#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: MONDAY 02nd APRIL 2024

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI OFISINI KWAKE MHUSIKA KUANZIA WIKI ILIYOANZIA J3 YA TAREHE 18 MARCH 2024 HADI LEO J3 YA TAREHE 02 APRIL 2024

MAELEZO YA UTANGULIZI
KUHUSIANA NA MADAI YA MASLAHI YA MHUSIKA


Haya ni maelezo ya utangulizi tu kwa maana kuwa maelezo mengine ya nyongeza yatafuata siku yoyote kuanzia kesho; utafiti bado unaendelea

Wiki moja nyuma kabla ya J3 ya tarehe tajwa (18/03/2024), kulifanyika kikao cha Idara chini ya Mkuu wa Idara (MWI) na ulipofika wakati wa mengineyo, MWI alimpa nafasi mhusika ya kuongea chochote kama alikuwa nacho

Mhusika alishukuru kwa nafasi hiyo na alimjulisha MWI kwamba hakuwa na la zaidi la kuongea isipokuwa tu swala la majibu yake kuhusiana na madai yake maslahi yake ya muda mrefu

  • Hapo MWI alionyesha concern na kumjibu mhusika kuwa swala hilo analichukua
  • Japo mhusika aliongea kwa fumbo kidogo, ilikuwa ni mara yake ya kwanza mhusika kuongelea swala la maslahi yake kwenye kikao cha Idara
Hiyo siku ya kikao ikapita na baada ya hapo MWI akawa amepata safari ya kikazi na kusafiri, akiacha mamlaka kwa KAIMU

BAADA MWI KUSAFIRI, KIKAO KINGINE CHA IDARA KIKAFANYIKA IJUMAA YA TAREHE 22/03/2024 CHINI YA KAIMU MWI


Kwenye kikao hicho vile vile, wakati wa mengineyo, mhusika alimuuliza KAIMU kama alikuwa ameachiwa na MWI taarifa zozote ambazo zinamhusu mhusika

KAIMU alikanusha akisema kuwa hakuwa ameachiwa taarifa zozote

BAADA YA KIKAO KUMALIZIKA; KUKAWA NA LUNCH CHUMBA JIRANI; HAPO YAKAFANYIKA MAONGEZI KATI YA MHUSIKA NA SWAHIBA, MATE WAKE

Baada ya kikao kumalizika, kulikuwa na lunch ambayo ilifanyikia chumba jirani na hapo ndipo mhusika alipoanza ku-detect baadhi ya mambo kadhaa ambayo alianza kuyanona hayaendi sawa sawa

Akiwa anendelea na lunch, office mate aliyekuwa amemaliza kula na ambaye huwa wanashririkiana kufundisha kozi moja; alimsogelea mhusika kwenye meza mahali pale alipokuwa amekaa na kuinama halafu wakanza kuongea

  • Mate alimjulisha mhusika kuwa J3 ya tarehe 25/03/2024 inabidi aanze yeye kufundisha SOIL MECHANICS kwenye kipindi kile cha practical
  • Mate alienda mbele zaidi akimjulisha mhusika kuwa ratiba anayo ameishaipata na atumtumia kwenye email
Hapo kabla, mhusika naye alikuwa amejaribu kuiangalia ratiba hiyo lakini hakufanikiwa kuiona baada ya kukosea namna ya kuitafuta

Kwenye miaka yote ya nyuma, ratiba hii ilikuwa ikiwekwa kama link ila kwa kipindi hiki, hapakuwa na link except ilitakiwa mtu ai-search kwa kuingiza details kwenye search box

Baada ya mhusika kuangalia link ya ratiba hna kushindwa kuiona, alidhani kuwa pengine labda ilikuwa bado haijawekwa, kumbe hapana

MAMBO KADHAA YA MSINGI YALIYOJITOKEZA KATI YA MATE NA MHUSIKA

Kwa utaratibu ule wa awali wa miaka yote ya nyuma, mate alikuwa anaanza kwanza kwa kufundisha angalau wiki tatu au nne, halafu baada ya pale mhusika ndiyo naye alikuwa anapokea kwa kutumia vipindi vile vya practicals

Hadi inafikia J3 ya tarehe 25/03/2024, mhusika alikuwa bado hajaipta ratiba hiyo, mate hakuweza kumtumia ratiba; ambaye naye pia alisafri baada ya maongezi yao kufanyika na hivyo, kwenye J3 husika naye pia hakuwepo ofisini

Mbali na hayo, maongezi ya wawili hawa yalifanyika kwa USIRI NA KIFICHO KIDOGO na hakuna mtu aliyeona aliyeweza kujua kuwa waliongea nini

BAADA YA MAONGEZI YA MHUSIKA NA MATE WAKE KUMALIZIKA WAKATI WA LUNCH


Ijumaa hiyo, mhusika aliamua kumuona mtu ambaye mara zote amekuwa akishikilia funguo za chumba ambamo darasa hilo limekuwa likifanyikia

Huyu ni yule mume wa mkwe mwingine; mhusika anao wakwe wawili ofisini

  • Mume wa mkwe (tumiwte MMK) alimjulisha mhusika kuwa funguo hizo HAZIPO TENA OFISINI KWA MKUU WA IDARA, ila anazo kijana mwingine ambaye awali aliwahi kuwa anakaa ofisini hapo
  • Kijana aliyetajwa na MMK ni yule mtaalamu wa IT ambaye mhusika alishashindwa kujua kama kijana huyo ni mfanyakazi ama la kwa sababu pamoja na kuwepo idarani kwa muda mrefu sana sasa, hajawahi kuhudhuria hata kikao kimoja tu cha idara
Kijana huyu ndiyo yule ambaye taarifa zake zimetajwa kwenye post hii #1,980

Mhusika aliamua kwenda kumtafuta kijana huyu na alimpata akiwa kwenye chumba cha chai

Hadi hapo swala la funguo likawa solved, japo hakuzipata muda huo huo; kijana alimpelekea mhusika baadaye ofisini kwake

Kabla ya kuonana na kijana, mhusika alikuwa amepitia kwanza ofisini kwa MWI kwa ajili ya kuchukua chaki. Muda huo, KATIBU MUHTASI WA MWI HAKUWEPO OFISNI, isipokuwa aliwakuta mabinti wawili wageni, waliowahi kufanya field idarani hapo mwaka jana

  • Ijumaa hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mabinti hao kuonekana tena idarani baada ya kuwa wamemaliza field yao mwaka jana na hatimaye kuondoka
  • Mabinti hao walimpatia chaki mhusika na aliondoka
Hiyo siku ya Ijumaa ya tarehe 22/03/2024 ikapita

Kwenye muda huu wote ambao MWI alikuwa amesafiri, MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) ALIKUWEPO OFISINI, yeye hakuwa amesafiri

WIKI LIYOFUATA YA KUANZIA J3 YA TAREHE 25/03/2024

MWI alirudi ofisini isipokuwa MMU naye pia akawa hayupo tena ofisini, pengine kwa dharura; kwa sababu hapakuwa na notice yoyote iliyokuwa imetolewa juu ya kutokuwepo kwake MMU ofisini

Wiki yote hiyo MMU hakuwepo ofisini na ameonekana tena leo J3 ya tarehe 02/04/2024

TUKIO MUHIMU LILILOTOTOKEA BAADA YA MWI KUWA AMERUDI OFISINI J3 YA TAREHE 25/03/2024

Asubuhi ya siku hiyo, mhusika alifika ofisini kwa MWI kuangalia kama kulikuwa na chochote kilichokuwa kinamhusu

Pale mlangoni, mhusika walipishana na KATIBU MUHTASI WA MUKUU WA IDARA (KMWI); akiwa anatoka nje

Hapa mhusika akakumbuka tena mambo mawili yaliyokuwa yamewahi kutokea siku ya ijumaa ya wiki iliyokuwa imepia ambayo ni:

  • Maekezo ya MMK kwamba FUNGUO ZA CHUMBA ambacho huwa anafundishia, hazikuwepo ofisini kwa MWI ila likuwa nazo mtu mwingine
  • Wageni wawili waliowahi kuja kwa ajili ya field mwaka jana, kuonekana kwa mara ya kwanza ofisini tangu walipoondoka mwaka jana na hatimaye wao kumpatia chaki mhusika; huku KMWI akiwa hayupo ofisini hapo
BAADA YA KMWI KUTOKA GHAFLA NJE YA OFISI WAKIPISHANA NA MHUSIKA

Mlango wa ofisi ya ndani ya MWI ulifunguliwa na mtu mwingine aliyekuwa ameingia humo. Huyu alikuwa ni mama anayependelea kuitwa kwa cheo cha HR

