#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KILICHOTOKEA WAKATI FUNDI ANACHEKI KUONA KAMA TAIRI HAIKUWA NA MATUNDU MENGINE; MARA TU BAADA YA KUWA AMEJAZA UPEPO

Fundi alitumia solution iliyokuwa ni ya mchanganyiko wa maji pamoja na sabuni ya unga, ili kuona kama tairi hiyo ilikuwa na matundu mengine ya zaidi ama la

Baada ya kuimwagia maji ya aina hiyo, tairi ilianza kutoa POVU au BUBLES kwenye sehemu angalau tatu za juu, zilizokuwa zipo karibu karibu

MPAKA HAPA: UCHAMBUZI KUHISANA NA MANENO HAYA MAWILI BUBLES VS BIBLES

Rhythming
ya maneno haya kwenye silabi mbili za mwisho, inafanana

Na kwa sabaBu kulikuwa na shida kwenye rhythiming ambao ilikuwa imeanzia kwenye neno “UKAE”, lililopelekea herufi ya Kigiriki “CHI/KAI” kupata taizo pia; kwa mfannao huu, vile vile rhythiming ya neno BUBLES ilipelekea shida kwenye rhythiming nyingine ya neno BIBLES

Kwa hiyo situation nzima iliyotokea siku hiyo inaweza kufupishwa kwa kama ifuatavyo
  • Neno “UKAE” lilisababisha tatizo kwenye herufi ya Kigiriki CHI/KAI
  • Herufi ya Kigiriki CHI/KAI nayo ikasambaza tatizo hilo kwenye herufi zingine zote za Kigiriki baadhi yake zikiwa ni Gamma, Alpha, Kappa na Omega
Kwa hiyo wakati mhusika anapita kwenye parking akiwa anatokea ofisini kwake na kumkuta hapo staffmate wake akiwa amekaa ndani ya gari aina ya ALEX na ambaye jina lake lina phonation ya mojawapo ya herufi hizi za Kigiriki,; mtu huyo alikuwa yupo kikazi zaidi; huku akiwa yupo equipped kwa namna kadhaa kama ifuatavyo

Jina lake pekee lilikuwa tayari limeshatengeneza KEY na baadhi ya vifuatavyo:
  • Herufi Alfa na Omega, ambazo zinamwakilisha Mungu, kulingana na Maandiko Matakatifu Biblia
  • Herufi Kappa ambayo inatengeneza KEY na mmojawapo wa wandishi wa vitabu ambaye ni BWM
Biblia ni Kitabu pia
Mbali na hayo, gari lake alilokuwa nalo, aina ya ALEX, nalo pia vilevile lilikuwa limeshatengeneza KEY na vifuatavyo
  • Herufi zote za Kigiriki zikiwemo Alfa na Omega kupitia herufi A
  • Jina la Yesu Emmanuel kupitia herufi E
  • Biblia kupitia herufi Beta au B
  • AXED kupitia herufi X, ukizingatia SYNTAX ya jina la gari aina ya ALPHAD (ALPHERED) ambayo inapelekea herufi X kusomeka kama AXED
Kwa hiyo hadi kufikia muda mhusika anaondoka kwenye parking kuelekea kwenye UPEPO, mambo kadhaa haya aliyoyaanisha hapa, yalikuwa tayari yameshakamilika
  • Kilichokuwa kimebaki pekee ni AXED
  • Chances ni kwamba Bubles zilihitajika tu kwa ajili ya renew ya BIBLES kwenye location nyingine mpya alikokuwa anaelekea
MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA TUKIO JINGINE LA NYJMA LENYE MFANANO HUU AMBALO HERUFI ZA KIGIRIKI ZIKIWEMO “GAMMA” NA “CHI/KAI” ZILIWAHI KUTUMIKA

Ni mwishoni mwa mwaka jana 2023 wakati mhusika alipopangiwa kwa mara ya kwanza, kufundisha kozi ya udongo, kwa kushrikiana na mwalimu mwingine kutoka idara nyingine, ambaye pia ni NAMESAKE wa KM-A
  • Ilikuwa ni kwa mara ya kwanza kwa mhusika kufundisha kozi hiyo kwa kushirikiana na mwalimu huyo
  • Muda mfupi kabla ya mhusika kuanza kufundisha kozi hiyo, mwalimu mwenza wajina wa KM-A, alianza kwa kuwa anamvizia mhusika kwenye veranda ili waongee; na mara ya mwisho alifanya hivyo akiwa na staffmate huyu wa mhusika ambaye anahusika na code hii ya GAMA-KAPPA, na ambaye maelezo yake yametolewa hapo juu kupitia post hizi
Kwenye kozi hiyo ya udongo, herufi hii ya Kigriki Gamma (γ) huwa inasimama badala ya UNIT WEIGHT ya udongo

UNIT WEIGHT OF SOIL(γ)

Definition
The unit weight of soil is a ratio of its total WEIGHT W, to its total volume V
i.e.

γ=W/V

MUDA MFUPI BAADA YA MHUSIKA KUANZA KUFUNDISHA KOZI HIYO, KABLA HAJAMALIZA SEHEMU YAKE ALIYOKUWA AMEPANGIWA

Maporomoko makubwa ya udongo
yalitokea kule Kartesh, Manyara na ambayo madhara yake kila mtu anayajua; ukiachilia mbali Serikali yenyewe

CODE YA GAMMA-KAPPA
…………………………inaendelea
 
NAMNA “CHI/KAI” ILIVYOWAHI KUJITOKEZA KWENYE KIPINDI HICHO CHA MWAKA JANA WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAFUNDISHA KOZI HIYO YA UDONGO

Ilitokea hivi

Kwenye mojawapo ya siku za vipindi vyake vya darasani, mhusika aliwahi kuwa na kipindi na wanafunzi kwenye darasa lililo jirani na chumba cha chai, yaaniTEA ROOM (TR)

  • Baada ya kumaliza kipindi, mhusika alipita kwenye chumba tajwa kwa ajili ya kunawa mikono kwa sababu alikuwa anatumia chaki
  • Baadhi ya watu aliowakuta humo TR alikuwa ni MWI mstaafu wa 2006-2012 pamoja na binti mwenye gari yenye namba CCJ
Mhusika akiwa humo ndani, ilitokea mtu mwingine tena ambaye naye aliyekuwa humo (tofauti na wawili hawa waliotajwa), ambaye alimwambia mwenzake neno “KAA”, yaani alimkaribisha akae

Baada ya hapo, binti mwenye gari yenye namba CCJ, alidakia kwa kusema kuwa yeye alisikia KAI badala ya KAA

Baada ya kuwa ameitaja KAI, binti huyo akawa ame-trigger tena mazungumzo mengine mafupi kuanzia pale, yaliyoihusisha herufi KAI, huku baadhi ya wachangiaji wake wakiwa ni mhusika pamoja na MWI mstaafu

Hiyo ndiyo ilikuwa ni siku ya mwisho na ya karibu sana ambayo mhusika aliwahi kulisikia neno KAI

Vinginevyo, mhusika hakumbuki ni lini mara ya mwisho aliwahi kuisikia tena KAI, kabla ya siku hiyo

KUNA UHUSIANO KATI YA UPEPO NA “PEPMIS”

UPEPO AMBAO MHUSIKA HUWA ANAJAZA KWENYE TAIRI ZA GARI LAKE; HUWA UNA UHUSIANO PIA NA KITU KINACHOITWA “PEPMIS


PEPMIS==Public Employees Performance Management Information System

Ni kwa sababu rhythming ya neno PEP-- na PEPO; vimefanana


Kuna pattern ambayo tayari mhusika ameshaibaini kwamba kila anapojaza upepo kwenye gari; WARAKA mpya unaoongelea mambo ya PEPMIS huwa unatoka NGAZI ZA JUU kwa njia ya mtandao kwenye email, kwa maana kuwa huwa unakuwa SIGNPOSTED

Kipindi kile cha mwezi wa tatu ambapo aliwahi kunyimwa mshahara wa mwezi huo; mhusika alikuwa amejaza upepo siku chache nyuma; baada ya kuwa umetolewa gari lilipokuwa lipo kwenye parking za ofisini

Baada ya pale, WARAKA ambao haukujulikana ulitoka wapi na ambao haukuwa na jina isipokuwa sahihi tu; ulitoka ukiwa SIGNPOSTED huku ukiwa unaongelea mambo ya PEPMIS.

  • Taarifa za waraka huo, mhusika alishawahi kuzileta humu na zilihusisha pia maelezo kuhusiana na swala la mshahara wake wa mwezi wa tatu
  • Ilipofika mwezi wa nne mwanzoni (baada ya Pasaka), matuta mapya ya bararbani yaliwekwa jirani na eneo analoishi MKUU WA MAJOR UNIT (MMU)
Ijumaa iliyopita vile vile, mhusika alisoma tena waraka wa aina hiyo; baada ya J4 ya wiki hiyo kuwa amejaza UPEPO kwenye tairi la akiba

SIGN POST NYINGINE MAARUFU KWENYE MAZINGIRA YA MHUSIKA

Mbali na hayo, SIGNPOST nyingine ambayo ni physical huwa ipo pia kule Kanisani kwake mhusika; na huwa inakuwa displayed kila J2 mwishoni mwa kila Ibada, kwa ajili ya wageni ambao huwa wanafika kwenye Ibada Kanisani hapo

CODE YA GAMMA-KAPPA

……………………………itaendelea TENA


In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BARUA YA BANK PART-3: CODE YA GAMMA-KAPPA
…………………………inaendelea


UHUSIANO KATI YA “PEPMIS”, UPEPO MPYA WA KWENYE SPARE TYRE YA GARI LA MHUSIKA, NA PIA “JUNCTION” ILIYOPO MAENEO YA TAASISI, AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA AMEI-ABONDON KUIPITA KWA MWEZI KADHAA, BAADA YA KUWA AMEBADILISHA NJIA


Mhusika aliamua kubadili njia ambayo huwa anapita siku zote, baada ya kugundua kuwa mojawapo ya junction ambazo huwa anazipita siku zote kwenye maeneo ya taasisi ilikuwa na uhusiano na upepo mpya wa kwenye tairi za gari lake

Kabla ya kui-abondon, junction hiyo ilianza kwa kwuwekwa kwenye matengenezo kwa wiki kadhaa, na muda mfupi tu kabla ya matengenezo yake kukamilika, gari la mhusika lilitolewa upepo na hivyo kutoa picha kuwa junction hiyo mpya ilihitaji mhusika awe anaipita akiwa na upepo mpya kwenye tairi za gari lake

  • Taarifa za awali kuhusiana na junction hii, mhusika aliwahi kuzileta humu wiki kadhaa zilizopita na asingependa kuendelea kuzirudia
  • Baada ya mhusika kugundua utaratibu wa junction hiyo iliyokuwa imewekwa kwenye matenegenezo ya muda, aliamua kubadili njia yake ya siku zote huku akiikwepa junction hiyo
Kutokana na hali hiyo, kwa zaidi ya mwezi mmoja mhusika amekuwa akipita njia tofauti na ambayo haipiti kwenye junction hiyo, hadi ilipofika J3 ya wiki iliyopita tarehe 04/11/2024, ndiyo pale mhusika aliporudi tena kwenye njia yake ya kawaida na hivyo kuanza kuipita tena junction hiyo

  • Mhusika aliamua kurudi tena kwenye njia hiyo baada ya wanafunzi wenyeji kuwa wamerudi tena kwenye mazingira ya taasisi wakitokea kwenye likizo yao ndefu ya mwaka
  • Junction hiyo iliwekwa kwenye matengenezo baada ya wanafunzi hao kuwa wameondoka kwenda likizo
YALIYOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEANZA KUPITA TENA KWENYE JUNCTION HIYO KUANZIA SIKU J3 YA TAREHE 04/11/2024

Kilichotokea ni kwamba J3 hiyo hiyo ya tarehe 04/11/2024 upepo wa tairi la akiba la mhusika ulitolewa, kitendo kilichopelekea mhusika kwenda kujaza upepo mwingine siku iliyofuata ya J4

Ujazaji huo wa upepo wa siku ya J4 ndiyo ule ambao mambo yote haya ambayo mhusika ameshayaeleza kuanzia kwenye posts zilizopo hapo juu hadi kufikia hapa, yakiwa yanahusiana na code hii ya GAMMA-KAPPA

Baada ya hapo, siku kadhaa mbele ya J4, ilipofika Ijumaa ya tarehe 07/11/2024; mhusika alifungua email box yake na kukutakana na NYARAKA TATU zifuatazo

1.0 WARAKA WA KWANZA

Waraka wa kwanza ulitoka NGAZI ZA JUU na ndiyo ule ambao tayari ameshaulezea hapo juu kuwa ulikuwa unahusiana na PEPMIS ikiwa ni evidence nyingine tena inayoonyseha kwa mara nyingine tena kuwa UPEPO NA PEPMIS vina uhusiano

Nyaraka zingine mbili zilitoka kwa Mkuu wa Major Unit (MMU), na mhusika hana uhakika kama zilikuwa posted kiusahihi kutokana na sababu zifuatazo

2.0 WARAKA WA PILI/ WARAKA WA KWANZA WA MMU

Waraka wa kwanza wa MMU ilikuwa ni barua ya uhamisho wa staff kwa muda wa wiki mbili kutoka kwenye ile Idara nyingine kuja kwenye idara ya mhusika

  • Kutokana na hali hiyo hii ilikuwa ni barua ambayo aliandikiwa anayehamishwa, ila ikawa copied tena kwa wanaidara wote, kitu ambacho hakikuwa lazima kwa wanaidara kupewa kopi ya barua personal ya mfanyakazi huyo
  • Mbali na hilo, katika hali ya kawaida, uhamisho wa wafanyakazi wa muda mfupi mithili ya huu ulioelezwa hapa huwa hauhitaji mfanyakazi kupewa barua ya uhamisho isipokuwa huwa unafanywa kwa maneno ya mdomo tu kutoka kwa wakuu wake wa kazi
Still, hata kama kulikuwa na ulazima kwa staff huyu aliyehamishwa kwa muda wa wiki mbili kupewa barua, kiutaratibu barua hiyo ni yake binafsi mhamishwa na hivyo haikutakiwa tena barua hiyo hiyo kuwa circulated kwa wafanyakazi wengine

Zaidi ni kuwa tangu aajiriwe, ilikuwa ni mara yake ya kwanza mhusika kuona mfanyakazi anayehamiishwa kwa wiki mbili, anapewa barua na ambayo imekuwa circulated kwa wanaidara wengine

Haya ni machcahe tu kuhusiana na WARAKA WA KWANZA WA MMU

3.0 WARAKA WA PILI WA MMU


Hii ilikuwa ni barua nyingine tena ya pili inayojitegemea na yenye maudhui yaliyofanana exactly na yale ya baraua ya kwanza (ya mhamishwa), isipokuwa yenyewe ilikuwa addressed kwa supervisor wa mhamishwa; yaani kwenye idara ya kule alikokuwa anatoka

Assuming kulikuwa na ulazima wa mhamishwa kupewa barua hiyo ya uhamisho; katika hali ya kawaida; barua ile ile aliyokuwa amepewa mhamishwa ndiyo hiyo hiyo ingekuwa copied tu kwa supervisor wake na si kwa supervisor naye kuandikiwa tena barua yake nyingine inayojitegemea

Mbali na hilo, barua hiyo nayo vile vile ilikuwa copied tena kwa wanaidara wengine

Kwa hiyo scenario nzima kuhusiana na nyaraka hizi ikawa kama ifatavyo

BARUA YA KWANZA

WARAKA KWA WAFANYAKAZI WOTE
(PEPMIS) KUTOKA NGAZI ZA JUU

BARUA YA PILI

WARAKA WA KWANZA WA MMU
KWA MHAMISHWA NA KWA WAFANYAKAZI WOTE WA MAJOR UNIT

BARUA YA TATU

WARAKA WA PILI WA MMU
KWA SUPERVISOR WA MHAMISHWA NA KWA WAFANYAKAZI WOTE WA MAJOR UNIT

HITIMISHO

Baada ya mhusika kuanza kupita tena kwenye njia yake ya zamani ambayo alikuwa amei-abondon kwa muda kutokana na sababu ambazo tayari ameshazieleza hapo juu, UPEPO wa spare tairi ya gari lake ulitolewa

Kutokana na hali hiuyo, UPEPO mpya ulihitajika, na ambao baada ya kuujaza, ulipelekea nyaraka hizi alizozieleza hapo juu, kutolewa


Ukiona watu wazima wanaanza KUFANYA MCHEZO WA MAIGIZO KWA KUTMIA BIBLIA kwa kiwango hiki, ujue kuna shida kubwa mahali fulani

In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAPOROMOKO BADO YANAONGEA TENA

MAPOROMOKO BADO YA JUMAMOSI BAYO PIAYANAONGEA KITU YAKIWA YANA-SUGGEST UWEPO WA KITU KISICHOKUWA CHA KAWAIDA

MAPOROMOKO HAYO YANAANZA KUONYESHA PATTERN INAYOHUSIANA NA SESSIONS MBILI ZILIZOFANYIKA OFISINI KWA MHUSIKA WIKI ILIYOPITA, PMOJA NA BAADHI YA MATUKIO YA KWENYE IBADA YA J2 ILIYOPITA KANISANI

TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Aiseee
wewe unanikumbusha mbali sana wakati tunavaa barakoa kila sehemu ....
 
UPDATE:MONDAY 18th NOVEMBER 2024

UTAFITI ULIOKAMILIKA


UHUSIANO KATI YA KINARA WA MATANGAZO (KWM); KITABU CHA “KUTOKA (GENESIS)” CHA KWENYE MAANDIKO MATAKATIFU BIBLIA (MMB) PAMOJA NA MAPOROMOKO YA ARDHI

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kwenye siku ya jana J2 ya tarehe 17/011/2024 wakati wa Ibada ya pili; muda baada ya saa 4:30 asubuhi na kabla ya saa 5:00 kamili; mhusika akiwa ndani ya nyumba ya Ibada; alimuona KWM akiwa anapita nje ya jengo kwenye upande ule ambao mhusika huwa anapenda kukaa siku zote; huku kimavazi, akiwa katika muonekano ulio tofauti na muonekana wake siku zote

  • Kawaida kwa nje, KWM huwa anavaa full suti, na ndani shati lenye tai
  • Kwa siku ya jana, KWM hakuwa amevaa hivyo isipokuwa shati la kawaida tu la mikono mirefu; huku akiwa katika muonekanao wa kawaida kama wa vijana wengine ambao huwa wanaonekana mahali pengine popote pale mtaani
Still, kama yule aliyeonekana kwenye macho ya mhusika hakuwa KWM, basi kwa asilimia 100%, mhusika anaomba kuthibitisha kuwa KWM naye pia anaye pacha wake ambaye wako IDENTICAL

KULE AMBAKO ILIANZIA NICLNAME YA KINARA WA MATANGAZO (KWM)


Jina hilo lilianzia kwenye matangazo ya uzinzi, ufilaji na ulawiti, yaliyokuwa yakitolewa mara kwa mara na Kiongozi huyo pekee hapo Kanisa A akiwa amesimama juu ya Madhabahu ; kwenye kila hitimisho la Ibada za J2, wakati wa kipindi cha matangazo

Kwa kipindi hicho, KWM alionekana kama kiongozi pekee hapo Kanisani, aliyekuwa amepewa ithibati ya kuwa anatoa matangazo yanayohusiana na ulawiti, uzinzi na ufilaji

Pale mwisho kabisa wa matangazo yake ya aina hii, KWM alimalizia na tanagzo la AJALI YA DR., ajali ambayo baada ya kuwa ameielezea, ilionyesha dalili zote kwa waumini kuwa ilikuwa imeua watu (MURDER); huku MURDERER, yaani aliyekuwa amevunja amri ya USIUE, akiwa ni DR mwenyewe

Hili ndiyo tangazo la mwisho alilowahi kulitoa Kiongozi huyu pale Kanisa A, huku matangazo mengine, karibia yote yakiwa yanahusiana na AMRI YA SITA YA MUNGU YA USIZINI

AMRI 10 ZA MUNGU

KITABU CHA KUTOKA SURA YA 20; MAFUNGU YA 1-17


Mungu akanena maneno haya yote akasema,
2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 USIUE.
14 USIZINI.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.


BAADHI TU YA POSTS ZILIZOWAHI KUHUSIANA NA MATUKIO YA ULAWITI/UZINZI ZIKIWEMO ZINAZOMHUSU KWM MWENYEWE

Baadhi ya posts hizo ni hizi hapa

#2,151 , #2,089 , #1,731 , #1,360, #1,373, #1,159; #1,118 , #1,019 ,

Vinginevyo orodha kamili ya posts kuhusiana na ulawiti inapatikana pia kutoka kwenye querry iliyopo kwenye link hii hapa


………..inaendelea; KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
 
KULE AMBAKO HASA MAELEZO HAYA YANAELEKEA

NI KWA MR X PAMOJA NA GARI AINA YA ALPHARD, IKIWA NI PAMOJA NA SESSIONS MBILI ZA MITIHANI YA WANAFUNZI WA NGAZI ZA JUU ZILIZOFANYIKA IDARANI KWA MHUSIKA WIKI ILIYOPITA


Wiki iliyopita kulifanyika tena sessions mbili za mitihani ya wanafunzi wa ngazi za juu idarani kwa mhusika; session ya kwanza ikiwa ni siku ya Alhamis, na nyingine wa pili siku ya Ijumaa

Ile session ya kwanza ya Alhamis ilikuwepo pia kwenye schedule iliyokuwa imetolewa na Taasisi kwa sessions zote za mitihani kwa mwezi huu wa Novemba

Mbali na hilo. session ile ya pili ya mtihani ilifanyika siku ya Ijumaa na ilibeba sifa kadhaa zifuatazo

SIFA ZA SESSION YA PILI YA MTIHANI WA IJUMAA

Mtihani huo:

Ulimhusisha mwanafunzi foreigner kutoka nje ya Nchi, ndani ya Afrika ila nje ya Afrika Mashariki

  • Haukuwepo na haupo kwenye ile orodha ya schedule ya mitihani ambayo ilikuwa tayari imeshatolewa na Taasisi kwa Mwezi huu wa Novemba
  • Haukuwa na wawakilishi au mwakilishi yoyote kutoka nje ya Idara au ngazi ya Utawala, yaani kutoka Central Administration
  • Ulikuwa na msimamizi aliyetoka nje ya Idara, ndani ya Taasisi
  • Uikuwa na Examiner wa kawaida mmoja, aliyesemekana kutoka kwenye ile Idara nyingine, na huyu ndiye mhusika atakuja baadaye kumwongelea kidogo kuhusiana na swala la Amri 10 za Mungu
  • Haukuwa na External Examiner (EE) isipokuwa mwakilishi wake tu na ambaye naye alitoka ndani ya Idara
Mwakilishi huyu wa EE (mtihaniwa Ijumaa) na ambaye ni mwana Idara, ndiyo yule ambaye alikuwa pia EE kwenye mtihani wa Alhamis, na pengine hii ndiyo kasoro pekee iiliyojitokeza kwenye mtihani huo ulioutangulia ule wa Ijumaa

SIFA ZA EE HUYU WA MITIHANI YOTE HII MIWILI ILIYOFANYIKA WIKI JANA

Ni mtaalamu wa matetemeko ya Ardhi, na ndiye mkuu wa kitengo hicho kwa sasa

  • Ana shahada ya juu kabisa kwenye fani hii ya matetemeko ya Ardhi
  • Ni mmoja kati ya wanafunzi wawili pekee waliowahi kuhitimu shahada hiyo; wakiwa chini ya SECTION anayofanyia kazi mhusika, huyu akiwa ni wa kwanza kuhitimu kabla ya yule wa pili
Kwenye ule mtihani wa Septemba uliowahi kufanyika pasipo uwepo wa Mkuu wa Idara; EE huyu ndiye aliyekuwa akikaimu Ukuu wa Idara hadi kufikia siku ya J4 ya tarehe 24/09/2024; ikiwa ni siku moja tu kabla ya mtihani uliokuja kufanyika baadaye kesho yake sikuya J5 ya tarehe 25/09/2024

  • Mtihani huo wa Septemba ndiyo ule uliowahi kufanyika huku Idara ikiwa ina-hang hewani pasipo uwepo wa MWI
  • Mojawapo ya majina ya EE huyu, linafanana na jina la Malaika aliyewahi kutumwa na Mungu kupelekea UJUMBE kwa Mariam kumjulisha kuwa atamzaa mtoto Yesu
Malaika huyu ndiyo yule ambaye huwa anahusika na kupeleka JUMBE kwa watu wa MUNGU, na ni wa pili katika ngazi za ukuu wa malaika; wa kwanza akiwa ni Mikaeli

  • Kwa hiyo UJUMBE wa malaika huyo ndiyo uliowahi kufanyika chanzo cha Agano Jipya la MMB
  • Bila ya UJUMBE wa Malaika huyu, AGANO JIPYA LA MMB lisingewahi kuwepo
Zadi ni kuwa mtihani huo wa Ijumaa vile vile

Ulihudhuriwa na watu wawili ambao ilikuwa ni mara yao ya kwanza kuonekana kwenye sessions za kikazi au za kitaalauma za idara

Hawa walikuwa ni:

  • Mwanafunzi mwingine ambaye naye pia ni foreigner, na ambaye kwa mara ya kwanza, aliwahi kuhudhuria kwenye kusanyiko la wanaidara lililohusisha chakula cha wanaidara kilichowahi kutolewa na Mkuu wa Major Unit (MMU) siku ya Ijumaa, takribani wiki tatu au nne zilizopita
  • Mwingine wa pili alikuwa ni mtaalamu wa IT wa Idara ambaye yupo idarani kwa miaka isisypungua mine au mitano, na kwenye muda wote huo alikuwa hajawahi kuhuudhuria kusanyiko lolote lla wanaidara la kitaalumua isipokuwa makusanyiko yale ambayeo yamekuwa yakihusisha social events tu
Kwa watu nwatu hawa wawili, imekuwa ni mara yao ya kwanza kuhudhria session ya namna hii tangu wawepo idarani; na kwa sifa kama ambavyo zimeanishwa hapo juu

MFANANO KATI YA EE WAWILI WA MITIHANI HII, YAANI EE YULE WA MTIHANI WA SEPTEMBA NA HUYU WA MITIHANI MIWILI ILIYOFANYIKA WIKI JANA

Huyu EE-2 wa mtihani wa Septemba, alitoka nje ya Taasisi na pia nje ya Mkoa wa Dar es Salaam

Huyu naye pia vile vile

  • Ni mtaalamu wa matetemeko ya Ardhi mwenye shahada ya juu kabisa kwenye fani hiyo
  • Ni mmoja kati ya wanafunzi wawili pekee waliowahi kuhitimu shahada hiyo; wakiwa chini ya SECTION anayofanyia kazi mhusika, huyu akiwa ni wa pili kwenye mpangilio wa wahitimu wawili pekee wa kwenye section hiyo
  • Jina lake la kwanza, linafanana na jina la Malaika aliyewahi kutumwa na Mungu kwenda kumsaidia Malaika Gabriel kupigana vita; baada ya Malaika Gabriel kuzuiliwa kupeleka majibu ya Maombi ya Daniel aliyokuwa amejibiwa na Mungu
Huyu ni MALAIKA WA VITA (fita ni fita mura) na ndiye Malaika Mkuu

MMB kwenye kitabu cha Daniel 10: 12-13 yanasema

“……..12 Ndipo akaendelea kusema, “Danieli, usiogope. Tangu siku ya kwanza ulipotia moyo wako ili kupata ufahamu na kujinyenyekeza mbele ya Mungu wako, maneno yako yalisikiwa, nami nimekuja ili kujibu maneno yako. 13 Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku ishirini na moja. Ndipo MIKAELI, mmoja wa malaika wakuu, alikuja kunisaidia, kwa sababu nilikuwa nimezuiliwa huko na mfalme wa Uajemi……”

UTOFAUTI WA MUHIMU NA WA PEKEE ULIOJITOKEZA KWENYE MITIHANI HII MIWILI

Kwenye mtihani wa Alhamis; watu (public) waliingia ukumbini na baada ya kuingia, mtihani uliendelea

Kwenye mtihani wa Ijumaa, watu (public) waliingia ukumbini kwanza halafu baadaye msimamizi wa mtihani ALIWAAMURU public wote watoke (KUTOKA) nje na baada ya kuwa zimepita dakika kadhaa, waliruhusiwa kuingia tena, mhusika akiwa mmoja wao

KUTOKA ni JINA la mojawapo ya vitabu vilivyopo kwenye MMB, na ndiyo kile kinachoongelea AMRI 10 ZA MUNGU

Mbali na hayo, TITLEYA ANDIKO LA UTAFITI wa mwanafunzi mtahiniwa wa siku ya Ijumaa, ilikuwa inaanza na maneno ya kitaalamu yanasomema “PETROGENENESIS”

GENENESIS
au MWANZO, ni jina la Kitabu cha kwanza kabisa cha MMB na ndiyo kile kinachoongelea UUMBAJI wa mwanadamu, viumbe vingine, MBINGU NA ARDHI, n.k.

SIKU YA KWANZA YA MTIHANI WA KWANZA, YAANI ALHANMIS: ASUBUHI WAKATI MHUSIKA ANATOKA NYUMBANI KUELEKEA OFISINI, WALIPISHANA NA MR X

Alhamisi hiyo, mhusika alipishana na MR X kwenye lile tuta la pili jipya la bararabani, lililowahi kujengwa mwanzoni mwa Apriol 2024

  • Mhusika na MR X walikatiza tuta hilo kwa pamoja, huku wakiwa wapo kwenye uelekeo tofauti
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa MR X na mhusika, kukutana njiani kwenye sehemu kama hiyo, ukiondoa siku ya hivi karibuni ambayo waliwahi kupishana kwenye junction iliyopo ndani ya maeneo ya Taasisi
WAKATI WANAPISHANA, MR X ALIKUWA ANA-OPERATE KWENYE LEVEL YA ALPHA, YAANI MUNGU

Mhusika na MR X walipisaha hapo huku MR X akiwa ana-operate kwa kutumia CODE YA ALPHARD, na ilikuwa ni muda mfupi tu kabla ya mhusika kuingia kwenye session ya mtihani wa Alhamis, mtihani ambao MR X hakuhudhuria

Baada ya mhusika kuwasili ofisini, kabla hajaingia kwenye mtihani siku hiyo, pale nje alikutana na wajina wa YESU au EMMANUELI, na baada ya hapo ndiyo aliingia ndani ya ukumbi

  • Kwa hiyo kabla hajaingia kwenye mtihani siku ya Alhamis, mhusika alikutana kwanza na ALPHA na baadaye tena ALPHA alifuatiwa na wajina wa YESU
  • Baada ya mitihani hiyo miwili ya siku za Alhmais na Ijumaa kuwa imepita, hadi kufikia juzi JUMAMOSI ya tarehe 16/11/2024; mhusika alibaini kuwa ALIKUWA AMESHAFUTA KILA KITU KUPITIA SESSION HIZO MBILI, NA ALIKUWA HAWEZI TENA HATA KUPATA USINGIZI USIKU
Kwa hiyo MR X alimu-intercept tena mhusika siku ya Alhamis, mhusika alipokuwa anaelekea ofisini ambako sessions za mitihani zilianza kufanyika siku hiyo

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA MATETEMEKO/MAPOROMOKO YA ARDHI

JUNE 2012 LILIWAHI KUTOKEA TETEMEKO KUBWA LA ARDHI,AMBAPO MAJENGO MAREFU YA JIJINI DAR ES SALAAM YALIWAHI KUYUMBA ILA HAKUNA JENGO LILILOWAHI KUPOROMOKA


Mnamo June 2012, kuna tetemeko la kubwa la Ardhi lliliowahikutokea na kusababisha taharuki kubwa kwa watu waliokuwa wapo ofisini kwenye majengo marefu jinini Dar es salaam, ila hakuna jengo lililowahi kuporomoka kupitia tetemeko hilo

Kwa hiyo kwenye scenario hii iliyowahi kuhusisha tetemeko kubwa la Ardhi, hakuna jengo lililowahi kuporormoka jijini Dar es Salaam

TUKIRUDI TENA KULE KANISANI: WAUMINI WATATU WALIOPANDISHWA JUU MADHABAHUN JANA J2 YA TAREHE 17/07/2024

Waumini hao walipandishwa juu ikiwa ni maandalizi yaliyo sawa na kile kilichowahi kufanyika mwanzoni mwa April na kilichohusiana na hafla sawa na hii ya sasa

Kwa hafla ile ya mwanzo mwezi April; waumini wawili waliowahi kupotelewa na damu za ndugu zao, ndiyo wale waliokuwa wakisimama Madhabahuni kutoa matangazo ya SIKU YA KIONGOZI yaani KM-A

Kwa kipindi hiki vile vile., waumini waliotambulishwa jana kuwa ndiyo wale watakaohusika na SIKU YA KIONGOZI, yaani KM-A, angalau mmoja wao atakuwa ana uhusiano na DAMU, ila kwa namna nyingine tofauti na ile ya wahusika wa mwezi April

Sasa hapa swali linakuja: HIYO DAMU ITAKUWA IMEMWAGIKA LINI?

Kwa hiyo inaonyesha dhahili kabisa kuwa, matangazo yanayohusiana na SIKU YA KIONGOZI wa Kanisa A huwa ni lazima yahusishe mtu aliye na uhusiano na DAMU

Kwa safari hii,mwenye uhusiano na DAMU anaweza asihusike yeye moja kwa moja matangazo hayo, isipokuwa wale walio na uhusiano naye; au wale aliowahi kupandisha nao juu madhabahuni

Kwa hiyo KWA SASA, mmojawapo wa watu waliopandisha Madhabahuni J2 iliyopita, tayari ana uhusiano na DAMU, na tayari damu hiyo ameshai-link na wenzake aliosimama pamoja nao pale juu madhabahuni jana J2

Kuongezea zaidi kwenye maelezo haya, maelezo mengine yanakuja kupitia uchambuzi wa AMRI KUMI ZA MUNGU

………..inaendelea; KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
 
………..inaendelea; KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI

BAADHI TU YA EVENTS MUHIMU AMBAZO MHUSIKA ALIWAHI KIBAINI KUFUTIWA MAOMBI YAKE KWA UJANJA WA MAHASIMU WAKE

1.0 EVENT YA KWANZA: KUFUTWA MAOMBI KUPITIA NENO “KABIDHI”


Event ya kwanza Iliwahi kutokea kipindi mhusika alipowahi kushambuliwa kwa kutumia neno KABIDHI,; neno ambalo alikuwa analitumia kwenye maombi yake

Neno hili lilishambuliwa na Kinara wa Matangazo (KWM) kwenye J2 moja pale KWM alipopandisha juu Madhabahuni kwa ajili ya kuKABIDHI zawadi kwa mshindi wa shindano la wajasiriamali Kanisani

Taarifa kuhusiana na shambulio hili tayari mhusika alishaziwasilisha humu jukwaani kwa kina

2.0 EVENT YA PILI: KUFUTWA MAOMBI KUPITIA NENO “RECIPROCITY

Baada ya kuwa ameshambuliwa kwa mara ya kwanza kwa kutumia neno KABIDHI, mhusika aliamua ku-rephrase KEYWORDS za kwenye maombi yake akiliondoa neno hilo na kuanza kutumia neno jingine “RECIPROCITY”

  • Pasipo mhusika kujua, mahasimu wake walikuwa wako makini kufuatilia ni maneno gani anabadilisha na kuanza kuyatumia
  • Baada ya miezi kadhaa, nenoo hilo nalo pia walikuja kuligundua; kitendo kilichopelekea MWI mstaafu wa miaka ya 2015-2016 kukaribishwa kama mgeni rasmi kwenye siku ya wanawake mwanzoni mwa March 2024 (mwaka huu) na hatimaye kuja kulifuta neno hilo
MWI mstaafu aliwahi alilifuta neno hili siku hiyo kwa kulitamka pindi alipokuwa anali-address kusanyiko la siku hiyo tajwa, mhusika akiwa mmoja wa waliokuwepo kwenye kusanyiko hilo

Baada ya hapo, mhusika aliliondoa neno na hilo na hivyo kuanza kutumia maneno mengine, huku safari akiwa mkimya zadi kwenye maombi yake, kwa maana kwamba akawa anatamka maneno kimoyomoyo; mtindo ambao ameendelea nao hadi hivi karibuni, huku akiwa anahitimisha maombi yake kwa maneno ‘KWA JINA LA YESU MWOKOZI ALIYE HAI”

3.0 EVENT YA TATU: SHAMBULIO KUPITIA NENO “MWOKOZI”

Shambulio kupitia neno hili ndiyo lile lililoelezewa kwenye maelezo marefu sana yaliyohusisha CODE YA MKOMBOZI-MLOKOZI ikiwa ni pamoja na maelezo mengine marefu sana yaliyohusina na BARUA YA BENKI

Maelezo ya code hii ndiyo yale ambayo ni ya hivi karibuni sana; yakiwa yanayofauatiwa na maelezo haya ya sasa

Kwa hali hiyo, mhusika hana maelezo zaidi kuhusiana na shambulio kupitia neno hili MWOKOZI kwa sababu ameshayatoa vya kutosha kupitia posts za hivi karibuni

4.0 EVENT YA NNE: SHAMBULIO LA WIKI JANA KUPITIA NENO “HAI”

Neno hili nalo pia limechomolewa kutoka kwenye maneno “KWA JINA LA YESU MWOKOZI ALIYE HAI na hili ndiyo lile lililopelekea kukawa na sessions mbili za mitihani iliyofuatana wiki jana kwa siku za ALHAMIS NA IJUMAA

Inavyoonyesha neno “HAI” halifutwi hivi hivi tu bali linahitaji mchakato mzito zaidi kwa sababu neno ndiyo lile linalozaa neno UHAI

  • Kinyume cha neno “HAI” ni “UFU”, au KUFA
  • Kuweza kulifuta neno hili, ilihitaji neno jingine lililo kinyume chake ambalo ni ‘KILL” au UA, neno linalopatikana kwenye kitabu KUTOKA cha MMB; Sura ya 20; kwenye zile Amri 10 za Mungu
Na mtu ambaye amekuwa KINARA aki-operate kwenye AMRI 10 ZA MUNGU; ni KINARA WA MATANAGZAO

Kwa hiyo kilichofanyika ni kuandaliwa kwa mpango mkakati, safari ukianzia ofisini kwa mhusika, na hatimaye kuhitimishwa J2 kule Kanisani kwa MR X na wenzake kupandishwa juu madhabahuni; huku tukio la “KILL” likiwa tayari limeshatokea kwenye muda ambao mpango huo utakuwa unahitimishwa kule Kanisani

Lengo ilikuwa ni ili tukio hili la sasa, lisije likatengeneza PATTERN yoyote na lile laawali la AJALI YA NDEGE kule BUkoba NOVEMBA 2022

Zaidi ni kuwa mhusika wa AMRI KUMI ZA MUNGU, ambaye ni KWM, alionekana Kanisani J2 iliyopita mara tu baada ya Ibada ya pili kuanza, na kama hakuwa mwenyewe, basi alikuwa ni pacha wake ambaye wako IDENTICAL

WATU WENGINE WALIOHUSIKA NA CODE HII YA “KILL”

Mmojawapo ni mwenza wa KM-A ambaye siku hizi haonekana kabisa Kanisani wakati wa Ibada za pili; anaonekana mara chcahe sana

Jina la mama huyu lipo kwenye mojawapo ya mistari ya AMRI KUMI ZA MUNGU likiwa limetajwa kama neno la kawaida

“…..Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu….”

Fungu hili la sita linaongelea REHEMA

Mama huyu alionekana Kanisani muda mfupi tu kabla ya Ibada kuanza na alijitokeza mbele ya mhusika wakasalimiana

Kwa pattern ambayo imekuwa ni ya miaka kadhaa sasa, ni mara chache sana mama huyu anaonekana wakati wa Ibada ya pili; au machoni pa mhusika

UCHAMBUZI ZAIDI WA YALE YALIYOMO KWENYE HIZI AMRI KUMI ZA MUNGU

Mungu akanena maneno haya yote akasema,
2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
6 nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;
10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.
13 USIUE.
14 USIZINI.
15 Usiibe.
16 Usimshuhudie jirani yako uongo.
17 Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.


………..inaendelea; KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
 
………..inaendelea; KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI

AMRI 10 NA TANGAZO LA WATOTO KUWEKWA WAKFU J2 ILIYOPITA, LILILOTOLEWA NA KM-A J2 YA TAREHE 10/11/2024

Tangazo hilo linaendana na Amri 10 za Mungu na hivyo matukio yaliyokuwa yanatarajiwa kutokea kabla ya J2 ya watoto hao kuwekwa yalikuwa yanajulikana na KM-A

……siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
12 Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.


Vinginevyo, maneno yoteyanayopatikana kwenye AMRI hizo ni yafuatayo
  • AKAIBARIKIA
  • AKAITAKASA
  • AKANENA
  • AKASEMA
  • AKASTAREHE
  • ALICHO
  • ALIFANYA
  • ALITAJAYE
  • ALIYE
  • AMRI
  • BABA
  • BAHARI
  • BINTI
  • BURE
  • BWANA
  • CHA
  • CHINI
  • CHO
  • CHOTE
  • DUNIA
  • DUNIANI
  • ELFU
  • FANYA
  • HANA
  • HATA
  • HATAMHESABIA
  • HATIA
  • HAYA
  • HIYO
  • IKUMBUKE
  • ILA
  • JINA
  • JIRANI
  • JUU
  • KATIKA
  • KAZI
  • KILICHO
  • KITU
  • KIZAZI
  • KUCHONGA
  • KUFUGA
  • KUVITUMIKIA
  • KUWA
  • KUZISHIKA
  • KWA
  • LA
  • LAKE
  • LAKINI
  • MAANA
  • MAELFU
  • MAJINI
  • MALANGO
  • MAMA
  • MAMBO
  • MANENO
  • MAOVU
  • MBINGU
  • MBINGUNI
  • MFANO
  • MGENI
  • MIMI
  • MINGINE
  • MISRI
  • MIUNGU
  • MJAKAZI
  • MKE
  • MNYAMA
  • MTU
  • MTUMWA
  • MUNGU
  • MWANA
  • MWENYE
  • NA
  • NACHO
  • NAMI
  • NAWAPATILIZA
  • NAWAREHEMU
  • NCHI
  • NDANI
  • NG'OMBE
  • NI
  • NILIYEKUTOA
  • NNE
  • NYINGI
  • NYUMBA
  • PUNDA
  • SABA
  • SABATO
  • SANAMU
  • SIKU
  • SITA
  • TATU
  • UITAKASE
  • UONGO
  • UPEWAYO
  • USIFANYE
  • USIIBE
  • USIITAMANI
  • USIJIFANYIE
  • USILITAJE
  • USIMSHUHUDIE
  • USIMTAMANI
  • USIUE
  • USIVISUJUDIE
  • USIWE
  • USIZINI
  • UTENDE
  • UTUMWA
  • VILIVYOMO
  • VYOTE
  • WA
  • WAHESHIMU
  • WAKE
  • WAKO
  • WALA
  • WANA
  • WANICHUKIAO
  • WANIPENDAO
  • WEWE
  • WIVU
  • YA
  • YAKO
  • YO
  • YOTE
  • ZAKO
  • ZANGU
  • ZAO
  • ZIPATE
KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..itaendelea TENA


In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
VINGINEVYO KUHUSIANA NA NYAMA MBICHI YA NGURUWE A.K.A. KITIMOTO, PALE GETINI MWA KANISA A

Nyama hiyo ilikuwepo tena getini J2 iliyopita na ilikuwa ina-operate kwenye code hii ya “KILL” na pia ina uhusiano na kile KITI KIKUBWA CHA MBAO kilichopo mule ndani Kanisani

Kiti hicho ndiyo kile alikalia yule bibi mwemye umbo kubwa, kwenye J2 ya tarehe 27/11/2022 siku ya ajali ya ndege kule Kagera

Zaidi ni kuwa:
  • Siku ya ajali ya ndege kule Kagera mwaka 2022, ilikuwa ni ya saba kwenye wiki na tarehe yake ilikuwa ni 27
  • Siku ya maporomoko ya ghorofa juzi kule Kariakoo ilikuwa ni ya sita ndani ya wiki na tarehe yake ilikuwa ni 16
WM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..itaendelea TENA


In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA MMILIKI WA CODE YA GAMMA-KAPPA NA EVENTS ZA MITIHANI HII

Mmiliki huyu alikuwa ni mmojawapo wa EXAMINERS wa mtihani wa ALHAMIS; mtihani ambao jina la kwanza la mtahiniwa wake lilitengeneza KEY na jina la gari la EXAMINER huyo

Vinginevyo kwa mtihani ule wa Ijumaa; staff huyu alikuwepo pia ila alihudhuria kama public listerner tu
KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..itaendelea TENA


In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NA MATUKIO YOTE MAWILI YAKIWA YANETOKEA KWENYE MWEZI WA NOVEMBER WA MIAKA INAYOGAWANYIKA KWA MBILI
 
UPDATE: WEDNESDAY, 20th NOVEMBER 2024

KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..inaendelea

Kabla ya mhusika kuendelea tena na yaliyomo kwenye AMRI 10 ZA MUNGU; taarifa ifuatayo inatangulia kwanza kwa wasomaji

PATTERN MUHIMU ILIYOJITOKEZA KUHUSIANA NA “MOVEMENTS” ZA BAADHI YA WATU KUTOKA AU KWENDA MKOA MMOJA ULIOPO HAPA NCHINI; TUIITE “SM-BWG

1.0 KWA UPANDE WA KANISANI KWAKE MHUSIKA

MOSI:
MWEZI MARCH MWAKA 2021


J2 ya tarehe 07/03/2021, yaani J2 ya zaidi ya miaka mitatu iliyopita, kwa mara ya kwanza, Ibada kuu ilihudumiwa na mgeni kutoka kwenye mkoa tajwa

Kabla ya J2 hiyo, mgeni huyu likuwepo Kanisani kwa siku kadha kwa wiki hiyo, na alianza kwa huduma ya Semina iliyoanza J5 na hatimaye kuhitimishwa kwenye Ibada kuu ya J2

  • Kwenye wiki hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kukutana na Mtumishi wa Mungu kutoka kwenye Mkoa tajwa; akihudumu Kanisani hapo
  • Baada ya J2 hiyo kupita, kesho yake J3 ya terehe 08/03/2021 ndiyo pale mhusika alipokoswakoswa kuwekewa sumu kwenye kinywaji ofisini
PILI: MWNZONI MWA MWAKA HUU WA 2024, KIONGOZI JUNIOR STAFF ALIHAMISHWA KUTOKA KANISA A

Kingozi huyu amehamishiwa kwenye Mkoa huo mwaka huu wa 2024

TATU: MWAKA JANA 2023

Kinara wa Matangazo (KWM), alihamishiwa huko

2.0 KWA UPANDE WA OFISINI KWAKE MHUSIKA

NNE:
MMILIKI WA SOURCE CODE YA BUTCHERED


Kabla ya kusafiri, binti huyu alikuwa akifanya kazi kwenye mradi uliopo kwenye mkoa tajwa, hali iliyopelekea kuwa anasafiri mara kwa mara kwenda huko

Pattern iliyokuwa imejitokeza kuhusiana na binti huyu ni kwamba ilikuwa kila akirudi kutoka huko, matukio yalikuwa yanatokea ofisini; kitu kilichokuwa kinapelekea mhusika kukimbia ofisini na kwenda kufanyia kazi zake nyumbani

TANO: MWAJIRIWA MPYA AMBAYE KWA SASA ANA ZAIDI YA MWAKA AKIWA YUPO OFISINI

Mwajiriwa huyu ana sifa za pekee zifuatazo

Amekuwa ni office mate wa binti mmiliki wa source code ya BUTCHERED, kabla ya binti huyo kusafiri

  • Tangu aajiriwe, zaidi ya robo tatu ya muda wake ambao amekuwepo ofisini, amekuwa akiutumia kwenye safari za kwenda kwenye mkoa tajwa
  • Ni mwalimu ambaye tangu aajiriwe, mhusika hajawahi kumuona hata mara akiwa yupo darasani anafundisha
Mnamo Desemba mwaka jana 2023, staff huyu alirudi kutoka kwenye mkoa tajwa, na baada ya kupita siku chache tu, MAPOROMOKO YA KARTESH YALITOKEA

Vile vile kwa kipindi hiki cha sasa, staff huyu alikuwa amesafri tena kwa wiki zisipongua tano au sita na hatimaye kurudi tena

  • Siku ya kwanza mhusika kumuona tena akiwa yupo ofisini ilikuwa ni J5 ya wiki iliyopita tarehe 13/11/2024.
  • Baada ya hapo, Jumamosi ya tarehe 16/11/2024 MAPOROMOKA YA KARIAKOO yalitokea
Mbali na hilo, staff huyu alionekana ofisini J5 na kesho yake Alhamis; mtihani wa kwanza wa mwanafunzi wa ngazi za juu ulifanyika; kitu kinachoashiriia dalili za staff kuuwahi mtihani huo

SITA:
Msimamizi wa mtihani huo wa Alhamis, alikuwa ni PROFESA mwenyeji wa kutoka mkoa tajwa kwa kuzaliwa

SABA: STAFF MTAALAMU WA IT IDARANI (tumwite STIT)

Huyu naye kwa mara ya kwanza, walisafri wote pampja na staff aliyetajwa hapo juu; kuelekea kwenye mkoa huo, na walirudi pamoja

  • Baada ya kurudi kutoka safari hiyo, kwa mara ya kwanza STIT alihudhuria kusanyiko la kitaaluma la wana idara la ila lile la mtihani wa Alhamis tu, halafu lile la mtihani uliofuata kesho yake Ijumaa, hakuhudhuria
  • STIT amekuwepo idarani kwa takribani miaka mitano sasa lakini alikuwa hajawahi kufanya hivyo hata mara moja
KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..inaendelea
 
KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..inaendelea

UHUSIANO ALIOUONA MHUSIKA KATI YA MKOA WA SM-BWG NA TUKIO LA HIVI KARIBUNI LA MTI WA MAAJABU ULIONYANYUKA KULE KAGERA, BAADA YA KUWA UMEANGUKA KWA SIKU NYINGI


Taarifa za mti wa Kagera, zililenga kui-link (au kuitengeneza KEY) baadhi ya miti na MTI MWINGINE MAALUMU ambao unaweza kuwa upo huko SM-BWG

Chances ni kwamba kule SM-BWG kunaweza kukawa na uwepo wa mti maalumu na ambao ndiyo ulipelekea tukio la hivi karibuni la mti wa kule Kagera

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI

………..inaendelea
 
KWM, AMRI 10 ZA MUNGU NA MAPOROMOKO YA ARDHI
………..inaendelea

BAADHI TU YA MANENO YALIYOPO KWENYE AMRI 10 ZA MUNGU, YALIYOONYESHA UHUSIANO NA MATUKIO YALIYOTOKEA KANISANI J2 ILIYOPITA


AKAIBARIKIA—BARAKA—BLESSINGS

Kwa mara nyingine watoto walibarikiwa tena J2 iliyopita

HATIA==Hakimu/Judge

Kinara wa Matangazo alikuwepo Kanisani J2 iliyopita

KIZAZI cha tatu na cha nne==Generations; WATOTO waliobarikiwa

(MTOTO) WAHESIMU BABA YAKO NA MAMA YAKO (MTOTO) == Event maalumu iliyowahusisha watu hawa ilikuwepo Kanisani siku hiyo

WAHESIMU=== Heshima

USIMSHUHUDIE jirani yako uongo==SHUHUDA

Tofauti na J2 zingine zote zilizopita kwenye miezi mitatu au minne iliyopita, kwa J2 ya wiki iliyopita, kulikuwa na ushuhudiaji kwenye maeneo jirani ya Kanisa, uliokuwa ukifanyika baada ya kuhitimishwa kwa kila Ibada

USIUE===UA; maporomoko ya Kariakoo

Nawapatiliza wana maovu ya baba zao===HUKUMU===KWM

Nawarehemu maelfu elfu=== REHEMA

n.k. orodha ni ndefu mno

TUKIO LA BARAKA KWA WATOTO KANISANI

Tukio hili lilikuwa limetangazwa kabla kwenye J2 ile ya tarehe 10/11/2024; na hivyo kuashiria kuwa yaliyotokea ndani ya wiki likiwemo lile la maporomoko ya Kariakoo, aliyetoa tangazo la mbaraka huo wa watoto aliyatarajia

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILE AMABCHO MHUSIKA ANAJARIBU KUKAA ANAKISISITIZA KUHUSIANA NA TUKIO LA KUKOSWAKOSWA KUWEKEWA SUMU KWENYE KINYWAJI, SIKU YA J3 YA TAREHE 08/03/2021 (miaka mitatu iliyopita)

Kutokana na evidence za matukio ambayo yamekuja kujitokeza tena baada ya siku ya tarehe hii tajwa, anachokiona mhusika kwa sasa ni kuwa, hadi kufikia tarehe hiyo, kuna tukio kubwa na gumu ambalo lilikuwa tayari limeshatokea ndani ya Nchi, ila viongozi wetu kwa hekima yao, wakaamua kukaa nalo kwanza wao wenyewe; huku wakiwa wanatafakari namna ambavyo wangeweza kuufikisha ujumbe wake kwa Watanzania; na Watanzania wakaweza kuelewa

Kama kweli hali hiyo ilikuwa hivyo, bado kuna kitu kingine tena inachomchanganya mhusika kuhusiana na tukio hili kwamba ni kwa nini Kiongozi mwingine mkubwa wa Nchi, bado alipangiwa ziara ya kwenda Tanga, ilhali tayari kulikuwa na tukio lililokuwa limetokea

Kwa hiyo inaonyesha dhahiri kabisa kuwa Kiongozi mkubwa huyu alyewahi kupanguwa trip hiyo ya Tanga, alikuwa hana taarifa za tukio gumu kutokea ndani ya Nchi yake; isipokuwa aliyempangia trip hiyo, possibly mwenyewe alikuwa tayari anajua kuwepo kwa tukio hilo

Kutokana na hali hiyo, mhusika anaamini kuwa kwa tukio hlili la sasa la Kariakoo, hali haikuwa kama ilivyowahi kuwa kwenye tukio la zamani, isipokuwa imetokea kama coincidence tu kwamba Macho ya Nchi yaliposafiri, tukio nalo likajitokeza huku nyuma

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 24th NOVEMBER 2024
BREAKING NEWS!!
PATTERN ILIYOJIDHIHIRISHA YA UHUSIANO KATI YA AJALI TATU MBAYA ZILIZOWAHI KUTOKEA HAPA NCHINI NA MADHABAHU YA KANISA A

MOSI : AJALI YA NDEGE KULE KAGERA MWEZI NOVEMBER 2022

WIKI CHACHE MBELE BAADA YA AJALI HIYO KUTOKEA, WAUMINI WOTE WA KANISA A WALIPANDISHWA JUU MADHABAHUNI KWA NJIA YA KUPITISHWA MTU MMOJA MMOJA, SABABU IKIWA NI KUOMBEWA

PILI: AJALI YA MAPOROKO YA UDONGO KULE KARTESH DECEMBER 2023

BAADA YA AJALI HIYO KUTOKEA, ILIPOFIKA J2 YA TAREHE 11/02/2024: KWA MARA NYINGINE TENA WAUMINI WOTE WA KANISA A WALIPANDISHWA JUU MADHABAHUNI KWA NJIA YA KUPITISHWA MTU MMOJA MMOJA, SABABU IKIWA NI KUOMBEWA

TATU: AJALI YA NAPOROMOKO YA GHOROFA KULE SOKONI KARIAKOO

BAADA YA AJALI HIYO KUTOKEA, INATARJIWA NA PIA IMESISITIZWA SANA KUWA ITAKAPOFIKA J2 YA TAREHE 01/12/2024, YAANI J2 IJAYO: KWA MARA NYINGINE TENA WAUMINI WOTE WA KANISA A WATAPANDISHWA JUU MADHABAHUNI KWA NJIA YA KUPITISHWA KAMA FAMILIA AU VIKUNDI VYA ZONES, SABABU IKIWA NI KUTOA ZAWADI KWA KIONGOZI WAO MPENDWA KM-A

UTARATIBU WA SIKU ZOTE HUWA NI KWAMBA ZAWADI ZA KM-A HUWA ZINATOLEWA MADHABAHUNI PALE JUU KABISA AMBAPO WATUMISHI WA MUNGU HUWA WANASIMAMA WAKATI WA IBADA KUU NA MARA NYINGI HUWA ZINATOLEWA NA VIONGOZI WAKIWA KAMA WAWAKILISHI WA WAUMINI WENGINE WOTE HAPO KANISANI, ISIPOKUWA KWA SAFARI HII UTARATIBU UMEBADILIKA KIDOGO

TANGAZO LA MSISITIZO LIMETOLEWA TENA LEO NA MAMA AMBAYE JINA LAKE LINAFANANA NA JINA LA MMOJAWAPO WA WAANDISHI WA KITABU CHA ZABURI ANAYEITWA MELKIZEDEKI

HUYU MAMA ALIKUWA AMEPOTEA KIDOGO KANISANI NA AKINA MAMA WALIKUWA WAMESHAANZA KUONEKANA KUWA NA AHUENI KIDOGO ILA KWA BAHATI MBAYA SASA HIVI AMESHARUDI TENA NA ITAKUWA NI FUJO TUPU

TANGAZO LA KWANZA LA PROGRAM HIYO YA KM-A KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A KUWA WATAPITA JUU MADHABAHUNI J2 IHAYO, KWA MARA YA KWANZA LILITOLEWA NA TIMU YA AKINA MR X J2 ILIYOPITA

TAHADHARI : KWA SASA VIONGOZI WA KANISA A WAMESHAANZA KWENDA KWENYE EXTREMES, NJE YA MPAKA YA DINI YA UKRISTO

MAELEZO KWA KIFUPI SANA

MUUMINI YULE ALIYEPANDISHWA JUU MADHABAHUNI KWA AJILI YA USHUHUDA, JINA LAKE LINAFANANA NA JINA LA " ALLAH " YAANI MUNGU; ISIPOKUWA HERUFI MOJA

ALLAH NI JINA LA MUNGU LINALOTUMIWA NA WAUMINI WA DINI NYINGINE AMBAYO IKO KARIBU SANA NA UKRISTO

UWEZEKANO MKUBWA NI KWMBA KABLA YA MAPOROMOKO YA KARIAKOO KUTOKEA, KILICHOKUWA KIMESHAMBULIWA SAFARI HII NI " ATTRIBUTES ZA ALLAH" AMBAZO MHUSIKA ALIKUWA AMESAHAU KUSHUGHULIKA NAZO

HADI MAPOROMOKO YANATOKEA KARIAKOO, MHUSIKA ALIKUWA AMESHASHUGHULIKA NA ATTRIBUTES ZA MUNGU PEKEE NA HIVYO KUACHA ATTRIBUTES ZA ALLAH ZIKIWA HEWANI

MAMA ALIYEPANDISHA JUU MADHABAHUNI KWA AJILI YA KUTOA TANGAZO LA WAUMINI WA KANISA ZIMA KUPITA JUU MADHABAHUNI J2 IJAYO, ALIKUWA ANAWAKILISHA MAANDIKO MATAKATIFU BIBLIA KUPITIA JINA LA MELKIZEDEKI

MUUMINI MWINGINE YULE ALIYEPANDISHWA JUU MADHABAHUNI WAKATI WA IBADA KUU, ALIKUWA ANMWAKILISHA MUNGU AU ALLAH

TANGAZO LA MAFUTA YANAYOUZWA PALE GETINI MWA KANISA, LILIKUWA LINAWAKILISHA WAPAKWA MAFUTA AMBAO WALIITWA NA KUWEKEWA MIKONO MWISHONI MWA IBADA WAKAT WA MATANGAZO YA KM-A

KIONGOZI ALYETANGAZWA NA KIONGOZI WA ZAMU WA LEO, KUWA NDIYE ATAYEKUWA ZAMU WIKI IJAYO ANAITWA "CT" NA.SI YULE MPYA ALIYEPANDISHWA JUU MADHABAHUNI AKIWA AMEAMBATANA NA MAMA YETU

TAARIFA ZAIDI NA KWA KIREFU SANA, ZITAFUATA KUANZIA KESHO

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UFAFANUZI MUHIMU KUHUSIANA NA ATTRBUTES ZA MUNGU NA ATTRIBUTES ZA ALLAH

MANENO HAYA MAWILI MUNGU NA ALLAH YOTE YANAMAANISHA MUNGU YULE YULE MMOJA ISIPOKUWA ATTRIBUTES ZAKE ZINAKUWA TOFAUTI KWA MAANA KUWA NENO ALLAH HUWA HALITUMIKI KWA DINI ZA KIKRISTO ZINAZOTUMIA LUGHA YA KISWAHILI.

STILL, NENO HILI LINAWEZA KUWA LINATUMIKA NA DINI ZA KIKIRISTO ZILE AMBAZO HUWA ZINATUMIA BIBLIA ILIYOANDIKWA KWA LUGHA YA KIARABU, KAMA ZIPO

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
PATTERN NYINGINE MUHIMU MAPOROMOKO YA KARTESH

MAPOROMOKO YA KARTESH YALITOKEA USIKU WA JUMAMOSI, KUAMKIA J2 YA KWANZA KABISA YA MWEZI DECEMBER 2023; J2 YA TAREHE 03 DECEMBER 2023


J2 HIYO NDIYO ILYOTAKIWA KUWA NI IKU YA SHEREHE NYINGINE YA KM-A KWA MWAKA WA 2023 LAKINI SHEREHE HIYO ILIAHIIRISHWA NA PASIPO TAARIFA ZA KUAHIRISHWA KWAKE KUTOLEWA KWA WAUMINI

BAADA YA MIEZI MITATU KUPITA, NDIYO PALE TAARIFA ZA KUAHIRISHWA HUKO ZILIPOTOLEWA KUWA SIKUKUU HIYO ILIAHIRISHWA KWA SABABU ILIPANGWA KUFANYOKA KITOFAUTI KWA MWAKA HUO WA 2023 NA HIVYO ITAFANYIKA MWAKA WA 2024, NA TAARIFA HIZO ZILITOLEWA NA PROFESA

KAMA KM-A ANGEFANYA SIKUKUU YAKE MWAKA JANA 2023, BASI ILIKUWA INAANGUKIA KWENYE J2 AMBAYO USIKU ULIOPITA MAPOROMOKO YALIMALIZA WATU KARTESH

KWA HII SIKUKUU YA MWAKA HUU, SHEREHE YAKE INAFANYIKA KWENYE J2 SAWA NA ILE YA MWAKA JANA YA MAPOROMOKO YA KARTESH; YAANI J2 YA KWANZA YA MWEZI DECEMBER

STILL, KWA MWAKA JANA 2023, VIONGOZI WENGINE WOTE KWENYE KANISA ZIMA KAMA ORGANISATION NDANI YA NCHI, SHEREHE YAO ILIFANYIKA J2 HIYO YA TAREHE 03/12/2023 NA KWA MWKA HUU ITAFANYIK J2 IJAYO YA TAREHE 01/12/2024

MHUSIKA ALISHANGAA MNO MWAKA JANA 2023 KWA KM-A KUAHIRISHA SIKUKUU YAKE, HUWA HANA KAWAIDA HIYO

In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUKIO LA MWISHO AMBALO WAUMINI WOTE WA KANISA WALIPITISHWA JUU YA MADHABAHU KWA AJILI YA KUOMBEWA

TAARIFA HIZO ZINAPATIKANA KUPITIA POST HII HAPA


In the war between falsehood and truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom