Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 03
[emoji24][emoji174][emoji95]
Safari hii sikushangaa.Nilimuwahi. Nilimdaka mkono. Niliushika mkono wake bila kuuachia.

“ Wewe nani?’ Nilimuuliza. Nilimtazama kiudadisi. Kutokana na giza , na jinsi alivyojifunika sikufanikiwa kumjua

Aliuvuta mkono wake kwa nguvu.Nilimkwaruza na kucha nikamuachia. Alirudi nyuma na kupotea gizani. Haraka nilishuka kitandani. Sam alinidaka mkono.

“ Unataka kufanya nini?” Aliniuliza.

Swali lake liliniacha kinywa wazi. Nilishindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani. Aliongea kama hakuna kilichotokea.

“ Kwanini hukunisaidia nilipomshika?” Nilimuuliza.

“ Kumshika nani?” Aliniuliza.

Macho yangu yalitanuka kwa mshangao. ” Hivi naota au?” Nilijiuliza. Nilijishika mara tatu tatu na kuomba nizinduke . Ukweli haikuwa ndoto. Yalikuwa ni matukio halisi yanatokea.

“ Mbona kucha zako zinadamu?” Aliniuliza.

“ Damu za yule mtu. Nimemkwaruza mkononi.”

“ Acha kuongea habari ambazo hazipo. Nimekuambia hakuna mtu humu ndani. Kwanini haunielewi. Muda wote Mtu, Mtu.” Aliongea kwa ukali .

“ Lakini kwanini tubishane? Kama yupo au hayupo tutajua tukiwasha taaa. Naomba tukawashe taa. Humu ndani hakuna usalama. Kuna mtu anatuchezea.”

“ Unamaana gani kusema hivyo?”

“ Inawezeakana kuna mtu anatuwangia.”

“ Hivi na Elimu yangu unazani naweza kuamini mambo ya kishirikina. Hapa hakuna lolote lile, Ishu ni wewe. Unamatatizo ya kisaikolojia. Unaona vitu ambavyo havipo.” Aliniambia.

……………………………………..

Kwa zaidi ya masaa matatu tulibishana. Sam alishikilia msimamo wake, na Mimi nilishikilia wangu. Sikutaka kukubali hakuna mtu wakati nimemuona. Nilimtaka Sam tukawashe taaa.Alikataa kata kata. Alinishika na kutaka tuendelee kufanya mapenzi.Nilimkatalia.

“ Bila kuwasha taaa hakuna mapenzi .” Nilimwambia.

“ Unaleta dharau! Hivi unajua nimelipa shilingi ngapi kwenu?”

“ Hata ungelipa bilioni. Unalotaka siwezi kukubali. Kama hautaki kuwasha taaa haupati kitu kwangu. Labda unibake.” Nilimwambia. Nilichukua shuka na kujifunika.

“ Siku ya kwanza tu unaninyima haki yangu . Huko mbele itakuwaje?” Aliongea kwa huzuni Sam. Alinisogelea na kunipapasa. Niliutoa mkono wake. Nilimuangalia kwa macho makavu na kumpa msimamo wangu.

“ Nakuwa mstaarabu hautaki . Sasa subiri.” Aliniambia. Alilishika shuka kwa nguvu na kulivuta. Alinivamia na kunikandamiza kitandani. Alinishika miguu na mikono.

“ Si hautaki kwa hiari . Acha nitumie nguvu.” Aliniambia.

Alinitanua miguu .

“ ..hale..luyaaaaaaa….yu make me say…hale..luyaaaaa…….” Wimbo ulisikika. Simu yake iliita. Aliniacha na kuipokea.

“ Hallo…..” Aliongea.

Aligeuka kunitazama kisha akasogea pembeni zaidi. Bila shaka hakutaka nisikie mazungumzo yake.

“ Huyu nani anampigia simu Saa Nane usiku?” Nilijiliuza.

Sekunde kadhaa mbele alikata simu na kurudi kitandani.

“ Samahani judy! Alikuwa lengo langu kukufanyia hivi.” Aliniambia.

Nilimtazama bila kuongea lolote.

“ Siwezi kukulazimisha kufanya mapenzi. Naomba tupumzike. Tutafurahia penzi letu kesho. Muda umeenda saizi.” Aliniambia. Alinisogelea na kunikumbatia. Alichukua shuka kwa mkono mwingine tukajifunika.

“ Akilala usingizi nitaamka. Nitaenda kuwasha Taa. Nitamtafuta mtu aliyekuwa humu ndani.” Niliwaza. Nilitulia tuli. Nilimsubiri apitiwe na usingizi.

……………………………………………

“ ngoooo…ngooo..ngoooo….” Mlango uligongwa.

“ Amkeni tafadhali. Mtalalaje mpaka saa tatu….ngoo..ngoo….” Mlango uligongwa tena.

Kwa shida nilifumbua macho. Nilinyosha mkono pembeni ya kitanda kuchukua simu yangu. Niliitazama saaa, ilikuwa saa tatu asubuhi.

“ Nimefeli! Ilikuwaje nikapitiwa na usingizi.” Niliwaza. Mpango wangu wa kuamka usiku na kuwasha Taa ulifeli.

Niliangaza kushoto na kulia kukitazama chumba. Kilikuwa cha ajabu. Kilikuwa kikubwa na Kitanda kilikuwa kati kati.

“ Hiki chumba cha namna gani?” Nilijiuliza. Nikiwa najiuliza Mlango uliendelea kugongwa.

“ Hausikii mlango ukigongwa?” Aliniuliza Sam. Nilisimama kinyonge nikaenda kuufungua. Alikuwa Mama Mkwe .

“ Mnalalaje hadi Saa Tatu. Wahudumu wameshaandaa chai. Tunawasubiri nyie .” Alituambia.

“ Tupe sekunde kadhaa .” Alijibu Sam.

“ Watu wanaotusubiri ni watu gani? Aaah! Itakuwa ndugu zake. Lakini wote kuja hotelini ndio nini! Hii ni honeymoon au ni nini?” Nilijiuliza Moyoni.

Baada ya maandalizi tuliongozana na Sam mpaka nje. Tuliwakuta ndugu wa Mume wangu wakiwa wamekaa kuzunguka meza. Chakula kilikuwa katikati. Walikuwa wanatusubiri . Tulijumuika nao.

Wakati kila mmoja akijipakulia chakula, Macho yangu yalitua kwenye mikono ya Baba Mdogo. Ilikuwa na michubuko. Ilikuwa imekwaruzwa na kucha.

“ Nimempata .” Nilijisema moyoni. Nilisimama kwenye kiti.
Nakuja
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON – NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU- 04
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]🥹
“ Nimempata .” Nilijisema moyoni. Nilisimama kwenye kiti.

“ Unaenda wapi ? “ Aliniuliza Sam.

“ Nimempata..” Niliongea huku nikimsogelea Baba mdogo.

Wote waliniangalia kwa mshangao. Nilimfata baba mdogo na kumshika mkono.Niliutazama. Ulikuwa na jeraha la kucha .

“ Ni wewe…Ni wewe…” Nilimwambia.

“ Ni Mimi?” Aliniuliza kwa mshangao.

“ Kafanya nini?” Aliniuliza Sam.

“ Mtu aliyekupiga vibao ni huyu.” Nilimwambia. Watu wote waligeuka kutazamana. Sam alimtazama Mama yake kisha akaja mkuku nilipo. Alinishika mkono na kunirudisha nilipokaa.

“ Unafanya mambo gani? Kwanini unataka kunitia aibu?” Aliniuliza kwakuninongoneza.

Sikukubali kukaa.Nilisimama na kumfata Baba mdogo tena.

“ Kwanini ulikuwa unampiga Mume wangu?” Nilimuuliza.

“ Na mle ndani uliingiaje?” Nilimuuliza tena.

Hakunijibu. Alinitazama kama hakuna alilolisikia.

“ Sam hebu mtulize mkeo.” Aliongea Baba Mkwe.