Kufunguliwa kwa mlango huo kuliacha upenyo ambao ULIMUONYESHA MKUU WA IDARA AKIWA AMEKAA OFISINI KWENYE KITI CHAKE, AKIWA YUPO PEKE YAKE

  • Ilikuwa ni mara ya tatu au ya nne kwa mhusika kumkuta na kumona MWI akiwa yupo amekaa kwenye kiti chake ofisini humo
  • Fact ni kwamba J3 hiyo, mhusika alihitaji kuongea na MWI ila kwa ruhusa ya KMWI na si kwa kujipeleka mwenyewe ofisini humo kisa tu alimuona MWI amekaa kwenye kiti chake
Hata hivyo, mhusika aliahirisha kuongea na MWI na baada ya hapo ndani ya wiki hiyo yote iliyopita MWI naye hakuweza kumjulisha chochote mhusika kuhusiana na maswala yake aliyowahi kuahidi kwenye kikao cha idara kuwa aliyachukua

Kwa muda huu, mhusika hana uhakika sana ila chances ni kwamba baada ya MMU kuwa amerudi ofisini, possibly MWI naye amesafiri tena

Haya ni maelezo ya utangulizi tu; maelezo mengine ya nyongeza yatafuata kuanzia siku ya kesho na kuendelea

KUHUSIANA NA FUNGUO ZA CHUMBA CHA DARASA LA KUFUNDISHIA ALIZOPATIWA NA KIJANA BAADA YA MAELEKEZO KUTOKA KWA MMK

KAMA ZILIVYOWAHI KUTESA FUNGUO ZILE ZA AWALI ALIZOPATIWA MHUSIKA NA MWI BAADA YA KUWA AMEPOTELEWA FUNGUO ZAKE ZA OFISINI, FUNGUO HIZI ZA SASA NAZO PIA ZINATESA SANA USIKU MHUSIKA ANAPOKUWA AMELALA NYUMBANI KWAKE


Kwa matukio yaliyoendelea baada ya mhusika kuwa amezipokea funguo hizo, ilionyesha wazi kabisa kuwa funguo hizo zilikuwa zime-origintae kutoka kwa MWI mwenyewe, isipokuwa kijana huyo alipewa tu ili azifikishe kwa mhusika badala ya MWI mwenyewe

Mhusika anayo experience ya kutosha sana ya matukio ya funguo ambazo origin yake inakuwa ni kutoka kwenye mikono ya MWI na hivyo katika hili hawezi kukosea

Kijana alipewa tu funguo hizo kwa sababu anazo pia attributes zinazo-link na yule Profesa wa maswala ya FWEDHA wa kule Kanisani

…………………….inaendelea
 
KUHUSIANA NA MATUKIO HAYA YA KMWI KUONYESHA PATTERN YA KUWA ANAMKWEPA MHUSIKA KILA ANAPOKUWA AMEINGIA OFISINI KWA MKUU WA IDARA

Matukio haya ni mengi, ila notable zaidi ni hayo kwa hivi karibuni ni hayo mawili yaliyofanyika hivi karibuni zaidi

  • Hata leo hii, mhusika wamepishana na KMWI, hakumkuta ofisini
  • Muda wa mhusika kuingia ofisini kwa MWI huwa unajulikana; ana ratiba yake maalumu ya kufanya hivyo
Assuming kwenye kwepa hizi za KMWI kuna chochote cha maana, uwezekano mkubwa ni kwamba huyu mgeni atakuja kumpiku hata yule ambaye amehama, aliyekuwepo kabla huyu hajaja

Haya ni maelezo ya utangulizi tu kwa maana kuwa maelezo mengine ya nyongeza yatafuata siku yoyote kuanzia kesho; utafiti bado unaendelea

KUHUSIANA NA KIJANA MFANYAKAZI AMBAYE HAJAWAHI KUHUDHURIA KIKAO CHA IDARA HATA KIMOJA

Huyu yuko somehow genetically linked na yule Profesa wa maswala ya FWEDHA kule Kanisani

Kijana huyu alikabdihi funguo kwa mhusika Ijumaa ya tarehe 22/03/2024; huku ikiwa ni siku tano tu baada ya Profesa kuwa amefanya presentation kule Kanisani J2 iliyokuwa imepita, yaani ile ya tarehe 17/07/2024

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:
UFAHAMU WA SASA WA MHUSIKA KUHUSIANA NA ROHO MTAKATIFU AKIUHUSIANIISHA NA TUKIO LILILOWAHI KUPEKEKEA WATU TAKRIBANI 20 KUPOTEZA MAISHA HAPA NCHINI WAKIWA WANAKANYAGA MAFUTA YA UPAKO


Uwezekano mkubwa ni kwamba, tukio hili la watu kupoteza maisha, lilikuwa ni hujuma kwa Mtumishi wa Mungu mwenye huduma hiyo

Lengo ilikuwa ni kwamba mtumishi huyu afungiwe ili watu wasiendelee tena kukanyaga mafuta ya upako
  • Ukiangalia vizuri kabla ya hapo, mtumishi huyo amekuwa akiendesha huduma hiyo miaka na miaka lakini waumini wake hawakuwahi hata siku moja kukumbwa na mkasa wa namna hiyo
  • Mbali na hilo, baada ya hapo, mtumishi huyu hajawahi kukumbwa tena na mkasa wa namna hiyo hadi leo hii
Kwa hiyo, chances ni kwamba tukio lilipangwa hasa kwenye kipindi ambacho “Macho ya Nchi” yalikuwa ni makali kidogo kwa matendo, ukilinganisha na vipindi vyote vilivyokuwa vimewahi kupita nyuma

Kwa hiyo inaweza kuwa ilitarajiwa kuwa tukio hilo lingesababisha mtafaruku ambao ungepelekea mazoezi ya ‘KUKANYAGA MAFUTA YA UPAKO KUPIGWA MARUFUKIU”

Evidence za ufahamu wa kiroho alizonazo mhusika kwa sasa zinaontesha kuwa MAFUTA YA UPAKO SIYO HIRIZI, na HIRIZI haiwezi kuwa MAJI AU MAFUTA YA UPAKO; na hivyo wanaofanya huduma hiyo wanapelekea kuharibika kwa mipango ya watu wengine

Source ya HIRIZI zote huwa si kwenye Madhabahu ya DAMU YA YESU, wakati source ya MAFUTA YA UPAKO ya Mtusmishi wa MUNGU, ni kwenye Madhabahu ya DAMU YA YESU

………………inaendelea
 
UWEZEKANO WA KUWEPO HUJUMA KWENYE TUKIO LA WATU TAKRIBANI 20 WALIOWAHI KUPOTEZA MAISHA KWENYE TAMASHA LA KUKANYAGA MAFUTA YA UPAKO

TOFAUTI ILIYOPO KATI YA MAFUTA/MAJI YA UPAKO NA HIRIZI


Hirizi ni silaha ya kiroho kwa ajili ya kumshambulia mtu wa Mungu ambayo chanzo chake ni kwenye madhabahu za mashetani

Kwa upande mwingine, MAFUTA YA UPAKO, chanzo chake ni kwenye MADHABAHU YA DAMU YA YESU au chanzo chake ni ROHO MTAKATIFU (RM)

Kwenye Semina iliyofanyika Kanisa A mwaka 2012 mbali na semina hiyo kuthibitisha pasipo shaka kuwa RM ni GENERATOR na pia kuwa ana THREE DIMESNSION;

Semina hiyo ilithibitisha pia kuwa RM anazo INTELLIGENCE, WILL na pia EMOTION, kiasi kwamba

  • Anaweza kuudhika, yaani unaweza kumuudhi
  • Anaweza kughafirika; na mengine mengi
KILE AMBACHO HUWA KINATOKEA PALE RM ANAPOKUWA AMEGHAFIRISHWA AU AEMUDHIWA

Kama WAKILI na kama msaidizi wa mwanini, kwenye incidences hizi RM huwa anaondoka na kumwacha mtu husika akiwa na kesi zake peke yake kwa maana kuwa RM huwa anaondoa ulinzi wake kwa mtu mhusika

Kwa mtuyoyote yule, bila ya uwepo wa RM, shetani becomes as powerful as anything anyone can imagine; kiasi kwamba nje ya RM mwanadamu hawezi kupambana na shetani hata kwa sekunde moja tu

KUHUSIANA NA MAFUTA /MAJI YA UPAKO YANAYOTOKANA NA MADHABAHU YA DAMU YA YESU

RM ni GENERATOR; kwa hiyo pale inapotokea GENERATOR hizi za kawaida tunazoijua zimerushiwa mapepo; kwenye ulimwengu wa roho RM anaghafirika au anakasirika kwa sababu anayefanyiwa hujuma hizo ni yeye

