Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

EPS 15

Baada ya kumalzia baadhi ya Visa kama nilivyowaambia kwenye Epsd za huko juu nilipewa Kesi ya kutishia Kuua kwa sababu ya Kuwa karibu sana na miongoni mwa wateja wangu wa mwanzo kabisa kwenye Udalali,Jeni.

Kesi nilikuwa naenda lakini wakanishauri nimalizane na mchepuko wa Jeni, ili mambo yasiwe mengi. Nilimtafuta Mchepuko wa Jeni nikaongea nae akakubali ila akaniambia nitafute hela nikafute hiyo kesi polisi. Nilimkubalia lakini sikufanya hivyo ahdi leo.

Jeni baada ya kuona mchepuo anamnganagania sana na anatamani ndoa, walienda kushirikisha marafiki zake wakaongea nae Mwamba ikabidi wakubaliane yaishe ili amruhusu mwenzie aolewe maana yeye hana namna anayoweza kufanya.

Jeni alikuja akapata mimba na alifurahi sana maana kwenye maisha yake hakutegemea kama ingewezekana tena maana kwa maelezo yake alikuwa amehangaika sana bila mafaniko, alinishukuru sana kwa maombi namna ambavyo tulishirikana aliahidi zawadi kubwa sana na kwa wakati huo kuna zawadi alinipa hii haina haja ya kuiandika.

Mwaka alikuja kuolewa akamfuata jamaa yake Huko kilndi Tanga wakaendelea na maisha yao na sasa ana watoto wawili.

Mwaka 2019 mwishoni Nilikuja Kupata pia mtoto nilizaa na Judy lakini hatukuoana, hivyo ilibidi wakati wa ujauzito alipokaribia kujifungua alirudi kwao na hata baada ya kujifungua alikaa sana, mimi nilikuwa naendela kuwasiliana nae kama kawaida na kumpa mahitaji yote Muhimu ya Mtoto.

Na mwaka huo pia niliacha shughuli za udalali kuna Dili ambalo Jeni alinipa kuna Company moja hivi nilikuwa naenda kwa ajili ya Kuandaa Tender Documentes na Ishu nyingine zinazohusiana na Tender mbalimbali lakini pia kwenye masuala ya IT ila jukumu langu kubwa lilikuwa ni IT nilipiga hapo kazi sana kwa Muda mrefu hivi.

Hadi siku niliyokuja kupata matatizo makubwa kwenye hiyo kazi nikaja nikafukuzwa kuna ishu ilitokea ya udanganyifu na mimi nikahusishwa moja kwa moja nikafukuzwa nakumbuka hicho kisa nilikisumilia huku miaka ya nyuma

Siwezi kusahau siku niliyofukuzwa kazi nikiwa baa

baada ya hapo nikajichanganya kwenye Company nyingine nikapata kazi kwenye Taasisi Fulani nikawa mkuu wa Kitengo cha Masoko nilifanya kazi pale na ilikuwa ni kazi ya Kusafiri sana nah ii ndio iliyonibadilisha kabisa, maana ilikuwa na Hel asana ile kazi.

Wakati huo Judy alisharudi dar tukaamua tusihi hivyo bila ndoa rasmi ya kisheria/kidini na mtoto alishakuwa mkubwa kabisa na hapo matukio ya usaliti asee yalikuwa yananitokea sana.

Alikuwa ananifuma sana na matukio ya usaliti, maana ile akzi ilikuwa inanikutanisha na watu wengi sana na wengi wao ni wanawake warembo na mimi ndio ilikuwa ugonjwa wangu

Ulevi ndio ilikuwa moja ya sifa yangu kuu Kuna bara za kimara huko, mbezi, na Goba hadi leo nimeacha vimeo vya madeni lakini pia nimeacha huko umaarufu wa Totozi na kulewa chakari.

Matukio yalipozidiana Judy yalimshinda maana tulikuwa hatuna hata watu wa maana wa kutusuluhisha, nilikuwa najitetea sana lakini mwisho wa siku aliamua Tuachane akaendelee na maisha yake.

Tuliahana na wala sikujali kabisa lakini mara kwa mara nilikuwa nawasiliana nae kwa ajili ya mtoto.

Ile kazi ilikuja kuingiliwa na mambo mengi biashara ikayumba wateja wakapungua maana mkoani watu walikuwa wameshaishtukia wauzaji wakawa wengi sana hivyo nikaachana nayo.

Baada ya kuachana nay o mwaka 2023 mwezi wa kwanza maisha yakabadilika sana akiba nikaanza kutumia kiba kidogo niliyokuwa nayo hadi zikaisha.

Jamaa yangu alikuwa kasulu akanipa mchongo wa biashara ya kulangua mazao, tulikuwa tunanunua nafaka kasulu na maeneo mengine ya Kigoma huko hadi katavi ile biashara ilikuwa ni ngumu sana maana kuna wateja tulikuwa tunawatumia mzigo huko dar lakini wakishapata mzigo wanaanza kuzingua malipo.

Lakini pia kupata hasara za mara kwa mara jamaa yangu kwa sababu alikuwa mwenyeji alikuwa ananipa sana hela hadi mwisho wa siku mtaji ukakata.

Nikaachana nae nikahamia Kigoma mjini kuna hela niliuza kiwanja Dar kama Million tatu hivi nikawekeza kwenye biashara ya vinywaji, nyie Kigoma iskieni tu mtaji ulikata ndani ya muda mfupi sana.



Umasiki ukaanza kuninyeemelea nilipigwa sana Uchumi Mkuu, ulinipiga kweli kweli nikawa mlevi tu nashinda vijiweni na kupiga dili za fasta hasa za ufundi kwenye IT lakini kipato kilikuwa kidogo sana kutokana na hali ya kigoma hakuna mtu anaweza kukupa hela ya maana sana sana elfu kumi au kumi na tano.



Maisha yakanipa kwlei nikaw amlevi tu sasa wa zile Pombe za Bei rahisi kunaambayo ilikuwa inaitwa Shimwa ndio ilikuwa pombe yangu, nikaacha na kwenda ibadani kabisa hata maombi nikawa sifanyi tena maana niliona kama dunia imeshanielemea.

