Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

Umekomaa hadi mwisho.
Barikiwa sana mkuu SHIKAMKONO kwa muda wako, hakika siyo kazi rahisi.
Pamoja na pressure zote kutoka kwa kina@chizimaarifa but still umeimaliza. Ubarikiwe sana.
Nitaku-pm kupata audios.
Ahsante.
Najaribu kuyaishi maneno yangu mzee wa noti feki na nataka ninapoweka kisa basi niwe nimeshakiandika chote au kwa sehemu kubwa ili ukifika muda wa kupost mimi iwe ni kupost tu na si kutengeneza excuse na kuwapa la kusema waja,tupo pamoja
 
SHUKRANI SANA:

Ndugu zangu nawashukuru nyote kwa kutumia muda wenu kusoma mkasa huu wa Rojas na hapa ndio hitimisho lake,tukutane tena katika mkasa mwingine siku nyingine kwani haikuwa jambo rahisi ukizingatia kutoa maneno katika mfumo wa sauti kuleta katika mfumo wa maandishi kulileta changamoto kidogo ili kuweza kuifanya hadithi ibaki na mvuto wake ule ule,kuna baadhi ya maeneo ilinilazimu kuongeza nyama ili kuweza kuleta muunganiko kwani upande wa audio kulikuwa ama kukatikakatika,kukosekana kipande kirefu au episode kutosikika kwa zaidi ya dakika 10 hapo ikanibidi nijiongeze.
Mkasa huu umenipa mzuka wa kufanya kazi nyingine na nyingine na kama kuna mtu kati yetu anakifahamu kisa chochote kilicho katika mfumo wa sauti na akapendezwa tukilete jukwaani asiwe mchoyo aniPM nami ntatimiza wajibu wangu kama mwana jukwaa,mbarikiwe sana!
Tukushukuru pia kwa kuleta mkasa huu wenye mafunzo ndani yake mkuu

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Hii stori ni nzuri ila inaonyesha si stori yenye uhalisia Bali ni hadithi iliyotungwa vizuri. Iweje hao jamaa walipomkamata bwana Rojaz wamwache aende kirahisi hivyo Tena Kwa kumpiga ngumi mbili tu na kukanyagwa mgongoni ilihali waliyekuwa wanamtafuta hawajampata? Kuna vingi vinaonyesha ni fabric ila Hilo ni mojawapo. Baada ya kusoma hizo sehemu 2 basi imenitosha
 
Hii stori ni nzuri ila inaonyesha si stori yenye uhalisia Bali ni hadithi iliyotungwa vizuri. Iweje hao jamaa walipomkamata bwana Rojaz wamwache aende kirahisi hivyo Tena Kwa kumpiga ngumi mbili tu na kukanyagwa mgongoni ilihali waliyekuwa wanamtafuta hawajampata? Kuna vingi vinaonyesha ni fabric ila Hilo ni mojawapo. Baada ya kusoma hizo sehemu 2 basi imenitosha
Hata ni kutunga sisi tunaishi nayo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hii stori ni nzuri ila inaonyesha si stori yenye uhalisia Bali ni hadithi iliyotungwa vizuri. Iweje hao jamaa walipomkamata bwana Rojaz wamwache aende kirahisi hivyo Tena Kwa kumpiga ngumi mbili tu na kukanyagwa mgongoni ilihali waliyekuwa wanamtafuta hawajampata? Kuna vingi vinaonyesha ni fabric ila Hilo ni mojawapo. Baada ya kusoma hizo sehemu 2 basi imenitosha
Iwe ya kutunga,iwe ya ukweli jukumu la kwanza la fanani ni kumfanya hadhira wake apate elimu,burudani, na mengineyo,kama umeisoma na haukupata lolote pamoja na kuwa ni ya uongo kama ulivyoipima basi halitakuwa kosa langu,ubarikiwe
 
Back
Top Bottom