  • RM pia ni 3D; kwa hiyo pale inapotokea 3D zimerushiwa mapepo; kwenye ulimwengu wa roho RM anaghafirika au anakasirika kwa sababu nayefanyiwa hujuma hizo ni yeye
  • Vile vile RM ni WAKILI; kwa hiyo pale inapotokea WAKILI amerushiwa mapepo; kwenye ulimwengu wa roho RM anaghafirika au anaksirika kwa sababu nayefanyiwa hujuma hizo ni yeye
Mbali na haya, RM yuko kinyume na urushaji wa mapepo, bila kujali kuwa anayerushiwa mapeo ni Yeye au muumini wake; na mengine mengi

KATIKA HALI YA NAMNA HII; MAJI AU MAFUTA YA UPAKO YANAWEZA KUWA YA MSAADA SANA HASA KWA WAUMINI WALE WACHANGA WASIOKUWA NA MBINU ZA KUWEZA KUM-CAPTURE ROHO MTAKATIFU



Mhusika alizaliwa akiwa dhehebu A la Kikiristo la wazazi wake Baba na Mama; na baadaye tena akiwa teeneager, alihamia dhehebu B; na ilipofika mwaka 2011, mhusika aliamua kuhamia dhehebu C na hivyo kuwaa mlokole

Kwa hiyo mhusika anao ulinganifu wa madhehebu matatu ya Kikristo, na namna ambavyo kila moja lina mbinu za kuweza ku-capture RM

Utafiti wake mhusika hadi kufikia muda huu, umeshamuonyesha kuwa waumini wa Makanisa ya Kilokole wale walioonyooka kwa Mungu mmoja, wasiokuwa na kona yoyote au miungu, ndiyo wale walio na mbinu na uwezo zaidi wa kuweza kum-capture RM to the maximum, na hivyo kuwa msaada wao wa pekee sana. Ikumbukwe pia kuwa hii ni kwa wale walioonyoka tu kwa Mungu mmoja, ambao hawana divided intentions ndani ya mioyo yao

Wakristo wengine walioonyooka kwa Mungu mmoja, nao pia wanao uwezo huo ila si kwa kiwango cha kuweza kuwazidi walokole

Kwenye hili kundi la pili lenye uwezo na mbinu kidogo, ndiyo pale MAFUTA AU MAJI YA UPAKO, yanahitajika yakiwa ni njia nyingine mbadala ya msaada sana kwao

Ukiiiondoa dhana kwamba kulikuwa na hujuma ambazo zilifanyika kwenye tamasha la Mtumishi wa Mungu la kukanyaga mafuta, mtu mmoja mahali fulani anaweza akajiuliza maswali mengine muhimu yafuatayo kwamba

  • How come watu wengi kiasi hiki wahudhurie TAMASHA LA KUKANYAGA MAFUTA YA UPAKO, kwa namba kubwa namna hiyo kiasi kwamba TRIGGER ndogo tu ilisababibabisha wakakanyagana hadi kupelekea baadhi yao kupoteza maisha?
  • Huu uwingi wa namna hii, je wote hawa walikuwa ni wajinga tu ambao hawajawahi kushuhudia KITU CHOCHOTE CHA MAANA KIKIFANYWA KUPITIA MAFUTA YA HAYO YA UPAKO?
Kama wamewahi, je, ni nini kinachopelekea watu hawa wakapata msaada kutoka kwenye vitu hivyo, ambavyo source yake ni MADHABAHU YA DAMU YA YESU?

Kwa uhakika ni mpubavu tu anayeweza kukiita HIRIZI kitu ambacho ORIGIN YAKE NI MADHABAHU YA DAMU YA YESU kwa sababu origin ya HIRIZI ni madhabahu za kishetani

Madhabahu ambayo ni ya DAMU YA YESU, inaweza kuchakachuliwa tu na hivyo kupelekea KUMGHAFIRISHA AU KUMKASIRISHA ROHO MTAKATIFU na hatimaye kuondoka kwa muda kwenye madhabahu husika; hali inayoweza kupelekea jambo la kiupumbavu kufanyika kupitia MADHABAHU YA DAMU YA YESU iliyochakachuliwa, lakini haipo MADHABAHU YA DANU YA YESU ambayo pia ni madhabahu ya shetani

NA HIKI NDIYO EXACTLY KINACHOFANYIKA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A; baada ya RM kuwa ametoweka kwa muda.

Fact ni kwamba MOTO NA MAJI HAVIWEZI KUKAA PAMOJA n hivyo haiwezekanni kwa madhabahu hizi mbili ku-operate kwa pamoja

HITIMISHO

Wenye mamlaka ya Nchi wanaweza kulipitia upya tukio hili la Mtumishi wa Mungu aliyewahi kupoteza waumini wake;
yeye mwenyewe nadhani anazo clues zaidi, assuming hypothesis ya mhusika kiko sahihi

Mbali na hilo, KWENYE MAMBO HAYA YA IBADA, MZEE WA UPAKO HAJAWAHI KUWA NA DIVIDED INTETIONS. Kama aliwahi kuwa nayobasi ni kwenye mambo mengine ila si haya ya Ibada

Mhusika akishamuona MZEE WA UPAKO anagawa maji ya upako, na ambayo yanatokana NA MADHABAHU YA DAMU YA YESU; inanipa shida sana kusema kuwa maji hayo ni HIRIZI, labda YESU mwenyewe ashuke physically na kutoa maelekezo kuwa maji hayo ni hirizi na ndiyo mhusika anaweza kuamini kuwa maji hayo ni hirixzi

RM anafufua; na anafufua kupitia waumini wake aliowapa mamlka hayo.

MASWALI MAWILI MUHIMU:

  • KINACHOWEZA KUFUFUA MTU ALIYEKUFA, KINASHINDWAJE KUBARIKI MAJI AU MAFUTA KWA AJILI YA MSAADA WA MTU MWINGINE AMBAYE HANA MBINU ZAIDI ZA KIRORO?
  • KINASHINDWAJE KUBARIKI MBEGU ZA KWENDA KUPANDA SHAMBANI KWA AJILI YA MAZAO BORA YA MSIMU UJAO
Tatizo linaloonekana hapa ni kwamba inaonekana haya mafuta ya upako, hata yule teja aliyevuta bangi na pia kulewa pombe, akibahatika kuyakamata kwenye mikono yake na kuyatumia yatafanya kazi

“Tuache siasa kwenye maswala ya MUNGU”


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MIEZI MITATU MBELE BAADA YA SEMINA YA ROHO MTAKATIFU KUPITA; ILIFUATA SEMINA NYINGINE YA WIKI MOJA ILIYOKUWA NA KICHWA KILICHOSEMA “KULIJUA KUSUDI LA MUNGU NA NAMNA YA KULITUMIKIA

Semina hiii ilifanyika May 2012

Zifuatazo hapa chini ni audio clips za semina hiyo

Siku ya kwanza; Jumatatu
Audio clip ya kwanza


Audio clip ya pili


Audio clip ya tatu


Audio clip ya nne


Audio clip ya tano
 
Siku ya pili; Jumanne

Audio clip ya kwanza


Audio clip ya pili


Audio clip ya tatu


Audio clip ya nne


Audio clip ya tano
 
Siku ya tatu; Jumatano

Audio clip ya kwanza


Audio clip ya pili


Audio clip ya tatu


Audio clip ya nne


Audio clip ya tano
 
Siku ya nne; Alhamis
Audio clip ya kwanza



Audio clip ya pili


Audio clip ya tatu


Audio clip ya nne


Audio clip ya tano
 
Siku ya tano ; Ijumaa
Audio clip ya kwanza


Audio clip ya pili


Audio clip ya tatu


Audio clip ya nne


Audio clip ya tano
 
Siku ya sita na ya mwisho ; JUMAPILI
Audio clip ya kwanza

Audio clip ya pili

Audio clip ya tatu

Audio clip ya nne

Audio clip ya tano
 
BAADA YA SEMINA YA “KULIJUA KUSUDI LA MUNGU NA JINSI YA KULITUMIKIA” KUWA IMEPITA

Zilifuata semina zingine kadhaa za watumishi wengine wa Mungu, na ilipofika May 2014 (miaka miwili mbele), mtumishi aliyewahi kuhudumu kwenye semina tajwa, alirudi tena Kanisa A, safari hii ikiwa ni kwenye Sikukuu ya Wanawake

Kwenye Semina hiyo sasa yalirushwa mapepo ya waziwazi na kupelekea matokeo yafuatayo ofisini kwa mhusika

  • Mhusika kuandikiwa barua na mwajiri wake, akitishiwa kufukuzwa kazi huku akipewa muda wa wiki mbili awe amejieleza kwa maandishi
  • Baada ya kujieleza, mhusika kujulishwa kuwa ataitwa kwenye kikao cha nidhamu kwa tuhuma kuwa alikuwa hana nidhamu kwa wakuu wake wa kazi na kwamba alikuwa akipangiwa majukumu ya kazi anagoma kufanya
Baada ya kuona hivyo, mhusika aliamua kuondoka Kanisa A, akahamia Kanisa B

Kilichomsaidia ni kwamba baada ya kuwa ameondoka Kanisa A, picha iliyojitokeza ni kwamba ALIOGOPA

Kwa hiyo kilichotokea baada ya kuwa amehamia Kanisa B, ikaundwa tena joint force kati ya makanisa haya mawili, wakaanza kumbugudhi tena huko Kanisa B, nia ikiwa ili ahamie kwenye Kanisa jingine; tuseme Kanisa C

Hapa ndipo makosa makubwa yalipofanyikia; kwa sababu mhusika hakuwa na plan ya kwenda Kanisa C

Baada ya mhusika kugundiua merger iliyokuwepo kati ya Makanisa haya mawili, alichofanya ni kuondoka Kanisa B akarudi tena Kanisa A, huku akiwajulisha wale wa Kanisa B kuwa atakapokuwa amebughudhiwa tena huko Kanisa A, atarudi Kanisa B

Tangu April 2017, mhusika yupo Kanisa A hadi leo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 04TH APRIL 2024

KUNA MTU IDARANI KWAKE MHUSIKA AMEANZA PILIKA PILIKA ZA KUMCHONGANISHA MHUSIKA NA MWAJIRI WAKE

NI YULE MAMA ANAYETUMIA CHEO CHA “HR” ALIYEPO IDARANI KWAO MHUSIKA

“MSHAHARA WA MWEZI HUU WA MHUSIKA HAUJAINGIA BENKI”; NA MASLAHI YAKE ANAYODAI NAYO PIA BADO HAJALIPWA


Jana J5 ya tarehe 03/04/2024 mhusika alifanikiwa kufika Benki, baada ya kuona note siku ya J4 iliyokuwa inaongelea maswala ya mshahara wake

IMshahara wa mhusika wa mwezi March haujaingia benki na wanaoonekana kuwa wana taarifa ni MKUU WA IDARA (ambaye kwa sasa hayupo idarani, amesafiri), MKUU WA MAJOR UNIT pamoja na mama ambaye huwa anatumia cheo cha HR, aliyepo idarani kwao mhusika

J4 ya wiki hii, kuna note ilikuwa circulated kwenye email ikmtaarifu mhusika kuwa mshahara wa mwezi March hawezi kuupata

Kabla ya siku hiyo, mhusika hakuwa amewahi kupata taarifa zozote za awali kutoka kwa mwajiri wake, zilizokuwa zikimjulisha juu ya uwezekano wa kuja kukosekana mshahara wa mwezi March 2024

Ndani ya kipindi kirefu sana, mhusika amefanikiwa kupata circular moja tu kutoka kwa mwajiri wake na ambayo ilikuwa inaongelea maswala mengine tu na si ya haya ya kukosekana kwa mshahara wa March 2024

Note hii ya sasa iliyotoa taarifa za kukosekana mshahara wa mhusika ina sifa kuu zoifuatazo

Haina anwani ya kule ilikotokea na wala haijataja walengwa wa kule inakotakiwa kuelekezwa, ni karatasi tu ya kawaida

Zaidi ni kuwa

  • Imekuwa circulated kama attachment kwenye email ikitokea ofisini kwa MWI
  • Haina tarehe ya siku iliyoandikwa
  • Haina jina la aliyeiandika
  • Kule mwisho, inna cheo cha mwandishi wake na ambacho si kile ambacho mama ambaye ni “HR” huwa anakitumia
  • Haina sahihi ya yule aliyeaiandika
  • Mhusika aliiona na kuisoma J4 ya wiki hii tarehe 02/04/2024
Zaidi ni kuwaa note hiyo imepokelewa ofisini kwa MWI ikapigwa mhuri na Katibu Muhtasi wa MWI na baada ya hapo; mtu mwingine kwenye ofisi ya MWI akai-minute kwenda kwa MWI mwenyewe na bila kuweka sahihi yake, yaani mtu mwingine ndani ya ofisi ya MWII na ambaye naye hakuweka sahihi yake, amei-minute note hiyo kwenda kwa MWI

Hata hivyo, iwapo kama kuna wakati fulani mwajiri alishawahi kutoa circular inayohusiana na maswala ya mshahara wa March 2024 kukosekana, basi mhusika atakuwa alifichwa circular hiyo, hakuipata

Ni kweli mwajiri anao uwezo wa kusimamisha mshahara wa mwajiriwa kama apendavyo
lakini katika hili, mhusika anaamini kuwa mwajiri wake asingeweza kusimamaisha mshahara kwanza halafu ndiyo akatoa circular

Mhusika anaamini kama angekuwa ni mwajiri, basi angetoa taarifa kwanza halafu ndiyo mambo mengine yakafuata

Kwa hali hii, “HR” anatumia nafasi yake kutaka kumchonganisha mhusika kwa mwajiri wake

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

UP NEXT
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA YA MHUSIKA KWENDA BENKI NA KUKUTA HAKUNA MSHAHARA

………….inaendelea
 
KUHUSIANA NA ALIYEWAHI KUWA MKUU WA IDARA KWENYE MIAKA YA 20015-2016

PATTERN ILIYOONYESHWA NA MKUU HUYU INAYOHUSIANA NA VIBAO VIPYA VYA MAJINA KWENYE MILANGO YA OFISI IKIWA NI PAMOJA NA FUNGUO ZA OFISI

KUHUSIANA NA VIBAO VYA KWENYE MILANGO YA OFISI


Kwenye safari zote ambazo vibao vipya vimekuwa vikiwekwa milangoni, baada ya siku chache mbele tangu siku vibao vilipowekwa, mara zote MKUU huyu amkekuwa akifika ofisinikwa kwa mhusika kwa ajili ya kumsalimia

Hata hivyo, kwenye awamu moja (ile awamu ya pili) ya vibao hivi vilipokuwa vinawekwa mlangoni, MKUU huyu alikuwepo pia ndani ya jengo ia Idara, na hivyo siku hiyo alishuhudia mwenyewe vibao hivyo vikiwa vinawekwa

Hadi muda huu, vibao hivi vimeshawekwa mara nne au tano, na mara ya kwanza kabisa viliwekwa May 2023 (mwaka jana)

  • Kwenye safari ya hivi karibuni kabisa ya vibao vipya kuwekwa mlangoni, kibao kipya cha jina la OM-2, kilikuwa replaced na kibao kingine kipya zaidi
  • Kutokana na hali hiyo, OM-2 alifanikiwa kuwa na vibao viwili na hivyo kuchukua kimoja kilichotolewa mlangoni na kukiingiza ndani ofisini; akakiweka mbele ya meza yake
KUHUSIANA NA FUNGUO; YAANI PALE MHUSIKA ANAPOKUWA AMEKABIDHIWA FUNGUO MPYA ZA OFISI

Mara zote MKUU huyu amekuwa akifika ofisini kwa mhusika, siku chacche tu baada ya mhusika kuwa amekabidhiwa funguo mpya

  • Kwenye tukio la mwaka jana ambalo mhusika alipoteza/ aliibiwa funguo za ofisi na kukabidhiwa nyingine mpya, zilipita siku chache tu kabla MKUU huyu hajafika ofisini kwa mhusika kumsalimia
  • Vile Ijumaa ya tarehe 22/03/2024 baada ya kikao cha idara, mhusika alikabidhiwa tena funguo mpya na yule jikana mtaalamu wa IT
Baada ya mapumziko ya Pasaka kupita, MKUU huyu alifika tena ofisini kwa mhusika J4 ya tarehe 02/04/2024 kumsalimia

Kwenye safari hii ya mwisho, MKUU huyu alitumia muda mrefu kidogo ukilinganisha na awamu zingine zilizopita; na chances ni kwamba mapumziko ya Pasaka ndiyo yaliyomchelewesha kidogo lakini uwezekano ni kwamba pengine angeweza kufika mapema zaidi kabla ya siku hiyo

KUHUSIANA NA MASHAMBULIO YA KUPITIA CELL RECEPTORS AU MAJERAHA YA KWENYE MWILI AMBAYO MHUSIKA AMESHAYAONGELEA SANA KWENYE POSTS ZILIZOPITA

