Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Yani mnachekesha nimeshajieleza huko mwanzo sihongi mwanaume sijawahi na haitokaa itokee

Msijachanganye habari za mume(huyu nae inategemeana ana mchango gani kwangu)nazungumzia mahusiano ya uhawara
huyo mume huwa inatokea tu vupu mnakua mme na mke 😄
 
Hiyo jumatatu bado?
 
Naamini haya! Kuna nyumba nauza nimepunguza bei toka 250M mpaka 190M! Hivi leo kaja mteja anaongea kabisa kwamba hii nyumba nanunua ila kimya mpaka saa hii! Na nilimshirikisha dalali mmoja akatafuta wengine na wengineee! Usikute hawa jamaa zake wanapiga pini aysee! This world🙌🏾
 
Inawezekana kuna ambaye ulianza kuongea nae alafu ukatafuta wengine
 
hii hadithi imeisha kihuni sana! wewe dalali mstaafu na mlokole mlevi popote ulipo agiza mizinga mikubwa miwili nitakuja kulipa kwa kukataa ushoga hadhalani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…