“ Hakuna haja. Sam tulia hapo hapo.” Aliongea Mama Mkwe. Alisimama na kunifata. Kabla hajanifikia Sam aliwahi kumzuia.

“ Usifanye hivyo Mama.” Alimwambia .

“ Unajua nataka kufanya nini? Umeshindwa kumtuliza mkeo. Acha nimtulize.” Alimwambia.Alimpita na kunisogelea.

“ paaaa..paaaaaa………” Alinipiga vibao.

“ Mamaaa….” Nilimuita kwa mshangao. Badala ya kunijibu alinipiga kibao kingine.

“ Paaaaaah…”

“ Inatosha Mama Sam..” Aliongea Baba Mkwe. Alisimama na kumshika. Sam naye alinifata. Alinishika mkono na kunirudisha kwenye kiti.

“ Si unaona. Nilishakuambia .Achana na hayo mambo..” Aliniambia. Alinikarisha kwenye kiti. Meza yote ilikuwa kimya. Hakuna aliyeongea. Mama mkwe alimwita muhudumu. Alimtaka atumiminie vinywaji .

Alitumiminia.

Mama Mkwe aliinua Glass juu.

“ Naomba tugonge cheeaziii kwa ajili ya ndoa ya Sam. Tumuombee yeye na mkewe maisha marefu.” Aliongea.

‘ Cheaziii…cheaziiiii…” Waligonga.

Peke yangu sikugonga. Niliinama chini nikiwaza. Akili yangu haikuwa pale. Niliwaza maana ya yale yaliyonitokea. Nilianza kujuta kuolewa .

“ Kanipiga kwa kosa gani? Au Kusema Bamdogo ndiye aliyempiga vibao Sam. Kwani ni uongo? Mbona anaalama ya kucha mkononi.” Nilijiuliza Moyoni.

“ Mkeo hajafundwa. Wamemuozesha bila kumpa mafunzo.” Aliongea Mama Mkwe.

“ Kwanini Mama?” Sam aliuliza.

“ Nimempiga vibao kumuonya, lakini bado anafanya upumbavu ule ule.” Aliongea Mama Mkwe.

“ Lakini mama…”

“ Eeeeh unanijibu.” Aliongea kwa ukali Mama Mkwe. Kitendo cha kutaka kuongea kilimkera zaidi. Aliongea maneno mengi ya shombo. Alinichambua na kunichamba kama mtoto. Maneno yake yalinilowesha. Nilibaki Hoi.

Baada ya kumaliza kuongea, kwa hasira Mama Mkwe aliondoka.Ndugu wengine pamoja na Sam waliondoka pia. Waliniacha peke yangu. Ni kama walinitenga kutokana na tukio nililofanya.

“ Hivi kosa langu nini?” Nilijiuliza. Niliduwaa nisijue chakufanya.

……………………..

Nusu saa mbele.Nikiwa peke yangu. Pale pale kwenye meza alitokea muhudumu wa ile Hotel. Alitembea kwa hofu. Aliangalia kushoto na kulia, ni kama hakutaka kuonwa . Alinisogelea na kuninongoneza. Nakuja
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON – NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU- 04
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]🥹
“ Nimempata .” Nilijisema moyoni. Nilisimama kwenye kiti.

“ Unaenda wapi ? “ Aliniuliza Sam.

“ Nimempata..” Niliongea huku nikimsogelea Baba mdogo.

Wote waliniangalia kwa mshangao. Nilimfata baba mdogo na kumshika mkono.Niliutazama. Ulikuwa na jeraha la kucha .

“ Ni wewe…Ni wewe…” Nilimwambia.

“ Ni Mimi?” Aliniuliza kwa mshangao.

“ Kafanya nini?” Aliniuliza Sam.

“ Mtu aliyekupiga vibao ni huyu.” Nilimwambia. Watu wote waligeuka kutazamana. Sam alimtazama Mama yake kisha akaja mkuku nilipo. Alinishika mkono na kunirudisha nilipokaa.

“ Unafanya mambo gani? Kwanini unataka kunitia aibu?” Aliniuliza kwakuninongoneza.

Sikukubali kukaa.Nilisimama na kumfata Baba mdogo tena.

“ Kwanini ulikuwa unampiga Mume wangu?” Nilimuuliza.

“ Na mle ndani uliingiaje?” Nilimuuliza tena.

Hakunijibu. Alinitazama kama hakuna alilolisikia.

“ Sam hebu mtulize mkeo.” Aliongea Baba Mkwe.

“ Hakuna haja. Sam tulia hapo hapo.” Aliongea Mama Mkwe. Alisimama na kunifata. Kabla hajanifikia Sam aliwahi kumzuia.

“ Usifanye hivyo Mama.” Alimwambia .

“ Unajua nataka kufanya nini? Umeshindwa kumtuliza mkeo. Acha nimtulize.” Alimwambia.Alimpita na kunisogelea.

“ paaaa..paaaaaa………” Alinipiga vibao.

“ Mamaaa….” Nilimuita kwa mshangao. Badala ya kunijibu alinipiga kibao kingine.

“ Paaaaaah…”

“ Inatosha Mama Sam..” Aliongea Baba Mkwe. Alisimama na kumshika. Sam naye alinifata. Alinishika mkono na kunirudisha kwenye kiti.

“ Si unaona. Nilishakuambia .Achana na hayo mambo..” Aliniambia. Alinikarisha kwenye kiti. Meza yote ilikuwa kimya. Hakuna aliyeongea. Mama mkwe alimwita muhudumu. Alimtaka atumiminie vinywaji .

Alitumiminia.

Mama Mkwe aliinua Glass juu.

“ Naomba tugonge cheeaziii kwa ajili ya ndoa ya Sam. Tumuombee yeye na mkewe maisha marefu.” Aliongea.

‘ Cheaziii…cheaziiiii…” Waligonga.

Peke yangu sikugonga. Niliinama chini nikiwaza. Akili yangu haikuwa pale. Niliwaza maana ya yale yaliyonitokea. Nilianza kujuta kuolewa .

“ Kanipiga kwa kosa gani? Au Kusema Bamdogo ndiye aliyempiga vibao Sam. Kwani ni uongo? Mbona anaalama ya kucha mkononi.” Nilijiuliza Moyoni.

“ Mkeo hajafundwa. Wamemuozesha bila kumpa mafunzo.” Aliongea Mama Mkwe.

“ Kwanini Mama?” Sam aliuliza.

“ Nimempiga vibao kumuonya, lakini bado anafanya upumbavu ule ule.” Aliongea Mama Mkwe.

“ Lakini mama…”

“ Eeeeh unanijibu.” Aliongea kwa ukali Mama Mkwe. Kitendo cha kutaka kuongea kilimkera zaidi. Aliongea maneno mengi ya shombo. Alinichambua na kunichamba kama mtoto. Maneno yake yalinilowesha. Nilibaki Hoi.

Baada ya kumaliza kuongea, kwa hasira Mama Mkwe aliondoka.Ndugu wengine pamoja na Sam waliondoka pia. Waliniacha peke yangu. Ni kama walinitenga kutokana na tukio nililofanya.

“ Hivi kosa langu nini?” Nilijiuliza. Niliduwaa nisijue chakufanya.

……………………..

Nusu saa mbele.Nikiwa peke yangu. Pale pale kwenye meza alitokea muhudumu wa ile Hotel. Alitembea kwa hofu. Aliangalia kushoto na kulia, ni kama hakutaka kuonwa . Alinisogelea na kuninongoneza. Nakuja
Malizia plz
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON –NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU -05
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nusu saa mbele.Nikiwa peke yangu. Pale pale kwenye meza alitokea muhudumu wa ile Hotel. Alitembea kwa hofu. Aliangalia kushoto na kulia, ni kama hakutaka kuonwa . Alinisogelea na kuninongoneza.

“ Unaitwa chumba namba saba.Fanya haraka uende.” Aliniambia.

“ Nani ananiita?” Nilimuuliza.

Hakunijibu. Aligeuka na kuondoka kwa tahadhari kama mwanzo.

“ Mbona kama hataki kuonwa?.” Nilijiuliza.

“ Chumba namba saba..” Nilijikuta nimetamka. Ubongo wangu ulijiuliza ni nani wa kuniita chumba namba saba. Niliwaza na kuwazua sikupata majibu. Kwa mbali nilihisi uenda Sam ndiye aliyemtuma.

“ Atakuwa Sam kaniita, kwa yaliyotokea ukute hataki aonekana na Mimi, ndio mana kaniita kisiri .” Niliwaza.

Nilisimama na kuelekea ndani.

Nikiwa naelekea ndani niliangaza kila pande ya Hotel , Maeneo yote sikuwaona ndugu wa Sam.

“ Wameenda wapi?” Nilijiuliza.

Sikujali hilo. Moja kwa moja nilienda chumba namba saba. Niligonga mlango.

“ Karibuu….karibu sana Judy..” Alinikaribisha. Alikuwa Gaby. Kaka yake Sam.

“ Mmmmh! hapana shem. Kuwa chumbani wawili mbona sio sahihi.Naomba tuongelee kwenye korido.”

“ Lingekuwa swala la kuongelea kwenye korido nisingehangaika kukuita huku. Ningekuja pale pale mezani nikakuambia. Naomba ingia ndani. Wala usiwe na mashaka.” Aliniambia.

Niliingia na kwenda kukaa kwenye kiti .

“ Mbona umekaa mbali . Njoo ukae hapa.” Aliniambia.

Alinitaka nikakae kitandani.

“ Hapana. Hapa nilipokaa panatosha .” Nilimjibu.

Hakuongea. Alisimama na kunishika mkono. Alinivuta na kunikalisha kitandani.

“ Mmmmh!” Niliguna. Taa nyekundu iliwaka kichwani.

“ Mbona unaniangalia hivyo?” Aliniuliza .

“ Kunikarisha hapa sio busara. Mkeo au ndugu wengine wakija itakuwaje?” Nilimuuliza.

Badala ya kunijibu , alicheka.

“ Hakuna atakayefika hapa. Kuwa na amani. Jiachie na uwe huru.’ Aliniambia.

“ Mmmmh!”

“ Kuna jambo uliongea pale mezani limenipa shauku kidogo. Naomba nifafanulie vizuri. Umesema Baba mdogo alikuja chumbani kwenu na kumpiga vibao Mumeo?” Aliniuliza.

Swali lake liliufanya moyo wangu upate amani kidogo. “ Hatimaye nimepata mtu aliye tayari kunisikiliza.” Nilijisemea.

Nilimueleza tukio nzima.

“ Hii kali. Kwahiyo alikuwa anatokea gizani anampiga kibao kisha anapotea tena gizani?” Aliniuliza.

“ Ndio, ilikuwa hivyo, lakini mdogo wako alikuwa hafanyi lolote. Alikuwa anasema hajamuona.”

“ mmmmmh…” Aliguna.

“ Pole sanaaaa…” Aliniambia. Alinishika kwa nguvu na kunikumbatia. Nami nilimkumbatia. Nilijisikia faraja kumpata mtu wa kunisikiliza . Akiwa amenikumbtaia alianza kunipapasa mgongoni.

Akili yangu ilihama. Nilijisikia furaha kujaliwa. Nilijikuta nashindwa kumzuia, badala yake nami nilimpapasa. Tulipapasana kwa dakika kadhaa.

Muda ulivyoenda hisia zangu zilibadilika.Naye zilibadilika pia. Tulijikuta tunanyonyaa ndimi na kushikana maungo ya uzazi.

Alininyanyua na kunilaza kitandani. Ajabu. Sikuwa mbishi wala sikuwaza kuhusu kinachotokea. Aliendelea kushika maungo yangu na kunichombeza sehemu mbali mbali za mwili wangu. Alinivua nguo, nami nilimvua zake.

“ Subiri kwanza..” Aliniambia.

Alishuka kitandani na kuvaa nguo zake. Alifungua mlango na kutoka nje. Aliniacha nikiwa nimeduwaa.

“ Hii inamaana gani? Au alikuwa ananijaribu?” Nilijiuliza.

“ Hapana.” Nilitamka.

“ Huu mtego.” Niliwaza.

“ Lakini mtego gani wa kufanyiwa honeymoon?” Nilijiuliza.

“ Vyovyote vile. Dawa ni kuondoka humu ndani.” Nilijisemea.

Nilishuka kitandani na kuzifata nguo zangu. Nilizivaaa. Nilisogea mlangoni na kufungua mlango. Nilichungulia nje. Macho yangu yalikutana na macho ya Sam.
Nakuja
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON –NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU -05
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nusu saa mbele.Nikiwa peke yangu. Pale pale kwenye meza alitokea muhudumu wa ile Hotel. Alitembea kwa hofu. Aliangalia kushoto na kulia, ni kama hakutaka kuonwa . Alinisogelea na kuninongoneza.

“ Unaitwa chumba namba saba.Fanya haraka uende.” Aliniambia.

“ Nani ananiita?” Nilimuuliza.

Hakunijibu. Aligeuka na kuondoka kwa tahadhari kama mwanzo.

“ Mbona kama hataki kuonwa?.” Nilijiuliza.

“ Chumba namba saba..” Nilijikuta nimetamka. Ubongo wangu ulijiuliza ni nani wa kuniita chumba namba saba. Niliwaza na kuwazua sikupata majibu. Kwa mbali nilihisi uenda Sam ndiye aliyemtuma.

“ Atakuwa Sam kaniita, kwa yaliyotokea ukute hataki aonekana na Mimi, ndio mana kaniita kisiri .” Niliwaza.

Nilisimama na kuelekea ndani.

Nikiwa naelekea ndani niliangaza kila pande ya Hotel , Maeneo yote sikuwaona ndugu wa Sam.

“ Wameenda wapi?” Nilijiuliza.

Sikujali hilo. Moja kwa moja nilienda chumba namba saba. Niligonga mlango.

“ Karibuu….karibu sana Judy..” Alinikaribisha. Alikuwa Gaby. Kaka yake Sam.

“ Mmmmh! hapana shem. Kuwa chumbani wawili mbona sio sahihi.Naomba tuongelee kwenye korido.”

“ Lingekuwa swala la kuongelea kwenye korido nisingehangaika kukuita huku. Ningekuja pale pale mezani nikakuambia. Naomba ingia ndani. Wala usiwe na mashaka.” Aliniambia.

Niliingia na kwenda kukaa kwenye kiti .

“ Mbona umekaa mbali . Njoo ukae hapa.” Aliniambia.

Alinitaka nikakae kitandani.

“ Hapana. Hapa nilipokaa panatosha .” Nilimjibu.

Hakuongea. Alisimama na kunishika mkono. Alinivuta na kunikalisha kitandani.

“ Mmmmh!” Niliguna. Taa nyekundu iliwaka kichwani.

“ Mbona unaniangalia hivyo?” Aliniuliza .

“ Kunikarisha hapa sio busara. Mkeo au ndugu wengine wakija itakuwaje?” Nilimuuliza.

Badala ya kunijibu , alicheka.

“ Hakuna atakayefika hapa. Kuwa na amani. Jiachie na uwe huru.’ Aliniambia.

“ Mmmmh!”

“ Kuna jambo uliongea pale mezani limenipa shauku kidogo. Naomba nifafanulie vizuri. Umesema Baba mdogo alikuja chumbani kwenu na kumpiga vibao Mumeo?” Aliniuliza.

Swali lake liliufanya moyo wangu upate amani kidogo. “ Hatimaye nimepata mtu aliye tayari kunisikiliza.” Nilijisemea.

Nilimueleza tukio nzima.

“ Hii kali. Kwahiyo alikuwa anatokea gizani anampiga kibao kisha anapotea tena gizani?” Aliniuliza.

“ Ndio, ilikuwa hivyo, lakini mdogo wako alikuwa hafanyi lolote. Alikuwa anasema hajamuona.”

“ mmmmmh…” Aliguna.

“ Pole sanaaaa…” Aliniambia. Alinishika kwa nguvu na kunikumbatia. Nami nilimkumbatia. Nilijisikia faraja kumpata mtu wa kunisikiliza . Akiwa amenikumbtaia alianza kunipapasa mgongoni.

Akili yangu ilihama. Nilijisikia furaha kujaliwa. Nilijikuta nashindwa kumzuia, badala yake nami nilimpapasa. Tulipapasana kwa dakika kadhaa.

Muda ulivyoenda hisia zangu zilibadilika.Naye zilibadilika pia. Tulijikuta tunanyonyaa ndimi na kushikana maungo ya uzazi.

Alininyanyua na kunilaza kitandani. Ajabu. Sikuwa mbishi wala sikuwaza kuhusu kinachotokea. Aliendelea kushika maungo yangu na kunichombeza sehemu mbali mbali za mwili wangu. Alinivua nguo, nami nilimvua zake.

“ Subiri kwanza..” Aliniambia.

Alishuka kitandani na kuvaa nguo zake. Alifungua mlango na kutoka nje. Aliniacha nikiwa nimeduwaa.

“ Hii inamaana gani? Au alikuwa ananijaribu?” Nilijiuliza.

“ Hapana.” Nilitamka.

“ Huu mtego.” Niliwaza.

“ Lakini mtego gani wa kufanyiwa honeymoon?” Nilijiuliza.

“ Vyovyote vile. Dawa ni kuondoka humu ndani.” Nilijisemea.

Nilishuka kitandani na kuzifata nguo zangu. Nilizivaaa. Nilisogea mlangoni na kufungua mlango. Nilichungulia nje. Macho yangu yalikutana na macho ya Sam.
Nakuja
njoo bhana
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 06
🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Nilishuka kitandani na kuzifata nguo zangu. Nilizivaaa. Nilisogea mlangoni na kufungua mlango. Nilichungulia nje. Macho yangu yalikutana na macho ya Sam.

“ Eeeeh!” Nilishtuka. Nilirudi ndani haraka.

“ Uuuuuuh…uuuuuuh…” Nilihema.

“ Ameniona au?” Nilijiuliza. Nilisogea tena mlangoni. Nilifungua mlango na kuchungulia tena.Sam hakuonesha kama ameniona. Alikuwa anaongea na Gaby. Walicheka na kugonga mikono.

“ Hajaniona. Angeniona lazima angekuja.” Niliwaza.

Nilifunga mlango na kukaa kitandani.

“ Hivi huu mtego au?” Nilijiuliza.

“ Haiwezekani ukawa mtego. Haiwezekani.” Nilijiambia.

“ Lakini kama sio mtego! Kitu gani kilichomfanya Gaby hakaniacha na kutoka nje? Alienda kuongea nini na Sam?” Nilijiuliza. Nilisimama na kuzunguka zunguka mle ndani.

“ Kwa hiyo Sam anajua nipo hapa au ?” Nilijiuliza.

Mawazo yalizidi. Kichwa kilianza kuuma. Nilisimama na kwenda chooni. Nilifungua maji na kujisafisha uso.

“ uuuuh….uuuuuu…” Nilihema.Nilijiweka sawa na kuelekea mlangoni. Nikiwa naufungua mlango wa bafuni , Mlango wa chumba nao ulifunguliwa.

“ Nani anaingia?” Nilijiuliza. Nilirudi bafuni na kufunga mlango. Nilichungulia. Aliingia Gaby. Nilifungua mlango na kutoka.

“ Ulikuwa unaongea nini na Sam?” Nilimuuliza.

Gaby hakunijibu, alinisogelea na kunishika kiuno. Nilimtoa mkono.Nilirudi nyuma na kumtaka asinisogelee.

“ Judy mambo gani haya? “ Aliniuliza huku akinisogelea.

“ Nijibu. Ulikuwa unaongea nini na Sam?”

“ Hakuna lolote baya. Mambo ya kawaida .”

“Anajua nipo humu?”

“ Unazani angejua upo chumbani kwangu kungekuwa na usalama? . Mbona yangetokea mauaji.”

“ Kwanini ulitoka gafla kwenda kuongea naye? Kitu gani kilikufanya uache kufanya mapenzi na kwenda kuongea naye?.”

“ Kuna swala la msingi ilibidi nikalifanye nje. Wakati natoka nilikutana na Sam kwenye varanda.”

“ Swala gani muhimu la kuondoka katikati ya mchezo.”

“ Kumbe umechukia kwakuwa niliondoka gafla vile. Usijali. Muda bado tunao.” Aliongea Gaby. Alinisogelea na kunishika kiuno . Niliutoa mkono wake. Nilisogea mlangoni na kuchungulia nje. Hakukuwa na mtu. Nilitoka .

“ MUNGU nisaidie ule usiwe mtego.” Niliomba kimoyo moyo.

………………………..

Nikiwa kwenye korido , Sam alitokea kwa mbele yangu. Meno yake yote yalikuwa nje. Sura yake ilijaa tabasamu.

Tabasamu lake lilimaanisha hajui nilikotoka. Alinisogelea na kunishika mkono.

“ Nakupenda sana Judy. Wewe ni mwanamke wa maisha yangu.” Aliniambia.

“ Nakupenda pia Sam.”

“ Lakini kuna jambo halipo sawa.” Aliniambia.

“ Ndiiii…” Moyo wangu ulipiga. Haraka nikamuuliza.

“ Jambo gani?”

“ Unajua Leo ni siku ya pili toka tuje hapa , Lakini hatujaenjoy hata kidogo. Furaha yetu umeijaza maswali. Muda wote unaniuliza hiki mara kile.” Aliniambia.

Aliendelea.

“ Naomba uache kuuliza maswali yasiyokuwa na maana.Pia acha kumshutuma bamdogo.” Aliniambia.

“ Sam…” Nilimuita.

“ Nakusikiliza.”

“ Honey moon yetu imeingiliwa. Ili tuenjoy ndugu zako inabidi waondoke. Tangu nizaliwe sijawahi kusikia honeymoon kama hii. Honeymoon ambayo wakwe na mashemeji wanarundikana hotelini.”

“ Lakini wanafaida yake. Wangekuwa hawana faida wasingekuwepo hapa. Wangekuwa nyumbani.”

“ Wanafaida ipi? Au kunidharilisha ndio faida?”

“ Nani amekudharilisha Judi?”

“ Eeeh! Umesahau. Umesahau Mama yako alivyonipiga vibao mbele yenu? Umesahau baba yako mdogo alivyokupiga vibao tukiwa faragha?”

“ Daah! Kwanini unaongea mambo yaliyopita. Kwanza swala la bamdogo sio kweli. Bamdogo hakunipiga kibao na hakuna mtu aliyenipiga kibao. Halafu ishu ya Mama chanzo ni wewe. Ulimkera .”

“ Lakini…..”

“ Achana na hiyo lakini. Subiri nikuambie faida. Si unataka faida za wao kuwa hapa.”

“ Ndio. Nataka hizo faida .’

“ Hivi muda wote uliokuwa chumba namba saba hujajifunza kitu?”

“ Chumba namba saba?”

“ Ndio. Saizi si unatoka chumba namba saba .” Aliniambia.

“ Paaaah!” Moyo wangu ulipiga.

“ Inmaaana anajua nilikuwa chumbani kwa kaka yake?” Nilijiuliza.
 
Mmetoka harusin saa 6 usk.... Mmeingia hotel ukakutana na mauza uza mkabishana takriban masaa 3.... Inakua saa 9 usk alaf baadae simu inapigwa mida ya saa 8 usk Sam anaenda kuongelea pemben Kisha anakuomba msamaha........ Lkn story n tamu ngoja nisubili uje
 
Back
Top Bottom