Utafiti wa sasa wa mhusika unaonyesha kuwa MKUU huyu ndiye muasisi wa kwanza kabisa wa mashambulio ya kupitia CELL RECEPTORS mwaka 2015 kipindi alipokuwa bado ni MWI

Mwaka 2015, MKUU huyu aliwahi kuumia kiwiko na hivyo kulazimika kufunga POP

Mkuu aliumia baada ya kuanguka chini kutoka ghorofa ya kwanza hadi chini

Tukio hilo lilisemekana kutokea siku moja ya J2 alipokuwa anapambana kijasiri sana na mwizi aliyesemekana kuwa likuwa ameingia ndani ya jengi la idara kwa nia ya kuvunja na kuiba ofisini kwa MWI

Mwizi huyu alisemekana kuwa alikuwa amekuja kuiba MACINTOSH computer iliyokuwepo ndani ofisini kwa MWI, na alifanikiwa kuvunja grill

Details zaidi za tukio hili la mwaka 2015 tayari zipo humu jukwaani, mhusika alishawahi kuzileta humu, mojawapo ya posts za maelezo hayo ikiwa ni hii hapa #503

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MLOLONGO WA MATUKIO MUHIMU KWENYE MAZINGIRA YA HIVI KARIBUNI YA MHUSIKA UKIYAHUSIANAISHA NA SEMINA YA ROHO MTAKATIFU (RM) ILIYOWAHI KUFANYIKA MWAKA 2012

Kutoka kwenye Semina hiyo ya mwaka 2012, mojawapo ya audio clips zilizopo kwenye post hii, #1,972 (audio ya kwanza au ya pili) kuna ushahidi unaoonyesha kuwa RM si “WAZO” bali ni “HALISI”

Kwa hiyo kwenye Semina hiyo, WAZO pia lilitamkwa na hivyo kuichukua nafasi ya kuweza kufanyiwa kazi

FACT iliyopo hapa ni kwamba vitu vyote ambavyo ni HALISI, vinavyoonekana au visivyoonekana, vilianza na WAZO

Kwa hiyo WAZO haliwezi kutenganishwa na maisha ya kila siku ya mwanadamu; bila WAZO binadamu hawezi kufanya kitu; atakuwepo tu duniani akiwa amebung’aa kama kichaa na. bila kufanya jambo lolote lile; bovu au la maana

TANGU OKTOBA 2023 (MWAKA JANA) SEMINA MBILI ZIMESHAFANYIKA KANISA A ZIKIWA ZINASHUGHULIKA NA THEME “WAZO”;

Mojawapo ya Semina hizo ni ile iliyofanyika wiki juzi hapo KANISA A ikiwa inahusiana na maswala ya ujasiriamali

Semina hii ilitangzawa ghafla tu na KM-A kwenye J2 ya kufuataia J3 ya kuanza kwa Semina hiyo; ila haikuwa imetangazwa kwenye J2 iliyokuwa imepita nyuma yake na hivyo ilifanyika kwa kushtukiza, haikuwa imepangwa kwenye ratiba

Semina nyingine ya aina hii iiliwahi kufanyika mwaka jana Oktoba 2023, ambapo mshindi wa WAZO alipewa zawadi ya TZS LAKI TANO

Zawadi hiyo ILIKABIDHIWA kwa mshindi na KINARA WA MATANGAZO (KWM); ambaye kwa sasa hayupo tena pale Kanisani

Mshindi wa WAZO aliKABIDHIwa na KWM zawadi ya TZS laki tano

KWA WAKATI HUO, “KABIDHI” LILIKUWA MOJAWAPO YA MANENO POPULAR AMBAYO MHUSIKA ANAPENDA SANA KUYATUMIA KWENYE MAOMBI YAKE

Neno hili KABIDHI; mhusika alikuwa anapenda sana kulitumia hasa alipokuwa anatamka maneno kama “kukabidhi mikononi mwa Bwana; maneno ambayo hata KM-A naye huwa anapenda sana kuyatumia wakati wa Ibada

Pasipo mhusika kuwa na ufahamu wowote wakati huo, cha ziada kilichofanyika kwenye semina hiyo ya ujasiriamli; wakati KWM alipokuwa anakabidhi zawadi ya laki tano kwa mshindi, kitendo hicho kilirusha pepo kwenye maneno yote yanayoendana na shina “KABIDHI”, na kuanzia pale ikawa kila mhusika alipokuwa anatamka neno lolote linaloenda na shina “KABIDHI”, alikuwa anafuta kila kitu alichoomba kabla na pia kile alichoomba baada ya kuwa ametamka neno hilo

Mbali na hayo, kitendo “KABIDHI” nacho pia kilirushiwa pepo na hivyo kuanzia pale, MAKABIDHIANO yoyote yale yaliyokuwa yakifanyika popote pale, yalirushiwa pepo

WAKATI “WAZO” NA “KABIDHI” VINARUSHIWA PEPO OKTOBA 2023 KWENYE SEMINA YA UJASIRIAMALI, MHUSIKA HAKUWEZA KUGUNDUA HILO HADI ILIPOFIKA JANUARY 2024

Mbali na hilo, JIONI YA J2 HIYO, VIBANDA VYA WAJASIRIAMALI KARIAKOO VILIUNGUA MOTO

Kwa wakati huo, mhusika hakuweza kugundua kilichokuwa kimefabyika kwenye semina hiyo kuhusiana na neno “KABIDHI”; isipokuwa alikuja kugundua hivi karibuni tu ndani ya mwaka huu, ilipofika Januari 2024

  • Ilikuwa ni baada ya Office Mate One (OM-1) ambaye alikuwa amesafiri tangu Septemba 2023, kurudi ofisini Jamuari 02, 2024
  • Makabidhiano ya zawadi ya WAZO la ujasiriamli yalifanyika J2 ya tarehe 01/10/2023 (mwaka jana), na badhi tu ya post ambazo mhusika aliwahi kuzileta humu jukwaani kuhusiana na makabidhiano hayo ni hizi hapa zifuatazo
#1,726

#1,727

#1,728

#1,729

#1,730

#1,731

Tukio muhimu zaidi lililotokea J2 ya makabidhiano hayo ya TZS laki tano ni la vibanda vya wajasiriamali Kariakoo kuteketea kwa moto

KILE KILICHOPELEKEA MHUSIKA AKAGUNDUA KUWA NENO ‘KABIDHI” LILIRUSHIWA PEPO J2 YA SEMINA YA UJASISIRIAMALI OKTOBA 2023

Ni matendo ya OM-1
baada ya kuwa amerudi ofisini kutoka safari, pale ilipofika Januari 2024 (mwaka huu)

Mara tu baada ya kurudi ofisini, OM-1 alianza kufanyia kazi neno “CONNECTIONS” ambalo ndiyo mhusika alikuwa ameamua kulitumia kama neno mbadala wa neno “KABIDHI”; ila huku akiwa bado hana ufahamu kama neno ““KABIDHI” liliwahi kurushiwa pepo kwenye Semina ya Oktoba 2023

Mhusika aliamua kubadilisha tu mojawapo ya KEYWORDS zake kutoka “KABIDHI” kwenda “CONNECT”, baada ya kuona mashambulizi yanaendelea kuzidi, wakati maombi alikuwa anafaya kama kawaida

Wakati anafanya mabadiliko hayo hakuwa na ufahamu wowote kama neno “KABIDHI” lilikuwa limerushiwa pepo wakati wa Semina ya Ujasiriamali; ila alikuja kujua baada ya OM-1 kuanza kufanya CONNECTIONS za vifaa ofisini

Baada ya kugundua kupitia matendo ya OM-1, kuaniza pale alianza sasa alirudi nyuma na kulipta tukio hilo la Oktoba 2023 ambalo KWM alihusika

Zaidi, mhusika alipata na tukio jingine tena lililowahi kumhusisha OFFICE MATE NUMBER MBILI (OM-2), lililotokea Ijumaa ya tarehe 22/12/2023 (mwaka jana) siku ya presentations ya Project za wanafunzi, ambalo maelezo yake ya kina yatafuata baadaye

  • Hapa ikumbukwe kuwa wakati OM-2 anautumia utaalamu huu siku ya Presentation ya Project za wanafunzi Desemba 2023, OM-1 alikuwa bado yupo safari
  • OM-1 aliporudi ofisini Januari 2024, utaalamu huu ndiyo ukawa wazi kwa mhusika kwa mara ya kwanza
Kwa hiyo kipindi OM-2 anautumia utaalamu huu mwezi Desemba 2023, OM-1 alikuwa bado yupo safari, na mhusika alikuwa bado hajaufahamu; ila alikuja kuufahamu baadaye Januari 2024 baada ya OM-1 kuwa amerudi kutoka safari

Utaaalamu huu bado upo unaendelea hadi leo; yaani hata siku ya leo Alhamis ya tarehe 04/04/2024 umefanyika, na kwa sasa umehamia kwenye DRAWERS NA DRAWEES, huku wahusika wake wakuu wakiwa ni OM-1, OM-2, wakishirikiana na wengine wawili Mstaafu MWI wa kipindi cha 2012-2016 pamoja na kijana mme wa mkwe wa mhusika, ambaye (kijana) aliwahi kutrain kwenye kitengo cha matetemekko ya ardhi

Huyu kijana ndiye pia alikuwa amekasimishwa mamlaka na MWI ku-coordinate presentation za Projects za wanafunzi zilizowahi kufanyika mwishoni mwa mwaka jana 2023, na hivyo ndiye pia aliyewahi kuhusika kwenye tukio la Ijumaa ya tarehe 22/12/2023 (mwaka jana) wakishirikaiana na OM-2; kipindi ambacho OM-1 alikuwa bado yupo safari

DRAWEE NA DRAWERS; WHO ARE THEY?


Kwa faida ya baadhi tu ya wale ambao siyo wahasibu na wanaoweza wasiwe na ufahamu wa maneno DRAWEE NA DRAWERS

  • DRAWEE ni mtu anayepewa cheki (hawala ya fedha), kama malipo ili akachukue kutoka Benki ;fedha atakayochukua ikiwa inatoka kwenye akaunt ya DRAWER
  • DRAWER ni mtu anayetoa cheki (hawala ya fedha), kama malipo kwa mtu mwingine (DRAWEE), ili mtu huyo akachukue malipo hayo Benki; kutoka kwenye akaunti ya DARWER mwenyewe
KUFANIKISHA ZOEZI HILI; KUNA DROO NDOGO IMELETWA NA OM-1 NA OM-2 OFISINI KWAO MHUSIKA

Kuna droo ndogo ambayo hivi karibuni, imehamishiwa ofisini kwao mhusika takribani mwezi mmoja uliopita; na ndiyo hiyo inayotumika kwa ajili ya practical tajwa

  • Droo hiyo ilihamishiwa humo katika muda ambao mhusika hakuwepo, alistukia tu ipo pale ofisini, namara ya kwanza alipoiona, alijua kuwa ilikuwa ni kwa ajli ya matumizi ya kawaida tu ya ofisi
  • Kwa hali hiyo, droo hiyo inatumika pia kwa matumizi mengine ya kiofisi ambayo ni genuine kabisa na ambayo mtu yeyote yule hawezi kuyatilia shaka, kiasi kwamba kama mhusika asingekuwa na ufahamu wa maqtukio mawili ya awali aliyohusiana na ‘ maneno KABIDHI” na “‘CONNECT”, asingeweza kujua kitu chochote cha ziada kutoka kwenye droo hizi

………………………inaendelea
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA YA MHUSIKA KWENDA BENKI NA KUKUTA HAKUNA MSHAHARA
 
…………inaendelea

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA YA MHUSIKA KWENDA BENKI NA KUKUTA HAKUNA MSHAHARA

MOJAWAPO TU YA TUKIO AMBALO LILIMHUSISHA OM-1 NA NENO “CONNECT” BAADA YA KUWA AMERUDI KUTOKA SAFARI JANUARI 2024

Ni hili hapa #1,873

OM-1 alianzisha utaratibu wa kuwa analeta na ku-CONNECT vifaa vya electronics kwa ajili ya kuvichaji, akivitoa sehemu A ambako pia kulikuwa na uwezekano wa kuchajiwa huko, na kuvileta ofisini kwake kuja kuvichaji humo, na alifanya hivi kwa safari zipatazo tatu

OM-1 alidai kuwa pamoja na kuwa vifaa hivyo havikuwa vinahitajika kwenda field, bado vilihitaji kuwa vinachajiwa mara kwa mara kwa sababu huwa vina-discharge automatically baada ya muda fulani kuwa umepita

OM-1 alifanya hivi kwa interval tatu zilizopishana kwa takribani wiki mbili mbili tu, kitu ambacho kilianza kupingana na dhana ya vifaa hivyo kudischarge automatically kwa sababu hata kama kweli vilikuwa vinadsicharge, ilikuwa haiwezekani vifaa hivyo kuwa vinadisvharge kwa muda mfupi wa wiki mbili tu ilihali ni vizima havina kasoro yoyote

Mhusika aligundua kuwa vifaa hivyo vilikuwa na kitu kingine cha ziada nyuma yake, na alichokiona kwa wakati huo ilikuwa ni “EVENT” peke yake pasipo neno “”CONNECT”

Ni kweli “EVENT” ilikuwa inahusika ila pia kulikuwa na kitu kingine cha ziada nyuma yake

BAADA YA VIFAA HIVYO KUANZA KUWA CONNECTED MARA KWA MARA

Hapo kabla, mhusika alikuwa anaona shambulio kwenye EVENT peke yake. Baada ya OM-1 kuendelea kurudi rudia, ndiyo pale mhusika alipokuja kugundua kuwa vifaa hivyo vilikuwa na uhusiano pia na neno “CONNECT” alilokuwa analitumia kwenye maombi yake

KABLA HAJAENDELEA ZAIDI; MHUSIKA HUWA HAOMBI KWA KUTAMKA MANENO KWA SAUTI, ILA HUWA ANATAMKA MANENO KWA KUCHEZESHA MIDOMO TU

SWALI: CODE HIZI ANAZOTUMIA ZIMEKUWA ZIKIVUJA VIPI?

Kwa kifupi sana; nI kwa kutumia Camera za Kanisani


HII huwa inafanyika wakati ambao KM-A huwa anapanda juu madhabahuni na kuiita timu ya watu wa PRAISE AND WORSHIP na hatimaye tena kuwaomba waumini “waseme na Baba yao wa Mbinguni” ndiyo pale ujanja huu umekuwa ukipata mwanay wake

Kwenye muda huo, pasipo kujua, mhusika huwa anaelekezewa Camera, anapigwa picha wakati anapepesa pepesa lips za midomo yake, na baadaye tena, computer technology huwa inaenda kufanya kazi possibly ya kuchezesha zaidi lips hizo ili iweze kujulikana kuwa zilikuwa znatamka maneno gani

Hii ni njia mojawapo tu ambayo mhusika amekuwa na uhakika nayo, ila zinaweza kuwepo pia njia nyingine tofauti pengine zinazoweza kuwa zinafanyika wakati maombi ya Ibada kuu

NAMNA AMBAVYO UTARATIBU UMEKUWA BAADA YA IBADA ZILIPOHAMIA KWENYE KANISA JIPYA MNAMO DESEMBA 2021

Imekuwa kawaida kwamba baada ya Ibada kuwa zimehamia kwenye Kanisa jipya, karibia mara zote zimekuwa zikihitimishwa kwa maombi, ilhali waumini walipokuwa bado wanaabudu kwenye Kanisa la zamani, ilikuwa ni mara chache sana kwa PRASIE AND WORSHIP kukaribishwa tena madhabahuni baada ya Ibada kuu kuwa imehitimishwa

Hata hivyokwa siku hiz baada ya kuhamia Kanisa jipya imekuwa kama ni lazima

FAULO NYINGINE INAYOFANA NA HIYO INAYOFANYIKA KWA KUTUMIA CAMERA ZA KANISANI NA AMBAYO NI MBAYA KULIKO ZOTE

Iko hivi:

Mhusika anakuwa amekaa kwenye kiti A halafu a stanger ambaye hajulikani na watu Kanisani hapo, anatonywa na kuja na kukaa kwenye kiti B, next to mhusika

AU

Binti mrembo anayefamika Kanisani hapo, au mwingine mgeni asiyrefahamika, anatonywa na kuja na kukaa kwenye kiti B, next to mhusika

Baada ya hapo, pale katikati ya Ibada, mtumishi aliyepo juu Madhabahuni akifundisha neno la Mungu, anawaomba waumin akisema maneno kama “mgeukie aliye jirani yako halafu mwambie wewe vya kwako uko radhi kumwachia shetani”?

The moment mko kwenye ku-dictate meneno hayo na jirani, Camera inakuwa imeleekezwa kwake na baadaye, replay inakwenda kufanyika kuonyesha kuwa mhusika allikuwa yupo Kanisani akinong’onezana maneno kwenye Ibada na mtu ambaye ni Stranger au binti mrembo

Wakati huo sauti ya mtumishi wa Mungu iliyopelekea mhusika na jirani wakanong’onezana maneno inakuwa imefutwa, huku maneno yale waliyonong’onezana mhusika na jirani yake yakiwa hakunaswa na Camea

Baada ya hapo plan huwa ni kwamba ikitokea akawa alikaa na jirani na mtu ambaye ni stranger asiyefahamika Kanisani hapo halafu baadaye akaja akaingia kwenye mtego huu wa kusemezana naye maneno waliyoambiwa na mtumishi aliyekuwa juu madhabahuni; na ikitokea tena kwa bahati mbaya ukaondoka kanisani prematurely kabla ya Ibada kufikia mwisho kabisa, wanakuwa sasa wametuma watu wa kukufuatilia njiani ambao wanaweza hata wakatega kitu cha hatari kwenye gari lako; assuming utaondoka Kanisani na kwenda kusimama simama sehemu tofauti tofauti

Plan yao huwa ni kwamba baada ya tukio tarajiwa, Camera zao zitamuonyesha mhusika kwenye Ibada akiwa anaongea maneno na mtu asiyefahamika ambaye possibly walikuwa wanapeana miadi ya kwenda kukukutana mahali fulani

Kwa upande wa warembo hasa hawa ambaowanakuwaga ni wageni kiasi Kanisani hapo, akiondoka kwenye Ibada pre-maturely, na mrembo naye anaondoka pia; nia ni ili ijulikane kuwa waliondoka kwa makubalinao fulani

Halafu baadaye sasa kama kutatokea tukio, Camera zitakuja kuonyesha kuwa aliwahi kuwa anaongea na mrembo wakati wa Ibada na mud ule alipoondoka Kanisani, na mrembo naye alitoweka

SIKU AMBAYO MHUSIKA ALIBAHATIKA KUUBAINI UTAALAMU HUU AMBAO YEYE ANADHANI KUWA NI UBUNIFU WA MR X

Ni kwenye J2 ya tangazo la mwisho (la tatu) la harusi ya Binti wa MR X, August 2022

Kwenye maandalizi ya harusi hiyo, mhusika aliahidi kutoa mchango kiasi fulani cha fedha lakini baada siku mbili au tatu, MR X akamfanyia kitu mhusika walipokuwa wapo kwenye mazingira ya ofisini, ambacho kilipelekea mhusika kuufuta mchango wake, huku aki-declare humu humu jukwaani kuwa mchango aliokuwa ameahdi hatautoa tena

  • Baada ya hapo, plan ikafanyika sasa ya kurekebbisha hilo ili MR X awe MR CLEAN na mhusika awe kinyume chake
  • Kwenye J2 ya tangazo la mwisho la harusi ya binti wa MR X, Kinara wa Matangazo (KWM) akatangaza kuhamishia Ibada kutoka Kanisa jipya kwenda la zamani
Ilikuwa ni August 2022

J2 husika ilipowadia, mhusika akaenda akakaa safu ya viti vya nyuma kabisa vya Kanisa la zamani

Baada ya hapo, muda si muda Binti wa MR X amabye alikuwa amepangwa akapangika, naye akaja akakaa jirani na kiti alichokuwa amekaa mhusika

  • Ibada ilipokuwa inaendelea, mtumishi wa Mungu aliyekuwa juu madhabahuni, akawaomba waumini watamkiane maneno ambayo aliwaelekeza; na mhusika na bint wakafnya hivyo. Kumbe wakati huo Camera zilikuwa zimeelekezwa kwao!!
  • Baada ya maneno ya kutamkiana kupita, likafuata tena tangazo la mwisho na Binti akasimamishwa ili waumini wamuone na binti aliposimama, alionekana akiwa amekaa kiti jirani na mhusika
Yaani hizi plan kama MR X angekuwa anaiztumia ku-plan vitu vya maana tu, dunia hii ingekuwa mbali sana

Hiki ndicho ambacho RM aliwahi kusema na mhusika kuhusiana na mambo haya, na bahati nzuri MR X alitumiwa tu kwa ajili ya mambo mengine ya muhimu zaidi yaliyokuwa yapo mbele yake mhusika, ukiacha na tukio hilo la kitoto la huyo binti yake

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA YA MHUSIKA KWENDA BENKI NA KUKUTA HAKUNA MSHAHARA

…………..itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KATIKA YALE YALIYOSEMWA HAPO JUU
HAYA ALIYOANZA KUYAELEZA HUMU MHUSIKA, NDIYO YALE AMBAYO JUZI J4, ALIAHDI KUWA ATAYALETA HUMU JUKWAANI, HUKU MAELEZO HAYO (YA J4) YAKIWA NI MAELEZO YA UTANGULIZI
STILL, HADI KUFIKIA SIKU HIYO YA J4 MHUSIKA ALIKUWA ANAJUA KUWA MSHAHARA WAKE ULIKUWA HAUJAINGIA BENKI LAKINI ALIKUWA BADO GAJAENDA BENKI NA HIVYO ALIHITAJI KUFIKA KWANZA BENKI ILI AHAKIKISHE HILO KWA SABABU UPO PIA UWEZEKANO WA MSHAHARA WA MTU KUPOSTIWA BENKI HALAFU UKACHELEWA KUINGIA KUTOKANA NA MATATIZO MENGINE KAMA VILE YA MTANDAO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU KUHUSIANA NA MIENENDO YA SASA YA OM-1; YULE ALIYEWAHI KUSAFIRI SEPTEMBA 2023 NA KURUDI JANUARI 02, 2024

OM-1 AMESHAANZA TENA KUKWEPNA NA BAADHI YA WAFANYAKAZI, WANAFUNZI, PAMOJA NA STAFF ALIYEWAHI KUWA MWI 2006-2012

MOSI
: KWENYE KIKAO CHA KWANZA CHA IDARA KILICHOFANYIKA HIVI KARIBUNI KIKIWA KINAENDESHWA NA MWI MWENYEWE, ALIKAA KIDOGO TU KWENYE KIKAO HICHO HALAFU BAADAYE ALIONDOKA NA HAKUONEKANA TENA MAZINGIRA YA OFISINI HADI WIKI ILIYOFUATA

PILI: KWENYE KIKAO CHA PILI CHA IDARA KILICHOFANYIKA HIVI KARUBUNI IJUMAA YA TAREHE 22/03/2023 KILICHOENDESHWA NA KAIMU MKUU WA IDARA, OM-1 HAKUWEPO KABISA KWENYE KIKAO HICHO, HAKUWA AMEFIKA KAZINI

TATU
: KAWAIDA KUANZIA J3 YA WIKI HII WANAFUNZI WALITKIWA KUWEPO CHUMBA JIRANI NA OFISI YAO MHUSIKA, KILE CHA MICROSCOPE LAKINI WANAFUNZI HAO HAWATAKUWEPO TEANA KWENYE CHUMBA HICHO, BAADA YA MPANGILIO WA UFUNDISHAJI KUBADILISHWA N.A. MWALIMU WA SOMO, YULE SWAHIBA WA MHUSIKA

KATIKA HALI YA KAWAIDA NA MARA ZOTE KABLA, WANAFUNZI HAO HUWA WANAANZA JWA KUWEPO KWANZA KWENYE CHUMBA HICHO KWA MUDA WA WIKI TATU AU NNE HIVI KWANZA, HALAFU BAADA YA HAPO NDIYO WANAKUWA WAPO DARASANI PAMOJA NA MHUSIKA.

KWA SAFARI HII MPANGILIO UMEBADILIKA KWA MARA YA KWANZA NA HIVYO WANAANZIA DARASANI TU MOJA KWA MOJA, HAWAANZII TENA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPE

NNE: OM-1 KWA SASA HAKAI TENA OFISINI KWAKE, BALI SNAIJIPACHIKA KIFOGO TU HALAFU ANAONDOKA ANAKWENDA KUKAA SEHEMU NYINGINE,. KWA SASA ANAZO FUNGUO NYINGINE ZA OFISI, FUNGUO AMBAZO WANACHANGIA NA MWI MSTAAFU WA 2006 -2012

NAMNA AMBAVYO OM-1 ANASHARE FUNGUO HIZO NA MSTAAFU MWI

KARIBIA MARA ZOTE HUWA INAKYWA HIVI

WOTE OM-1 N.A. OM-2 HUONFOKA OFISINI, OM-1 AKIWA AMEZIACHA FUNGUO HIZO KWENYE MEZA ZIKIWA KWENYE BAHASHA YAANI NDANI YA BAHASHA, AU KWENYE DROO NDOGO ILIUOLETWA OFISINI HUMO HIBI KARIBUNI

BAADA YA HAPO MWI MSTAAFU HUJA KUZICHUKUA, MHUSIKA AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI. MARA ZOTE PATTERN IKO HIVYO.

BAADA YA HAPO TENA, OM-1 NA OM-2 HUTOKA TENA OFISINI NA WAKISHATOKA, MWI MSTAAFU HUJA TENA OFISINI NA KUZIRUDISHA FUNGUO HiZO MAHALI ALIPOKUWA AMEZITOA, MHUSIKA AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI

HUU UTARTIBU UMEKUWA UKITUMIKA KWA TAKRIBANI MIEZI MIWILI SASA

POSSIBLE CAUSE ILIYOPELEKEA KUAHIRISHWA KWA MADARASA YA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES

HAWA WANAFUNZI WALITAKIWA WASIINGIE DARASANI KWANZA WAKIWA NA MHUSIKA KWA SABABU KAWAIDA HUWA WANAANZA KUFUNDISHWA THEORY KWANZA KWA WIKI HIZI ZA NWANZO, HALAFU BAADAYE PRACTICALS HUWA ZINAFUATA, NA NDIYO PALE MHUSIKA HUWA ANAANZIA

KWA SASA INAONEKANA BAAFHI YAO WAMEFUNDISHWA TERM ILIYOPITA KWA SABABU WANAFUNZI HAWA BAADHI YAO NDIYO WALE WALE ALIOKUWEPO NAO MHUSIKA MHULA ULIOPITA, NA ATAKUWA NAO TENA MHULA HUU NA KWA KITU KILE KILE ALICHOWAHI KUWAFUNDISHA MHULA ULIOPITA

KWA HIVYO BAADHI YAO WANAKWENDA KURUDIA EXACTLY KITU KILE KILE WALICHOWAHI KUKISOMA MHULA ULIOPITA

UHAKIKA NI KWMBA EVIDENCE ZA SASA ALIZONAZO MHUSIKA NA ZISIZOTIA SHAKA ZINAONYESHA KUWA KUNA TUKIO ZITO OM-1 ANAANDAA LIWA KWA AJILI YA KULITEKELEZA, NA SAFARI HII AMERDI KIVINGINE, SIYO KAMA SAFARI ILIYOPITA NA HIVYO SI WA KUCHUKULIA POA. AMERUDI AKIWA PIA NA NIDHAMU AMBAYO HAPO KABLA HAKUWAHI NAYO

WAKATI MHUSIKA ANAONDOKA OFISINI, OM-1 ALIKUWA YUPO NJE

JANA ALHAMIS JIONI WAKATI MHUSIKA ANAJIANDAA KUONDOKA OFISINI
ALIKUTA GARI YAKE IKIWA NA FLAT TYRE

WAJATI HUIO OM-1 ALIYEKUWA AMETOKA OFISINI KABLA YA MHUSIKA AKIAGA KUWA ANAENDA NYUMBANI. HATA HIVYO MHUSIKA ALIMKUTA AKIWA YUPO PALE NJE YA GATE LA JENGO, KAMA VILE ALIKUWA ANAMSUBIRIA MHUSIKA

WALIKYWA WAMEAMBATANA PALE NA "SIR", YULE OFFICE MATE WA MWI NSTAAFU
MHUSIKA

BAADA YA KUKTA FLAT TYRE, MHUSIKA HAKUTHUBUTU KUWASHIRIKISHA CHOCHOTE KUHUSIANA NA HIYO FLAT TYRE, ALIENDESHA GARI KUWAPELEKEA MAFUNDI KULE SHELL YA MWENGE. ANAELEWA KWA SABABU FLAT TYRE ZAKE HUWA ZINATOKEA SIKU YA ALHAMIS TU

WAKATI ANATOKA OFISINI, MHUSIKA ALIAMBATANA NA MNUNUNZI WA GARI (MWG), WAWILI HAWA WALIUNGANIKIA PALE MLANGONI KWA OFISI YA MWG NA ALIYEANZA KUIOINA PANCHA YA GARI LA MHUSIKA NI YEYE MWG

TAARIFA NYINGINE ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

PATTERN YA MATUKIO HAYA KWA SASA INAANZA KUONYESHA KUWA KAWAIDA HUWA ANAANZA KWANZA YULE STAFF MGENI AMBAYE ANAPENDA KUHAMIA OFISINI KWAO MHUSIKA ANAHAMIA HUMO KWA MUDA

AKISHAHAMIA, BAADA YA SIKU KADHAA KUPITA, STAFF HUYU HUACHA KUJA KAZINI NA SIKU AKIACHA KUJA KAZINI UWEZEKANO WA TUKIO UNAKUWA NI MKUBWA

UHAKIKA NI KWMBA KUNA MAZINGIRA OM-1 ANARUTUBISHIWA ILI AWEZE KUFANYA TUKIO

TAARIFA ZINGINE ZITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA "SIR" NA OM-1 AMBAO MHUSIKA ALIOWAKUTA WAKO PALE NJE YA JENGO LA IDARA WAKATI ANAONFOKA OFISINI ALHAMIS:
ANGALAU SASA DOTS ZA FLAT TYRE YA MHUSIKA ZINAANZA KU-CONNECT, JAPO PIA INAWEZA IKAWA NI COINCIDENCE YA KAWAIDA TU


KWA WIKI HII YOTE, "SIR" AMEKUWA HAYUPO MAZINGIRA YA OFISINI. KWA HIYO YAWEZA KUWA ALIKUJA BRIEFLY NA KUISHIA NJE YA JENGO, KWA AJILI YA KUONANA TU NA OM-1

BAADA YA MHUSIKA KUWAACHA WAKIWA HAPO NJE, OM-1 NA "SIR" , MUDA SI MUDA NAO PIA WANGEACHANA, HALAFU ON HIS WAY, OM-1 ANGEMUONA MHUSIKA AKIWA YUPO PALE KWENYE PARKING AKIHANGAIKA KUBADILISHA ILE FLAT TYRE, NA KUAMUA KUMSAIDIA

PLOT YA FLAT TYRE ILIKUWA HIVYO, UNLESS IT WAS A RARE COIINCIDENCE!!!

FACT: KAMA OM-1 NA OM-2 WATAENDELEA KUTUMIKA KWA MATUKIO YA NAMNA HII, MIAKA 45 HAWATAFIKISHA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 05TH APRIL 2024

…………inaendelea


YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KABLA YA MHUSIKA KWENDA BENKI NA KUKUTA HAKUNA MSHAHARA

NENO “CONNECT” NA UHUSIKA WA OM-2 KWENYE NENO HILI

Vinginevyo, tukio lililowahi kumhusisha OM-2 lilihosiana na connections lilifanyika siku ya presentation ya projects za wanafunzi mwezi desemba 2023 kipindi ambacho OM-1 alikuwa bado yupo safari, na maelezo ya namna OM-2 alivyohusika yapo kwenye post hii hapa #1,832

Mbali na hilo; kwenye presentations hizo, wanafunzi wahusika wa projects hizo walikuwa ni PROJECTORS

PROJECTOR

Definition

  • a device that is used to project rays of light, especially an apparatus with a system of lenses for projecting slides or film on to a screen
  • a PERSON who plans and sets up a project.
Definition “quoted directly from google”

Kwa hiyo hizi DIGITAL PROJECTORS zinazotumika pamoja na COMPUTER, nazo pia zinawakilisha watu in as the same way kama ambavyo GENERATORS zinawakailisha watu

…………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SEMINA YA ROHO MTAKATIFU

………inaendelea

FUNGU LA MAANDIKO MATAKATIFU LINALOHUSIANA NA ROHO MTAKATIFU, NA AMBALO LINAONYESHA PIA UHUSIANO NA AJALI YA NDEGE ILIYOWAHI KUTOKEA HUKO BUKOBA NOVEMBA 2022

Mbali na ajali hiyo kutabiriwa kabla ya kutokea, ushahidi mwingine unaoonyesha kuwa inaweza kuwa iliapangwa ni huu hapa kwenye mafungu haya ya Bibilia, yanayowaongelea Wanafunzi wa Yesu au mitume (Apostles); na ambayo pia yanahusiana na ROHO MTAKATIFU

Matendo ya Mitume 2:1-4

Kushuka kwa Roho Mtakatifu siku ya Penetkoste


1 Wakati ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja

2 Kukaja ghafla toka mbinguni sauti kama mvumo wa upepo mkali ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi

3 Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao

4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyoWAJALIA kutamka.

Assuming ajali hiyo ilipangwa, fungu hili la nne ndiyo lile lilimtengeneza SHUJAA MAJALIWA

Maandiko haya yapo pia yakiwa yamefanafanuliwa vizuri sana kwenye zile audio clips za siku ya kwanza ya Semina ya RM

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom