UPDATE: MONDAY, 25th NOVEMBER 2024
YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI UPANDE WA MHUSIKA KUANZIA J2 YA TAREHE 17/11/2024 NA HADI J2 YA JANA TAREHE 24/11/2024
CODE MPYA YA “J AU JJ”
UHUSIANO KATI YA CODE YA “J AU JJ” NA MAAFA YA MAPOROMOKO KULE KARIAKOO
Wakati mhusika anaondoka Kanisani J2 ya tarehe 17/11/2024; alibahatika kukutana na kusalimiana na rafiki yake JOSHUA,walikutana kwenye enoe jirani kabisa na sehemu alipokuwa amepaki gari lake
- Jina hli JOSHUA ni la lugha ya Kiebrania, linalomaanisha YESU
- Kwa hiyo JOSHUA ni borrowed word kutoka kwenye lugha ya Kiebrania
Huyu ni rafiki yake mhusika ambaye amehitimu darasa la saba mwaka huu
Baada ya J2 hiyo kupita, kwenye J5 ya wiki hiyo, mpira au
MATCH ya Kimataifa ilichezwa hapa nchini kwetu
KESHO YAKE SIKU ILIYOFUATA; ALHAMIIS YA TAREHE 21/11/2024 MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE
Akiwa yupo nje kwamapumziko mafupi kwenye Veranda, mhusika alibahatika kusalimiana na kuongea machache na mwalimu mwenzake wa idarani kwake; yule ambaye huwa wanashirikiana kufundisha kozi moja
Mwalimu huyu alikuwa ameamua kupumzika hapo akiwa anamsubiria mwalimu mwingine wa kike kutoka kwenye MAJOR UNIT (MU) ya zamani; MU ambayo idara yao mhusika iliwahi kuwepo kabla ya kuwa imehamia kwenye MAJOR UNIT MPYA ya sasa
- Baada ya maongezi hayo mafupi, mhusika aliondoka na kumwacha mwalimu huyo akiwa yupo eneo hilo, akimsubiria mgeni wake
- Baada ya muda, mgeni huyo aliwasili na mhusika alibahatika kuwaona wawili hao kutokea ofisini kwake, wakiwa wapo kwenye corridor wanateta jambo fulani
ATTRIBUTES ZA MWALIMU HUYU MGENI ALIYEKUWA AKISUBIRIWA (tumiwte MGENII)
Mwalimu huyo anatoka idara moja na staff mwingine
wajina wa KM-A, staff ambaye takribani mwaka mmoja uliopita, mhusika aliwahi kuleta taarifa zake humu jukwaani
Ni kwenye tukio moja la siku ya J3 asubuhi ambayo mhusika alikutana na staff huyo (wajina wa KM-A) ndani ya jengo la idara akiwa ameambatana na mnunuzi wa gari (MWG)
Jina la kwanza la staff mgeni wa sasa lina
herufi sita na la pili vile vile nalo lina
herufi sita
Herufi za majina hayo mawili ya mgeni huyu zina sifa zifauatazo
Ukizichikua herufi ya kwanza, ya pili na ya nne za jina lake la kwanza, ukaziuganisha na
herufi zingine mbili za mwanzo za jina lake la pili; na pasipo kubadili mpangilio huu wa namna herufi hizi zilivyochukuliwa, matokeo yake ni kwamba utapata
neno lenye herufi tano linalosomeka MATCH
ALTERNATIVELY:
Unaweza kulipata neno hili MATCH kutoka kwenye majina ya mwalimu huyu kwa namna zifutatzo
- MOSI: kuzikata au kuziondoa complelety herufi mbili za mwisho za jina lake la kwanza ambazo ni herufi ya tano na ya sita na baada ya hapo tena
- PILI: Kubadilisha position ya herufi ya nne ya jina lake la kwanza na kuiweka kwenye position ya tatu, huku ya herufi ya tatu nayo ukiiondoa compleley
Baada ya hapo, kuweziweka tena kwenye position ya nne na ya tano, herufi mbili za mwanzo za jina la pili na hivyo kupelekea kuunda neno linalosomeka MATCH
Mchakato huu unaweza kuelezewa kirahisi na kwa kifupi kama ifuatavyo
MAJINA MAWILI YA MGENI
- Jina la kwanza (mfano): ABCDEF (herufi sita)
- Jina la pili (mfano): HKLMNP (herufi sita)
NAMNA MBILI ZA KUPATA NENO MATCH KUTOKA KWENYE MAJINA MAWILI HAYA
Namna ya kwanza
AB_D_ _
plus HJ kupata neno ABDHK ambalo mpangilio wa herufi zake unazaa neno MATCH
Namna ya pili
ABD
plus HK kupata neno ABDHK ambalo ni sawa na MATCH
BAADA YA SIKU HIYO KUPITA, ILIPOFIKA KESHO YAKE IJUMAA YA TAREHE 22/11/2024
Ijumaa jioni, Profesa mstaafu wa MAKINIKIA alifika na kuja kuingia tena kwenye chumba jirani cha MICROSCOPES
ATTRIBUTES ZA JINA LA KWANZA LA PROFESA HUYU
Jina la kwanza la Profesa huyu linaanza na herufi
“J” na
lina jumla ya herufi tisa huku herufi zake tatu za mwisho zikiwa zinasomeka kwa mapangilio wa
” ---IAN”
Vile vile kwenye hizi herufi tatu za mwisho za jina hili, ukiziondoa herufi mbili “I” na “N” na kubakiza herufi “A” peke yake, unapata tena jina la kwanza staff mwingine ambaye yupo Idarani anayejulikana kama
“JJ”
Herufi hizi
“JJ” ni herufi ambazo zinazotengeneza
“KEY” na majina ya binti mwingine
aliyechangisha fedha za maafa ya maporomoko pasipo ridhaa ya Serikali; baada ya maafa kutokea
Binti huyu aliyechangissha fedha naye pia ni “JJ”
CODE YA “J AU JJ”
……………………………inaendelea