Watu wangu wa dar ndio nilikuwa nawapiga vizinga na Jeni mara kwa maraa alikuwa ananiwezesha kama nimekwama sana japo nilikuwa naogopa sana maisha yakuomba omba tena hela ndogo ndogo

Ilifika wakati iakwa hata nakaa wiki bila Kuoga yaani wala kubadili nguo mimi ni kunywa tu asubuhi hadi jioni.

Usiombe maisha yakupige utakumbuka kila kitu, niliahidi kupambana kwa kila nguvu lakini niliamua kurudi Dar mwaka huu mwezi wa kwanza

Nilitafuta akzi sana hata huku JF niliomba mchongo sana ila watu wana ku PM unampa na namba unajieleza wee kisha anakupotezea.

Mtu anaandika tangazo la kazi ukimcheki anakumbia nakurudia, ilikuwa inaniumiza san asana.

Wakati huo nikiwa dar natafuta Kazi na wakati huo huo nilikuwa nishanza kurudisha majeshi pia kwa Judy kwa ajili ya kuomba tuyamalize ili Turudiane maana sasa hata hela ya kula ilikuwa ishanza kunipa chenga.

Marafiki wengi ukwa na shida ndio utawajua, jamaa zangu nilikuwa nimeshawapiga vizinga hadi nikaogopa.

Tumaini lilikuwa limebaki kwa Judy tu na niliona nitafute suluhu kwanza bila hivyo naweza kukata moto.

Wakati natafuta suluhu na Judy pia nilikuwa natafuta kazi kwa udi na uvumba.

NITARUDI SAA TISA KUMALIZIA WAKUU, NIMEJITAHIDI KUANDIKA KWA KIFUPI ILI NISIWACHOSHE MAANA NILIJARIBU SANA KUSIMULIA KWA MTIRIKO MZURI NIKASHINDWA
Je ulishamla Jeni mara ngapi?,Judy umesharudiana nae?
 
EPS 13 UTAPELI, WIZI NA USHIRIKINA KATIKA KAZI YA UDALALI

Visa vingine kwenye kazi ya Udalali ambavyo nilikutana navyo ni Baadhi yetu Kuwa matapeli.

Utapeli ambao madalali wanafanya ni utapeli wa Kushirikiana ukiona dalali amekutapeli uwe na uhakika kuwa ameshirikiana na dalali mwingine.

Visa vingi vya utapeli vinafanywa na madalali njaa na wengi ndio wameharibu hiyo kazi.

Mfano wa utapeli wa kawaida ni dalali anaweza kuwa na Picha nzuri ya nyumba au chumba anaipost hata kama hiyo nyumba imeshapata mpangaji yeye anachokifanya anapest na kuweka namba zake ili apate wateja au watu angalu afaidi ile hela ya usumbufu.

Kuna dalali mmoja Kijiweni alikuwa anpost hata nyumba ambayo haiapngishwi labda ya mtu binafsi mteja ukipiga simu Anakuelekeza njoo sehemu Fulani nyumba ilipo ukifika anakuambia Asee huna bahati kuna mteja mwingine amekuja kulipia sasa hivi mumepishana tu hapo, lakini kuna nyumba nyingine sehemu Fulani twende ukaione.

Atakupelaka atakuzungusha mitaa unacheki ukikosa yenye sifa unazohitaji basi inabidi umpe hela yake ya Usumbu na kama hamjakubaliana ni kwamba kila nyumb aliyokupeleka anahesabu ni elf Kumi, na huwa hakudai huko huko atarudi na wewe hadi kijiweni Ili madalali wenzie wampe support. Unaweza kushangaa unadaiwa Elf hamsini kwa sababu umetembezwa Nyumba tano na ukibisha tu madalali wanakuzungushia ringi fasta. Huo ni utapeli wa kaiada ambao nafikiri wengi wanaufahamu.

Kupelekwa kwenye nyumba zilizotelekezwa, nyumba za watu wanaoishi mbali na mji n.k huo ni wizi wa kawaida kabisa ambao wengi munaujua.

Kuna wizi wa Kuibia wenye nyumba wanaojenga mjini kisha labda wanahamishwa kikazi kwenda Mikoa mingine.

Kuna jamaa yangu huyu Tumwite Steve, Steve alikabidhiwa nyumba na boss Fulani hivi ambaye alikuwa alijenga Tegeta A huko baadae akahamishiwa Iringa. Hivyo akamkabidhi steve nyumba yake ambayo ndio ilikuwa imekamilika amtafutie wateja.

Steve alipambana kweli akatushirikisha Kijiweni kwamba kuna Nyumba ina sifa Fulani ipo Tegeta A hivyo kama kuna mtu anahitaji tumuunganishe nae Kodi ilikuwa 150k, zilikuwa tatu.

Masai akapata mteja akamuunganisha na steve, steve akamwambia Yupo mbali mpeleke nyumba iko sehemu Fulani akampa ramani yote na akamwambia anamtuma mtu wa bodaboda ampelekee funguo.

Masai akaenda mteja akaicheki akaipenda maana ilikuwa an sifa anzohitaji, wakakubaliana ila akamwmabia mwenye nyumba yupo mkoani mteja akaomba namba yake mwneye nyumba ili waongee.

Masai akarudi kwa steve akamwambia wewe malizana nae mkataba atatumiwa mwenye nyumba amesafiri hayupo karibu kama shida ni mkataba utatumwa, na atapewa namba ataongea naye. Masai akashtuka akajua ni mchezo huu ila kwake sio geni akawa ameshapata akili ya kwenda na huo mchezo.

Mteja alipewa namba ya dalali mwingine akajifanya yeye ndio mwenye nyumba akamwambi mkataba unatumwa Hapo ila unatakiwa ulipie miezi sita na umeme na mambo mengine atakuwa anlipia mwenyewe.

Masai alimpanga mteja lipia haraka hii maana watu wengi sana wanaulizia hii nyumba, fanya haraka ili uhamie.

Mteja akataka namba ya Account ya Benk ili afanye malipo, wakamzuga pale wakampanga akakubali kulipia Kwa njia ya TIGOPESA shida jina aliloambiwa na la usajili ni tofauti ila pia ila hakujali sana mteja akaahidi Jioni atafanya malipo.

KMuda huo steve hataki kuonekana kabisa wala uhusika wake hakutaka ufahamike.

Na masai ili kujitenga na hilo sakata akamwambia ampe chake yeye atamalizana na mwenye nyumba na mwenye nyumba ndio atatuma Funguo, wanachokifanya wanatumia sabuni kwenda Kutoa Copy funguo wanakupa funguo Feki.

Masai akajitoa Mteja akakabidhiwa kwa mtu mwingine kabisa ambaye yeye ndio alidanganywa ni ndugu wa mwenye nyumba.

Masai baada ya hilo zoezi akamtafuta steve ili wakaubaliane vile wanamaliza huo mchongo maana mwenye nyumba Yupo mbali na sio rahisi kushtuka kwamba nyumba yake imepata mteja.

Makubaliano ilikuwa mteja ahamie kabisa bila kufanyiwa usumbufu na baada ya muda Kidogo ndio apigwe tukio.

Mteja alifanya malipo akamjulisha masai na akamwmabia Angehamia wikiend usiku masai akamwambia mimi sihusiki tena Funguo utakabidhiwa na ndugu yake aliyekupa mkataba na kusainisha huko mutamalizana mimi kazi yangu ilikuwa ni kukupeleka tu.

Mteja baada ya Process zote alihamia kama kawaida na pale alikuwa anakaa yeye na familia yake tu nyumba nyingine ilikuwa bado hajapata mteja. Mteja alilipia laki tisa steve akagawana na wenzie mwenye nyumba hakutumiwa hata Mia.

Waliendelea kutafuta mteja mwingine lakini wengi waliokuja walikuwa wanachomoa maana nyumba ilikuwa mbali sana kutoka ile barabara kuu ya mbezi baada ya kama Mwezi hivi mwenye nyumba alipata safari ya dar a akaja kimya kimya bila taarifa. Alipofika Dar akamjulisha steve kwamba amekuja dar hivyo atapitia pia kwenye nyumba yake akacheki mazingira.

Steeve akamwambia pia akifika amjulishe ili naye aende maana funguo anazo japo jamaa alimwambia anazo za akiba . Jioni muda wa saa mbili hivi wakaongozana kwenda kwenye nyumba steve hana wasiwasi wowote, mara wakaona Kama ndani taa zinawaka ikiashiria kuna mtu. Jamaa akamuuliza wkani ilishapata mpangaji steve akasema hapana nay eye akajifanya kushtuka na kushangaa sana.

Wakabisha hodi wakafungulia na Kitoto kidogo kina kama Miaka Kumi hivi akaulizwa upo na nani akasema nipo na mama, walimwita mam yake,jamaa akajitambulisha kwamba yeey ndio mwenye nyumba hivyo hana taarifa za uwepo wake pale.

Unaambiwa Yule mama alishtuka sana huendaalifikiri ni majambazi. Steve akamkaziaa uso akamuuliza nani alikuleta hapa na nani alikupangishia hii nyumba.

Maza akaelezea tukio zima, akaambiwa wapigie hao walliokupangishia akasema aliyenileta hapa baada ya kumaliza nae namba yake siku save lakini kwenye mkataba kuna namba ya Mwenye nyumba.

Kuicheki ni tofauti kabisa naya mwenye nyumba alafu zilkuwa namba kumi na moja nay eye alizopigiwa anzo hakusave hata moja. Kizaa zaa kilianzia hapo na mktaba wake fake.

Funzo Ukiwa unataka kufanya biashara au unafanya makubaliano na mtu yeyote jifunze kuhifadhi sms ambazo mumewasiliana ni muhimu sana hata namba za watu zihifadhi utapata tatizo utamhitaji tena.

Swali likabaki funguo alizipata wapi na wakati funguo zote wao ndio wanao, kwa kifupi ilikuwa kizaa zaa sana lakini mwisho wa siku Yule jamaa alimkubalia aendelee kusihi kwa makubaliano ambayo waliyafanya na akamsihi sana awe makini.

Jamaa akampa steve kazi ya kuwasaka ikiwemo kumtafuta huyo mama waende kwa wakala aliyewafanya miamala kama wataikuta namba na akamuonyeshe huyo dalali alimpata wapi.

Ubaya mmoja aliyekabidhiwa akzi ndio mwizi, Mwizi akajichunguze mwneyewe sakata lilikuja kuisha kwa shida sana na jamaa akahisi steve amamchezea mchezo akamkabidhi Yule mama majukumu kama akija mtu yeyote pale awasiliana nae.

Huyu mama alifanikwia kuhamia wengine wanazuia tu pale wanapoleta mizigo yao unaambiwa kwamba hii nyumba haipangishwi, aua tayari kuna mtu mwingine alishalipia

Huo ni aina ya utapeli mwingine unaofanywa na madalali hivyo ukitaka kupanga ulizia hata kwa majirani wa eneo husika lakini usikubali kusainishwa mkataba mtaani au bar, nenda na majirani waone.

Na huu ndio utapeli mkubwa wengi sana wamelizwa wengine wanalipia ukitaka funguo wanakuzungusha hadi mwneyewe unakuja kushtuka umepigwa namba zinakuwa hazipatikani tena.

Visa kama hivi ndio vilinifanya nikaachana na kazi za nyumba na viwanja kama nilivyoandika huko juu nikawa na dili na biashara zaidi na mambo mengine.

Utapeli mwingine kuongeza be ya kiwango husika.

Hii ndio niliwahi Kuifanya na nilifundishwa na masai.

Niliwahi kupata boss mwenye nyumba Salasala bei ilikuwa ni laki nne Apartment nzuri sana nikamwambia Boss nimepata mteja atatoa laki tano na ameshaiona ameridhika kwa hiyo atatoa laki tano hizo laki ni za kwangu boss akakubaliana na mimi, ila yeye pia alikwua ahishi Tz, alikuwa nje.

Mteja akalipa jamaa kweli hakuwa na shida akanitumia Kmaisheni yangu kama kawaida, hivyo ilitakiwa kila baada ya miezi minne mteja akitoa hela mimi naenda kuchukua laki zangu nne kama mshahara kwa kazi ambayo sijaifanya.

Hii michezo niliifanya sana na ilinipa sana hela lakini dhuluma au wizi fedha yake inaishia kwenye mambo ya Hovyo tu wala haisaidii.

Wenye nyumba wanashirikiana sana na madalali kuweka cha Juu japo kuna wengine hawataki kabisa hiyo michezo.

Na madalali tulikuwa tunafundishana sana hiyo Michezo na kujisiffu nayo ndio nikajua wkanini madalali wengi wanapiga sana hela. Wakati mwanzoni nashirikishwa huo mchongo nilishangaa sana lakini dhambi ukishaizoea inakuwa tamu sana.

Visa ni vingi sana vya Utapeli ambavyo nilivishuhudia lakini kwenye wizi na utapeli hayo ni kwa Uchache tu ila hivyo ndio visa vikuu

Unapotaka kupanga au kununua nyumba au kiwanja hakikisha unafuata Process zote ni afadhali ukalipia Benki ni vigumu sana kutapeliwa maana detail za mteja zinabaki na zinakuwa ni za kweli tofauti na njia za simu.

Hakikisha unaulizia majirani hasa wale uliowakuta pale kama nyumba ni ya wapangaji wengi, ukishakubaliana na dalali rudi tena kajiridhishe kwa kutafuta taarifa zaidi.

Madali si waharibii biashara ni afadhali kumuokoa mtu mmoja ambaye humjui maana wengine hawana fedha ya akiba na ndio wanaanza maisha ukimtapeli tu hata laki mbili unaumiza sana moyo wake.

Wenye nyumba pia tafuta dalali mwaminifu na usikubali aongezee hela kwenye nyumba yako maana anakula jasho lako bila kufanya kazi.



BAADAE NITARUDI NA VISA VYA USHIRIKIANA, USHIRIKINA UNATUMIKA VIPI KWENYE UDALALI AU VINA MAHUSIANO GANI.

Nimepunguza yale matukio mengine wakuu naelezea visa tu moja kwa moja. Wanaosema mimi sijui kusimulia ni kweli kabisa sijui, hapa niliamua kushea tu mikasa hiyo japo ni ya kweli kabisa lakini tupate burudani tu. mm sio fundi mwandiko wala msimuliaji
Hapa safi sana mkuu
EPS 13 UTAPELI, WIZI NA USHIRIKINA KATIKA KAZI YA UDALALI

Visa vingine kwenye kazi ya Udalali ambavyo nilikutana navyo ni Baadhi yetu Kuwa matapeli.

Utapeli ambao madalali wanafanya ni utapeli wa Kushirikiana ukiona dalali amekutapeli uwe na uhakika kuwa ameshirikiana na dalali mwingine.

Visa vingi vya utapeli vinafanywa na madalali njaa na wengi ndio wameharibu hiyo kazi.

Mfano wa utapeli wa kawaida ni dalali anaweza kuwa na Picha nzuri ya nyumba au chumba anaipost hata kama hiyo nyumba imeshapata mpangaji yeye anachokifanya anapest na kuweka namba zake ili apate wateja au watu angalu afaidi ile hela ya usumbufu.

Kuna dalali mmoja Kijiweni alikuwa anpost hata nyumba ambayo haiapngishwi labda ya mtu binafsi mteja ukipiga simu Anakuelekeza njoo sehemu Fulani nyumba ilipo ukifika anakuambia Asee huna bahati kuna mteja mwingine amekuja kulipia sasa hivi mumepishana tu hapo, lakini kuna nyumba nyingine sehemu Fulani twende ukaione.

Atakupelaka atakuzungusha mitaa unacheki ukikosa yenye sifa unazohitaji basi inabidi umpe hela yake ya Usumbu na kama hamjakubaliana ni kwamba kila nyumb aliyokupeleka anahesabu ni elf Kumi, na huwa hakudai huko huko atarudi na wewe hadi kijiweni Ili madalali wenzie wampe support. Unaweza kushangaa unadaiwa Elf hamsini kwa sababu umetembezwa Nyumba tano na ukibisha tu madalali wanakuzungushia ringi fasta. Huo ni utapeli wa kaiada ambao nafikiri wengi wanaufahamu.

Kupelekwa kwenye nyumba zilizotelekezwa, nyumba za watu wanaoishi mbali na mji n.k huo ni wizi wa kawaida kabisa ambao wengi munaujua.

Kuna wizi wa Kuibia wenye nyumba wanaojenga mjini kisha labda wanahamishwa kikazi kwenda Mikoa mingine.

Kuna jamaa yangu huyu Tumwite Steve, Steve alikabidhiwa nyumba na boss Fulani hivi ambaye alikuwa alijenga Tegeta A huko baadae akahamishiwa Iringa. Hivyo akamkabidhi steve nyumba yake ambayo ndio ilikuwa imekamilika amtafutie wateja.

Steve alipambana kweli akatushirikisha Kijiweni kwamba kuna Nyumba ina sifa Fulani ipo Tegeta A hivyo kama kuna mtu anahitaji tumuunganishe nae Kodi ilikuwa 150k, zilikuwa tatu.

Masai akapata mteja akamuunganisha na steve, steve akamwambia Yupo mbali mpeleke nyumba iko sehemu Fulani akampa ramani yote na akamwambia anamtuma mtu wa bodaboda ampelekee funguo.

Masai akaenda mteja akaicheki akaipenda maana ilikuwa an sifa anzohitaji, wakakubaliana ila akamwmabia mwenye nyumba yupo mkoani mteja akaomba namba yake mwneye nyumba ili waongee.

Masai akarudi kwa steve akamwambia wewe malizana nae mkataba atatumiwa mwenye nyumba amesafiri hayupo karibu kama shida ni mkataba utatumwa, na atapewa namba ataongea naye. Masai akashtuka akajua ni mchezo huu ila kwake sio geni akawa ameshapata akili ya kwenda na huo mchezo.

Mteja alipewa namba ya dalali mwingine akajifanya yeye ndio mwenye nyumba akamwambi mkataba unatumwa Hapo ila unatakiwa ulipie miezi sita na umeme na mambo mengine atakuwa anlipia mwenyewe.

Masai alimpanga mteja lipia haraka hii maana watu wengi sana wanaulizia hii nyumba, fanya haraka ili uhamie.

Mteja akataka namba ya Account ya Benk ili afanye malipo, wakamzuga pale wakampanga akakubali kulipia Kwa njia ya TIGOPESA shida jina aliloambiwa na la usajili ni tofauti ila pia ila hakujali sana mteja akaahidi Jioni atafanya malipo.

KMuda huo steve hataki kuonekana kabisa wala uhusika wake hakutaka ufahamike.

Na masai ili kujitenga na hilo sakata akamwambia ampe chake yeye atamalizana na mwenye nyumba na mwenye nyumba ndio atatuma Funguo, wanachokifanya wanatumia sabuni kwenda Kutoa Copy funguo wanakupa funguo Feki.

Masai akajitoa Mteja akakabidhiwa kwa mtu mwingine kabisa ambaye yeye ndio alidanganywa ni ndugu wa mwenye nyumba.

Masai baada ya hilo zoezi akamtafuta steve ili wakaubaliane vile wanamaliza huo mchongo maana mwenye nyumba Yupo mbali na sio rahisi kushtuka kwamba nyumba yake imepata mteja.

Makubaliano ilikuwa mteja ahamie kabisa bila kufanyiwa usumbufu na baada ya muda Kidogo ndio apigwe tukio.

Mteja alifanya malipo akamjulisha masai na akamwmabia Angehamia wikiend usiku masai akamwambia mimi sihusiki tena Funguo utakabidhiwa na ndugu yake aliyekupa mkataba na kusainisha huko mutamalizana mimi kazi yangu ilikuwa ni kukupeleka tu.

Mteja baada ya Process zote alihamia kama kawaida na pale alikuwa anakaa yeye na familia yake tu nyumba nyingine ilikuwa bado hajapata mteja. Mteja alilipia laki tisa steve akagawana na wenzie mwenye nyumba hakutumiwa hata Mia.

Waliendelea kutafuta mteja mwingine lakini wengi waliokuja walikuwa wanachomoa maana nyumba ilikuwa mbali sana kutoka ile barabara kuu ya mbezi baada ya kama Mwezi hivi mwenye nyumba alipata safari ya dar a akaja kimya kimya bila taarifa. Alipofika Dar akamjulisha steve kwamba amekuja dar hivyo atapitia pia kwenye nyumba yake akacheki mazingira.

Steeve akamwambia pia akifika amjulishe ili naye aende maana funguo anazo japo jamaa alimwambia anazo za akiba . Jioni muda wa saa mbili hivi wakaongozana kwenda kwenye nyumba steve hana wasiwasi wowote, mara wakaona Kama ndani taa zinawaka ikiashiria kuna mtu. Jamaa akamuuliza wkani ilishapata mpangaji steve akasema hapana nay eye akajifanya kushtuka na kushangaa sana.

Wakabisha hodi wakafungulia na Kitoto kidogo kina kama Miaka Kumi hivi akaulizwa upo na nani akasema nipo na mama, walimwita mam yake,jamaa akajitambulisha kwamba yeey ndio mwenye nyumba hivyo hana taarifa za uwepo wake pale.

Unaambiwa Yule mama alishtuka sana huendaalifikiri ni majambazi. Steve akamkaziaa uso akamuuliza nani alikuleta hapa na nani alikupangishia hii nyumba.

Maza akaelezea tukio zima, akaambiwa wapigie hao walliokupangishia akasema aliyenileta hapa baada ya kumaliza nae namba yake siku save lakini kwenye mkataba kuna namba ya Mwenye nyumba.

Kuicheki ni tofauti kabisa naya mwenye nyumba alafu zilkuwa namba kumi na moja nay eye alizopigiwa anzo hakusave hata moja. Kizaa zaa kilianzia hapo na mktaba wake fake.

Funzo Ukiwa unataka kufanya biashara au unafanya makubaliano na mtu yeyote jifunze kuhifadhi sms ambazo mumewasiliana ni muhimu sana hata namba za watu zihifadhi utapata tatizo utamhitaji tena.

Swali likabaki funguo alizipata wapi na wakati funguo zote wao ndio wanao, kwa kifupi ilikuwa kizaa zaa sana lakini mwisho wa siku Yule jamaa alimkubalia aendelee kusihi kwa makubaliano ambayo waliyafanya na akamsihi sana awe makini.

Jamaa akampa steve kazi ya kuwasaka ikiwemo kumtafuta huyo mama waende kwa wakala aliyewafanya miamala kama wataikuta namba na akamuonyeshe huyo dalali alimpata wapi.

Ubaya mmoja aliyekabidhiwa akzi ndio mwizi, Mwizi akajichunguze mwneyewe sakata lilikuja kuisha kwa shida sana na jamaa akahisi steve amamchezea mchezo akamkabidhi Yule mama majukumu kama akija mtu yeyote pale awasiliana nae.

Huyu mama alifanikwia kuhamia wengine wanazuia tu pale wanapoleta mizigo yao unaambiwa kwamba hii nyumba haipangishwi, aua tayari kuna mtu mwingine alishalipia

Huo ni aina ya utapeli mwingine unaofanywa na madalali hivyo ukitaka kupanga ulizia hata kwa majirani wa eneo husika lakini usikubali kusainishwa mkataba mtaani au bar, nenda na majirani waone.

Na huu ndio utapeli mkubwa wengi sana wamelizwa wengine wanalipia ukitaka funguo wanakuzungusha hadi mwneyewe unakuja kushtuka umepigwa namba zinakuwa hazipatikani tena.

Visa kama hivi ndio vilinifanya nikaachana na kazi za nyumba na viwanja kama nilivyoandika huko juu nikawa na dili na biashara zaidi na mambo mengine.

Utapeli mwingine kuongeza be ya kiwango husika.

Hii ndio niliwahi Kuifanya na nilifundishwa na masai.

Niliwahi kupata boss mwenye nyumba Salasala bei ilikuwa ni laki nne Apartment nzuri sana nikamwambia Boss nimepata mteja atatoa laki tano na ameshaiona ameridhika kwa hiyo atatoa laki tano hizo laki ni za kwangu boss akakubaliana na mimi, ila yeye pia alikwua ahishi Tz, alikuwa nje.

Mteja akalipa jamaa kweli hakuwa na shida akanitumia Kmaisheni yangu kama kawaida, hivyo ilitakiwa kila baada ya miezi minne mteja akitoa hela mimi naenda kuchukua laki zangu nne kama mshahara kwa kazi ambayo sijaifanya.

Hii michezo niliifanya sana na ilinipa sana hela lakini dhuluma au wizi fedha yake inaishia kwenye mambo ya Hovyo tu wala haisaidii.

Wenye nyumba wanashirikiana sana na madalali kuweka cha Juu japo kuna wengine hawataki kabisa hiyo michezo.

Na madalali tulikuwa tunafundishana sana hiyo Michezo na kujisiffu nayo ndio nikajua wkanini madalali wengi wanapiga sana hela. Wakati mwanzoni nashirikishwa huo mchongo nilishangaa sana lakini dhambi ukishaizoea inakuwa tamu sana.

Visa ni vingi sana vya Utapeli ambavyo nilivishuhudia lakini kwenye wizi na utapeli hayo ni kwa Uchache tu ila hivyo ndio visa vikuu

Unapotaka kupanga au kununua nyumba au kiwanja hakikisha unafuata Process zote ni afadhali ukalipia Benki ni vigumu sana kutapeliwa maana detail za mteja zinabaki na zinakuwa ni za kweli tofauti na njia za simu.

Hakikisha unaulizia majirani hasa wale uliowakuta pale kama nyumba ni ya wapangaji wengi, ukishakubaliana na dalali rudi tena kajiridhishe kwa kutafuta taarifa zaidi.

Madali si waharibii biashara ni afadhali kumuokoa mtu mmoja ambaye humjui maana wengine hawana fedha ya akiba na ndio wanaanza maisha ukimtapeli tu hata laki mbili unaumiza sana moyo wake.

Wenye nyumba pia tafuta dalali mwaminifu na usikubali aongezee hela kwenye nyumba yako maana anakula jasho lako bila kufanya kazi.



BAADAE NITARUDI NA VISA VYA USHIRIKIANA, USHIRIKINA UNATUMIKA VIPI KWENYE UDALALI AU VINA MAHUSIANO GANI.

Nimepunguza yale matukio mengine wakuu naelezea visa tu moja kwa moja. Wanaosema mimi sijui kusimulia ni kweli kabisa sijui, hapa niliamua kushea tu mikasa hiyo japo ni ya kweli kabisa lakini tupate burudani tu. mm sio fundi mwandiko wala msimuliaji
Ewaaa hapa safi sana
 
Dalali, kuna sehemu niliona ume comment kuwa ulipata mteja anatafuta frem. Ila baada ya kucheck picha yake whats app uligundua ni kaka'ako ukamblock. Natamani usimulie kwa undani kama utaweza
Ni kwleli mkuu shida nashindwa kupangilia matukio ila hilo nitalisimulia kwa faida yako na wengine.
 
EPS 16

Baada ya Maisha kunipiga kweli kweli, nilifanya jitihada za kina sana kumtafuta Judy mwanzoni alikuwa hataki kabisa kusikia habari ya Kurudiana na wala hata kuonana tu.

Ila mtoto alikuwa anapiga video Call namuona, mtoto alishakua mkubwa kabisa ana miaka mitano

Nilimtafuta rafiki yake aende akaongee nae ila, nilimwambia anipe Muda niongee nae tu uso kwa uso naamini hata kama hataki turudiane angalau tunaweza kuzungumzia hatma ya mtoto na maisha mengine yaendelee.

Nilijua tu nikikaa nae kwa dakika thelathini tu lazima anielewe maana nilikuwa nimeshajipanga kisawa sawa

Rafiki yake alinirudishia majbu ya kunikatisha tama kweli kweli alisema hataki kabisa Kuongea na mimi kwa jambo lolote kama nina shida na mtoto ampe mtu amlete nimuone nikae nae nikichoka Nimrudishe.

Judy aliwahi kumwambia Huyo rafiki yake niwatafute wale Malaya zangu niendelee nao, na hali ninayoipitia anamuomba Mungu ikibidi hadi nitembee barabarani naongea mwenyewe kabisa.

Siku moja alinitumia sms akaniambia uko nyumbani nikamwmabia ndio leo sijatoka siku nzima, akaniambia hata Malaya zako hawajaja kukutembelea au walishavuna wanasubiri msimu tena msimu mwingine wa mavuno.

Alikuwa ananiumiza sana na muda huo sina kazi, sina hela nawaza hata kodi ikiisha nitalipa vipi.

Nilifikiria niuze kiwanja changu kimoja ambacho kilibaki nijipange kwenye biashara ila nikaona kwa maisha yalivyo sitaweza kununua tena kingine.

Baada ya jitihada nyingi sana kufeli niliamua sasa niende mimi mwenyewe kwa Judy nyumbani niaksema hata akinifukuza Poa ila siwezi kutulia kiboya japo aliniambia siku nikikanyaga kwake au kwneye biashara yake ataniitia mwizi au ataniaibisha sana.

Nilisema liwe liwalo nikaenda kibabe asee alivyoniona nilivyokuwa nimebadilika aliishia kunione Huruma maana hakuamini kama hali ilikuwa mbaya hivyo.

Nilienda sikutaka kupoteza muda wala nilimwambia moja kwa moja ila nilijikaza sana "Judy, naomba msamaha kwa moyo wangu wote kwa maumivu niliyokusababishia. Nimejutia sana na natamani kurekebisha mambo. Tafadhali nipe nafasi ya kuzungumza nawe.nahitaji muda wako mfupi tu unisikilize kisha utafanya maamuzi wewe mwenyewe”

Alinicheki bila kusema kitu kabisa nikarudia tena hayo maneno kwa hisia kali sana zile hisia za ndani kabisa.

Akaniambi haya sema hapa kwani unataka kusemaje nikusikilize nikamjibu

Asante sana kwa kujibu, Judy. Naendelea kukuomba msamaha tena kwa jinsi nilivyokukosea na jinsi hii imetuathiri sisi na mtoto . natamani zaidi tujadili hili pamoja, kwa nia ya kujenga upya na kuhakikisha tunaweka familia yetu mbele. Maana ni jambo sasa la kujenga makosa yameshatokea lakini Mungu ametupa nafasi tena tuongee haya mamb.

Nilijieleza kwa unyenyekevu sana na upole ule wa kumaanisha japo baadae nilikuja Kuona kama nimejidhalilisha sana kujieleza sana mbele ya mwanamke.

Nikamwmabia mimi ni hayo tu nimeona nikueleze naye nikampa muda ili aongee

Alinishangaa sana hakuamini kama ningeweza kujishusha hivyo.

Alianza kuongea alianza kunikumbusha matukio ya nyuma jinsi nilivyokuwa kiburi, dharau vile nilikuwa nafuja hela na watoto wazuri bar alifungua faili moja moja hadi mwisho akaanza kutoa machozi, namimi sikuwa mbali nikamsogelea nikaanza kumfuta machozi huku nambembeleza na vimaneno maneno vya Hapa na pale vitamu.

Akaniambia basi ondoka tu tutaongea kwenye simu, Tuliendelea kuongea kwa simu kama wiki hivi tukajikuta kama tumeshaanza kurudiana tena akanaimbia kama nataka turudiane akanipa mashart mawili.

Moja tukapime afya, na sharti la pili hatarudipale home hadi niende kwao na tumalize mambo ya Harusi.

Ilibidi nikubaliane nae maana yeye ndio aliyekuwa amebaki peke yake.

Tulikuja kurudiana japo hadi sasa hatuishi pamoja maana tunafanya mchakato wa kwenda kwao ila kama nilivyowahi kusema sehemu mimi home nilitoka nasitaki kuonana na ndugu zangu ndio kipengele japo nimepanga niende home nimeamua kuwasamhe ndugu zangu ili Turudishe umoja na masuala ya ndoa yafanyike. Siku nikienda homenitawaletea Mrejesho.

Kuhusu masuala ya kazi Mwezi wanne mwaka Huu nilipata kazi sehemu nipo hapo maisha yameanza tena kuleta mwanga, nashukuru mshahara nao sio haba.

Nimeona nishee haya machache kwenu Uandishi ndio unaniangusha. Sifa kuu ya watu wa IT kuandika hatujui wala kusimulia.
 
EPS 16

Baada ya Maisha kunipiga kweli kweli, nilifanya jitihada za kina sana kumtafuta Judy mwanzoni alikuwa hataki kabisa kusikia habari ya Kurudiana na wala hata kuonana tu.

Ila mtoto alikuwa anapiga video Call namuona, mtoto alishakua mkubwa kabisa ana miaka mitano

Nilimtafuta rafiki yake aende akaongee nae ila, nilimwambia anipe Muda niongee nae tu uso kwa uso naamini hata kama hataki turudiane angalau tunaweza kuzungumzia hatma ya mtoto na maisha mengine yaendelee.

Nilijua tu nikikaa nae kwa dakika thelathini tu lazima anielewe maana nilikuwa nimeshajipanga kisawa sawa

Rafiki yake alinirudishia majbu ya kunikatisha tama kweli kweli alisema hataki kabisa Kuongea na mimi kwa jambo lolote kama nina shida na mtoto ampe mtu amlete nimuone nikae nae nikichoka Nimrudishe.

Judy aliwahi kumwambia Huyo rafiki yake niwatafute wale Malaya zangu niendelee nao, na hali ninayoipitia anamuomba Mungu ikibidi hadi nitembee barabarani naongea mwenyewe kabisa.

Siku moja alinitumia sms akaniambia uko nyumbani nikamwmabia ndio leo sijatoka siku nzima, akaniambia hata Malaya zako hawajaja kukutembelea au walishavuna wanasubiri msimu tena msimu mwingine wa mavuno.

Alikuwa ananiumiza sana na muda huo sina kazi, sina hela nawaza hata kodi ikiisha nitalipa vipi.

Nilifikiria niuze kiwanja changu kimoja ambacho kilibaki nijipange kwenye biashara ila nikaona kwa maisha yalivyo sitaweza kununua tena kingine.

Baada ya jitihada nyingi sana kufeli niliamua sasa niende mimi mwenyewe kwa Judy nyumbani niaksema hata akinifukuza Poa ila siwezi kutulia kiboya japo aliniambia siku nikikanyaga kwake au kwneye biashara yake ataniitia mwizi au ataniaibisha sana.

Nilisema liwe liwalo nikaenda kibabe asee alivyoniona nilivyokuwa nimebadilika aliishia kunione Huruma maana hakuamini kama hali ilikuwa mbaya hivyo.

Nilienda sikutaka kupoteza muda wala nilimwambia moja kwa moja ila nilijikaza sana "Judy, naomba msamaha kwa moyo wangu wote kwa maumivu niliyokusababishia. Nimejutia sana na natamani kurekebisha mambo. Tafadhali nipe nafasi ya kuzungumza nawe.nahitaji muda wako mfupi tu unisikilize kisha utafanya maamuzi wewe mwenyewe”

Alinicheki bila kusema kitu kabisa nikarudia tena hayo maneno kwa hisia kali sana zile hisia za ndani kabisa.

Akaniambi haya sema hapa kwani unataka kusemaje nikusikilize nikamjibu

Asante sana kwa kujibu, Judy. Naendelea kukuomba msamaha tena kwa jinsi nilivyokukosea na jinsi hii imetuathiri sisi na mtoto . natamani zaidi tujadili hili pamoja, kwa nia ya kujenga upya na kuhakikisha tunaweka familia yetu mbele. Maana ni jambo sasa la kujenga makosa yameshatokea lakini Mungu ametupa nafasi tena tuongee haya mamb.

Nilijieleza kwa unyenyekevu sana na upole ule wa kumaanisha japo baadae nilikuja Kuona kama nimejidhalilisha sana kujieleza sana mbele ya mwanamke.

Nikamwmabia mimi ni hayo tu nimeona nikueleze naye nikampa muda ili aongee

Alinishangaa sana hakuamini kama ningeweza kujishusha hivyo.

Alianza kuongea alianza kunikumbusha matukio ya nyuma jinsi nilivyokuwa kiburi, dharau vile nilikuwa nafuja hela na watoto wazuri bar alifungua faili moja moja hadi mwisho akaanza kutoa machozi, namimi sikuwa mbali nikamsogelea nikaanza kumfuta machozi huku nambembeleza na vimaneno maneno vya Hapa na pale vitamu.

Akaniambia basi ondoka tu tutaongea kwenye simu, Tuliendelea kuongea kwa simu kama wiki hivi tukajikuta kama tumeshaanza kurudiana tena akanaimbia kama nataka turudiane akanipa mashart mawili.

Moja tukapime afya, na sharti la pili hatarudipale home hadi niende kwao na tumalize mambo ya Harusi.

Ilibidi nikubaliane nae maana yeye ndio aliyekuwa amebaki peke yake.

Tulikuja kurudiana japo hadi sasa hatuishi pamoja maana tunafanya mchakato wa kwenda kwao ila kama nilivyowahi kusema sehemu mimi home nilitoka nasitaki kuonana na ndugu zangu ndio kipengele japo nimepanga niende home nimeamua kuwasamhe ndugu zangu ili Turudishe umoja na masuala ya ndoa yafanyike. Siku nikienda homenitawaletea Mrejesho.

Kuhusu masuala ya kazi Mwezi wanne mwaka Huu nilipata kazi sehemu nipo hapo maisha yameanza tena kuleta mwanga, nashukuru mshahara nao sio haba.

Nimeona nishee haya machache kwenu Uandishi ndio unaniangusha. Sifa kuu ya watu wa IT kuandika hatujui wala kusimulia.
Inaonekana huyo judy ndio nyota yako ilipo.
 
EPS 16

Baada ya Maisha kunipiga kweli kweli, nilifanya jitihada za kina sana kumtafuta Judy mwanzoni alikuwa hataki kabisa kusikia habari ya Kurudiana na wala hata kuonana tu.

Ila mtoto alikuwa anapiga video Call namuona, mtoto alishakua mkubwa kabisa ana miaka mitano

Nilimtafuta rafiki yake aende akaongee nae ila, nilimwambia anipe Muda niongee nae tu uso kwa uso naamini hata kama hataki turudiane angalau tunaweza kuzungumzia hatma ya mtoto na maisha mengine yaendelee.

Nilijua tu nikikaa nae kwa dakika thelathini tu lazima anielewe maana nilikuwa nimeshajipanga kisawa sawa

Rafiki yake alinirudishia majbu ya kunikatisha tama kweli kweli alisema hataki kabisa Kuongea na mimi kwa jambo lolote kama nina shida na mtoto ampe mtu amlete nimuone nikae nae nikichoka Nimrudishe.

Judy aliwahi kumwambia Huyo rafiki yake niwatafute wale Malaya zangu niendelee nao, na hali ninayoipitia anamuomba Mungu ikibidi hadi nitembee barabarani naongea mwenyewe kabisa.

Siku moja alinitumia sms akaniambia uko nyumbani nikamwmabia ndio leo sijatoka siku nzima, akaniambia hata Malaya zako hawajaja kukutembelea au walishavuna wanasubiri msimu tena msimu mwingine wa mavuno.

Alikuwa ananiumiza sana na muda huo sina kazi, sina hela nawaza hata kodi ikiisha nitalipa vipi.

Nilifikiria niuze kiwanja changu kimoja ambacho kilibaki nijipange kwenye biashara ila nikaona kwa maisha yalivyo sitaweza kununua tena kingine.

Baada ya jitihada nyingi sana kufeli niliamua sasa niende mimi mwenyewe kwa Judy nyumbani niaksema hata akinifukuza Poa ila siwezi kutulia kiboya japo aliniambia siku nikikanyaga kwake au kwneye biashara yake ataniitia mwizi au ataniaibisha sana.

Nilisema liwe liwalo nikaenda kibabe asee alivyoniona nilivyokuwa nimebadilika aliishia kunione Huruma maana hakuamini kama hali ilikuwa mbaya hivyo.

Nilienda sikutaka kupoteza muda wala nilimwambia moja kwa moja ila nilijikaza sana "Judy, naomba msamaha kwa moyo wangu wote kwa maumivu niliyokusababishia. Nimejutia sana na natamani kurekebisha mambo. Tafadhali nipe nafasi ya kuzungumza nawe.nahitaji muda wako mfupi tu unisikilize kisha utafanya maamuzi wewe mwenyewe”

Alinicheki bila kusema kitu kabisa nikarudia tena hayo maneno kwa hisia kali sana zile hisia za ndani kabisa.

Akaniambi haya sema hapa kwani unataka kusemaje nikusikilize nikamjibu

Asante sana kwa kujibu, Judy. Naendelea kukuomba msamaha tena kwa jinsi nilivyokukosea na jinsi hii imetuathiri sisi na mtoto . natamani zaidi tujadili hili pamoja, kwa nia ya kujenga upya na kuhakikisha tunaweka familia yetu mbele. Maana ni jambo sasa la kujenga makosa yameshatokea lakini Mungu ametupa nafasi tena tuongee haya mamb.

Nilijieleza kwa unyenyekevu sana na upole ule wa kumaanisha japo baadae nilikuja Kuona kama nimejidhalilisha sana kujieleza sana mbele ya mwanamke.

Nikamwmabia mimi ni hayo tu nimeona nikueleze naye nikampa muda ili aongee

Alinishangaa sana hakuamini kama ningeweza kujishusha hivyo.

Alianza kuongea alianza kunikumbusha matukio ya nyuma jinsi nilivyokuwa kiburi, dharau vile nilikuwa nafuja hela na watoto wazuri bar alifungua faili moja moja hadi mwisho akaanza kutoa machozi, namimi sikuwa mbali nikamsogelea nikaanza kumfuta machozi huku nambembeleza na vimaneno maneno vya Hapa na pale vitamu.

Akaniambia basi ondoka tu tutaongea kwenye simu, Tuliendelea kuongea kwa simu kama wiki hivi tukajikuta kama tumeshaanza kurudiana tena akanaimbia kama nataka turudiane akanipa mashart mawili.

Moja tukapime afya, na sharti la pili hatarudipale home hadi niende kwao na tumalize mambo ya Harusi.

Ilibidi nikubaliane nae maana yeye ndio aliyekuwa amebaki peke yake.

Tulikuja kurudiana japo hadi sasa hatuishi pamoja maana tunafanya mchakato wa kwenda kwao ila kama nilivyowahi kusema sehemu mimi home nilitoka nasitaki kuonana na ndugu zangu ndio kipengele japo nimepanga niende home nimeamua kuwasamhe ndugu zangu ili Turudishe umoja na masuala ya ndoa yafanyike. Siku nikienda homenitawaletea Mrejesho.

Kuhusu masuala ya kazi Mwezi wanne mwaka Huu nilipata kazi sehemu nipo hapo maisha yameanza tena kuleta mwanga, nashukuru mshahara nao sio haba.

Nimeona nishee haya machache kwenu Uandishi ndio unaniangusha. Sifa kuu ya watu wa IT kuandika hatujui wala kusimulia.
Usimsaliti JUDY HATA KWA ISHARA.
MHESHIMU HATA UKIWA UNAOTA OTA KWA KUMHESHIMU SANA,NI MKE SIYO MWANAMKE TU.
 
Back
Top Bottom