Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha Sitasahau cha Radio Free Africa

Bro Kama wewe ndo ulikua ukiihadithia hii simulizi radio free na mzee mzima sky Walker hongera Sana, na wewe kwangu umekua kiigizo chema kabisa katika kuwatendea wema watu wasio na hatia, naikumbuka ile beat iliokua inaplay background wakati wa simulizi, nlikua najitahidi Sana Kila jumapili niwe pembeni ya redio. Ni miongoni mwa vipindi Bora kabisa vya redio kuwahi kutokea hapa Tanzania, nasubiri simulizi ya kuitafuta kwa madiba na Mambo ya "makina"
Hapana ndugu mimi sio miongoni mwa yoyote katika simulizi hii ila nimeona kumekuwa na uhitaji sana wa watu kutaka kuipata story kwa njia ya maandishi ndio nikaamua kuiandika ili tupate kuusoma huu mkasa wa Rojas kwani sio watu wote waliojaaliwa kusikia simulizi hii redioni,hiyo ya mambo ya kwa Madiba nakuahidi kama ipo nayo haitapita siku nyingi ntaitupia hapa,ubarikiwe ndugu
 

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha sitasahau cha radio free africa​


sdhemu ya 5


Katika maisha yangu ya kila siku nimekuwa ni mtu wa kujali sana matatizo ya jamii inayonizunguka na wanajamii kwa kiasi kikubwa walinifahamu hivyo kwahiyo nilivyokutana na huyu mtu gerezani na jinsi alivyokuwa nami kama kaka nimebeba hiyo roho yakuwa sehemu ya kwenda kumtembelea yeye mwenyewe na pia kuwatembelea watoto wake,huyu mtu yupo ndani lakini muda wote akili yake ipo uraiani anawawaza sana watoto wake,anawawaza sana wapo katika mazingira gani kwa sababu anajua mwanamke ambaye amepata nae hawa watoto akili yake kidogo haina utulivu,nakumbuka awamu hii nilipoenda nilienda kumpasha kuhusiana na maendeleo ya watoto wake kuwa wanaendelea vizuri na kumpasha habari nyingine nyingi nilizokuwa nazo kuhusu uraiani na harakati ambazo nimekuwa nazo huku nikimtia moyo huyu ndugu yangu kuwa asikate tamaa mambo yatakaa sawa wala asiwaze sana ajue tu familia yake inaendelea vizuri,katika mengi ambayo nilimueleza ya huku uraiani alinambia "nakuamini,nakuamini sana" nikamwambia "asante" akanambia "unajua niko huku gerezani ni muda sasa na sijawahi kukutana na mtu amenipa matumaini kama wewe,unajua niko huku gerezani toka yule mtoto wangu mdogo akiwa bado ni kichanga" nikamwambia "nakuelewa,nakuelewa" akasema "unajua ndugu zangu wamejua nimepotea huku,nimeishia huku sijawa na mtu wa kumuamini naomba nikuamini" nikamwambia "karibu na uwe na amani" baada ya maneno haya alinishukuru sana.

Shukrani ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wake kila tulipokuwa tukiongea na hata siku hii aliponishukuru sikuona kama ni jambo jipya kwakuwa amekuwa akiniambia mara kwa mara,akaendelea kunambia "toka ndani ya moyo wangu nimetokea kukubeba na kukupenda zaidi ya ndugu,naomba nikushirikishe jambo ambalo sijawahi kumshirikisha mtu yoyote katika maisha yangu,naomba nikushirikishe jambo ambalo nilikuwa nilifanye nikiwa uraiani lakini sikubahatika kulifanya" nikamuuliza "ni jambo gani" akanambia "linahitaji uaminifu baina ya mimi na wewe" nikamwambia "haina shida,haina shida" akanambia "basi nenda kajifikirie" nikamwambia "niambie tu wewe niambie lakini naweza kukusaidia kama si jambo baya" akanambia "wala si jambo baya" nikamwambia "sawa nieleze tu" nilimlazimisha anieleze kwa sababu nitakuja tena huku lini,lini ntakuja kwa sababu nami sasa hivi nimekuwa ni mtu ambaye napambana na mishemishe zangu unajua,akanambia "sawa,nataka nikubadilishie maisha yako" nikatabasamu,nikamwambia "mimi? Unibadilishie maisha mimi?" Akasema "ndio,kwani mimi nikiwa gerezani nashindwa kubadilisha maisha ya mtu mmoja uraiani?

Nikacheka na nikamwambia "hata sikuelewi unamaanisha" akasema "namaanisha ninachokisema,unakumbuka nilikwambia umekuja gerezani kwa ajili yangu?" Nikatabasamu na kumwambia "unajua sikuelewi unachosema" akasema "utanielewa" katika harakati zangu nilitamani maisha mazuri,nilitamani maisha mazuri,maisha bora lakini sikuweza kutimiza ndoto zangu najikuta niko katika maisha ambayo sikuwahi kuwaza kama nitaishia uko lakini pengine maisha yangu naweza nikamalizia uko,sijui ni neema gani yaweza ikaja kwangu na nikatoka,nikamwambia "kwanini unasema hivyo,kwanini unasema hivyo na wakati haya mambo tumeshakaa na tukayazungumza unatumikia kifungo chako na kina miaka tajwa" akasema "hauwezi kuelewa,elewa hili ninalosema nataka kukubadilishia maisha yako na ulikuja gerezani kwa ajili yangu" alinambia nirudi nyumbani na niendelee na harakati zangu na nije tena,nikamwambia "unaniweka njia panda sana mshkaji wangu sielewi hata unachomaanisha,hivi mtu aliyeko gerezani anawezaje kumbadilishia maisha mtu niliyeko uraiani? Ambapo mimi napiga mishemishe,napambana na maisha,ujue gerezani mtu unakaa tu,unakaa tu unawezaje kubadilisha maisha yangu mtu namna hiyo?" Alinambia tutangea na kunisisitiza nisiache kwenda kuwatizama watoto wake nami nikamwambia "usiwaze kuhusu hilo na uwe na amani tu ujue umepata mdogo wako ambaye yupo pamoja nawe hata kama uko gerezani uko pamoja na mimi,usiendelee kunung'unika kuhusu ndugu zako ambao wanaona wewe umeishia huku gerezani Mungu ana njia zake za kuinua ndugu basi ujue na mimi Mungu ameniinua niwe ndugu yako,nitafanya hayo kwa moyo wangu wa dhati" nilimwambia hayo na baada ya muda niliondoka zangu lakini niliyawaza maneno aliyonambia,mtu huyu ni mfungwa tu,mfungwa tu wa kawaida na katika nafasi nilipoingia hapa gerezani na nilipokuwa ninaishi hapa nilimuona ni mfungwa tu ambaye ni mtu mbabe mbabe kwa sababu sio mtu wa kuonewaonewa unajua maisha ya uko kuna watu wababe,watu ambao wana nguvu zao yaani yeye hakuwa mtu wa kuonewa na alikuwa mtu wa kutetea wengine kiufupi nilimuona ni mtu mwema kwa muda wote niliopata nafasi yakuwa nae gerezani lakini kwa habari yakunibadilishia maisha kiukweli ni kitu chakuchekesha unajua yaani nilikuwa nikicheka tu.

Nilirudi uraiani na maisha yalikuwa yanaendelea nilikuwa nikiendelea kupiga mishe zangu kwa sababu sasa hivi si haba japo sijapata gari rasmi napiga tu mishe za udeiwaka japo si haba napata chochote,toka nimetoka kule gerezani ulipita kama mwezi na nikapata nafasi ya kwenda kuwatembelea tena wale watoto,nilienda kuwacheki na kuwapelekea vizagazaga kidogo sawa na kipato changu ambacho napata,wakanambia "anko umekuja tena?" Hii sentensi huyu mtoto alikuwa anapenda kuniambia hivi nami nikamuuliza "ulidhani sitakuja tena? Akanambia "nilidhani hautokuja tena" nikamuuliza "kwanini?kwanini unawaza hivyo? Nilishawaeleza mimi ni anko wenu ambaye nitakuwa nakuja mara nyingi sana,mnaendeleaje?" Lakini pia niliwapelekea mahitaji ya hapa na pale kwa ajili ya shule na walifurahi sana na huyu mama sasa kishajua kama nakuja kwa ajili ya kuwatembelea watoto kwa ajili ya rafiki yangu ambaye alikuwa ni mtu wake ambaye hawako tena kwenye mahusiano kwa sababu wao wenyewe wanazijua,nilizungumza na watoto lakini pia nilizungumza na huyu mama na kikubwa nilimwambia "kwanini siku usitenge muda wa kwenda kumuangalia mwenzio gerezani" kwa mara ya kwanza nazungumza na huyu mama sentensi kama hiyo akasema "mimi nikapoteze muda wangu kudili na mtu aliyeniharibia maisha yangu? Nikamwambia "ujue watu ukosea lakini na watu hujirekebisha,unajua watu hujirekebisha sana wakiwa gerezani? Watu wanabadilisha nienendo yao na inawezekana alipokuwa uraiani hakuwa mtu mwema lakini kule ameshabadilika" akasema "hawezi kubadilika yule mtu,hawezi kubadilika yule mpaka mwisho wa dunia,hawezi kubadilika,mbaya yule kuliko unavyodhani na nashangaa unaangaika kumsaidia mtu yuko gerezani na ataozea uko,nakuangalia tu nione hatua zako zitaishia wapi" aliniambia hayo maneno yakunivunja moyo nami nakumbuka nilimwambia "mtu anaweza kuwa mbaya kiasi gani yaani hadi asiweze kuonewa huruma na kwenda kutembelewa" alinambia "mwanaume mbaya sana amenipotezea maisha yangu na kunipotezea muda,ebu tazama wakati mimi niko nae kumbe yuko na mwanamke tena amekwenda hadi kumtambulisha kwao naye ameshakwenda kutambulishwa hadi kwa huyo mwanamke na wako katika hatua flani za uchumba lakini mimi huku kashanipa tena ujauzito,amenifanya nimeishi maisha magumu sana ya ajabu,namchukia sana na siwezi kunyanyua mguu wangu kwenda kumtizama shetani kama yule hata siku moja" yaani mtu huyu anavyotafiriwa unaona si mtu mwema na kuna sentensi ambazo nimekutana nazo nikiwa gerezani "huyu mtu uko nae karibu kivipi? kama hatafsiriwi kwa wema lakini kiundani kwanini mtu huyu si mwema lakini yeye mwenyewe anasema yupo anatumikia kifungo kwa sababu yeye mwenyewe amestahili wala hajaonewa na yoyote,ni malipo ya madhambi yake,nilimsikiliza huyu mama maneno na hasira zake lakini mimi sio yaliyonileta,hata kama baba yao ni mbaya hawa watoto sio wabaya kwahiyo ntazidi kuja kuwaona pale ntakapopata nafasi hata kama navunjwa moyo na mama yao nitajipa moyo kwa sababu nimewapenda hawa watoto nitakuja tena na tena kuwatizama.
Niliaga na kwenda kuendelea na mishe zangu na maisha yangu yakawa yanasonga mbele na siku zikasogea ikapita kama miezi mitatu niko na mishe zangu sikupata nafasi ya kwenda kuwatizama wale watoto wala sikwenda kule gerezani niko na mambo yangu naendelea,nakumbuka siku moja nikasikia kuwiwa sana kwenda kuwatembelea wale watoto,nilienda lakini nilimkosa huyu mama,nilipouliza kwa majirani nikaambiwa yule mtoto mdogo anaumwa,anaumwa sana na amelazwa,kwahiyo nikafatilia hadi kujua wamelazwa wapi,nikaenda kwenye hiyo hospitali na nikamkuta yule mama pamoja na baadhi ya ndugu zake wakiwa katika hali yakumuangaikia mtoto walisema amepata amoeba sijui nini mambo ya watoto basi nami nikawatia moyo nikasema "nilikuja kuwaona na isitoshe mambo yamekuwa ni kukimbizana muda umepita sana sijaja" huyu mama akasema"nilijua hautakuja tena unadhani utakuwa unakuja kutuangalia kila siku kwa maagizo ya huyo mtu ambaye yuko gerezani ambaye atafia uko gerezani" nikamwambia "siji kwa sababu ya rafiki yangu wa kule gerezani,nakuja kwasababu nimeshakuwa na urafiki na hawa watoto" aliniangalia tu huyu mama lakini hali ya mtoto haikuwa mbaya sana basi nami kwakuwa nilipata taarifa ya mtoto kuumwa nikawa nakuja hadi pale aliporuhusiwa na kurudi nyumbani nami nikaendelea na mishe zangu lakini nilitafuta muda siku hiyo nikajisikia tu nikaenda gerezani kwenda kumtizama mshkaji,kweli nilipata nafasi ya kuzungumza nae,nilimpelekea sabuni na vitu vichache vichache na akanambia "mbona umechelewa sana kuja mshkaji wangu?

Nikamwambia "kwanini? Akanambia "mbona nilikwambia uje tuzungumze" nikamjibu "unajua mambo uko uraiani ni kupambana sana,mambo yamekuwa mengi mshkaji wangu unisamehe bure ila nilipata nafasi nilikwenda kuwatizama watoto nikakuta mtoto wako anaumwa" akasema "nini tena? Ina maana taarifa hana,hana mtu wakumpelekea taarifa,yaani watu walishamkataa yaani yuko tu huku hana taarifa zozote lakini nikamwambia usiwaze kwani anaendelea vizuri kwa sababu alipatiwa matibabu nami nilikuwa naendaenda pale kwakweli anaendelea vizuri mpaka ameruhusiwa amerejea nyumbani,yaani mtoto anaendelea vizuri kabisa wala usiwaze" akanambia "aisee nashukuru sana,nashukuru sana ndugu yangu,nakushukuru mno na asante sana kwa vitu ambavyo umeniletea" nikamwambia "wala usijali,karibu" akasema "najua moyo wako iko siku utachoka kuja kunitembelea,najua utachoka na hautakuja tena" nikamwambia "sijui,lakini ndugu yangu nikuahidi pale nitakapopata nafasi nitakuwa ninakuja" akasema "lakini naomba tuendelee na mazungumzo yetu ya siku ile tulipoishia " nikamwambia "nakusikia" akanambia "tuliishia pale nilipokwambia nataka kubadirisha maisha yako" nikamwambia "nakumbuka" akanambia "hujaiwaza hiyo sentensi? Nikamwambia "sijaiwaza chochote,kwasababu unaweza wewe kunibadilishia maisha wakati wewe mwenyewe umekosa uhuru na upo tu unafanya kazi za humu ndani,unawezaje kunibadilishia maisha mimi ambaye niko uraiani na nina mwanya wakubadilisha maisha yangu mimi mwenyewe" akasema "ni kweli umesema vyema lakini mimi nimekaa hapa ni kwa sababu nimekosa uhuru wakufanya kitu lakini natamani nifanye kitu nikiwa uraiani" nikamwambia "utawezaje sasa? Akanambia "nataka wewe ukafanye" nikacheka,nikamwambia "kufanya nini? Akanambia "ninao utajiri" nikacheka yaani ni mambo yakuchekesha,nikamwambia "yaani wewe unao utajiri wewe? Akasema "hakuma mtu anajua kama mimi nina utajiri mwingi" nikamwambia "eeh niambie kuhusu utajiri wako" akanambia "hii ni siri nazungumza na wewe na sijawahi kuzungumza na mtu yoyote,natamani uwe rafiki yangu,ndugu wangu wa damu,sina mwingine wa kumuamini moyo wangu umesukumwa na wewe na hata nilipokuwa gerezani nilikuwa nikiomba Mungu usiku na mchana anipe mtu ambaye si ndugu moja na mimi lakini akamfanye awe ndugu yangu,akatimize ndoto zangu uraiani,hivi unajua ni kama vitu visivyoeleweka" nikamwambia "haya nambie,nambie kuhusu utajiri wako" akanambia "ninazo pesa nyingi zakuweza kubadilisha maisha yako,nyingi hata zakuweza kubadilisha maisha ya familia yako lakini niahidi hautawaacha watoto wangu,utawabeba nakuwatunza na kuwalea,utawasomesha,utamsaidia na mama yao,utamsaidia na msichana wangu lakini niahidi,niahidi kitu kimoja,hautamgusa yule mwanamke,utamuacha ataolewa na mtu mwingine,mimi sitaweza kumuoa lakini wewe usimuoe,aolewe na mtu mwingine na msaidie akiwa na matatizo"
Mimi ninayasikia haya,unajua ni kama mambo yasiyoeleweka narudia tena kwa sababu mtu anawezaje kunambia maneno hayo,ananipima? Tunazungumzia habari za pesa ambazo niko huku napambania kweli na udeiwaka mtu ananambia nina utajiri,niliyasikia haya maneno kutoka kwa kaka huyu ambaye tulikutana gerezani na kuishi kama familia na leo ninapoelezwa haya mambo ya pesa na utajiri na mfungwa aliyepo gerezani ananiambia nimuahidi kwanza sikuamini,niamini vipi,niamini vipi kirahisi? Kwanza nikabaki nikitabasamu kwa sababu nimekuwa nikitabasamu hivyo na akanambia "mimi sikutanii na siko kwa ajili ya matani na mimi nilisogea na kuzungumza na wewe toka ulipofika na nikakutana na wewe,nilikuja kwa sababu ya kusudi maalum ili unikamilishie ndoto zangu,wafanye watoto wangu kuwa bora,waishi katika nyumba nzuri,wafanye watoto wangu kuwa watu wa thamani,mama yao pia,sikwambii sana kuhusu ndugu zangu endapo ukiguswa waweza fanya hivyo lakini huu utajiri nakupa wewe,nakutunuku wewe" sasa mfungwa aliyeko
gerezani anawezaje kuwa na pesa,"pesa ziko wapi? Nakumbuka nikamwambia "unanambia mambo mazito yaani sijawahi hata kusikia mtu aliyeko gerezani anaweza kumpa utajiri mtu aliyeko uraiani,basi mimi naweza nikawa nimebahatika ila ndugu yangu nashukuru sana ila huo utajiri sidhani kama mimi nafaa kuupata,naogopa sana vitu hatarishi katika maisha yangu,natamani kufanya vitu vya halali tena vya haki,sitaki matatizo katika maisha yangu,umeniona nimetumikia kwa muda gani hapa gerezani ilihali sijatenda lolote,maisha yangu yalirudi nyuma sana,harakati zangu nilizokuwa nazo zikarudishwa nyuma,unataka na mimi niishie gerezani kama wewe?

Inaonekana maisha yako uraiani hayakuwa mema wewe mwenyewe umesoa unatumikia kile ambacho wewe umestahili kutumikia je unataka na mimi niyaishi maisha ambayo wewe umeyaishi yakakufanya hadi uje gerezani? Akasema "hapana,sio kweli,sio kweli na haijalishi kwa sababu mimi nilikuwa mbaya basi na pesa yangu itakuwa mbaya,unajua nini mimi natamani kufanya,natamani pesa yangu ikafanye mambo mazuri mema" nikamwambia "pesa yenyewe iko wapi? Tunazungumza,tunazungumza nini kwani? Yaani pesa iko wapi unayozungumza wewe? Akanambia "pesa ipo na nataka uniahidi katika mambo niliyokwambia kwa sababu ukitoka hapa unaenda kuchukua pesa kwahiyo ahadi yangu inabidi unipe leo na ahadi yangu nataka uape mbele ya Mungu ya kwamba unaniahidi hata kama mimi kesho nitaondoka ahadi yako kwa Mungu isimame na ikuhukumu kama utaenda kinyume na hayo,mimi nataka kukupa utajiri leo,leo nakupa utajiri,niahidi,najua hauwezi niahidi kwa maandishi lakini kwa kinywa chako niahidi ,niahidi utatunza ahadi hiyo mpaka pale mwisho wa safari ya maisha yako" nikamwambia "kaka we usiongee sana we nambie" akasema "siwezi kuzungumza zaidi ya nilichosema niahidi utawatunza watoto wangu" nikamwambia "ndio nakuahidi nitafanya hivyo" niahidi utamtunza mama wa watoto wangu yaani wale watoto mama yao" nikamwambia ndio nakuahidi, "niahidi utamsaidia mwanamke niliyempenda na kutamani kuishi nae nikiwa uraiani,mwanamke wa ndoto zangu" nikamwambia "ndio" "lakini niahidi huyo mwanamke hautamfanya kuwa mwanamke wako,utamuhudumia na kumsaidia na atakwenda kuolewa na mwanaume anayemtaka yeye lakini sio wewe" nikamwambia "ndio" akasema niapie mbele za Mungu,mimi niko gerezani sasa namjua Mungu,najua mtu ukiapa mbele za Mungu hiyo inasimama kweli" nikamwambia "mbona unanipa vifungu vigumu hivyo kwanini tuape Mungu hapa?

Akasema "niapie mbele za Mungu" haya yalikuwa ni mazungumzo na huyu mtu ambaye amenambia atanipa pesa na hizo pesa ziko wapi? Ananipa katika mazingira gani? Anasema anataka kunipa utajiri abadilishe maisha yangu!


Itaendelea!
 

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha sitasahau cha radio free africa​


sdhemu ya 5


Katika maisha yangu ya kila siku nimekuwa ni mtu wa kujali sana matatizo ya jamii inayonizunguka na wanajamii kwa kiasi kikubwa walinifahamu hivyo kwahiyo nilivyokutana na huyu mtu gerezani na jinsi alivyokuwa nami kama kaka nimebeba hiyo roho yakuwa sehemu ya kwenda kumtembelea yeye mwenyewe na pia kuwatembelea watoto wake,huyu mtu yupo ndani lakini muda wote akili yake ipo uraiani anawawaza sana watoto wake,anawawaza sana wapo katika mazingira gani kwa sababu anajua mwanamke ambaye amepata nae hawa watoto akili yake kidogo haina utulivu,nakumbuka awamu hii nilipoenda nilienda kumpasha kuhusiana na maendeleo ya watoto wake kuwa wanaendelea vizuri na kumpasha habari nyingine nyingi nilizokuwa nazo kuhusu uraiani na harakati ambazo nimekuwa nazo huku nikimtia moyo huyu ndugu yangu kuwa asikate tamaa mambo yatakaa sawa wala asiwaze sana ajue tu familia yake inaendelea vizuri,katika mengi ambayo nilimueleza ya huku uraiani alinambia "nakuamini,nakuamini sana" nikamwambia "asante" akanambia "unajua niko huku gerezani ni muda sasa na sijawahi kukutana na mtu amenipa matumaini kama wewe,unajua niko huku gerezani toka yule mtoto wangu mdogo akiwa bado ni kichanga" nikamwambia "nakuelewa,nakuelewa" akasema "unajua ndugu zangu wamejua nimepotea huku,nimeishia huku sijawa na mtu wa kumuamini naomba nikuamini" nikamwambia "karibu na uwe na amani" baada ya maneno haya alinishukuru sana.

Shukrani ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wake kila tulipokuwa tukiongea na hata siku hii aliponishukuru sikuona kama ni jambo jipya kwakuwa amekuwa akiniambia mara kwa mara,akaendelea kunambia "toka ndani ya moyo wangu nimetokea kukubeba na kukupenda zaidi ya ndugu,naomba nikushirikishe jambo ambalo sijawahi kumshirikisha mtu yoyote katika maisha yangu,naomba nikushirikishe jambo ambalo nilikuwa nilifanye nikiwa uraiani lakini sikubahatika kulifanya" nikamuuliza "ni jambo gani" akanambia "linahitaji uaminifu baina ya mimi na wewe" nikamwambia "haina shida,haina shida" akanambia "basi nenda kajifikirie" nikamwambia "niambie tu wewe niambie lakini naweza kukusaidia kama si jambo baya" akanambia "wala si jambo baya" nikamwambia "sawa nieleze tu" nilimlazimisha anieleze kwa sababu nitakuja tena huku lini,lini ntakuja kwa sababu nami sasa hivi nimekuwa ni mtu ambaye napambana na mishemishe zangu unajua,akanambia "sawa,nataka nikubadilishie maisha yako" nikatabasamu,nikamwambia "mimi? Unibadilishie maisha mimi?" Akasema "ndio,kwani mimi nikiwa gerezani nashindwa kubadilisha maisha ya mtu mmoja uraiani?

Nikacheka na nikamwambia "hata sikuelewi unamaanisha" akasema "namaanisha ninachokisema,unakumbuka nilikwambia umekuja gerezani kwa ajili yangu?" Nikatabasamu na kumwambia "unajua sikuelewi unachosema" akasema "utanielewa" katika harakati zangu nilitamani maisha mazuri,nilitamani maisha mazuri,maisha bora lakini sikuweza kutimiza ndoto zangu najikuta niko katika maisha ambayo sikuwahi kuwaza kama nitaishia uko lakini pengine maisha yangu naweza nikamalizia uko,sijui ni neema gani yaweza ikaja kwangu na nikatoka,nikamwambia "kwanini unasema hivyo,kwanini unasema hivyo na wakati haya mambo tumeshakaa na tukayazungumza unatumikia kifungo chako na kina miaka tajwa" akasema "hauwezi kuelewa,elewa hili ninalosema nataka kukubadilishia maisha yako na ulikuja gerezani kwa ajili yangu" alinambia nirudi nyumbani na niendelee na harakati zangu na nije tena,nikamwambia "unaniweka njia panda sana mshkaji wangu sielewi hata unachomaanisha,hivi mtu aliyeko gerezani anawezaje kumbadilishia maisha mtu niliyeko uraiani? Ambapo mimi napiga mishemishe,napambana na maisha,ujue gerezani mtu unakaa tu,unakaa tu unawezaje kubadilisha maisha yangu mtu namna hiyo?" Alinambia tutangea na kunisisitiza nisiache kwenda kuwatizama watoto wake nami nikamwambia "usiwaze kuhusu hilo na uwe na amani tu ujue umepata mdogo wako ambaye yupo pamoja nawe hata kama uko gerezani uko pamoja na mimi,usiendelee kunung'unika kuhusu ndugu zako ambao wanaona wewe umeishia huku gerezani Mungu ana njia zake za kuinua ndugu basi ujue na mimi Mungu ameniinua niwe ndugu yako,nitafanya hayo kwa moyo wangu wa dhati" nilimwambia hayo na baada ya muda niliondoka zangu lakini niliyawaza maneno aliyonambia,mtu huyu ni mfungwa tu,mfungwa tu wa kawaida na katika nafasi nilipoingia hapa gerezani na nilipokuwa ninaishi hapa nilimuona ni mfungwa tu ambaye ni mtu mbabe mbabe kwa sababu sio mtu wa kuonewaonewa unajua maisha ya uko kuna watu wababe,watu ambao wana nguvu zao yaani yeye hakuwa mtu wa kuonewa na alikuwa mtu wa kutetea wengine kiufupi nilimuona ni mtu mwema kwa muda wote niliopata nafasi yakuwa nae gerezani lakini kwa habari yakunibadilishia maisha kiukweli ni kitu chakuchekesha unajua yaani nilikuwa nikicheka tu.

Nilirudi uraiani na maisha yalikuwa yanaendelea nilikuwa nikiendelea kupiga mishe zangu kwa sababu sasa hivi si haba japo sijapata gari rasmi napiga tu mishe za udeiwaka japo si haba napata chochote,toka nimetoka kule gerezani ulipita kama mwezi na nikapata nafasi ya kwenda kuwatembelea tena wale watoto,nilienda kuwacheki na kuwapelekea vizagazaga kidogo sawa na kipato changu ambacho napata,wakanambia "anko umekuja tena?" Hii sentensi huyu mtoto alikuwa anapenda kuniambia hivi nami nikamuuliza "ulidhani sitakuja tena? Akanambia "nilidhani hautokuja tena" nikamuuliza "kwanini?kwanini unawaza hivyo? Nilishawaeleza mimi ni anko wenu ambaye nitakuwa nakuja mara nyingi sana,mnaendeleaje?" Lakini pia niliwapelekea mahitaji ya hapa na pale kwa ajili ya shule na walifurahi sana na huyu mama sasa kishajua kama nakuja kwa ajili ya kuwatembelea watoto kwa ajili ya rafiki yangu ambaye alikuwa ni mtu wake ambaye hawako tena kwenye mahusiano kwa sababu wao wenyewe wanazijua,nilizungumza na watoto lakini pia nilizungumza na huyu mama na kikubwa nilimwambia "kwanini siku usitenge muda wa kwenda kumuangalia mwenzio gerezani" kwa mara ya kwanza nazungumza na huyu mama sentensi kama hiyo akasema "mimi nikapoteze muda wangu kudili na mtu aliyeniharibia maisha yangu? Nikamwambia "ujue watu ukosea lakini na watu hujirekebisha,unajua watu hujirekebisha sana wakiwa gerezani? Watu wanabadilisha nienendo yao na inawezekana alipokuwa uraiani hakuwa mtu mwema lakini kule ameshabadilika" akasema "hawezi kubadilika yule mtu,hawezi kubadilika yule mpaka mwisho wa dunia,hawezi kubadilika,mbaya yule kuliko unavyodhani na nashangaa unaangaika kumsaidia mtu yuko gerezani na ataozea uko,nakuangalia tu nione hatua zako zitaishia wapi" aliniambia hayo maneno yakunivunja moyo nami nakumbuka nilimwambia "mtu anaweza kuwa mbaya kiasi gani yaani hadi asiweze kuonewa huruma na kwenda kutembelewa" alinambia "mwanaume mbaya sana amenipotezea maisha yangu na kunipotezea muda,ebu tazama wakati mimi niko nae kumbe yuko na mwanamke tena amekwenda hadi kumtambulisha kwao naye ameshakwenda kutambulishwa hadi kwa huyo mwanamke na wako katika hatua flani za uchumba lakini mimi huku kashanipa tena ujauzito,amenifanya nimeishi maisha magumu sana ya ajabu,namchukia sana na siwezi kunyanyua mguu wangu kwenda kumtizama shetani kama yule hata siku moja" yaani mtu huyu anavyotafiriwa unaona si mtu mwema na kuna sentensi ambazo nimekutana nazo nikiwa gerezani "huyu mtu uko nae karibu kivipi? kama hatafsiriwi kwa wema lakini kiundani kwanini mtu huyu si mwema lakini yeye mwenyewe anasema yupo anatumikia kifungo kwa sababu yeye mwenyewe amestahili wala hajaonewa na yoyote,ni malipo ya madhambi yake,nilimsikiliza huyu mama maneno na hasira zake lakini mimi sio yaliyonileta,hata kama baba yao ni mbaya hawa watoto sio wabaya kwahiyo ntazidi kuja kuwaona pale ntakapopata nafasi hata kama navunjwa moyo na mama yao nitajipa moyo kwa sababu nimewapenda hawa watoto nitakuja tena na tena kuwatizama.
Niliaga na kwenda kuendelea na mishe zangu na maisha yangu yakawa yanasonga mbele na siku zikasogea ikapita kama miezi mitatu niko na mishe zangu sikupata nafasi ya kwenda kuwatizama wale watoto wala sikwenda kule gerezani niko na mambo yangu naendelea,nakumbuka siku moja nikasikia kuwiwa sana kwenda kuwatembelea wale watoto,nilienda lakini nilimkosa huyu mama,nilipouliza kwa majirani nikaambiwa yule mtoto mdogo anaumwa,anaumwa sana na amelazwa,kwahiyo nikafatilia hadi kujua wamelazwa wapi,nikaenda kwenye hiyo hospitali na nikamkuta yule mama pamoja na baadhi ya ndugu zake wakiwa katika hali yakumuangaikia mtoto walisema amepata amoeba sijui nini mambo ya watoto basi nami nikawatia moyo nikasema "nilikuja kuwaona na isitoshe mambo yamekuwa ni kukimbizana muda umepita sana sijaja" huyu mama akasema"nilijua hautakuja tena unadhani utakuwa unakuja kutuangalia kila siku kwa maagizo ya huyo mtu ambaye yuko gerezani ambaye atafia uko gerezani" nikamwambia "siji kwa sababu ya rafiki yangu wa kule gerezani,nakuja kwasababu nimeshakuwa na urafiki na hawa watoto" aliniangalia tu huyu mama lakini hali ya mtoto haikuwa mbaya sana basi nami kwakuwa nilipata taarifa ya mtoto kuumwa nikawa nakuja hadi pale aliporuhusiwa na kurudi nyumbani nami nikaendelea na mishe zangu lakini nilitafuta muda siku hiyo nikajisikia tu nikaenda gerezani kwenda kumtizama mshkaji,kweli nilipata nafasi ya kuzungumza nae,nilimpelekea sabuni na vitu vichache vichache na akanambia "mbona umechelewa sana kuja mshkaji wangu?

Nikamwambia "kwanini? Akanambia "mbona nilikwambia uje tuzungumze" nikamjibu "unajua mambo uko uraiani ni kupambana sana,mambo yamekuwa mengi mshkaji wangu unisamehe bure ila nilipata nafasi nilikwenda kuwatizama watoto nikakuta mtoto wako anaumwa" akasema "nini tena? Ina maana taarifa hana,hana mtu wakumpelekea taarifa,yaani watu walishamkataa yaani yuko tu huku hana taarifa zozote lakini nikamwambia usiwaze kwani anaendelea vizuri kwa sababu alipatiwa matibabu nami nilikuwa naendaenda pale kwakweli anaendelea vizuri mpaka ameruhusiwa amerejea nyumbani,yaani mtoto anaendelea vizuri kabisa wala usiwaze" akanambia "aisee nashukuru sana,nashukuru sana ndugu yangu,nakushukuru mno na asante sana kwa vitu ambavyo umeniletea" nikamwambia "wala usijali,karibu" akasema "najua moyo wako iko siku utachoka kuja kunitembelea,najua utachoka na hautakuja tena" nikamwambia "sijui,lakini ndugu yangu nikuahidi pale nitakapopata nafasi nitakuwa ninakuja" akasema "lakini naomba tuendelee na mazungumzo yetu ya siku ile tulipoishia " nikamwambia "nakusikia" akanambia "tuliishia pale nilipokwambia nataka kubadirisha maisha yako" nikamwambia "nakumbuka" akanambia "hujaiwaza hiyo sentensi? Nikamwambia "sijaiwaza chochote,kwasababu unaweza wewe kunibadilishia maisha wakati wewe mwenyewe umekosa uhuru na upo tu unafanya kazi za humu ndani,unawezaje kunibadilishia maisha mimi ambaye niko uraiani na nina mwanya wakubadilisha maisha yangu mimi mwenyewe" akasema "ni kweli umesema vyema lakini mimi nimekaa hapa ni kwa sababu nimekosa uhuru wakufanya kitu lakini natamani nifanye kitu nikiwa uraiani" nikamwambia "utawezaje sasa? Akanambia "nataka wewe ukafanye" nikacheka,nikamwambia "kufanya nini? Akanambia "ninao utajiri" nikacheka yaani ni mambo yakuchekesha,nikamwambia "yaani wewe unao utajiri wewe? Akasema "hakuma mtu anajua kama mimi nina utajiri mwingi" nikamwambia "eeh niambie kuhusu utajiri wako" akanambia "hii ni siri nazungumza na wewe na sijawahi kuzungumza na mtu yoyote,natamani uwe rafiki yangu,ndugu wangu wa damu,sina mwingine wa kumuamini moyo wangu umesukumwa na wewe na hata nilipokuwa gerezani nilikuwa nikiomba Mungu usiku na mchana anipe mtu ambaye si ndugu moja na mimi lakini akamfanye awe ndugu yangu,akatimize ndoto zangu uraiani,hivi unajua ni kama vitu visivyoeleweka" nikamwambia "haya nambie,nambie kuhusu utajiri wako" akanambia "ninazo pesa nyingi zakuweza kubadilisha maisha yako,nyingi hata zakuweza kubadilisha maisha ya familia yako lakini niahidi hautawaacha watoto wangu,utawabeba nakuwatunza na kuwalea,utawasomesha,utamsaidia na mama yao,utamsaidia na msichana wangu lakini niahidi,niahidi kitu kimoja,hautamgusa yule mwanamke,utamuacha ataolewa na mtu mwingine,mimi sitaweza kumuoa lakini wewe usimuoe,aolewe na mtu mwingine na msaidie akiwa na matatizo"
Mimi ninayasikia haya,unajua ni kama mambo yasiyoeleweka narudia tena kwa sababu mtu anawezaje kunambia maneno hayo,ananipima? Tunazungumzia habari za pesa ambazo niko huku napambania kweli na udeiwaka mtu ananambia nina utajiri,niliyasikia haya maneno kutoka kwa kaka huyu ambaye tulikutana gerezani na kuishi kama familia na leo ninapoelezwa haya mambo ya pesa na utajiri na mfungwa aliyepo gerezani ananiambia nimuahidi kwanza sikuamini,niamini vipi,niamini vipi kirahisi? Kwanza nikabaki nikitabasamu kwa sababu nimekuwa nikitabasamu hivyo na akanambia "mimi sikutanii na siko kwa ajili ya matani na mimi nilisogea na kuzungumza na wewe toka ulipofika na nikakutana na wewe,nilikuja kwa sababu ya kusudi maalum ili unikamilishie ndoto zangu,wafanye watoto wangu kuwa bora,waishi katika nyumba nzuri,wafanye watoto wangu kuwa watu wa thamani,mama yao pia,sikwambii sana kuhusu ndugu zangu endapo ukiguswa waweza fanya hivyo lakini huu utajiri nakupa wewe,nakutunuku wewe" sasa mfungwa aliyeko
gerezani anawezaje kuwa na pesa,"pesa ziko wapi? Nakumbuka nikamwambia "unanambia mambo mazito yaani sijawahi hata kusikia mtu aliyeko gerezani anaweza kumpa utajiri mtu aliyeko uraiani,basi mimi naweza nikawa nimebahatika ila ndugu yangu nashukuru sana ila huo utajiri sidhani kama mimi nafaa kuupata,naogopa sana vitu hatarishi katika maisha yangu,natamani kufanya vitu vya halali tena vya haki,sitaki matatizo katika maisha yangu,umeniona nimetumikia kwa muda gani hapa gerezani ilihali sijatenda lolote,maisha yangu yalirudi nyuma sana,harakati zangu nilizokuwa nazo zikarudishwa nyuma,unataka na mimi niishie gerezani kama wewe?

Inaonekana maisha yako uraiani hayakuwa mema wewe mwenyewe umesoa unatumikia kile ambacho wewe umestahili kutumikia je unataka na mimi niyaishi maisha ambayo wewe umeyaishi yakakufanya hadi uje gerezani? Akasema "hapana,sio kweli,sio kweli na haijalishi kwa sababu mimi nilikuwa mbaya basi na pesa yangu itakuwa mbaya,unajua nini mimi natamani kufanya,natamani pesa yangu ikafanye mambo mazuri mema" nikamwambia "pesa yenyewe iko wapi? Tunazungumza,tunazungumza nini kwani? Yaani pesa iko wapi unayozungumza wewe? Akanambia "pesa ipo na nataka uniahidi katika mambo niliyokwambia kwa sababu ukitoka hapa unaenda kuchukua pesa kwahiyo ahadi yangu inabidi unipe leo na ahadi yangu nataka uape mbele ya Mungu ya kwamba unaniahidi hata kama mimi kesho nitaondoka ahadi yako kwa Mungu isimame na ikuhukumu kama utaenda kinyume na hayo,mimi nataka kukupa utajiri leo,leo nakupa utajiri,niahidi,najua hauwezi niahidi kwa maandishi lakini kwa kinywa chako niahidi ,niahidi utatunza ahadi hiyo mpaka pale mwisho wa safari ya maisha yako" nikamwambia "kaka we usiongee sana we nambie" akasema "siwezi kuzungumza zaidi ya nilichosema niahidi utawatunza watoto wangu" nikamwambia "ndio nakuahidi nitafanya hivyo" niahidi utamtunza mama wa watoto wangu yaani wale watoto mama yao" nikamwambia ndio nakuahidi, "niahidi utamsaidia mwanamke niliyempenda na kutamani kuishi nae nikiwa uraiani,mwanamke wa ndoto zangu" nikamwambia "ndio" "lakini niahidi huyo mwanamke hautamfanya kuwa mwanamke wako,utamuhudumia na kumsaidia na atakwenda kuolewa na mwanaume anayemtaka yeye lakini sio wewe" nikamwambia "ndio" akasema niapie mbele za Mungu,mimi niko gerezani sasa namjua Mungu,najua mtu ukiapa mbele za Mungu hiyo inasimama kweli" nikamwambia "mbona unanipa vifungu vigumu hivyo kwanini tuape Mungu hapa?

Akasema "niapie mbele za Mungu" haya yalikuwa ni mazungumzo na huyu mtu ambaye amenambia atanipa pesa na hizo pesa ziko wapi? Ananipa katika mazingira gani? Anasema anataka kunipa utajiri abadilishe maisha yangu!


Itaendelea!
Stori nzuri ina marudio ya maneno mara nyingi kiasi kwamba mtu anaamua kuscip baadhi ya sehemu. Rekebisha kidogo hapo tu
 

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha sitasahau cha radio free africa​


sdhemu ya 5


Katika maisha yangu ya kila siku nimekuwa ni mtu wa kujali sana matatizo ya jamii inayonizunguka na wanajamii kwa kiasi kikubwa walinifahamu hivyo kwahiyo nilivyokutana na huyu mtu gerezani na jinsi alivyokuwa nami kama kaka nimebeba hiyo roho yakuwa sehemu ya kwenda kumtembelea yeye mwenyewe na pia kuwatembelea watoto wake,huyu mtu yupo ndani lakini muda wote akili yake ipo uraiani anawawaza sana watoto wake,anawawaza sana wapo katika mazingira gani kwa sababu anajua mwanamke ambaye amepata nae hawa watoto akili yake kidogo haina utulivu,nakumbuka awamu hii nilipoenda nilienda kumpasha kuhusiana na maendeleo ya watoto wake kuwa wanaendelea vizuri na kumpasha habari nyingine nyingi nilizokuwa nazo kuhusu uraiani na harakati ambazo nimekuwa nazo huku nikimtia moyo huyu ndugu yangu kuwa asikate tamaa mambo yatakaa sawa wala asiwaze sana ajue tu familia yake inaendelea vizuri,katika mengi ambayo nilimueleza ya huku uraiani alinambia "nakuamini,nakuamini sana" nikamwambia "asante" akanambia "unajua niko huku gerezani ni muda sasa na sijawahi kukutana na mtu amenipa matumaini kama wewe,unajua niko huku gerezani toka yule mtoto wangu mdogo akiwa bado ni kichanga" nikamwambia "nakuelewa,nakuelewa" akasema "unajua ndugu zangu wamejua nimepotea huku,nimeishia huku sijawa na mtu wa kumuamini naomba nikuamini" nikamwambia "karibu na uwe na amani" baada ya maneno haya alinishukuru sana.

Shukrani ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wake kila tulipokuwa tukiongea na hata siku hii aliponishukuru sikuona kama ni jambo jipya kwakuwa amekuwa akiniambia mara kwa mara,akaendelea kunambia "toka ndani ya moyo wangu nimetokea kukubeba na kukupenda zaidi ya ndugu,naomba nikushirikishe jambo ambalo sijawahi kumshirikisha mtu yoyote katika maisha yangu,naomba nikushirikishe jambo ambalo nilikuwa nilifanye nikiwa uraiani lakini sikubahatika kulifanya" nikamuuliza "ni jambo gani" akanambia "linahitaji uaminifu baina ya mimi na wewe" nikamwambia "haina shida,haina shida" akanambia "basi nenda kajifikirie" nikamwambia "niambie tu wewe niambie lakini naweza kukusaidia kama si jambo baya" akanambia "wala si jambo baya" nikamwambia "sawa nieleze tu" nilimlazimisha anieleze kwa sababu nitakuja tena huku lini,lini ntakuja kwa sababu nami sasa hivi nimekuwa ni mtu ambaye napambana na mishemishe zangu unajua,akanambia "sawa,nataka nikubadilishie maisha yako" nikatabasamu,nikamwambia "mimi? Unibadilishie maisha mimi?" Akasema "ndio,kwani mimi nikiwa gerezani nashindwa kubadilisha maisha ya mtu mmoja uraiani?

Nikacheka na nikamwambia "hata sikuelewi unamaanisha" akasema "namaanisha ninachokisema,unakumbuka nilikwambia umekuja gerezani kwa ajili yangu?" Nikatabasamu na kumwambia "unajua sikuelewi unachosema" akasema "utanielewa" katika harakati zangu nilitamani maisha mazuri,nilitamani maisha mazuri,maisha bora lakini sikuweza kutimiza ndoto zangu najikuta niko katika maisha ambayo sikuwahi kuwaza kama nitaishia uko lakini pengine maisha yangu naweza nikamalizia uko,sijui ni neema gani yaweza ikaja kwangu na nikatoka,nikamwambia "kwanini unasema hivyo,kwanini unasema hivyo na wakati haya mambo tumeshakaa na tukayazungumza unatumikia kifungo chako na kina miaka tajwa" akasema "hauwezi kuelewa,elewa hili ninalosema nataka kukubadilishia maisha yako na ulikuja gerezani kwa ajili yangu" alinambia nirudi nyumbani na niendelee na harakati zangu na nije tena,nikamwambia "unaniweka njia panda sana mshkaji wangu sielewi hata unachomaanisha,hivi mtu aliyeko gerezani anawezaje kumbadilishia maisha mtu niliyeko uraiani? Ambapo mimi napiga mishemishe,napambana na maisha,ujue gerezani mtu unakaa tu,unakaa tu unawezaje kubadilisha maisha yangu mtu namna hiyo?" Alinambia tutangea na kunisisitiza nisiache kwenda kuwatizama watoto wake nami nikamwambia "usiwaze kuhusu hilo na uwe na amani tu ujue umepata mdogo wako ambaye yupo pamoja nawe hata kama uko gerezani uko pamoja na mimi,usiendelee kunung'unika kuhusu ndugu zako ambao wanaona wewe umeishia huku gerezani Mungu ana njia zake za kuinua ndugu basi ujue na mimi Mungu ameniinua niwe ndugu yako,nitafanya hayo kwa moyo wangu wa dhati" nilimwambia hayo na baada ya muda niliondoka zangu lakini niliyawaza maneno aliyonambia,mtu huyu ni mfungwa tu,mfungwa tu wa kawaida na katika nafasi nilipoingia hapa gerezani na nilipokuwa ninaishi hapa nilimuona ni mfungwa tu ambaye ni mtu mbabe mbabe kwa sababu sio mtu wa kuonewaonewa unajua maisha ya uko kuna watu wababe,watu ambao wana nguvu zao yaani yeye hakuwa mtu wa kuonewa na alikuwa mtu wa kutetea wengine kiufupi nilimuona ni mtu mwema kwa muda wote niliopata nafasi yakuwa nae gerezani lakini kwa habari yakunibadilishia maisha kiukweli ni kitu chakuchekesha unajua yaani nilikuwa nikicheka tu.

Nilirudi uraiani na maisha yalikuwa yanaendelea nilikuwa nikiendelea kupiga mishe zangu kwa sababu sasa hivi si haba japo sijapata gari rasmi napiga tu mishe za udeiwaka japo si haba napata chochote,toka nimetoka kule gerezani ulipita kama mwezi na nikapata nafasi ya kwenda kuwatembelea tena wale watoto,nilienda kuwacheki na kuwapelekea vizagazaga kidogo sawa na kipato changu ambacho napata,wakanambia "anko umekuja tena?" Hii sentensi huyu mtoto alikuwa anapenda kuniambia hivi nami nikamuuliza "ulidhani sitakuja tena? Akanambia "nilidhani hautokuja tena" nikamuuliza "kwanini?kwanini unawaza hivyo? Nilishawaeleza mimi ni anko wenu ambaye nitakuwa nakuja mara nyingi sana,mnaendeleaje?" Lakini pia niliwapelekea mahitaji ya hapa na pale kwa ajili ya shule na walifurahi sana na huyu mama sasa kishajua kama nakuja kwa ajili ya kuwatembelea watoto kwa ajili ya rafiki yangu ambaye alikuwa ni mtu wake ambaye hawako tena kwenye mahusiano kwa sababu wao wenyewe wanazijua,nilizungumza na watoto lakini pia nilizungumza na huyu mama na kikubwa nilimwambia "kwanini siku usitenge muda wa kwenda kumuangalia mwenzio gerezani" kwa mara ya kwanza nazungumza na huyu mama sentensi kama hiyo akasema "mimi nikapoteze muda wangu kudili na mtu aliyeniharibia maisha yangu? Nikamwambia "ujue watu ukosea lakini na watu hujirekebisha,unajua watu hujirekebisha sana wakiwa gerezani? Watu wanabadilisha nienendo yao na inawezekana alipokuwa uraiani hakuwa mtu mwema lakini kule ameshabadilika" akasema "hawezi kubadilika yule mtu,hawezi kubadilika yule mpaka mwisho wa dunia,hawezi kubadilika,mbaya yule kuliko unavyodhani na nashangaa unaangaika kumsaidia mtu yuko gerezani na ataozea uko,nakuangalia tu nione hatua zako zitaishia wapi" aliniambia hayo maneno yakunivunja moyo nami nakumbuka nilimwambia "mtu anaweza kuwa mbaya kiasi gani yaani hadi asiweze kuonewa huruma na kwenda kutembelewa" alinambia "mwanaume mbaya sana amenipotezea maisha yangu na kunipotezea muda,ebu tazama wakati mimi niko nae kumbe yuko na mwanamke tena amekwenda hadi kumtambulisha kwao naye ameshakwenda kutambulishwa hadi kwa huyo mwanamke na wako katika hatua flani za uchumba lakini mimi huku kashanipa tena ujauzito,amenifanya nimeishi maisha magumu sana ya ajabu,namchukia sana na siwezi kunyanyua mguu wangu kwenda kumtizama shetani kama yule hata siku moja" yaani mtu huyu anavyotafiriwa unaona si mtu mwema na kuna sentensi ambazo nimekutana nazo nikiwa gerezani "huyu mtu uko nae karibu kivipi? kama hatafsiriwi kwa wema lakini kiundani kwanini mtu huyu si mwema lakini yeye mwenyewe anasema yupo anatumikia kifungo kwa sababu yeye mwenyewe amestahili wala hajaonewa na yoyote,ni malipo ya madhambi yake,nilimsikiliza huyu mama maneno na hasira zake lakini mimi sio yaliyonileta,hata kama baba yao ni mbaya hawa watoto sio wabaya kwahiyo ntazidi kuja kuwaona pale ntakapopata nafasi hata kama navunjwa moyo na mama yao nitajipa moyo kwa sababu nimewapenda hawa watoto nitakuja tena na tena kuwatizama.
Niliaga na kwenda kuendelea na mishe zangu na maisha yangu yakawa yanasonga mbele na siku zikasogea ikapita kama miezi mitatu niko na mishe zangu sikupata nafasi ya kwenda kuwatizama wale watoto wala sikwenda kule gerezani niko na mambo yangu naendelea,nakumbuka siku moja nikasikia kuwiwa sana kwenda kuwatembelea wale watoto,nilienda lakini nilimkosa huyu mama,nilipouliza kwa majirani nikaambiwa yule mtoto mdogo anaumwa,anaumwa sana na amelazwa,kwahiyo nikafatilia hadi kujua wamelazwa wapi,nikaenda kwenye hiyo hospitali na nikamkuta yule mama pamoja na baadhi ya ndugu zake wakiwa katika hali yakumuangaikia mtoto walisema amepata amoeba sijui nini mambo ya watoto basi nami nikawatia moyo nikasema "nilikuja kuwaona na isitoshe mambo yamekuwa ni kukimbizana muda umepita sana sijaja" huyu mama akasema"nilijua hautakuja tena unadhani utakuwa unakuja kutuangalia kila siku kwa maagizo ya huyo mtu ambaye yuko gerezani ambaye atafia uko gerezani" nikamwambia "siji kwa sababu ya rafiki yangu wa kule gerezani,nakuja kwasababu nimeshakuwa na urafiki na hawa watoto" aliniangalia tu huyu mama lakini hali ya mtoto haikuwa mbaya sana basi nami kwakuwa nilipata taarifa ya mtoto kuumwa nikawa nakuja hadi pale aliporuhusiwa na kurudi nyumbani nami nikaendelea na mishe zangu lakini nilitafuta muda siku hiyo nikajisikia tu nikaenda gerezani kwenda kumtizama mshkaji,kweli nilipata nafasi ya kuzungumza nae,nilimpelekea sabuni na vitu vichache vichache na akanambia "mbona umechelewa sana kuja mshkaji wangu?

Nikamwambia "kwanini? Akanambia "mbona nilikwambia uje tuzungumze" nikamjibu "unajua mambo uko uraiani ni kupambana sana,mambo yamekuwa mengi mshkaji wangu unisamehe bure ila nilipata nafasi nilikwenda kuwatizama watoto nikakuta mtoto wako anaumwa" akasema "nini tena? Ina maana taarifa hana,hana mtu wakumpelekea taarifa,yaani watu walishamkataa yaani yuko tu huku hana taarifa zozote lakini nikamwambia usiwaze kwani anaendelea vizuri kwa sababu alipatiwa matibabu nami nilikuwa naendaenda pale kwakweli anaendelea vizuri mpaka ameruhusiwa amerejea nyumbani,yaani mtoto anaendelea vizuri kabisa wala usiwaze" akanambia "aisee nashukuru sana,nashukuru sana ndugu yangu,nakushukuru mno na asante sana kwa vitu ambavyo umeniletea" nikamwambia "wala usijali,karibu" akasema "najua moyo wako iko siku utachoka kuja kunitembelea,najua utachoka na hautakuja tena" nikamwambia "sijui,lakini ndugu yangu nikuahidi pale nitakapopata nafasi nitakuwa ninakuja" akasema "lakini naomba tuendelee na mazungumzo yetu ya siku ile tulipoishia " nikamwambia "nakusikia" akanambia "tuliishia pale nilipokwambia nataka kubadirisha maisha yako" nikamwambia "nakumbuka" akanambia "hujaiwaza hiyo sentensi? Nikamwambia "sijaiwaza chochote,kwasababu unaweza wewe kunibadilishia maisha wakati wewe mwenyewe umekosa uhuru na upo tu unafanya kazi za humu ndani,unawezaje kunibadilishia maisha mimi ambaye niko uraiani na nina mwanya wakubadilisha maisha yangu mimi mwenyewe" akasema "ni kweli umesema vyema lakini mimi nimekaa hapa ni kwa sababu nimekosa uhuru wakufanya kitu lakini natamani nifanye kitu nikiwa uraiani" nikamwambia "utawezaje sasa? Akanambia "nataka wewe ukafanye" nikacheka,nikamwambia "kufanya nini? Akanambia "ninao utajiri" nikacheka yaani ni mambo yakuchekesha,nikamwambia "yaani wewe unao utajiri wewe? Akasema "hakuma mtu anajua kama mimi nina utajiri mwingi" nikamwambia "eeh niambie kuhusu utajiri wako" akanambia "hii ni siri nazungumza na wewe na sijawahi kuzungumza na mtu yoyote,natamani uwe rafiki yangu,ndugu wangu wa damu,sina mwingine wa kumuamini moyo wangu umesukumwa na wewe na hata nilipokuwa gerezani nilikuwa nikiomba Mungu usiku na mchana anipe mtu ambaye si ndugu moja na mimi lakini akamfanye awe ndugu yangu,akatimize ndoto zangu uraiani,hivi unajua ni kama vitu visivyoeleweka" nikamwambia "haya nambie,nambie kuhusu utajiri wako" akanambia "ninazo pesa nyingi zakuweza kubadilisha maisha yako,nyingi hata zakuweza kubadilisha maisha ya familia yako lakini niahidi hautawaacha watoto wangu,utawabeba nakuwatunza na kuwalea,utawasomesha,utamsaidia na mama yao,utamsaidia na msichana wangu lakini niahidi,niahidi kitu kimoja,hautamgusa yule mwanamke,utamuacha ataolewa na mtu mwingine,mimi sitaweza kumuoa lakini wewe usimuoe,aolewe na mtu mwingine na msaidie akiwa na matatizo"
Mimi ninayasikia haya,unajua ni kama mambo yasiyoeleweka narudia tena kwa sababu mtu anawezaje kunambia maneno hayo,ananipima? Tunazungumzia habari za pesa ambazo niko huku napambania kweli na udeiwaka mtu ananambia nina utajiri,niliyasikia haya maneno kutoka kwa kaka huyu ambaye tulikutana gerezani na kuishi kama familia na leo ninapoelezwa haya mambo ya pesa na utajiri na mfungwa aliyepo gerezani ananiambia nimuahidi kwanza sikuamini,niamini vipi,niamini vipi kirahisi? Kwanza nikabaki nikitabasamu kwa sababu nimekuwa nikitabasamu hivyo na akanambia "mimi sikutanii na siko kwa ajili ya matani na mimi nilisogea na kuzungumza na wewe toka ulipofika na nikakutana na wewe,nilikuja kwa sababu ya kusudi maalum ili unikamilishie ndoto zangu,wafanye watoto wangu kuwa bora,waishi katika nyumba nzuri,wafanye watoto wangu kuwa watu wa thamani,mama yao pia,sikwambii sana kuhusu ndugu zangu endapo ukiguswa waweza fanya hivyo lakini huu utajiri nakupa wewe,nakutunuku wewe" sasa mfungwa aliyeko
gerezani anawezaje kuwa na pesa,"pesa ziko wapi? Nakumbuka nikamwambia "unanambia mambo mazito yaani sijawahi hata kusikia mtu aliyeko gerezani anaweza kumpa utajiri mtu aliyeko uraiani,basi mimi naweza nikawa nimebahatika ila ndugu yangu nashukuru sana ila huo utajiri sidhani kama mimi nafaa kuupata,naogopa sana vitu hatarishi katika maisha yangu,natamani kufanya vitu vya halali tena vya haki,sitaki matatizo katika maisha yangu,umeniona nimetumikia kwa muda gani hapa gerezani ilihali sijatenda lolote,maisha yangu yalirudi nyuma sana,harakati zangu nilizokuwa nazo zikarudishwa nyuma,unataka na mimi niishie gerezani kama wewe?

Inaonekana maisha yako uraiani hayakuwa mema wewe mwenyewe umesoa unatumikia kile ambacho wewe umestahili kutumikia je unataka na mimi niyaishi maisha ambayo wewe umeyaishi yakakufanya hadi uje gerezani? Akasema "hapana,sio kweli,sio kweli na haijalishi kwa sababu mimi nilikuwa mbaya basi na pesa yangu itakuwa mbaya,unajua nini mimi natamani kufanya,natamani pesa yangu ikafanye mambo mazuri mema" nikamwambia "pesa yenyewe iko wapi? Tunazungumza,tunazungumza nini kwani? Yaani pesa iko wapi unayozungumza wewe? Akanambia "pesa ipo na nataka uniahidi katika mambo niliyokwambia kwa sababu ukitoka hapa unaenda kuchukua pesa kwahiyo ahadi yangu inabidi unipe leo na ahadi yangu nataka uape mbele ya Mungu ya kwamba unaniahidi hata kama mimi kesho nitaondoka ahadi yako kwa Mungu isimame na ikuhukumu kama utaenda kinyume na hayo,mimi nataka kukupa utajiri leo,leo nakupa utajiri,niahidi,najua hauwezi niahidi kwa maandishi lakini kwa kinywa chako niahidi ,niahidi utatunza ahadi hiyo mpaka pale mwisho wa safari ya maisha yako" nikamwambia "kaka we usiongee sana we nambie" akasema "siwezi kuzungumza zaidi ya nilichosema niahidi utawatunza watoto wangu" nikamwambia "ndio nakuahidi nitafanya hivyo" niahidi utamtunza mama wa watoto wangu yaani wale watoto mama yao" nikamwambia ndio nakuahidi, "niahidi utamsaidia mwanamke niliyempenda na kutamani kuishi nae nikiwa uraiani,mwanamke wa ndoto zangu" nikamwambia "ndio" "lakini niahidi huyo mwanamke hautamfanya kuwa mwanamke wako,utamuhudumia na kumsaidia na atakwenda kuolewa na mwanaume anayemtaka yeye lakini sio wewe" nikamwambia "ndio" akasema niapie mbele za Mungu,mimi niko gerezani sasa namjua Mungu,najua mtu ukiapa mbele za Mungu hiyo inasimama kweli" nikamwambia "mbona unanipa vifungu vigumu hivyo kwanini tuape Mungu hapa?

Akasema "niapie mbele za Mungu" haya yalikuwa ni mazungumzo na huyu mtu ambaye amenambia atanipa pesa na hizo pesa ziko wapi? Ananipa katika mazingira gani? Anasema anataka kunipa utajiri abadilishe maisha yangu!


