICHOPELEKEA OM-1 AKABEBA VIFAA VYA ELECTRONICS KUTOKA CHUMBA KINGINE KUVILETA OFISINI KWAKE KWA AJILI YA KUVICHAJI NI MISHIPA YAKE YA DAMU


IKUMBUKWE KUWA KIPINDI KILE CHA AWALI, OM-1 ALIWAHI KUWEKA JITIHADA HADI AKAFANIKIWA KUPATA NAFASI YA KUPANGA MAFAILI KWA KUYAHAMISHA KUTOKA JUU YA MEZA NA KUYAWEKA JUU KWENYE SHELVES, KAZI AMBAYO KAWAIDA ILITAKIWA KUFANYWA NA WATOTO WA USAFI

SAFARI HII OM-1 AMERUDI AKIWA NA PLAN NYINGINE, HUKU KOMPYUTA YAKE KWA KARIBIA SIKU NZIMA YA LEO, IKIWA INABONYEZWA BUTTONS ZAKE NA BINTI ALIYEHAMIA OFISINI HAPO AKITOKEA KWENYE MAABARA YA MR X

BINTI HUYU NDIYE AMBAYE AMEKUWA AKIITUMIA COMPYUTA YA OM-1 KWA SIKU YA LEO.

HADI MHUSIKA ANAONDOKA OFISINI, AMEMWACHA BINTI AKIWA YUPO ANAENDELEA KUITUMIA COMPUTER HIYO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom