shikamkono01
JF-Expert Member
- Mar 26, 2016
- 685
- 2,055
- Thread starter
-
- #461
Tayari cuzo,ubarikiweShikamkono pls rudisha avatar ya mwanzo nimeangaika kutafuta hii story sisi wengine avatar ndio tunazishika mkuu nilikuwa najiuliza toka lini kukawa na arosto jamani
Umekomaa hadi mwisho.Tubarikiwe sote cuzo asante sana sana kwa story inayofundisha
Najaribu kuyaishi maneno yangu mzee wa noti feki na nataka ninapoweka kisa basi niwe nimeshakiandika chote au kwa sehemu kubwa ili ukifika muda wa kupost mimi iwe ni kupost tu na si kutengeneza excuse na kuwapa la kusema waja,tupo pamojaUmekomaa hadi mwisho.
Barikiwa sana mkuu SHIKAMKONO kwa muda wako, hakika siyo kazi rahisi.
Pamoja na pressure zote kutoka kwa kina@chizimaarifa but still umeimaliza. Ubarikiwe sana.
Nitaku-pm kupata audios.
Ahsante.
Asante cuzoTayari cuzo,ubarikiwe
Tukushukuru pia kwa kuleta mkasa huu wenye mafunzo ndani yake mkuuSHUKRANI SANA:
Ndugu zangu nawashukuru nyote kwa kutumia muda wenu kusoma mkasa huu wa Rojas na hapa ndio hitimisho lake,tukutane tena katika mkasa mwingine siku nyingine kwani haikuwa jambo rahisi ukizingatia kutoa maneno katika mfumo wa sauti kuleta katika mfumo wa maandishi kulileta changamoto kidogo ili kuweza kuifanya hadithi ibaki na mvuto wake ule ule,kuna baadhi ya maeneo ilinilazimu kuongeza nyama ili kuweza kuleta muunganiko kwani upande wa audio kulikuwa ama kukatikakatika,kukosekana kipande kirefu au episode kutosikika kwa zaidi ya dakika 10 hapo ikanibidi nijiongeze.
Mkasa huu umenipa mzuka wa kufanya kazi nyingine na nyingine na kama kuna mtu kati yetu anakifahamu kisa chochote kilicho katika mfumo wa sauti na akapendezwa tukilete jukwaani asiwe mchoyo aniPM nami ntatimiza wajibu wangu kama mwana jukwaa,mbarikiwe sana!
mkasa upo vizuri? umeisha? nisije ingia alosto wakaniacha hukoTukushukuru pia kwa kuleta mkasa huu wenye mafunzo ndani yake mkuu
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Uko vizuri sana na umeisha vizurimkasa upo vizuri? umeisha? nisije ingia alosto wakaniacha huko
Hata ni kutunga sisi tunaishi nayoHii stori ni nzuri ila inaonyesha si stori yenye uhalisia Bali ni hadithi iliyotungwa vizuri. Iweje hao jamaa walipomkamata bwana Rojaz wamwache aende kirahisi hivyo Tena Kwa kumpiga ngumi mbili tu na kukanyagwa mgongoni ilihali waliyekuwa wanamtafuta hawajampata? Kuna vingi vinaonyesha ni fabric ila Hilo ni mojawapo. Baada ya kusoma hizo sehemu 2 basi imenitosha
Sijataka mfe nayo pia
Kwa sote ndugu yanguShukrani sana ubarikiwe
UbarikiweTukushukuru pia kwa kuleta mkasa huu wenye mafunzo ndani yake mkuu
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Soma ndugu hata kama utasoma mkasa ambao haujaisha naamini hautatoka kapamkasa upo vizuri? umeisha? nisije ingia alosto wakaniacha huko
Iwe ya kutunga,iwe ya ukweli jukumu la kwanza la fanani ni kumfanya hadhira wake apate elimu,burudani, na mengineyo,kama umeisoma na haukupata lolote pamoja na kuwa ni ya uongo kama ulivyoipima basi halitakuwa kosa langu,ubarikiweHii stori ni nzuri ila inaonyesha si stori yenye uhalisia Bali ni hadithi iliyotungwa vizuri. Iweje hao jamaa walipomkamata bwana Rojaz wamwache aende kirahisi hivyo Tena Kwa kumpiga ngumi mbili tu na kukanyagwa mgongoni ilihali waliyekuwa wanamtafuta hawajampata? Kuna vingi vinaonyesha ni fabric ila Hilo ni mojawapo. Baada ya kusoma hizo sehemu 2 basi imenitosha