Itaendelea!
Boss Rojaz ukiendelea naomba uni-tag
 

Mkasa wa kusisimua wa Rojaz katika kipindi cha sitasahau cha radio free africa​


sdhemu ya 5


Katika maisha yangu ya kila siku nimekuwa ni mtu wa kujali sana matatizo ya jamii inayonizunguka na wanajamii kwa kiasi kikubwa walinifahamu hivyo kwahiyo nilivyokutana na huyu mtu gerezani na jinsi alivyokuwa nami kama kaka nimebeba hiyo roho yakuwa sehemu ya kwenda kumtembelea yeye mwenyewe na pia kuwatembelea watoto wake,huyu mtu yupo ndani lakini muda wote akili yake ipo uraiani anawawaza sana watoto wake,anawawaza sana wapo katika mazingira gani kwa sababu anajua mwanamke ambaye amepata nae hawa watoto akili yake kidogo haina utulivu,nakumbuka awamu hii nilipoenda nilienda kumpasha kuhusiana na maendeleo ya watoto wake kuwa wanaendelea vizuri na kumpasha habari nyingine nyingi nilizokuwa nazo kuhusu uraiani na harakati ambazo nimekuwa nazo huku nikimtia moyo huyu ndugu yangu kuwa asikate tamaa mambo yatakaa sawa wala asiwaze sana ajue tu familia yake inaendelea vizuri,katika mengi ambayo nilimueleza ya huku uraiani alinambia "nakuamini,nakuamini sana" nikamwambia "asante" akanambia "unajua niko huku gerezani ni muda sasa na sijawahi kukutana na mtu amenipa matumaini kama wewe,unajua niko huku gerezani toka yule mtoto wangu mdogo akiwa bado ni kichanga" nikamwambia "nakuelewa,nakuelewa" akasema "unajua ndugu zangu wamejua nimepotea huku,nimeishia huku sijawa na mtu wa kumuamini naomba nikuamini" nikamwambia "karibu na uwe na amani" baada ya maneno haya alinishukuru sana.

Shukrani ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wake kila tulipokuwa tukiongea na hata siku hii aliponishukuru sikuona kama ni jambo jipya kwakuwa amekuwa akiniambia mara kwa mara,akaendelea kunambia "toka ndani ya moyo wangu nimetokea kukubeba na kukupenda zaidi ya ndugu,naomba nikushirikishe jambo ambalo sijawahi kumshirikisha mtu yoyote katika maisha yangu,naomba nikushirikishe jambo ambalo nilikuwa nilifanye nikiwa uraiani lakini sikubahatika kulifanya" nikamuuliza "ni jambo gani" akanambia "linahitaji uaminifu baina ya mimi na wewe" nikamwambia "haina shida,haina shida" akanambia "basi nenda kajifikirie" nikamwambia "niambie tu wewe niambie lakini naweza kukusaidia kama si jambo baya" akanambia "wala si jambo baya" nikamwambia "sawa nieleze tu" nilimlazimisha anieleze kwa sababu nitakuja tena huku lini,lini ntakuja kwa sababu nami sasa hivi nimekuwa ni mtu ambaye napambana na mishemishe zangu unajua,akanambia "sawa,nataka nikubadilishie maisha yako" nikatabasamu,nikamwambia "mimi? Unibadilishie maisha mimi?" Akasema "ndio,kwani mimi nikiwa gerezani nashindwa kubadilisha maisha ya mtu mmoja uraiani?

Nikacheka na nikamwambia "hata sikuelewi unamaanisha" akasema "namaanisha ninachokisema,unakumbuka nilikwambia umekuja gerezani kwa ajili yangu?" Nikatabasamu na kumwambia "unajua sikuelewi unachosema" akasema "utanielewa" katika harakati zangu nilitamani maisha mazuri,nilitamani maisha mazuri,maisha bora lakini sikuweza kutimiza ndoto zangu najikuta niko katika maisha ambayo sikuwahi kuwaza kama nitaishia uko lakini pengine maisha yangu naweza nikamalizia uko,sijui ni neema gani yaweza ikaja kwangu na nikatoka,nikamwambia "kwanini unasema hivyo,kwanini unasema hivyo na wakati haya mambo tumeshakaa na tukayazungumza unatumikia kifungo chako na kina miaka tajwa" akasema "hauwezi kuelewa,elewa hili ninalosema nataka kukubadilishia maisha yako na ulikuja gerezani kwa ajili yangu" alinambia nirudi nyumbani na niendelee na harakati zangu na nije tena,nikamwambia "unaniweka njia panda sana mshkaji wangu sielewi hata unachomaanisha,hivi mtu aliyeko gerezani anawezaje kumbadilishia maisha mtu niliyeko uraiani? Ambapo mimi napiga mishemishe,napambana na maisha,ujue gerezani mtu unakaa tu,unakaa tu unawezaje kubadilisha maisha yangu mtu namna hiyo?" Alinambia tutangea na kunisisitiza nisiache kwenda kuwatizama watoto wake nami nikamwambia "usiwaze kuhusu hilo na uwe na amani tu ujue umepata mdogo wako ambaye yupo pamoja nawe hata kama uko gerezani uko pamoja na mimi,usiendelee kunung'unika kuhusu ndugu zako ambao wanaona wewe umeishia huku gerezani Mungu ana njia zake za kuinua ndugu basi ujue na mimi Mungu ameniinua niwe ndugu yako,nitafanya hayo kwa moyo wangu wa dhati" nilimwambia hayo na baada ya muda niliondoka zangu lakini niliyawaza maneno aliyonambia,mtu huyu ni mfungwa tu,mfungwa tu wa kawaida na katika nafasi nilipoingia hapa gerezani na nilipokuwa ninaishi hapa nilimuona ni mfungwa tu ambaye ni mtu mbabe mbabe kwa sababu sio mtu wa kuonewaonewa unajua maisha ya uko kuna watu wababe,watu ambao wana nguvu zao yaani yeye hakuwa mtu wa kuonewa na alikuwa mtu wa kutetea wengine kiufupi nilimuona ni mtu mwema kwa muda wote niliopata nafasi yakuwa nae gerezani lakini kwa habari yakunibadilishia maisha kiukweli ni kitu chakuchekesha unajua yaani nilikuwa nikicheka tu.

Nilirudi uraiani na maisha yalikuwa yanaendelea nilikuwa nikiendelea kupiga mishe zangu kwa sababu sasa hivi si haba japo sijapata gari rasmi napiga tu mishe za udeiwaka japo si haba napata chochote,toka nimetoka kule gerezani ulipita kama mwezi na nikapata nafasi ya kwenda kuwatembelea tena wale watoto,nilienda kuwacheki na kuwapelekea vizagazaga kidogo sawa na kipato changu ambacho napata,wakanambia "anko umekuja tena?" Hii sentensi huyu mtoto alikuwa anapenda kuniambia hivi nami nikamuuliza "ulidhani sitakuja tena? Akanambia "nilidhani hautokuja tena" nikamuuliza "kwanini?kwanini unawaza hivyo? Nilishawaeleza mimi ni anko wenu ambaye nitakuwa nakuja mara nyingi sana,mnaendeleaje?" Lakini pia niliwapelekea mahitaji ya hapa na pale kwa ajili ya shule na walifurahi sana na huyu mama sasa kishajua kama nakuja kwa ajili ya kuwatembelea watoto kwa ajili ya rafiki yangu ambaye alikuwa ni mtu wake ambaye hawako tena kwenye mahusiano kwa sababu wao wenyewe wanazijua,nilizungumza na watoto lakini pia nilizungumza na huyu mama na kikubwa nilimwambia "kwanini siku usitenge muda wa kwenda kumuangalia mwenzio gerezani" kwa mara ya kwanza nazungumza na huyu mama sentensi kama hiyo akasema "mimi nikapoteze muda wangu kudili na mtu aliyeniharibia maisha yangu? Nikamwambia "ujue watu ukosea lakini na watu hujirekebisha,unajua watu hujirekebisha sana wakiwa gerezani? Watu wanabadilisha nienendo yao na inawezekana alipokuwa uraiani hakuwa mtu mwema lakini kule ameshabadilika" akasema "hawezi kubadilika yule mtu,hawezi kubadilika yule mpaka mwisho wa dunia,hawezi kubadilika,mbaya yule kuliko unavyodhani na nashangaa unaangaika kumsaidia mtu yuko gerezani na ataozea uko,nakuangalia tu nione hatua zako zitaishia wapi" aliniambia hayo maneno yakunivunja moyo nami nakumbuka nilimwambia "mtu anaweza kuwa mbaya kiasi gani yaani hadi asiweze kuonewa huruma na kwenda kutembelewa" alinambia "mwanaume mbaya sana amenipotezea maisha yangu na kunipotezea muda,ebu tazama wakati mimi niko nae kumbe yuko na mwanamke tena amekwenda hadi kumtambulisha kwao naye ameshakwenda kutambulishwa hadi kwa huyo mwanamke na wako katika hatua flani za uchumba lakini mimi huku kashanipa tena ujauzito,amenifanya nimeishi maisha magumu sana ya ajabu,namchukia sana na siwezi kunyanyua mguu wangu kwenda kumtizama shetani kama yule hata siku moja" yaani mtu huyu anavyotafiriwa unaona si mtu mwema na kuna sentensi ambazo nimekutana nazo nikiwa gerezani "huyu mtu uko nae karibu kivipi? kama hatafsiriwi kwa wema lakini kiundani kwanini mtu huyu si mwema lakini yeye mwenyewe anasema yupo anatumikia kifungo kwa sababu yeye mwenyewe amestahili wala hajaonewa na yoyote,ni malipo ya madhambi yake,nilimsikiliza huyu mama maneno na hasira zake lakini mimi sio yaliyonileta,hata kama baba yao ni mbaya hawa watoto sio wabaya kwahiyo ntazidi kuja kuwaona pale ntakapopata nafasi hata kama navunjwa moyo na mama yao nitajipa moyo kwa sababu nimewapenda hawa watoto nitakuja tena na tena kuwatizama.
Niliaga na kwenda kuendelea na mishe zangu na maisha yangu yakawa yanasonga mbele na siku zikasogea ikapita kama miezi mitatu niko na mishe zangu sikupata nafasi ya kwenda kuwatizama wale watoto wala sikwenda kule gerezani niko na mambo yangu naendelea,nakumbuka siku moja nikasikia kuwiwa sana kwenda kuwatembelea wale watoto,nilienda lakini nilimkosa huyu mama,nilipouliza kwa majirani nikaambiwa yule mtoto mdogo anaumwa,anaumwa sana na amelazwa,kwahiyo nikafatilia hadi kujua wamelazwa wapi,nikaenda kwenye hiyo hospitali na nikamkuta yule mama pamoja na baadhi ya ndugu zake wakiwa katika hali yakumuangaikia mtoto walisema amepata amoeba sijui nini mambo ya watoto basi nami nikawatia moyo nikasema "nilikuja kuwaona na isitoshe mambo yamekuwa ni kukimbizana muda umepita sana sijaja" huyu mama akasema"nilijua hautakuja tena unadhani utakuwa unakuja kutuangalia kila siku kwa maagizo ya huyo mtu ambaye yuko gerezani ambaye atafia uko gerezani" nikamwambia "siji kwa sababu ya rafiki yangu wa kule gerezani,nakuja kwasababu nimeshakuwa na urafiki na hawa watoto" aliniangalia tu huyu mama lakini hali ya mtoto haikuwa mbaya sana basi nami kwakuwa nilipata taarifa ya mtoto kuumwa nikawa nakuja hadi pale aliporuhusiwa na kurudi nyumbani nami nikaendelea na mishe zangu lakini nilitafuta muda siku hiyo nikajisikia tu nikaenda gerezani kwenda kumtizama mshkaji,kweli nilipata nafasi ya kuzungumza nae,nilimpelekea sabuni na vitu vichache vichache na akanambia "mbona umechelewa sana kuja mshkaji wangu?

Nikamwambia "kwanini? Akanambia "mbona nilikwambia uje tuzungumze" nikamjibu "unajua mambo uko uraiani ni kupambana sana,mambo yamekuwa mengi mshkaji wangu unisamehe bure ila nilipata nafasi nilikwenda kuwatizama watoto nikakuta mtoto wako anaumwa" akasema "nini tena? Ina maana taarifa hana,hana mtu wakumpelekea taarifa,yaani watu walishamkataa yaani yuko tu huku hana taarifa zozote lakini nikamwambia usiwaze kwani anaendelea vizuri kwa sababu alipatiwa matibabu nami nilikuwa naendaenda pale kwakweli anaendelea vizuri mpaka ameruhusiwa amerejea nyumbani,yaani mtoto anaendelea vizuri kabisa wala usiwaze" akanambia "aisee nashukuru sana,nashukuru sana ndugu yangu,nakushukuru mno na asante sana kwa vitu ambavyo umeniletea" nikamwambia "wala usijali,karibu" akasema "najua moyo wako iko siku utachoka kuja kunitembelea,najua utachoka na hautakuja tena" nikamwambia "sijui,lakini ndugu yangu nikuahidi pale nitakapopata nafasi nitakuwa ninakuja" akasema "lakini naomba tuendelee na mazungumzo yetu ya siku ile tulipoishia " nikamwambia "nakusikia" akanambia "tuliishia pale nilipokwambia nataka kubadirisha maisha yako" nikamwambia "nakumbuka" akanambia "hujaiwaza hiyo sentensi? Nikamwambia "sijaiwaza chochote,kwasababu unaweza wewe kunibadilishia maisha wakati wewe mwenyewe umekosa uhuru na upo tu unafanya kazi za humu ndani,unawezaje kunibadilishia maisha mimi ambaye niko uraiani na nina mwanya wakubadilisha maisha yangu mimi mwenyewe" akasema "ni kweli umesema vyema lakini mimi nimekaa hapa ni kwa sababu nimekosa uhuru wakufanya kitu lakini natamani nifanye kitu nikiwa uraiani" nikamwambia "utawezaje sasa? Akanambia "nataka wewe ukafanye" nikacheka,nikamwambia "kufanya nini? Akanambia "ninao utajiri" nikacheka yaani ni mambo yakuchekesha,nikamwambia "yaani wewe unao utajiri wewe? Akasema "hakuma mtu anajua kama mimi nina utajiri mwingi" nikamwambia "eeh niambie kuhusu utajiri wako" akanambia "hii ni siri nazungumza na wewe na sijawahi kuzungumza na mtu yoyote,natamani uwe rafiki yangu,ndugu wangu wa damu,sina mwingine wa kumuamini moyo wangu umesukumwa na wewe na hata nilipokuwa gerezani nilikuwa nikiomba Mungu usiku na mchana anipe mtu ambaye si ndugu moja na mimi lakini akamfanye awe ndugu yangu,akatimize ndoto zangu uraiani,hivi unajua ni kama vitu visivyoeleweka" nikamwambia "haya nambie,nambie kuhusu utajiri wako" akanambia "ninazo pesa nyingi zakuweza kubadilisha maisha yako,nyingi hata zakuweza kubadilisha maisha ya familia yako lakini niahidi hautawaacha watoto wangu,utawabeba nakuwatunza na kuwalea,utawasomesha,utamsaidia na mama yao,utamsaidia na msichana wangu lakini niahidi,niahidi kitu kimoja,hautamgusa yule mwanamke,utamuacha ataolewa na mtu mwingine,mimi sitaweza kumuoa lakini wewe usimuoe,aolewe na mtu mwingine na msaidie akiwa na matatizo"
Mimi ninayasikia haya,unajua ni kama mambo yasiyoeleweka narudia tena kwa sababu mtu anawezaje kunambia maneno hayo,ananipima? Tunazungumzia habari za pesa ambazo niko huku napambania kweli na udeiwaka mtu ananambia nina utajiri,niliyasikia haya maneno kutoka kwa kaka huyu ambaye tulikutana gerezani na kuishi kama familia na leo ninapoelezwa haya mambo ya pesa na utajiri na mfungwa aliyepo gerezani ananiambia nimuahidi kwanza sikuamini,niamini vipi,niamini vipi kirahisi? Kwanza nikabaki nikitabasamu kwa sababu nimekuwa nikitabasamu hivyo na akanambia "mimi sikutanii na siko kwa ajili ya matani na mimi nilisogea na kuzungumza na wewe toka ulipofika na nikakutana na wewe,nilikuja kwa sababu ya kusudi maalum ili unikamilishie ndoto zangu,wafanye watoto wangu kuwa bora,waishi katika nyumba nzuri,wafanye watoto wangu kuwa watu wa thamani,mama yao pia,sikwambii sana kuhusu ndugu zangu endapo ukiguswa waweza fanya hivyo lakini huu utajiri nakupa wewe,nakutunuku wewe" sasa mfungwa aliyeko
gerezani anawezaje kuwa na pesa,"pesa ziko wapi? Nakumbuka nikamwambia "unanambia mambo mazito yaani sijawahi hata kusikia mtu aliyeko gerezani anaweza kumpa utajiri mtu aliyeko uraiani,basi mimi naweza nikawa nimebahatika ila ndugu yangu nashukuru sana ila huo utajiri sidhani kama mimi nafaa kuupata,naogopa sana vitu hatarishi katika maisha yangu,natamani kufanya vitu vya halali tena vya haki,sitaki matatizo katika maisha yangu,umeniona nimetumikia kwa muda gani hapa gerezani ilihali sijatenda lolote,maisha yangu yalirudi nyuma sana,harakati zangu nilizokuwa nazo zikarudishwa nyuma,unataka na mimi niishie gerezani kama wewe?

Inaonekana maisha yako uraiani hayakuwa mema wewe mwenyewe umesoa unatumikia kile ambacho wewe umestahili kutumikia je unataka na mimi niyaishi maisha ambayo wewe umeyaishi yakakufanya hadi uje gerezani? Akasema "hapana,sio kweli,sio kweli na haijalishi kwa sababu mimi nilikuwa mbaya basi na pesa yangu itakuwa mbaya,unajua nini mimi natamani kufanya,natamani pesa yangu ikafanye mambo mazuri mema" nikamwambia "pesa yenyewe iko wapi? Tunazungumza,tunazungumza nini kwani? Yaani pesa iko wapi unayozungumza wewe? Akanambia "pesa ipo na nataka uniahidi katika mambo niliyokwambia kwa sababu ukitoka hapa unaenda kuchukua pesa kwahiyo ahadi yangu inabidi unipe leo na ahadi yangu nataka uape mbele ya Mungu ya kwamba unaniahidi hata kama mimi kesho nitaondoka ahadi yako kwa Mungu isimame na ikuhukumu kama utaenda kinyume na hayo,mimi nataka kukupa utajiri leo,leo nakupa utajiri,niahidi,najua hauwezi niahidi kwa maandishi lakini kwa kinywa chako niahidi ,niahidi utatunza ahadi hiyo mpaka pale mwisho wa safari ya maisha yako" nikamwambia "kaka we usiongee sana we nambie" akasema "siwezi kuzungumza zaidi ya nilichosema niahidi utawatunza watoto wangu" nikamwambia "ndio nakuahidi nitafanya hivyo" niahidi utamtunza mama wa watoto wangu yaani wale watoto mama yao" nikamwambia ndio nakuahidi, "niahidi utamsaidia mwanamke niliyempenda na kutamani kuishi nae nikiwa uraiani,mwanamke wa ndoto zangu" nikamwambia "ndio" "lakini niahidi huyo mwanamke hautamfanya kuwa mwanamke wako,utamuhudumia na kumsaidia na atakwenda kuolewa na mwanaume anayemtaka yeye lakini sio wewe" nikamwambia "ndio" akasema niapie mbele za Mungu,mimi niko gerezani sasa namjua Mungu,najua mtu ukiapa mbele za Mungu hiyo inasimama kweli" nikamwambia "mbona unanipa vifungu vigumu hivyo kwanini tuape Mungu hapa?

Akasema "niapie mbele za Mungu" haya yalikuwa ni mazungumzo na huyu mtu ambaye amenambia atanipa pesa na hizo pesa ziko wapi? Ananipa katika mazingira gani? Anasema anataka kunipa utajiri abadilishe maisha yangu!


Itaendelea!
Kitu Cha mbele kabisa nikifuatilia kwa makini, mzigo unaofuata Ni saa ngapi mkuu ili unitag
 
Back
Top Bottom