#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Hadithi isiyoisha ni kama ISIDINGO au DAYS OF OUR LIVES.

Corona inaishia ila hadithi inaendelea !!

Unayajuaje haya yote!!?

Unawachunguza kwenye cctv au au unawafatilia nyuma nyuma!?

Je huko uliko huna muda wa kuwa busy na mambo yako!?

Hadi kufatilia maisha ya watu na mitikasi yao!?

Je wewe ni afisa kipenyo!?
Naomba tafadhali usome tu bila kupost
 
UPDATE: SUNDAY 27TH MARCH 2022

HPOTHESIS AMBAYO HATIMAYE MHUSIKA AMEKUJA KUI-DEVELOP KUTOKANA NA MLOLONGO WA WATU AMBAO ANATENGEZEWA MAZINGIRA YA LAZIMA ILI AONEKANE KUWA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, ANA UHUSIANO NAO WA AIDHA KIMAPENZI AU KIUCHUMBA, KWENYE MAZINGIRA YA KANISANI PAMOJA NA YA OFISINI:

HYPOTHESIS::
KUNA UWEZEKANO MKUBWA KUWA KWENYE AKAUNTI YAKE YA BENKI, TAYARI KUNA HELA NYINGI ILIWAHI KUWEKWA HUMO NA AMBAYO POSSIBLY IMEKUWEMO HUMO KWA KIPINDI KIREFU NA PASIPO YEYE MWENYEWE KUWA ANAJUA KUWA KUNA HELA YA AINA HIYO.

Pamoja na hayo yote, MHUSIKA yeye HANA shida na hela ambayo siyo yake:,isipokuwa anaomba alipwe Ile tu ambayo ni haki yake na ambayo ameshaiomba OFISINI KWAKE TANGU mwanzoni mwa January 2022.
Katika HILI la madai ya fedha yake, mhusika anaomba Kama KUNA MAMLAKA ambayo inaweza kumpatia msaada, basi mamlaka hiyo anaiomba sana impatie msaada huo.

Mengi yapo na yatafuata baadaye, isipokuwa kwa kifupi tu ni KWAMBA kinachoongea sana kwa SASA ni zile taa za nyuma za gari lake ambazo aliweka baada ya kupata ajali kanisani na kutoboa zile za mwanzo. Taa hizo zinaongea sana na zinaongea kupitia kwa KIONGOZI YULE AMBAYE ALISABABISHA MHUSIKA KUTOBOA TAA HIZO, baada ya kugonga GARI NYINGINE ALIPOKUWA anarudi kinyume nyume.
Hapa ikumbukwe kuwa MHUSIKA hamwongelei KIONGOZI ambaye aligonganisha kwenye GARI lake, hapana; BALIanamwongelea KIONGOZI ambaye ALISABABISHA MHUSIKA kugonga gar NYINGINE!

NA Kama hypothesis ya mhusika iko sahihi, basi mmojawapo wa wahusika wanaoshughulika na SWALA la kumpaka matope ya AINA HII MHUSIKA, ukimwondoa MR X, ni HUYU KIONGOZI ambaye alisababisha MHUSIKA akatoboa taa za gari lake. UNLESS Kama hypothesis yake MHUSIKA haiko sahihi

Mengi yapo, YATAFUATA baadaye

MMUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
J2 YA TAREHE 27 MARCH 2022, MHUSIKA ALIKUWA ANALAZIMIKA KWENDA KUMTAFUTA BINTI MMOJA ILI WAONGEE KWANZA HALAFU NDIYO AONDOKE KANISANI KWA SABABU BINTI HUYO ALIKUWA AMEZIBA GARI LA MHUSIKA NA ALIKUWA (BINTI) HAYUPO KWENYE MAZINGIRA YA PARKING KWA MUDA WA KUTOSHA
J2 tajwa hapo juu, mhusika aliendelea kuwepo mazingira ya kwenye parking kwa muda mrefu kidogo akiwa anamsubiria binti ambaye alikuwa ame-park nyuma ya gari la mhusika na alikuwa hajulikani yuko wapi. Mhusika ilimchukua takriban dakika 25-30 tangu alipotoka nje ya kanisa, hadi kuwasha gari lake na kuondoka
Kabla hajaendelea zaidi, mhusika anapenda kuwajulisha wasomaji baadhi tu ya matukio muhimu yaliyojiri J2 hiyo kanisani hapo
BAADHI YA MATUKIO MUHIMU J2 HIYO KANISANI
Mhusika aliwasili maeneo ya Kanisani mida ya saa 4 kasoro asubuhi na alikuta Ibada ya kwanza inakaribia kumalizika. Ibada ya kwanza ilimalizika kwenye saa 4;15 na nusu saa baadaye, Ibada ya pili ilianza
  • Kama ilivyo kawaida siku zote, mhusika alifika Kanisani hapo na kupaki kwanza gari lake nje
  • Dakika kama kumi kabla ya muda wa kuanza Ibada ya pili; mhusika alitoka kwenda kuchukua gari lake na kuingia ndani
  • Wakati huo magari yote yaliyokuwa yanatkiwa kutoka ili kuwapisha wanaoingia kwa ajili ya Ibada ya pili, yote yalikuwa yameshatoka nje
  • Kabla hajalifikia gari lake, pembeni njiani alipita kusalimiana na rafiki zake, watoto wa MR X pamoja na wazazi wao, ambao walikuwa pamoja nao
Ikumbukwe kuwa wakati anatoka kwenda kuchukua gari lake, watu wote waliokuwa Ibada ya kwanza tayari walishatoka, na njia ya kuingia kwenye parking tayari ilikuwa imeshakuwa clear kiasi kwamba hapakuwa na gari lolote lile lililokuwa linaonyesha movement za kutoka nje tena. Magari yote yaliyokuwepo Kanisani, yalikuwa yametulia, kila moja kwenye parking yake
Baada ya kuachana na familia ya akina MR X ambao wao walikuwa wamehudhuria Ibada ya kwanza ila walikuwa bado hawajaondoka, alinyoosha moja kwa moja hadi kwenye gari lake. Aliwasha gari na kuanza kuelekea ndani akiwapita akina MR X ambao walikuwa bado wapo. Possibly kulikuwa na kitu cha msingi walikuwa wanashughulikia kwa sababu lapse ya muda kuanzia pale Ibada ya kwanza ilipoishia, ilikuwa inatosha kabisa kuwafanya wasiwepo tena pale bali wangekuwa tayari walishafika mazingira ya nyumbani kwao
Baada ya kuwa amefika getini na kuanza kuingia ndani, kuna gari nyingine (nadhani Harrier nyeusi), ikawa imeshachomoka kwenye parking ipo katikati ya njia, na ikiwa imeeleka uelekeo wa kutoka nje, ila ikiwa pembeni kidogo mwa njia kiasi cha kutokuzuia gari nyingine kupita
Mhusika aliipita gari hiyo pasipo shida yoyote na kwenda hadi mbele kabisa mwishoni mwa parking na kupaki gari lake huko. Hata hivyo, kulikuwa na parking zingine mbadala ambazo alizipita na hakupendelea kupaki kwazo kwa sababu zilikuwa zinahitaji manouvrability ambayo ingemchukua muda kupaki; aliona atachelewa Ibada kwa sababu tayari ilikuwa imeshaanza. Hata hivyo J2 hiyo inaoenakana kuwa ilikuwa ni mojawapo ya siku za Ibada za pekee sana ambapo magari mengi kiasi yaliendelea kuwepo Kanisani wakati wa Ibada ya pili; hali hii huwa sometimes inatokea japo mara chache; si mara zote
BAADA YA KUPAKI GARI LAKE NA HATIMAYE KUSHUKA ILI AELEKEE NDANI YA NYUMBA YA IBADA
Ghafla wakatokea watu wawili na ambao wote ni viongozi Kanisani hapo
  • Mmoja ni yule ambaye aliwahi kumuomba mhusika ampishe kwenye parking kipindi cha nyuma, baada ya mhusika kuwa amepaki gari akiwa tayari anaelekea kwenye Ibada; na katika muda ambao magari yote yaliyokuwa yanatkiwa kutoka nje, yalikuwa yametoka
  • Actually, kilichokuwa kinataka kutokea (hakikutokea) tena jana asubuhi hiyo wakati mhusika anapaki gari lake i kanisani hapo, ingekuwa tukio ambalo ni replica ya siku ambayo mtumishi huyo aliwahii kumuomba mhusika ampishe kwenye parking ili atoke
Na sababu za kwa nini replica ya tukio hilo haikutokea, mhusika atakuja kuiongelea kwa kina hapo baadaye
  • Kiongozi huyu pia ndiyo yule ambaye aliwahi kumleta mtumishi J2 moja kwa ajili ya kufundisha somo la ujasiriamali; J2 ambayo mhusika aliwahi kuitolea maelezo yake kwa kina sana humu jukwaani
  • Mwingine alikuwa ni kiongozi ambaye mara ya kwanza waliwahi ku-interact na mhusika miaka kadhaa nyuma kwenye J2 moja ambayo kulikuwa na uchaguzi wa mashemasi wa zone
  • Kiongozi huyu ndiye alikuwa msimamizi wa uchaguzi kwenye zone ya mhusika.
  • J2 hiyo, uchaguzi wa zone ya mhusika, ulipangiwa kufanyikia kwenye JENGO JIPYA kwa maana ya kwanza si kila zone ilifanyia uchaguzi wake kwenye JENGO JIPYA
Zaidi ni kuwa baada ya mhusika kutoka Kanisani J2 hiyo, alipata shambulio la koo. Hii ilikuwa ni kawaida sana kwa kipindi hicho kwa sababu JENGO JIPYA lilikuwa bado halijaanza kutumika rasmi na ilikuwa kila akipita ndani ya jingo hilo, ilikuwa lazima apigwe koo
…………………inaendelea
 
BAADA YA KUWA AMEPAKI GARI NA KUSHUKA CHINI

Ghafla Msimamizi wa Uchaguzi (tumwite MSU) alitokea; na hatimaye pia yule wa pili ambaye naye pia ni kiongozi

  • Kinachofikirisha hapa ni kuwa hadi anafika kwenye parking na kuzima gari na kushuka chini, hapakuwa na mtu aliyekuwepo mahali pale
  • Mara baada tu ya kushuka, watu watatu walitokea ghafla, viongozi wawili na mtu mmoja mwingine ambaye alisimama kwenye mlango wa gari aina ya ISUZU BIGHORN nyeupe
Wasomaji hapa inabidi wakumbuke kuwa wakati mhusika anatoka nje kwenda kuchukua gari lake ili aliingize ndani, hapakuwa na gari yoyote ile iliyokuwa inaonyesha dalili za kutoka nje; gari zote zilizokuwa ndani ya uzio wa kanisa, zote zilikuwa tayari zimeshatulia kwenye parking na njia ya ku-access parking ilikuwa clear kabisa pasipo kuwa na kitu chochote

  • Hata hivyo, baada ya mhusika kuingia ndani ya uzio, kuna gari aina ya Harrier ilijitokeza na kukaa mahali fulani kwenye njia, ila pasipo kuzuia gari zingine kupita
  • Vile vile baada ya mhusika kuwa ameipita gari hii iliyojitokeza ghafla njiani na kwenda mbele akapaki na hatimaye kushuka kwenye gari, hapakuwa na watu maeneo yale alipokuwa anapaki gari
  • Hata hivyo, ghafla walijitokeza watu watatu mahali pale
Je, yaweza kuwa gari aliyoipita mhusika wakati anaelekea kwenye parking, ilikuwa imekusudiwa kuwa-cover hawa watu watatu ili wasionekana na watu wengine eneo la parking pale alipokuwa ameenda kupaki mhusika? Kwa nini hawa watu wajitokeza ghafla mara baada tu ya mhusika kufika eneo hilo na si vinginevyo, na hata mwenye gari naye alikuwa haonekani maeneo yale?

Hili swali anajiuliza mhusika kwa sababu hawa watu walitokea ghafla sana na hapo hapo MSU akawa anamhitaji mhusika aingie kwenye gari awashe arudi kinyume nyume, ili ampishe mtu mwenye ISUZU BIGHRON kwa sababu alikuwa anataka kutoka

Na kwa utafiti wake wa miaka kadhaa ambao ameshaufanya na alio na uhakika nao pasipo shaka yoyote, ambao amekuwa akiufanya tangu alipopata tatizo la kutoboa taa za nyuma za gari lake; hapa ndipo anapoingia yule mtumishi ambaye alisababisha mhusika akatoboa taa za gari lake…….. UKIWEKA REVERSE GEAR ILI URUDI KINYUME NYUME, TAA ZA BRAKE HUWA ZINAWAKA MUDA WOTE UTAKAOKUWA UNARUDI KINYUME NYUME…. Na hizo ndizo taa ambazo mhusika aliwahi kubadilisha baada ya kutoboa zile za mwanzo!

Taa hizi hizo ndiyo zilikuwa zinasababisha BETRI YA GARI KUPIGA SHOTI, na mara ya kwanza BETRI ilinusurika kupiga shoti 1st MARCH 2020 kwenye J2 ambayo kulikuwa na harusi ya mtoto wa Kiongozi Mkuu; tukio ambalo alishawahi kulitolea maelezo ya kina hapo awali. Vile vile mhudumu wa J2 hiyo alikuwa ndiyo huyu aliyehudumu J2 ya jana tarehe 27 MARCH 2022

……….inaendelea
 
……….inaendelea

BAADA YA KUWA AMEPAKI GARI NA KUSHUKA CHINI


MSU alimtaka mhusika ampishe mwenye ISUZU BIGHORN. Mwenye gari mwenyewe alikuwa msikilizaji tu ila mandate yote ilikuwa inatooka kwa MSU.

Mhusika sasa hapa ikabidi alalamike kwa kutoa hoja kuwa mipango ya aina hii inakuwa kama ni usumbufu kwa sababu

  • Wakati anatoka kwenda kuchukua gari nje ili aiingize ndani, hapakuwa na gari yoyote iliyokuwa inatoka
  • Ametoka nje akaenda akatumia muda na familia ya MR X; baada ya hapo amechukua gari ameingia ndani; akapishana na gari moja pale karibu na geti; akaongoza njia hadi kwenye parking mwisho kabisa wa parking, akazima gari na kushuka halafu hatimaye ndiyo muda huo tena ikapatikana gari inayotaka kutoka nje
Kiongozi yule wa pili akawa ameingilia kati na kushauri kwamba hapakuwa na ulazima sana wa mwenye BIGHORN kutoka muda huo na hivyo akashauri mhusika awahi kwenye Ibada. Hata hivyo mhusika alisisitiza sana kumpisha kijana lakini KIONGOZI naye alizidi alisisitiza zaidi kuwa mhusika awahi kwenye Ibada kwa sababu wakati huo Ibada ilikuwa tayari imeshaanza

Mhusika alikubaliana na KIONGOZI na kunyoosha njia kuelekea kwenye Ibada. Pale kwenye lango kubwa la kuingilia Kanisani upande ule wa Kanisa la zamani, aliwaona viongozi wawili nadhani walikuwa wanateta kitu kwa ajili ya Ikufanikisha Ibada ya siku hiyo; na baada ya hapo nao waliingia ndani na kuelekea mbele kabisa ambako viongozi huwa wanakaa siku zote. Mmojawapo wa viongozi hawa alikuwa ni yule aliyesababisha mhusika akatoboa taa za gari lake. Kwa utafiti ambao mhusika ameshaufanya mpaka muda huu, ni kwamba kwa viongozi walio wengi wa Kanisa A; ni mara chache sana Ibada ikaanza wakiwa wapo wamesimama mbele ya madhabahu. Mara nyingi (kama siyo mara zote); huwa wanaingia Kanisani Ibada ikiwa tayari imeshaanza. Mmojawapo wa viongozi ambao huwa wanaupenda sana na wanautumia sana mtindo huu, ni huyu anayehusika na kutoboka taa za gari la mhusika

ALICHOKIONA MHUSIKA KWENYE MAONGEZI HAYO MAFUPI NA HAWA WATU WATATUALIOKUWA NAO KWENYE PARKING J2 HIYO

Huyu mtu wa gari ISUZU BIGHORN, alikuwa anataka kufanya kitu kama kilichowahi kufanywa kwenye tukio lile la mwanzo la kipindi kile ambalo liliwahi kumhusisha huyu KIONGOZI waliyekuwa naye mahali pale J2 hiyo muda huo. Mhusika alitakiwa aweke REVERSE GEAR arudi kinyume nyume, mwanzoni mwa Ibada au kabla ya kuanza Ibada

Hata hivyo, plan nyingine (PLAN B) ilikuwa ni kwamba kama asiporudi kinyume nyume muda huo, basi afanye hivyo wakati wa kutoka. Hiyo ISUZU BIGHORN kama ingekuwa imetoka kabla hajaingia ndani ya uzio wa kanisa, ingekuwa imeacha nafasi nyingine ambayo ingemuwezesha kupaki katika namna ambayo wakati wa kutoka, asingelazimika kutoka akiwa anaenda kinyume nyume kwa sababu configuration ya parking hiyo haikuwa imekaa hivyo

TUKIO JINGINE LILILOTOKEA HIVI KARIBUNI SANA LILILOMLAZIMISHA MHUSIKA ARUDISHE GARI KINYUME NYUME WAKATI WA KUINGIZA GARI NDANI YA UZIO WA KANISA

Huko nyuma, matukio ya aina hii yalishatokea mengi muno, tangu aweke hii TAA MPYA ZA GARI isipokuwa hapa anataka kuongelea la hivi karibuni kabisa lililotokea J2 tarehe 13 March 2022;

  • J2 hiyo, mhusika alipofika tu getini; magari mengine yote ya waliotakiwa kutoka yakiwa tayari yameshatoka muda mrefu; pale kabisa karibu na parking za getini; ilijitokeza ghafla gari aina ya RAV 4 NYEUPE ambayo ilichomoka kwenye parking na kuanza harakati za kutoka nje ya uzio wa kanisa
  • Kutokana na gari hiyo mhusika alilazimika kuipisha kwa kurudi nyuma kinyume nyume, akiwa bado yuko nje ya uzio wa Kanisa
  • Mhusika aliipisha gari hiyo kwa kurudi kinyume nyume; ikatoka halafu na yeye ndiyo akaingia
Baada ya kuwa ameingiza gari ndani, alifanikiwa kumanuva japo kwa shida sana, hadi akapaki kwa namna ambayo nyuma ya gari ilielekea uzio wa Kanisa, na siku hiyo ilikuwa mara ya kwanza ndani ya mwaka huu wa 2022, mhusika kupaki gari lake, TAA ZA NYUMA ZA GARI ZIKIWA ZIMEELEKEA UZIO WA KANISA

Mara ya mwisho mhusika kupaki kwa mtindo huu hakumbuki ilikuwa ni lini, ni zamani sana; mwaka jana kwenye miezi ya mbali kidogo

Kwa hiyo mara nyingi sana mhusika amekuwa akipaki katika namna ambayo TAA ZA NYUMA ZA GARLI LAKE, zinakuwa accessible na mara zote parking ya gari lake huwa inategemea configuration ya mpangilio wa magari aliyoyakuta yakiwa tayari yakiwa yamepaki humo ndani

Hata siku ya J2 hii ya tarehe 13 march 2022, haikutarajiwa kuwa angeweza kupaki kwa mtindo huo aliouelezea hapa kwa sababu ilikuwa inahitaji ku-manuva kwa kiasi kikubwa sana ili kuweza kupaki kwa namna alivyopaki siku hiyo

Kwa kifupi tu ni kwamba matukio ya aina hii yamekuwepo ya kulazimika kurudisha gari reverse au kulazimika kukanyaga brake na/ au wakati mwingine kusimama kitambo pindi anapokuwa kuingiza gari ndani, pamoja na hili la kupaki katika namna ambayo TAA ZA NYUMA ZA GARI zinakuwa accessible, yakuwepo mengi na kwa kipindi kirefu sana ila hapo awali alikuwa hajaweza kujua kuwa yana uhusiano NA TAA ZA NYUMA ZA GARI LAKE

Ikumbukwe kuwa hili swala la mhusika kulalamikia mtindo huu wa kuwa akifika getini zinajitokeza ghafla gari zinazotoka nje na hivyo yeye kulazimika kurudi kinyume nyume ili kuzipisha au kusimama akiwa amekanyaga TAA ZA BREKI, alishawahi kulilalamikia kipindi kirefu nyuma humu jukwaani na kuna siku hadi aligusia kuwa MAMA YAKE WA KIROHO naye pia ALIKUWA ni mmojawapo wa washiriki kwenye swala hili, ana alikuwa anakuwa siti ya mbele kabisa

Zaidi ni kuwa mara nyingi sana amekuwa akikuta gari la MSU, (Hardbody Nissan Pick up Double Cabin) likiwa limepaki katika namna ambayo litamlazimisha yeye mhusika kupaki katika mojawapo ya configurations hizi ambazo huwa mara nyingi amekuwa akilazimika kuzitumia. Na inapokuwa imetokea hivyo, mhusika akishapaki tu gari lake huyu mtu naye ndiyo sasa huanza sasa harakati za kutoka nje; akiwa anaelekea nyumbani

MSU yeye huwa hafanyi ule mtindo wa kumu-obstruct mhusika pindi anapokuwa anaingia ndani. Yeye mtindo wake huwa ni kubaki kwenye parking kama vile ataendelea kuwepo Ibada ya pili, halafu akishahakikisha kuwa mhusika amepaki gari lake, MSU naye ndiyo huachia parking aliyokuwa ameikalia na kuanza safari yake ya kuelekea nyumbani

YALIYOJIRI KWENYE IBADA YA J2 YA TAREHE 13 MARCH 2020, SIKU AMBAYO MHSIKA ALIPAKI GARI TAA ZA NYUMA ZIKIWA ZIMEELEKEANA NA UZIO WA KANISA

Alichokiona yeye, waimbaji wa Ibada ya kusifu na kuabudu waliopandisha madhabahuni, walikuwa wachache sana tofauti na ilyo kawaida siku zote

  • Wengi wa waimbaji wa kike walikuwepo ila hwakupandisha madhabahuni
  • Waimbaji wa kike waliopndisha madhabahuni walikuwa wawili tu
  • Tangu mhusika aanze kuabudu Kanisa A, hakumbuki siku ambayo waimbaji wa kike wa ibada hii walikuwepo kanisani ila hawakupandisha madhabahuni, na hivyo kupelekea uwepo wa waimbaji wawili tu wa aina hiyo madhabahuni
…………………….inaendelea
 
…………………….inaendelea

YALIYOJIRI KWENYE IBADA YA J2 YA TAREHE 13 MARCH 2020,


Baada ya Ibada kuisha, viti vyote viilikusanywa na kuhamishimiwa sehemu ambayo kwa sasa imeshapewa jina JENGO LA ZAMANI kwa sababu kuwa kuna finishing zilikuwa ziendelee wiki inayofuta

  • Aliyetoa tangazo hili la kuhamisha viti hivyo alikuwa ni kiongozi ambaye ndiye aliyekuwa mhubiri wa wiki hii, na ambaye hakuwa kiongozi wa zau siku hiyo,
  • Zaidi ni kuwa kiongozi aliyehusika na kutoboka taa za gari la mhusika, naye pia alipandisha madhabahuni kwa ajili ya kutoa tangazo la MAOMBI ya siku tano kuanzia J3 hadi Ijumaa; ambalo kawaida Kiongozi wa Zamu aliyekuwepo madhabahuni alikuwa anatosha kutoa tangazo hilo; hapakuwa na ulazima sana wa MTOBOA TAA; (tumwite MT kwa kifupi) kwenda kutoa tangazo hilo wakati hakuwa Kiongozi wa Zamu
  • J2 hii, aliyehusika na kutoa tangazo la kuhamishwa viti kwa mara ya kwanza, alisimama madhabahuni kwa ajili ya Ibada, na the same day viti vikahamishwa tena kuelekea kwenye JENGO LA ZAMANI na kwa sababu ambazo mhusika bado hajazilewa vizuri sana; uless kama kulikuwa na sababu za msingi sana za kuhamisha viti hivyo!
Kwa ule uhamisho wa kwanza wa viti, mhusika alidhani kuwa pengine ungekuwa ni wa muda wa siku kadhaa tu na kwamba viti hivyo vingerudishwa mahali pake J2 iliyoufata lakini alipofika kanisani J2 ya tarehe 20 MARCH 2022, alikuta Ibada zikiwa bado zipo JENGO LA ZAMANI

Ikumbukwe pia kuwa KANISA JIPYA BADO HALJAWEKWA WAKFU, na waumini walihamishiwa humo ghafla tu na kwa kushtukizwa. Zaidi ni kuwa mhusika pia hana uhakika sana kama huko nyuma, JENGO LA ZAMANI nalo pia liliwahi kuwekwa wakfu ama la!

HYPOTHESIS ALIYONAYO MHUSIKA MPAKA MUDA HUU JUU YA UHUSIANO ULIOPO KATI YA MAJENGO HAYA MAWILI, YAANI JENGO JIPYA NA LILE LA ZAMANI

Bila kupoteza focus; maelezo haya yote yanaelekea kwenye ku-clarify tukio la kwenye parking lililotokea KANISANI J2 ya tarehe 27 MARCH 2022, likihusisha gari ya mhusika na ya binti mwingine ambaye hakuonekana kwenye parking kwa muda wa kutosha kidogo. Mwelekeo ni huko na ndiyo bado tunaelekea huko

HYPOTHESIS: KUNA UWEZEKANO MKUBWA KUWA KUNA VITU VIMESHAANZA KUKOSEKANA KWENYE KANISA JIPYA NA HIVYO KUPELEKEA IBADA AU BAADHI YA VITU KUWA VINAHAMISHIWA KWA MUDA KWENYE KANISA LA ZAMANI KWANZA, HALAFU BAADA YA HAPO NDIYO BAADAYE TENA IBADA ZINARUDI KUENDELEA KAMA KAWAIDA KWENYE KANISA JPYA

Hapa ikumbukwe kuwa baada ya J2 ya tarehe 13 March 2022; Ibada zilihamia kwenye JENGO LA ZAMANI HUKU ZIKIAMBATANA NA MAOMBI YA NGUVU YA SIKU TANO MFULULIZO

Zaidi ni kuwa Ibada ya J2 hiyo haikuwa ya kawaida sana kwa upande wa waimbaji wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu, kwa sababu waimbaji wa kike walikuwepo karibia wote Kanisani lakini walipoandisha madhabahuni walikuwa ni wawili tu. Hiki kitu siyo cha kwaida sana

Mbali na hayo, kwa mara nyingine tena J2 ya tarehe 27 MARCH 2022, viti vilikusanywa tena kuhamishiwa kwenye JENGO LA ZAMANI kwa ajili ya Ibada ambayo ilikuwa ifanyikie huko J2 hiyo

Maswali kadhaa ya msingi ambayo mhusika anajiuliza kwenye uhamisho wa viti hivi mpaka muda huu ni kama ifuatavyo:

  • Ni nini kilipelekea akina mama hao kuamua kufanyia Ibada yao huko ambako siku si nyingi waumini wamehama huko; badala ya kufanyia huku kwenye Kanisa Jipya ambako wala kulikuwa hakuhitaji usumbufu wa watu kulazimika kuhamisha na kupanga viti?
  • Hata kama ungekuwa ni mkutano wa kawaida, bado mikutano huwa inafanyikia ndani ya Kanisa, na hata akina Baba tayari walishafanya Mkutano wao JANUARY 2022 ndani ya Kanisa jipya
  • Akina mama wa kanisa A si wengi sana kiasi cha kuweza kukalia angalau hata nusu tu ya viti vyote vya Kanisa A; je kwa nini viti vyote vilihamishwa tena?
  • Je, isingekuwa busara kuhamisha baadhi tu ya viti hivyo, possibly vile vya upande mmoja wa Kanisa na kwa idadi inavyoendana na idadi ya akina mama hao?
Kwa kifupi tu ni kwamba, vitu vingi mno vipya vimeshanunuliwa na vinaendelea kunununliwa na kuingia Kanisani kila uchao lakini haijawahi kutokea hata J2 moja ambayo waumini waliwahi kuombwa washiriki katika kuviweka wakfu na mojawapo ya vitu hivyo ni viti vyote vipya ambavyo vimejaa kwa wingi sana kanisani hapo. Viti vyote vilivyonunuliwa Kanisani hapo havijawahi kuwekwa wakfu na waumini kwenye Ibada yoyote J2 yoyote ile

Swali jingine la msingi analojiuliza mhusika ni kuhusiana na maombi yaliyofanywa wiki juzi; hivi kweli ukiwa unataka kufanya harambee ili J2 inayofuata waumini waweze kuahidi mchango mzuri kwenye mojawapo ya aina za sadaka za Kanisani; je unafanyaje? Unatumia semina mchanganyiko na maombi au unatumia kimojawapo tu; yaani maombi peke yake au semina peke yake tu?

Baada ya Ibada kuhamishiwa Kanisa la zamani; MT alichukua jukumu la kutangaza maombi ya mfungo kwa muda wa siku tano; ambayo yalifanyikia kwenye sehemu ambayo kwa sasa inaitwa JENGO LA ZAMANI

Halafu cha kushangaz zaidi ni kwamba, maombi hayo yalianza J3 ya tarehe 14 March 2022 na pia kuanzia siku hiyo ndiyo zikaanza kutokea ajali mfululizo za barabarani nchini. Tangu mwaka huu uanze hapakuwa pametokea ajali za aina hiyo na kwa mfululizo, na possibly hapakuwa pametokea kabisa ajali ya barabani ambayo ilipata nafasi ya kutangazwa kwenye media. Lakini cha kushangaza kuanzia siku hiyo, ajali zimefululiza hadi Jumamosi ya tarehe 26/03/2022. It’s just a mere coincidence lakini kwa waumini ambao huwa wanakwenda Kanisani kila J2 lazima waliangalie hili kwa jicho la plil

Mhusika yeye kwa ufinyu wake wa mawazo anaweza hata kuwa ana mawazo kuwa kile kitendo cha yeye kuwa obstructed J2 hiyo alipokuwa anataka kuingiza gari Kanisani na hatimaye kulazimika kurudi reverse; (ukiweka reverse gear, taa za BRAKE huwa zinawaka pia) ndiyo kinaweza kuwa kimechangia ajali hizo; kwenye ulimwengu wa roho. Ni mawazo yake tu lakini possibly yanasababishwa na uchanga wake wa kiroho

Kuhusiana na huu uhamisho wa muda wa kurudi jengo la zamani uliotokea wiki juzi; mhusika haelewi zaidi lakini anadhani pengine pamoja na kuhamia JENGO LA ZAMANI; possibly SEMINA NA MAOMBI KWA PAMOJA, vingeweza kufanya vizuri zaidi ila si maombi peke yake, au?

MCHAKATO WA KUHAMA KUTOKA KANISA LA ZAMANI NA KUINGIA KANISA JIPYA; SIKU YA KRISMAS 25 DESEMBA 2021; KAMA AMBAVYO ALIUONA YEYE MHUSIKA

………….inaendelea
 
Nyongeza nyingine muhimu kuhusiana na Ibada ya J2 ya tarehe 13/03/2022
  • Ni J2 ya kwanza ambayo somo la uanafunzi na maandiko lilikuwepo kwa mara ya kwanza baada ya kipindi kirefu sana kupita
  • Mara ya mwisho kuwepo somo hilo ilikuwa mwanzoni mwa mwaka 2020 kabla ya CORONA
Tangazo la kurudishwa kwa somo hilo liliwahi kutolewa miezi kadhaa nyuma na lilitolewa na Kiongozi ambaye alikuwa ni mhubiri wa Ibada J2 ya jana (Ibada ya Pili)

Tangu kutolewa kwa tangazo hilo, somo hilo halikuwa limewahi kufanyika, na ndiyo J2 hiyo tajwa lilifanyika kwa mara ya kwanza; na baada ya hapo, halijafanikiwa kupata J2 yingine tena hapa katikati
 
MCHAKATO WA KUHAMA KUTOKA KANISA LA ZAMANI NA KUINGIA KANISA JIPYA SIKU YA KRISMAS YA TAREHE 25 DESEMBA 2021; KAMA AMBAVYO ALIUONA YEYE MHUSIKA

………….inaendelea

COINCIDENCES ALIZOZIONA MHUSIKA BAADA NA KABLA YA KUHAMIA NDANI YA KANISA JIPYA


Kwenye J2 moja kabla Ibada hazijahamia kwenye kanisa jipya (yaani kabla ya tarehe 25/12/2021) kuna siku KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) aliwahi kusimama kanisani na kuwaomba wanaume wote kukutana mara baada ya Ibada ya kwanza

  • Mhusika yeye alikuwa Ibada ya pili lakini kwa sababu huwa anawahi kabla ya Ibada ya kwanza kuisha, alihudhuria kikao hicho kifupi
  • Kabla ya kuanza kikao hicho KM-A aliwaomba akina mama wote wasogee mbali ili wapishe kikao hicho cha wanaume; aliwaomba wasogee mbali mithili ya alivyokuwa anawaomba waumini wasioshiriki somo la UANAFUNZI NA MAANDIKO kipindi kile cha nyuma, waende JENGO JIPYA
Akina mama waliitikia wito huo na walisogea mbali wakawa wapo JENGO JIPYA,

Baada ya KM-A kuwasilisha kile alichokuwa nacho rohoni; mhusika akaja akabaini mambo kadhaa yafuatayo; kwamba:

  • Hapakuwa na haja ya kuwa na usiri kwa kile alichokuwa nacho rohoni KM-A kwa sababu kilikuwa ni kitu ambacho ni kizuri zaidi kama kingeweza kusikika hata na Kanisa zima; badala kusikika na wanaume tu
  • Kutokana na hoja hiyo hapo juu, mhusika alianza kudhani kuwa pengine KM-A alikuwa na namna fulani ambayo alihitaji baadhi ya watu wawepo JENGO JIPYA wakati mkutano huo wa wanaume ulipokuwa unaendelea; ukizingatia kuwa alishawahi kufanya hivyo huko nyuma na akiwa na maana yake nzito aliyoikuwa ameificha kichwani
Alichokisema KM-A kwenye mkutano huo wa wanaume ni kwamba kuna mtu ambaye ni mgeni walikuwa naye pamoja J2 na ambaye ni mtumishi wa Mungu. Mtumishi huyu alikuwa amehamia Kanisani hapo kutokea Kanisa jingine kwa hiyo alikuwa anatkaa kumtambulisha kwa wanaume Kanisani hapo ili wamfahamu

  • Zaidi aliwaomba wanaume wampe ushirikiano, na ikiwezekana msaada wowote wa kifedha (na hata kiroho pia) kwa sababu yuko ON TRANSIT, hajafika
  • KM-A alisema mtumishi huyo alikuwa yuko njiani anaelekea mahali pengine kwenda kuanzisha huduma yake huko
Kutokana maelezo haya ya KM-A; mhusika hakuona kabisa haja ya usiri wa kikao hicho kiasi cha kupelekea akina mama wasisitizwe kukaa mbali. Zaidi ni kuwa mhusika yeye aliwaza kuwa kama angekuwa yeye kwenye nafasi ya KM-A; badala ya mtumishi huyu kumtambulisha kisirisiri kwenye kundi la wanaume tu; angemkaribisha madhabahuni kabisa akafanya huduma halafu baada ya hapo ndiyo akamwelezea mtumishi huyu kwa maelezo kama haya mbele ya Kanisa zima na kuliomba kanisa zima limuwezeshe mtumishi huyu kwa kadri liwezavyo

Usiri wa utambulisho huu kidogo ulimpa wasiwasi mhusika na hivyo kuanza kuwa makini kwa namna fulani.

MPAKA KIPINDI HICHO MTUMISHI HUYU MGENI ANATAMBULISHWA FINISHING YA JENGO ilikuwa imesimama kwa kiipindi kirefu sana, na mhusika alikuwa anadhani kuwa pengine tatizo ni fedha



BAADA YA J2 HIYO KUPITA…..

Mhusika alipofika kanisani J2 iliyofuata, alikuta kuna uzio umezungushiwa Kanisa Jipya na hakuna mtu aliyekuwa anaweza kukaa humo isipokuwa kupita tu kwenye uchochoro mdogo pembezoni tena kwa shida; muumini anapokuwa anaelekea kwenye JENGO LA ZAMANI

  • J2 hiyo mhusika alibahatika pia kuonana na kusalimiana na MTUMISHI MGENI (tumwite MMG); wawilil hawa waligonagana kwa bahati nzuri tu wakiwa wote wanapita kwenye uchochoro uliokuwa umeachwa ndani ya JENGO JIPYA, wakielekea JENGO LA ZAMANI; ilikuwa ni muda mfupi kabla ya Ibada ya kwanza kumalizika
  • J2 hiyo ilikuwa pia ni mara ya kwanza kwa mhusika kukaribana na kusalimiana na MMG
Baada ya siku hiyo, mhusika hakubahatika tena kumuona MMG hadi ilipofika J2 ya tarehe 13/03/202 ambapo ndiyo walioana tena. Kabla hawajaonana J2 hiyo mhusika tayari alishakuwa na mawazo kuwa pengine MMG alishaondoka kwa sababu KM-A alimwelezea kuwa alikuwa yuko ON TRANSIT

KABLA MHUSIKA HAWAJAONANA NA MMG; BAADA YA SIKU YA CHRISTMAS 2021 KUWADIA

Pengine ilikuwa ni surprise kwa waumini siku hiyo; KANISA JIPYA LILIANZA KUTUMIKA SIKU HIYO

Na ilipofika J2 iliyotajwa hapo juu; yaani tarehe 13/03/2022; mhusika na MMG walibahatika kukaa jirani. Mhusika alitangulia kufika sehemu walipokaa siku hiyo na hatimaye MMG naye alifika sehemu hiyo. Tangu wakutane siku ile ya kwanza, mwaka jana, mhusika na MMG walikuwa hawajabahatika kuonana tena hadi J2 hiyo ndipo walipoonana tena kwa mara pili

Zaidi ni kuwa J2 hiyo ndiyo siku ambayo ibada zilihamia tena kwa muda kwenye Kanisa la Zamani

Coincidences alizoziona hapa mhusika kuhusina na MMG ni kama ifuatavyo:

  • J2 aliyowahi MMG kutambulishwa na KM-A, ndiyo J2 ambayo ilikuwa ya mwisho kwa watu kukaa ndani ya JENGO JIPYA wakati wa Ibada. Kwa hiyo baada ya siku hiyo, watu walihamishwa rasmi JENGO JIPYA baada ya miaka mingi kuwa imepita
  • Vile vile; J2 waliyowahi kuonana mhusika na MMG (kwa mara ya pili) na kukaa pamoja kwa karibu, ndiyo J2 ambayo waumini walihama kwa muda wa wiki moja kurudi tena JENGO LA ZAMANI, na hakuna muumini hata mmoja aliyeweza kuli-acces Kanisa jipya J2 iliyofuata
Hizi ndiyo coincidences alizoziona mhusika kuhusiana na MMG

BAADA YA IBADA KUWA ZIMEHAMIA RASMI KANISA JIPYA KUANZIA SIKU YA KRISMAS 25/12/2021

Siku hiyo mhsika alilazimika kupaki mahali maeneo yale yale alipokuwa amepaki jana J2 ya tarehe 27/12/2022

  • Binti mwenye gari iliyomziba mhusika jana J2 ya tarehe 27/03/2022; naye pia alikuja akapaki pale, nyuma kidogo ya gari la mhusika ila ubavuni upande wa kulia
  • Mhusika alitangulia kupaki, halafu binti naye ndiyo akafuata
  • Configuration ya namna walivyokuwa wamepaki haitofautiana sana na walivyokuwa wamepaqki jana
  • Siku hiyo pia kulikuwa na gari iliyomziba mhusika na ya mtu ambaye hakuonekana kabisa maeneo yale siku hiyo, ila laikuwepo mazingira ya Kanisani
  • Gari hiyo ilikuwa ni ya DEREVA wa KIONGOZI MKUU
Baada ya mhusika kusubiria kwa muda wa kutosha, kuna mtu aliamua kufuata funguo za gari hiyo ya dereva kwa KM-A na kuzileta pale

  • Alipozileta funguo hizo, mtu huyo alidai kuwa hajui kuendesha gari MANUAL, na hivyo alilazimika kumpa funguo za gari hilo mhusika
  • Mhusika alichukua funguo hizo na kurudisha gari hiyo kwa REVERSE, ikampisha, akakabidhi funguo na baadaye kuingia kwenye gari lake akawasha na kuondoka
Wakati anatoka getini; binti mwenye gari naye akawa ameshatoka getini yuko nje akiwa kama anataka kuegesha pembezoni mwa barabara upande wa kulia kwenye uzio wa jengo lililo jirani na Kanisa A, uelekeo wa Morogoro Road

Mhusika alipotoka Kanisani alinyoosha moja kwa moja hadi nyumbani kwake.

HAPO KABLA: INCIDENCES ZA MHUSIKA KUWAHI KULIONA GARI LA BINTI MARA MBILI MAENEO YA SAVEI MARA TU BAADA YA KUWA WAMEACHANA KANISANI

Kuna coincidences mbili ambazo ameshawahi kuzirekodi kwenye gari la binti huyu, na pengine labda binti huyu huwa anafika mara kwa mara maeneo ya Savei, au anaishi huko.

Kuna J2 moja mara baada ya mhusika kuondoka Kanisani; alipofika maeneo ya Savei darajani; aliliona gari la binti huyu likiwa mbele, na baadaye liliacha njia kuu na kuingia barabara ya Savei darajani. J2 hiyo mhusika na huyu binti, hawakuwa wamepaki magari yao karibu karibu

J2 NYINGINE TENA AMBAYO BINTI HUYU NA MHUSIKA WALIPAKI GARI ENEO MOJA, LILE LILE LA SIKU ZOTE NA HATIMAYE MHUSIKA KULIONA GARI LA BINTI LIKIWA MAENEO YA SAVEI MUDA MFUPI SANA BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOKA KANISANI

J2 hiyo pia, binti alikuwa amemziba mhusika; kwa maana kuwa mhusika alipaki kwanza halafu binti naye ndiyo akaja akapaki gari lake pale.

Mara zote gari za watu hawa ukizikuta ziko pamoja au ziko karibu karibu wakati wa Ibada ya pili; ujue aliyetangulia kupaki pale ni mhusika

  • Kwa hiyo J2 hiyo ilikuwa inabidi binti atoke kwanza halafu ndiyo mhusika naye atoke
  • Siku hiyo binti alikuwepo kwenye mazingira ya parking; ila kwa muda kidogo alilazimika atoke kwanza; possibly alieelekea washroom; kabla hajampisha mhusika
  • Baada ya kutoka, hakukawia, alirudi akampisha mhusika; na mhusika akaondoka kanisani
Alipofika maeneo ya Savei Duka Kubwa, mhusika aliamua kupitia dukani kununua mahitaji yake pale

  • Mhusika aliingia dukani na hakukawia sana, hardly alichukua dakika 10 hivi
  • Alipokuwa anatoka dukani kuelekea kwenye gari lake, gari la binti nalo TAYARI lilikuwepo pembezoni tu mwa lile la mhusika, karibu kabisa na kibanda cha marafiki zake na mhusika wanaouza bidhaa kadhaa mahali pale.
Ikumbukwe kuwa siku hii ya J2, wawili hawa walikuwa wamepaki sehemu moja Kanisani, na pia walionekana na baadhi ya watu wakiwa wanaongea kabla ya kuondoka eneo la kanisani

Baada ya kuiona gari hiyo, mhusika aliangaza huku na huku lakini hakumuona binti huyo; na wala hakuwemo kwenye gari lake. Mhusika aliwasha gari lake akaondoka na kuiacha gari ile ikiwa bado ipo mahali pale



HITIMISHO

J2 YA TAREHE 27/03/2022 MHUSIKA ALIAMUA KUTOKA NJE YA UZIO WA KANISA; KWA MUDA; AKIWA ANASUBIRIA KUPISHWA NA GARI YA BINTI ILIYOKUWA IMEMZIBA


Jana J2 ya tarehe 27/03/2022, mhusika baada ya kuona gari lake limezibwa na gari la binti huyu kwa mara nyingine tena, aliamua kumsubiri pale pale kwenye parking kuona kama angeweza kutokea ndani ya muda muafaka na kumpisha (mhusika) ili aondoke.

Baada ya kuona hatokei, mhusika alitembea kwa miguu na kutoka nje ya uzio wa Kanisa, akatumia dakika kadhaa huko anakunywa soda na hatimaye kurudi tena ndani ya uzio wa kanisa.

Alipofika getini, alimuona binti akishuka sasa kwenye gari lake, akiwa tayari ameshapisha njia ili mhusika aweze kutoka. Mhusika alinyoosha moja kwa moja hadi kwenye gari lake na kuweka REVERSE GEAR na kuanza kuondoka

Kwa kufanya hivyo, mhusika naye aliipisha sasa ile BIGHORN; na aliipisha ikatoka kwanza halafu na yeye ndiyo akawa anafuata nyuma

Hata hivyo pamoja na uharaka huo wa BIGHORN, alipotoka aliikuta inamanuva kupaki pembezoni mwa uzio wa jengo jingine lililo jirani na nyumba hiyo ya Ibada. Mpaka hapa mhusika akawa amekubalina tena na maneno ya KIONGOZI aliyeshauri asubuhi wakati Ibada inaanza, kuwa mhusika asiipishe BIGHORN ila awahi kwenye Ibada kwanza

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
"Halafu cha kushangaz zaidi ni kwamba, maombi hayo yalianza J3 ya tarehe 14 March 2022 na pia kuanzia siku hiyo ndiyo zikaanza kutokea ajali mfululizo za barabarani nchini. Tangu mwaka huu uanze hapakuwa pametokea ajali za aina hiyo na kwa mfululizo, na possibly hapakuwa pametokea kabisa ajali ya barabani ambayo ilipata nafasi ya kutangazwa kwenye media. Lakini cha kushangaza kuanzia siku hiyo, ajali zimefululiza hadi Jumamosi ya tarehe 26/03/2022. It’s just a mere coincidence lakini kwa waumini ambao huwa wanakwenda Kanisani kila J2 lazima waliangalie hili kwa jicho la pli"
 
UPDATE: TUESDAY 29TH MARCH 2022

KUHUSIANA NA WAUMINI WALIOKUWA WANAUZA BIDHAA GETINI/ LANGONI;


Tangazo lilitolewa J2 kuwa waumini hao wachuuzi wa bidhaa wamepigwa marufuku na hatua kali zitachukuliwa kwa atakayekiuka; kwa madai kuwa wamevamia eneo hilo

Hawa watu hawakuwa wamevamia kama ilivyodaiwa, isipokuwa walikuwa wana authorization ya kisirisiri ambayo ilikuwa imewekwa katika namna ambayo pale itakpoonekana mambo yanataka kuharibika, wafanyabiashara hao ndiyo itabidi wapigwe marufuku; na ndiyo maana kitu hicho kilitokea J2 iliyopita

Baadhi ya wafanyabiashara hao ndiyo wale waliokuwa wanashughulika na TAA ZA NYUMA ZA GARI la mhusika, pindi anapokuwa anaingiza gari ndani. Hili la taa za gari ni mojawapo tu lakini kuna mengine mengi pia

Kwa mara ya kwanza mhusika ali-notice kutokuwepo watu hawa J2 ya tarehe 13/03/2022; na marufuku yao imefuatia wiki mbili baadaye

  • Chances ni kwamba kile kilichokuwa kinawawezesha kukaa hapo getini, hakipo tena na hivyo hawawezi tena kukaa pale, na kama wasingepigwa marufuku wangekuja kurudi baadaye; baada ya kuwa wame-rescue tena situation iliyokuwa inawawezesha kuendelea kukaa pale
  • Ikumbukwe kuwa pale getini huwa kuna mambo mengi sana yanafanyika pale na hapo ndiyo palipelekea uwepo wa uzi huu au taarifa hizi.
  • Taarifa hizi zinazoendelea kutolewa humu, chanzo chake ni mgogoro uliowahi kutokea pale getini; (sehemu ile ile ambayo wachuuzi wa bidhaa walikuwa wanakaa) J2 ya tarehe 19/04/2020; karibia miaka miwili iliyopita mpaka sasa
  • Kiongozi aliyetoa tangazo la marufuku ya wachuuzi hao; atakuwa aliotea tu baada ya kuona kuwa kuna kimgogoro kilitokea kwenye parking ya gari asubuhi ya J2 hiyo.
  • Kwa hiyo kiongozi huyo alijua lazima tu swala la getini litaibuka tena;
Kiongozi huyu aliyetoa tangazo, ndiyo aliye na hekima kuwazidi wote na ndiyo huwa wanamtumia ku-rescue situation zote ambazo huwa zinaonekana kwenda off balance; kwa sabau na yeye pia anaelewa kila kitu ambacho huwa kinaendelea kwa upande wa uongozi wao. choendelea kwa upande wa viongozi hao

Zaidi kuhusiana na wachuuzi hao ni kwamba kuna binti mmoja ambaye alikuwa anauza nyama mbichi ya nguruwe a.k.a kitimoto iliyokuwa inafungashwa kwevye vi-box vidogo vidogo na hajaonekana tena getini hapo tangu J2 ya tarehe 13

Watu ambao hawana authorization ya uongozi wa Kanisa, hawaezi kufikia hatua ya hadi kuuza nyama mbichi ya nguruwe langoni mwa nyumba ya Ibada

Na hizo bidhaa za getini waumini wa Kanisa A wasidhani kuwa zilikuwa zinauzwa kama bidhaa tu za kawaida; hapana hicho kwa Kanisa A hakipo

Maelezo haya hayawahusu akina mama ambao wanafanya biashara pembezoni mwa Kanisa mita kadhaa kutoka getini bali yanawahusu wale ambao walikuwa wanafanya biashara pale geti kuu ambapo waumini huwa wanapatumia kuingilia ndani mwa uzio wa nyumba ya Ibada

…….mwandishi wenu atarudi tena kwa mada nyingine
 
UPDATE: WEDNESDAY 30TH MARCH 2022

HYPOTHESIS
: TUKIO LA KUZIBWA GARI KWENYE PARKING YAWEZA KUWA LILIKUWA NA PLANS MBILI; PLAN A NA PLAN B

PLAN A NI KAMA AMBAVYO TAYARI AMESHAELEZA HAPO JUU KWAMBA ALITAKIWA AONGEE KWANZA NA BINTI MWENYE GARI KABLA HAJAONDOKA MAZINGIRA YA KANISANI. BAADA YA KUWA AMESHINDWA KUFANYA HIVYO, AUTOMATICALLY AKAWA AMEANGUKIA KWENYE PLAN B

SETUP YA PLAN B KAMA ANAVYOIONA YEYE
NI KWAMBA ALITAKIWA ATOKE NJE ILI ANGALAU AKANUNUE HATA MAJI YA KUNYWA AU SODA, KITU AMBACHO ALIFANYA. ALITOKA NJE NA AKAENDA AKANYWA SODA. SODA HIYO ILIKUWA SALAMA KABISA NA HAIKUWA NA TATIZO LOLOTE ISIPOKUWA AMEPATA MADHARA YA KUPATA CHOO KIGUMU HADI LEO AMESHINDWA KUJISAIDIA KWA UTARATIBU WA SIKU ZOTE WA KAWAIDA.

TATIZO SIYO SODA, NI NINI BASI?
ANAVYOONA YEYE NI KWAMBA KUNA KITU KILIFANYIKA NYUMBANI KWAKE SIKU YA J2 PINDI ALIPOKUWA YUPO KANISANI KWENYE IBADA. KWA HIYO ISSUE YA KUWA GROUNDED KWENYE PARKING ILIKUSUDIWA KUM-PROMPT ILI ANGALAU ATOKE HATA NJE AKAPATE CHOCHOTE ILE HAPO BAADAYE ISIJE IKAWA RAHISI KWAKE KU-TRACE NI WAPI TATIZO LILIANZIA.

ANAVYOONA YEYE, TATIZO LIMETOKEA KWENYE MAJANI YA CHAI AMBAYO ALIYANUNUA DUKANI MAENEO YA MAWASILIANO, SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 29 JANUARY 2022 ALIPOKUWA ANATOKA KWENYE KIKAO KNISANI AMBACHO KILIFANYIKA SIKU HIYO. MAJANI HAYA AMEKUWA AKIYATUMIA SIKU TANGU SIKU HIYO NA KWA MARA NYINGINE TENA ALIYATUMIA J3 ASUBUH YA WIKI HII NA KUANZIA PALE SASA NDIYO AKAANZA KUJISAIDIA KWA SHIDA; KINYESI KIGUMU SANA NA KINAZIDI KUWA KIGUMU ZAIDI KADRI MUDA UNAVYOPITA PAMOJA NA KWAMBA J3 JIONI ALIKULA NDIZI MBIVU KWA NYAMA. JUMAPLI JIONI ALIKULA WALI KWA NYAMA

KAWAIDA WAKATI MWINGINE HUWA INATOKEA, JAPO KWA MARA CHACHE SANA, AKAPATA CHOO KIGUMU; ILA INAPOTOKEA HIVYO, CHOO KIGUMU HUWA KINAKUWA NI KIMOJA TU HALAFU KINACHOFUAT LAZIMA KIWE LAINI. TOFAUTI NA ILIVYO SASA, MPAKA MUDA HUU AMESHAENDA VYOO VIWILI VIGUMU SANA, NA CHA PLILI KIKIWA KIGUMU ZAIDI KUZIDI KILE CHA KWANZA. HIKI CHA PILI KIMEKUWA KIGUMU KATIKA NAMNA AMBAYO HAJAWAHI KUSHUHUDIA MAISHA YAKE YOTE TANGU AZALIWE. ACTUALLY KILIKUWA KIMEGOMA KABISA KUTOKA ISIPOKUWA ILIBIDI ATUMIE MBINU AMBAZO DETAILS ZAKE HAWEZI KUZITOA HUMU. HADI MUDA HUU ANAPOANDIKA HAPA, NJIA YA HAJA KUBWA BADO INAUMA, INAFUKUTA

MPAKA MUDA HUU, YEYE ANAAMINI KUWA KUNA KITU KILIFANYIKA NDANI NYUMBANI KWAKE KWENYE MAJANI YA CHAI AMBAYO HUWA ANAYATUMIA SIKU ZOTE NA KILIFANYIKA SIKU YA J2 ALIPOKUWA YUPO KANISANI KWENYE IBADA; NA HIKI NDICHO KILIHITAJI AWE GROUNDED KWANZA KWENYE PARKING ILI KAMA IKITOKEA KWA BAHATI AKALA KITU KINGINE NJE YA UZIO WA NYUMBA YA IBADA, ISIWE RAHISI SANA KWA YEYE KUWEZA KUTRACE SOURCE YA TATIZO.

SODA ALIYOKUNYWA HUKO MAENEO YA KANISANI HAIKUWA NA TATIZO BALI TATIZO ALILIKUTA LIKIWA LINAMSUBIRI NYUMBANI KWAKE NA J3 ASUBUHI NDIYO ALIANZA KULIPALILIA RASMI.

KUWA GROUNDED KWENYE PARKING KULIKUWA KUMEKUSUDIWA PIA KUMCHONGANISHA NA.JUMUIA YA WAFANYABIASHARA WA MAENEO HAYO, HASA HASA YULE AMBAYE ALIMPA HUDUMA YA KINYWAJI J2 HIYO

JANA MTANDAO ULIKATIKA, LEO ATAENDELEA TENA KWA MAELEZO ZAIDI NA HILI JIPYA AMBALO LIMEJITOKEZA TENA

M UBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BAADHI YA MAMBO MUHIMU YALIYOJIRI NYUMBANI KWA MUHUSIKA BAADA YA MAJI (YALIYOKUWA YAMEKATWA KWA TAKRIBANI MIAKA MITATU) KUWA YAMERUDISHWA

Ikumbukwe kuwa chai lazima huwa inachanganywa na maji; na possibly tatizo linaweza kuwa lilikuwa kwenye maji na si kwenye majani ya chai

…..lakini kabla hajaendelea zaidi na hili swala la maji, anarudi tena Kanisani A kwanza
 
ANGALIZO MUHIMU KWA WAUMINI WA KANISA A KUHUSIANA NA IBADA ZOTE MBILI ZA J2 ILIYOPITA

Ni kwamba kuna wakati mhusika alisikia kitu kama MAFUNDISHO YA IBADA YA KWANZA YALIKUWA NI TOFAUTI NA YALE YA IBADA YA PILI; kikitamkwa kutokea madhabahuni; japo hana uhakika sana lakini ni kama alimsikia mtu akiongea hivyo

Kama mhusika alisikia vizuri na ni kweli kwamba mafundisho ya siku hiyo yalikuwa ni tofauti, kitu ambacho kinaashiria kuwa mtumishi wa Mungu aliyehudumu kwenye Ibada ya pili SI YULE ALIYEHUDUMU WAKATI WA IBADA YA KWANZA; kitu ambacho huwa kinatokea japo kwa nadra sana

Kama kweli hali ilikuwa ni hivyo je; ni sababu gani ya msingi iliyopelekea mtumishi aliyhudumu kwenye Ibada ya kwanza kutokuendelea na Ibada ya pili?

Mhusika anauliza swali hili kwa sababu kile ambacho alishakifanyia utafiti na uhakika nacho kwa asilimia 100 ni kwamba KM-A huwa anakwepa kusimama madhabahuni kwenye siku ambazo huwa anakuwa ametegesha kitu kisichokuwa kizuri kanisani hapo. Kwenye siku za aina hii, huwa anatuma watu wengine wanasimama madhabahuni badala yake

Isije ikwa ni KM-A aliyehudumu wakati wa Ibada ya kwanza halafu ile ya pili akaamua kuitelekeza na kumpa mtumishi mwingine

Hii kitu kinaweza kuwa kweli iwapo tu mhusika alisikia vizuri, na kwamba mhudumu wakati wa Ibada ya kwanza alikuwa ni KM-A
 
BAADHI TU YA YALE AMBAYO MHUSIKA HAKUYAONGELEA KUHUSIANA NA TUKIO LA KWENYE PARKING ZA GARI KANISA A

Baada ya Ibada kuisha, mhusika aliamua kunyoosha moja kwa moja kuelekea kwenye parking. Alipokaribia na kuona kuna gari zilikuwa bado hazijatoka, aliamua kusimama mahali fulani njiani, akisubiria magari yaliyokuwa nyuma ya gari yake yatoke kwanza

Muda huo huo mtumishi ambaye alisababisha mhusika kutoboa taa za gari lake, alipita mahali pale akimsalimia mhusika; hakusimama alikuwa kwenye mwendo

  • Baada ya muda siyo mrefu, gari nyingine zote zilizokuwa nyuma ya ile ya mhusika zilitoka, ikabaki moja tu ya binti
  • Mhusika kwa kujua kuwa imebaki gari moja tu ambayo nayo alijua itatoka muda siyo mrefu, aliamua kusogea mpaka pale gari lake lilipokuwa, akashusha vioo vya gari kupunguza joto lililokuwa limejikusanya ndani
Kwenye eneo hilo lilipokuwepo gari lake; aliwakuta watu wawili wako pale.

  • Mmoja alikuwa ni yule muumini smart sana ambaye karibia mara zote huwa anavaa suti na ambaye pia ni mkuu wa watu wa security
  • Ofisa huyu alikuwa pamoja na kijana mwingine ambaye mhusika kwa mara ya kwanza, alimfahamu kwa sura mwaka jana kutokana na baraka aliyowahi kijana huyo kuileta kanisani hapo kwenye miezi ile ya mwishoni ya mwaka jana, ila mhusika hakumbuki ilikuwa ni mwezi gani
  • Baada ya mhusika kusubiri kwa dakika kadhaa huku mwenye gari iliyokuwa imemziba akiwa bado haoneknai, kijana huyu wa pili aliyekuwa pamoja na security officer, aliamua kwenda kumtafuta mwenye gari ili aje ampishe mhusika
  • Baada ya kijana huyo kuondoka, alitokeza binti mwingine tena ambaye yeye gari yake ilikuwa mbele ya ile ya mhusika; kiasi kwamba ili binti huyu aweze kutoka, ilikuwa ni lazima mhusika atoke kwanza
  • Binti huyu naye pia aliahidi kwenda kumtafuta mwenye gari iliyokuwa nyuma ya lile la mhusika kwa sababu alisema anamfahamu
Baada kupita dakika za kutosha wawili hawa wakiwa tayari wameshaondoka eneo lile huku aliyekuwa anatafutwa hajatokeza; ndiyo pale sasa mhusika alipoamua kuondoka pale na kwenda nje kwa muda ili angalau akapate maji au soda

Wakati huo, security officer (SO) naye alikuwa tayari ameshaondoka ; hakuwepo tena eneo lile

Baada ya mhusika kutoka nje uzio wa Kanisa; huko alimkuta tena huyu kijana ambaye alimkuta wakiwa pamoja na SO. Kijana huyu alishangaa kidogo kwamba mhusika alikuwa bado yuko blocked, na wakati huo huo aliamua kurudi tena ndani; possibly safari hii sasa kwa ajili ya kwenda kumtafuta binti kama alivyokuwa ameahidi hapo awali

Wakati huo mhusika aliamua kwenda kusimama kwenye kibanda pembezoni mwa bararbara na kuanza kunywa soda. Wakati huo huo kuna muumini mwingine mama wanayefahamiana, naye pia alitoka nje ya uzio wa kanisa na kumkuta mhusika yuko pale amesimama akiwa anakunywa soda

UP NEXT:
Baadhi ya mambo muhimu yaliyojiri nyumbani kwa muhusika baada ya maji (yaliyokuwa yamekatwa kwa takribani miaka mitatu) kuwa yamerudishwa
 
Baadhi ya mambo muhimu yaliyojiri nyumbani kwa muhusika baada ya maji kuwa yamerudishwa

…………………..inaendelea


Ikumbukwe kuwa baada ya kuwa yamekatika kwa takribani miaka mitatu, hatimaye maji haya yalirudishwa kwa kuwekwa pump ya maji ili iwe inayasukuma

  • Hata hivyo, miezi kadhaa mbele, pump ikiwa haina tatizo lolole lile, maji haya yaliktakia tena nyumbani kwa mhusika
  • Hali hii ilipelekea aanze tena kutembea na madumu ya maji kwenye gari, mwanzoni mwa Septemba 2021 kama kumbukumbu zake ziko vizuri
  • Baadaye tena, maji haya yalirudi tena yakiwa yanaendelea kusukumwa kwa pump
  • Baada ya muda tena kupita pump hii ilizima (sijui kama iliharibika ama vipi; mhusika hajaweza kujua), LAKINI CHA KUSHANGAZA KUZIMA KWA PAMPU HIYO HAKUKUSABABISHA MHUSIKA AKOSE MAJI
  • Maji hayo yanaendelea kutoka hadi leo, japo pump haifanyi kazi tena tangia kipindi hicho


DHANA ALIYONAYO MHUSIKA KUTOKANA NA MAJI HAYO AMBAYO HADI SASA YANAENDELEA KUTOKA NYUMBANI KWAKE NA AMBAYO HUKO NYUMA YALIWAHI KUKATIKA KWA KIPINDI CHA MIAKA TAKRIBANI MITATU

Yeye anadhani kuwa maji hayo yanaweza kuwa yako controlled kwenye mojawapo ya nyumba ya jirani yake, na hawezi kujua ni nyumba ipi.

Mhusika anadhani (siyo lazima awe yuko sahihi, anaweza akawa yuko sahihi) hivi kwa sababu

  • Inapotokea yakawa yapo yanatoka halafu baadaye yakaacha kutoka kwa maana ya kukatika; huwa hayaonyeshi dali za kukatika as such bali dalili za kama kuna koki ya maji somewhere ambayo imefungwa na hivyo kupelekea yasitoke
  • Zaidi ni kuwa kwa kipindi ambacho pump imekuwa haifanyi kazi, maji hayo yalitakiwa yasieendelee kutoka kwa sababu hakuna marekebisho yoyote yaliyofanyika baada ya pump kuwa imezima
HITIMISHO

Dondoo hizi hapa juu zina-support pia dhana ya kwamba katika kipindi kile kirefu cha takribani miaka mitatu ambacho maji yalikuwa yamekatika nyumbani kwa mhusika; yaweza kuwa kuna mtu aliamua kufunga koki hiyo kipindi hicho

  • Baada ya kuwa ameifunga, alishindwa kuifungua ili maji yatoke tena kwa sababu kwa kufanya hivyo, ingempa wasiwasi mhusika na kuanza kushuku kuwa possibly kuna mtu anamfanyia hujuma kwa njia ya maji
  • Baada ya muda mrefu kupita, ndiyo sasa njia ya kutumia pump ikatafutwa, ku-rationalize situation ili ionekane kweli kulikuwa na tatizo lililopelekea maji kutokuwepo nyumbani kwa mhusika
  • Baada tena ya kipindi kirefu kuwa kimepita huku mhusika akiwa anaendelea kupata maji na wakati huo huo pump ikiwa haifanyi kazi, muda huo ndiyo sasa LINE ILE YA SIKU ZOTE YA MAJI ya mhusika ndiyo ikarudishwa. Kwa hiyo koki ikafunguliwa tena
Koki hii sasa ndiyo huwa inachezeshwa katika namna ambayo anayeimiliki huwa anaamua ni wakati gani maji yatoke nyumbani kwa mhusika, na wakati gani maji yasitoke

Anyway, yeye alishajenga dhana kama hii ambayo hana uhakika sana kama ni sahihi, ila ina-sound ukihusianisha na situation zilizowahi kumtokea huko nyuma na ukiunganisha na zilizopo pia

Uhakika alionao zaidi ni kuwa yanapokuwa yanataka kuacha kutoka; maji haya huwa hayaachi kutoka kwa style ya kukatika; assuming yalikuwepo alikuwa anayatumia lakini kwa bahati mbaya muda huo huo akiwa akiwa anaendelea kuyatumia, yakakosekana. Huwa yanaonyesha dalili kama yamefungwa somewhere na si kukatika

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA SWALA LA MAJI KUENDELEA KUTOKA WAKATI PUMP HAIFANYI KAZI TENA

Logical consistency inakosekana kwa sababu haiwezekani kwamba maji yaliwahi kukosekana kwa kipindi cha miaka kadhaa, na yakarudi tu baada ya PUMP YA MAJI kuwa imefungwa, halafu all of a sudden, leo maji yapo yanaendelea kutoka na pasipo msaada wa pump, na pasipokuwa yameshafanyika marekebisho yoyote ya ziada.

Kitu cha namna hii kwa mtu yeyote yule mwenye akili timamu, anaweza akasema ni kitu gani sasa?
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA SWALA LA MAJI KUENDELEA KUTOKA WAKATI PUMP HAIFANYI KAZI TENA

Logical consistency inakosekana kwa sababu haiwezekani kwamba maji yaliwahi kukosekana kwa kipindi cha miaka kadhaa, na yakarudi tu baada ya PUMP YA MAJI kuwa imefungwa, halafu all of a sudden, leo maji yapo yanaendelea kutoka na pasipo msaada wa pump, na pasipokuwa yameshafanyika marekebisho yoyote ya ziada.

Kitu cha namna hii kwa mtu yeyote yule mwenye akili timamu, anaweza akasema ni kitu gani sasa?
Presha ya maji imekua kubwa.
 
Presha ya maji imekua kubwa.
Kwa hiyo presha ilipokuwa ndogo, iliweza kufanya uchaguzi nyumba moja kati ya nyumba 24 zilizopo eneo hilo, zikawa zina maji halafu moja tu ndiyo ikakosa?. Mind you wakati maji yanananza kukosekana kwenye nyumba, issue ya pressure haikuwahi kusemwa na wataalamu kuwa ndiyo ilikuwa chanzo
 
UPDATE: THURSDAY 31ST MARCH 2022

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA MIUNDO MBINU YA MAJI KWENYE MAKAZI ANAYOISHI MHUSIKA:

J4 YA WIKI HII, BOMBA (PIPE) LA NJE LILIKUWA LIMEFYATUKA JOINTS (HALIKUWA LIMEPASUKA) NA LILIKUWA LINAMWAGA MAJI KWA PRESSURE KUBWA SANA HUKU LIKITOA SAUTI KUBWA SANA


Ni kwamba miundo mbinu hii ilibadilika (katika kipindi chake chote ambacho mhusika ameishi mahali pale), kwa mara ya kwanza mwaka 2012. Hii ilikuwa ni baada ya mtu ambaye kwa sasa ni Ofisa wa nyumba, kuhamia kwenye block analoishi mhusika akitokea block jingine lililo jirani na hilo. Kipindi mtu huyu anahamia, alikuwa bado hajawa na cheo, isipokuwa alikuja kukipata baadaye mwaka 2015

Hapo awali, bomba hili halikuwepo. Liliwekwa kipindi huyu bwana alipohamia pale na kwa mapendekezo yake

HISTORIA YA BOMBA HILI

  • Miaka kadhaa nyuma, bomba hili lilishawahi mara kwa mara kuwa linapata vimipasuka vidogo vidogo vilivyosababisha maji kuwa yanachurulizika lakini baadaye lilikuja kufanyiwa marekebisho na kutengemaa kabisa moja kwa moja
  • Ni zaidi ya miaka miwili au mitatu tangu mara ya mwisho bomba hili lilipoonekana linachurulizisha maji
  • Zaidi ya mipasuko hii iliyotajwa hapa, bomba hili halikuwahi kufyatuka hata mara huko nyuma
HITIMISHO

J4 ya wiki hii, bomba hili kwa mara ya kwanza alilikuta likiwa limefyatuka na llilikuwa linamwaga maji kwa presha kubwa muno tofauti na siku zote huko nyuma. Baadaye mhusika alitoka kuelekea sokoni na aliporudi, aliwakuta mafundi wakiwa wako pale wanalishughulikia. Mhusika wakati huo alikuwa anatoka sokoni kununua matunda kwa ajili ya dinner ya siku hiyo, baada ya kuhofia kuwa chakula kingine tofauti na matunda, kingeweza kumletea matatizo zaidi

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KANISA A

KUHUSIANA NA MAOMBI YA SIKU TANO KUOMBEA SADAKA YA MWAKA HUU YALIYOFANYIKIA KWENYE JENGO LA ZAMANI:

ULINGANIFU KATI YA PROGAM ILIYOFANYIKA MWAKA HUU NA ILE AMBAYO ILIWAHI KUFANYIKA MWAKA JUZI KWA SADAKA YA AINA HIYO HIYO AMBAYO TANGAZO LAKE LILITOLEWA J2 YA TAREHE 18 OKTOBA 2020 (MWAKA JUZI)


Ukiachilia mbali tangazo la sadaka ya mwaka huu, mara ya mwisho mhusika kusikia tangazo jingine la sadaka ya aina hiyo ilikuwa ni J2 ya tarehe 18 Oktoba 2020 (mwaka juzi) na lilitolewa na Shemasi ambaye pia ni staff-mate wa mhusika

  • Kwa kadri ya anavyokumbuka yeye, tangazo hilo halikuambatana na maombi wala semina, isipokuwa waumini walijulishwa tu kuwa inabidi wajiandae kwa ajili ya kuahidi sadaka hiyo J2 inayofuata
  • Mhusika hakumbuki kusikia tangazo la maombi au semina ya sadaka hiyo kwa mwaka 2021 na kwamba anachokumbuka yeye ni kuwa kwa mwaka 2021, sadaka ya aina hiyo haikuwahi kutangazwa na hivyo haikuwahi kuwepo
  • Unless labda kama tangazo la aina hiyo lilitolewa kwenye mojawapo ya wiki ambazo alikuwa ni mtoro kanisani, japo ana uhakika kuwa kwa mwaka 2021 hakuwahi kukosa Kanisani kwa wiki mbili mfululizo
UP-NEXT: KILICHOTOKEA WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA BENKI MLIMANI CITY ALHAMIS YA TAREHE 23 DESEMBA 2021; NA KINAVYOONEKANA KUWA NA KAMA UHUSIANO NA TUKIO LILITOKEA KANISANI KWENYE PARKING J2 YA WIKI HII
 
Back
Top Bottom