Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Sio kwa mwanaume aina ya dalali,, nimpe k-vant, moyo na pesa tena🤣🤣bado sijajaaliwa huo moyo na siutaki Mungu asinipe
Kuna mtu nilimpa cash NDEFU na alisema nimuazime atarudisha nilikua na jua kabisa ""mpenzi hakopeshwi 😅 😅 ""
Nikampa cash NDEFU SANAA na sijalipwa na sijawai kuulizia na kila mtu na 50 zake na still tunasaidiana deals mbali mbali

Tenda wema nenda zako

Cc.msondo ngoma music band
 
Hii roho mmepewa wanaume siwezi kushangaa ila sio sie wanawake, hamjufunzi kwa Adam aliletewa sijui tunda akapokea na akala kilichomkuta ni laana ya kifo na nyinginezo tunazoishi nazo mpaka kiama
 
ushauri wako umezingatiwa. Huwa nafanya mara moja moja mkuu kutegemeana na dili lenyewe. Maana hela ya mshahara haitoshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…