Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

Mkasa wa kweli: najuta kwenda honeymoon - nilichofanyiwa sitakuja kusahau

Mmetoka harusin saa 6 usk.... Mmeingia hotel ukakutana na mauza uza mkabishana takriban masaa 3.... Inakua saa 9 usk alaf baadae simu inapigwa mida ya saa 8 usk Sam anaenda kuongelea pemben Kisha anakuomba msamaha........ Lkn story n tamu ngoja nisubili uje
Anachanganya
 
Ili uwe mwandishi mzuri jifunze kuchagua tittle itakayowavutia wasomaji

Hiyo tittle yako ingekuwa umechapa kitabu usingeuza unaona hata wasomaji humu hawajavutiwa


Mtu km mm ninayesoma vitabu nilipoona tu tittle tayari nikawa nimeimalizia simulizi yako kwenye fikra

Kwasababu mambo ambayo watu hawasahau zaidi ni yale ya kuumiza sana na kufurahisha zaidi

Kwenye Honeymoon mambo ambayo yanaweza yakakufanya usisahau ni

Mume wako kuacha kutokana na kukutana na kitu tofauti na matajirio yake

Mume wako kufa and so

So young lady,learn to create an interesting tittle
Story yako yenye title ya kuvutia iko wapi?

Wacha kujipa muhimu Kwa vitu havikuhusu
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 07

β€œ Paaaah!” Moyo wangu ulipiga.

β€œ Inmaaana anajua nilikuwa chumbani kwa kaka yake?” Nilijiuliza.

Nilimkodolea macho bila kuongea.

β€œ Mbona unanitazama hivyo?” Aliniuliza. Alinishika mkono na kunitikisa.

β€œ Kwani haukuwa chumba namba saba?”

β€œ A….aaaa…..”

β€œ Haina haja ya kuwa na kigugumizi. Ulikuwa chumba namba saba na Mke wa Kaka Gaby.”

β€œMke wa Gaby?” Niliuliza kwa mshangao.

β€œ Usimwite mke wa Gaby. Yule ni Dada yako. Mke wa kaka yangu ni Dada yako. Wewe na yeye inabidi muitane dada .” .

β€œ A..aaa…aaa….”

β€œMbona unashangaa sana. Au haukuwa chumba namba saba. Mimi najua ulikuwa na mke wa kaka Gaby. Alikuwa anakufundisha baadhi ya mambo. Kama hakuna ulilojifunza niambie nikamuulize.”

β€œ Nimejifunza.” Niliropoka kwa haraka.

β€œ Kanifundisha mengi.” Nilimwambia. Nilidanganya kwa makusudi. Maana Kama ningekataa angeenda kumuuliza Mke wa Gaby.Na kama angefanya hivyo, ukweli ungekuwa wazi. Ingefahamika sikuwa na mke wa Gaby mle ndani. Na kwakuwa Sam anajua nilikuwa mle ndani basi moja kwa moja angejua nilikuwa na kaka yake.

β€œKumbe umejifunza. Hiyo ndio faida ya uwepo wao.” Aliniambia.

Alinishika mkono. Kwa pamoja tukaelekea chumbani kwetu.

β€œ Nimesema uongo. Vipi kama Sam anajua nilikuwa na kaka yake? Huu sio mtego kweli?.” Nilijiuliza.

β€œ Acha nimuambie ukweli.” Nilijiambia. Nilimshika mkono.

β€œ Vipi?” Aliniuliza.

β€œ Kuna swala nataka nikuambie.”

β€œ Utaniambia chumbani.” Aliniambia. Alinishika mkono tukaelekea chumbani.

Tukiwa tunakaribia, tulikutana na Bamdogo akiwa na Mkewe.

β€œ Naomba nipeleke kaunta mara moja.” Mama mdogo alimwambia Sam . Bila kuniambia lolote Sam aliondoka na Mama Mdogo kuelekea kaunta. Waliniacha na Baba mdogo.

β€œ Ulinishutumu kwa vitu visivyokuwepo. Sikufika chumbani kwenu ,wala sikumpiga vibao Sam.” Aliniambia Baba Mdogo.

β€œ Mdanganye Sam. Mimi huwezi kunidanganya. Ulifika na nilikukwaruza na kucha zangu. Alama za kucha hizi hapa. Huu ni ushahidi tosha.”

β€œKama unaamini hivyo sawa. Sina la kufanya, ila ukweli sikuja chumbani kwenu. Kwanza nije kufanya nini? Na kwanini nimpige kibao Sam?” Aliniuliza.

β€œ Maswali unayoniuliza na mimi najiuliza . Nawaza kwanini ulifanya vile? Sababu yake ni nini?”

β€œ Ulikuwa unaota mwanangu. Sikuja chumbani kwenu wala sikumpiga Sam .” Aliniambia.

Kabla sijamjibu aliondoka. Aliniacha nimesimama.

β€œ Hawa watakuwa wananichezea akili. Bila shaka kuna mtihani wananipa. Ukute haya yote wanayafanya kwa makusudi” Niliwaza.

Niliusogelea mlango wa chumba chetu na kuufungua. Kabla sijaingia, alitokea mke wa Gaby akiwa anakimbia.Alinifata hadi mlangoni. Alinishika na kuanza kunipiga.

β€œ Eeeeh…” Niliduwaaa.

β€œ Paaa…….paaaa…” Alinipiga . Alinivamia na kuniangusha chini. Alikuja kunikalia kwa juu na kuendelea kunipiga.

β€œ Kosa langu nini?”

β€œUnajifanya haujui eeeh..haujiiiii…” Aliniuliza. Aliendelea kunipiga. Uvumilivu ulinishida. Niliamua kujibu mapigo. Tulipigana. Kama wake wenza tuliangushana na kugalazana.

β€œ Shenziiii..wewe…….”

β€œ Shenzi mwenyewe..” Nilimjibu. Nilimshika na kumlaza chini. Nilizishika nywele zake na kuzivutaaaa.

β€œ aaaa..aaaaaaaaa…….” Alipiga kelele.

Kelele zake ziliwashtua wahudumu.Walikuja kututenganisha.

β€œ mmmh…mmmmmh….” Nilihema juu juu .

Kwa mbali kwenye ile varanda alitokea Mama Mkwe akiwa na Sam.

β€œ Mnanitia aibu .Mnagombania nini?” Aliuliza.

β€œ Nitaongea yote Mama. Mke wa Sam sio mtu . Nitaongea kila kitu.” Aliongea Mke wa Gaby.
HAPPY NEW YEAR
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 07

β€œ Paaaah!” Moyo wangu ulipiga.

β€œ Inmaaana anajua nilikuwa chumbani kwa kaka yake?” Nilijiuliza.

Nilimkodolea macho bila kuongea.

β€œ Mbona unanitazama hivyo?” Aliniuliza. Alinishika mkono na kunitikisa.

β€œ Kwani haukuwa chumba namba saba?”

β€œ A….aaaa…..”

β€œ Haina haja ya kuwa na kigugumizi. Ulikuwa chumba namba saba na Mke wa Kaka Gaby.”

β€œMke wa Gaby?” Niliuliza kwa mshangao.

β€œ Usimwite mke wa Gaby. Yule ni Dada yako. Mke wa kaka yangu ni Dada yako. Wewe na yeye inabidi muitane dada .” .

β€œ A..aaa…aaa….”

β€œMbona unashangaa sana. Au haukuwa chumba namba saba. Mimi najua ulikuwa na mke wa kaka Gaby. Alikuwa anakufundisha baadhi ya mambo. Kama hakuna ulilojifunza niambie nikamuulize.”

β€œ Nimejifunza.” Niliropoka kwa haraka.

β€œ Kanifundisha mengi.” Nilimwambia. Nilidanganya kwa makusudi. Maana Kama ningekataa angeenda kumuuliza Mke wa Gaby.Na kama angefanya hivyo, ukweli ungekuwa wazi. Ingefahamika sikuwa na mke wa Gaby mle ndani. Na kwakuwa Sam anajua nilikuwa mle ndani basi moja kwa moja angejua nilikuwa na kaka yake.

β€œKumbe umejifunza. Hiyo ndio faida ya uwepo wao.” Aliniambia.

Alinishika mkono. Kwa pamoja tukaelekea chumbani kwetu.

β€œ Nimesema uongo. Vipi kama Sam anajua nilikuwa na kaka yake? Huu sio mtego kweli?.” Nilijiuliza.

β€œ Acha nimuambie ukweli.” Nilijiambia. Nilimshika mkono.

β€œ Vipi?” Aliniuliza.

β€œ Kuna swala nataka nikuambie.”

β€œ Utaniambia chumbani.” Aliniambia. Alinishika mkono tukaelekea chumbani.

Tukiwa tunakaribia, tulikutana na Bamdogo akiwa na Mkewe.

β€œ Naomba nipeleke kaunta mara moja.” Mama mdogo alimwambia Sam . Bila kuniambia lolote Sam aliondoka na Mama Mdogo kuelekea kaunta. Waliniacha na Baba mdogo.

β€œ Ulinishutumu kwa vitu visivyokuwepo. Sikufika chumbani kwenu ,wala sikumpiga vibao Sam.” Aliniambia Baba Mdogo.

β€œ Mdanganye Sam. Mimi huwezi kunidanganya. Ulifika na nilikukwaruza na kucha zangu. Alama za kucha hizi hapa. Huu ni ushahidi tosha.”

β€œKama unaamini hivyo sawa. Sina la kufanya, ila ukweli sikuja chumbani kwenu. Kwanza nije kufanya nini? Na kwanini nimpige kibao Sam?” Aliniuliza.

β€œ Maswali unayoniuliza na mimi najiuliza . Nawaza kwanini ulifanya vile? Sababu yake ni nini?”

β€œ Ulikuwa unaota mwanangu. Sikuja chumbani kwenu wala sikumpiga Sam .” Aliniambia.

Kabla sijamjibu aliondoka. Aliniacha nimesimama.

β€œ Hawa watakuwa wananichezea akili. Bila shaka kuna mtihani wananipa. Ukute haya yote wanayafanya kwa makusudi” Niliwaza.

Niliusogelea mlango wa chumba chetu na kuufungua. Kabla sijaingia, alitokea mke wa Gaby akiwa anakimbia.Alinifata hadi mlangoni. Alinishika na kuanza kunipiga.

β€œ Eeeeh…” Niliduwaaa.

β€œ Paaa…….paaaa…” Alinipiga . Alinivamia na kuniangusha chini. Alikuja kunikalia kwa juu na kuendelea kunipiga.

β€œ Kosa langu nini?”

β€œUnajifanya haujui eeeh..haujiiiii…” Aliniuliza. Aliendelea kunipiga. Uvumilivu ulinishida. Niliamua kujibu mapigo. Tulipigana. Kama wake wenza tuliangushana na kugalazana.

β€œ Shenziiii..wewe…….”

β€œ Shenzi mwenyewe..” Nilimjibu. Nilimshika na kumlaza chini. Nilizishika nywele zake na kuzivutaaaa.

β€œ aaaa..aaaaaaaaa…….” Alipiga kelele.

Kelele zake ziliwashtua wahudumu.Walikuja kututenganisha.

β€œ mmmh…mmmmmh….” Nilihema juu juu .

Kwa mbali kwenye ile varanda alitokea Mama Mkwe akiwa na Sam.

β€œ Mnanitia aibu .Mnagombania nini?” Aliuliza.

β€œ Nitaongea yote Mama. Mke wa Sam sio mtu . Nitaongea kila kitu.” Aliongea Mke wa Gaby.
HAPPY NEW YEAR

Mkuu happy new year 2024. Ungekuwa unatupia walau vipande viwil Au kimoja lakin kilichoshiba haswa, by the way Asante inavutia
 
NAJUTA KWENDA HONEY MOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU - 08
πŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯ΉπŸ₯Ή
β€œ Nitaongea yote Mama. Mke wa Sam sio Mtu . Nitaongea kila kitu.” Aliongea Mke wa Gaby .

Kauli yake ilinifanya niwe mdogo. Niliona mwisho wangu umefika.

β€œ Bila shaka amekuja kunivamia baada ya kujua nilichotaka kufanya na mumewe. Ndoa yangu inavunjikia honeymoon. Sam akijua hawezi kunisamehe.” Niliwaza

Kabla Mke wa Gaby hajaongea, nilipiga magoti na kumuomba msamaha Sam.

β€œ Nisamehee Sam. Nisameheeee. Nimekosaaa.Nisamehee sana ..” Nilimwambia.

β€œ Nitakusamehe vipi wakati sijui kosa lako? Ngoja shemeji aongee.” Aliongea Sam.

β€œ Kuna nini?” Aliuliza Gaby. Alitokea nyuma ya Mama Mkwe.

β€œ Mkeo alikuwa anapigana na Mke wa Sam.” Aliongea Mama Mkwe.

β€œ Aaaah!” Alistaajabu Gaby. Alitembelesha mpaka tulipo. Alimshika mkewe na kumshushia kipigo. Sam aliingilia kati . Alimtenganisha kaka yake na mkewe.

β€œ Unafanya nini brooo? Mke hapigwi bana.” Aliongea Sam.

Gaby alimtaka Sam hamuache. Sam alimuacha. Gaby alimshika mkewe na kuondoka naye. Njia nzima alimuonya na kumtaka kuwa na adabu. Mkewe aliomba samahani.

Baada ya Gaby na mkewe kuondoka. Sam alinigeukia.

β€œ Mlikuwa mnapigania nini?” Aliniuliza.

β€œ Achana naye. Baadae tutakuwa na kikao. Wataarifu ndugu wengine. Asikose mtu.” Aliongea Mama Mkwe. Hakukaa. Pale pale aliondoka.

β€œ Haukupaswa kupigana naye. Kama amekukera ungemshtaki. Yule ni kama dada yako. Ni mkubwa kwako.” Aliniambia Sam.

β€œNilikuwa najilinda.”

β€œ Hata kama. Kwa ilivyo wewe ndiye utaonekana mbaya.Na ikiwa hivyo adhabu yake ni kubwa. Inaweza kugharimu maisha yako .” Aliniambia.

Aliondoka na kuniacha nimesimama peke yangu.

…………………………

β€œ Kwanini alinivamia? Au amejua nilitaka kuzini na Mumewe?” Nilijiuliza.

β€œ Mmmh! Ikiwa hivyo ndoa yangu imefika mwisho. Sam hawezi kunisamehe.” Nilijiambia.

Nilijaribu kutafuta njia ya kujiokoa.

β€œ Lakini Gaby hawezi kumuacha mkewe haongee . Hawezi kukubali mkewe amgombanishe na mdogo wake.” Niliwaza.

β€œ Pamoja na hivyo, acha nikamuombe msamaha mke wa Gaby. Niongee naye kabla hajamwaga mchele.” Niliwaza. Nilisimama na kutoka chumbani. Nikiwa kwenye mlango wa Chumba nilichukua simu na kumpigia. Nilimuomba tuonane.

Alikubali.

Aliniambia yupo nje. Nilitoka kumfata.

Nilimkuata amekaa kwenye viti nje. Nilimfata.

β€œ Nakusikiliza. Umeniambia unashida.” Aliniambia.

β€œ Ndio. Nina shida kubwa . Ni hivi, Kama utaongea sababu ya ugomvi wetu naweza kufukuzwa. Ndoa yangu inaweza kuisha.” Nilimwambia.

β€œ Kwahiyo?”

β€œ Kwahiyo nakuomba usiongee ukweli. Naomba usiwaambie sababu ya ugomvi wetu.”

β€œ Unajua chanzo cha kukuvamia na kukupiga?” Aliniuliza.

β€œ Sijui, ila nazani ni……..” Kabla sijaongea alitokea Mama Mkwe. Alitusogelea. Alituambia hatutakiwa kuwa pamoja . Alisema hatutakiwa kuongea lolote mpaka kikao cha baadae. Alitutaka tuondoke na kurudi vyumbani mwetu.

Tuliondoka. Mke wa Gaby alienda chumbani kwake. Nami nilienda chumbani kwangu.

………………………..

Saa moja jioni ,tulikusanyika sehemu moja.

β€œ Sababu ya kukusanyika hapa ni kuzungumzia ugomvi wa Mke wa Gaby na Mke wa Sam.” Aliongea Mama Mkwe.

β€œ Lakini Kabla hatujawapa nafasi ya kuongea, acha niseme hili. Binafsi nimefanya tafiti na kujua chanzo cha ugomvi. Na kwakuwa nimejua chanzo sioni sababu yakuendelea kuongea.”

β€œ Chanzo nini?” Aliuliza Sam.

β€œ Chanzo ni Mimi na Baba yako. Pia chanzo ni ndugu wote tuliokuwepo hapa. Tunafanya mambo yanakuwa magumu . Sasa nimeamua. Tutakaa hapa siku mbili, baada ya hapo tutaondoka. Tutamwacha Sam na Mkewe.”

β€œ Na kwakuwa tutaondoka ndani ya siku mbili. Naomba kila mwenye majukumu hayatimize haraka..” Aliongea.

Ndugu wote walitikisa vichwa vyao.

Aliendelea.

β€œ Wote wenye majukumu muwachukue watu wenu..” Aliwaambia.

Mke wa Gaby alisimama na kunifata, alinishika mkono na kunitaka nimfate.

β€œ Afadhali nimalize majukumu yangu niondoke.” Aliniambia.

β€œ Mmmmh! mbona wananichanganya hawa? Majukumu gani waliyokuwa nayo?” Nilijiuliza.
Leo nime waunga watu 300 kwenye group la whatpp bure kama sijakuunga emb nitext now whatpp 0768315707[emoji4][emoji3590][emoji432][emoji120]
 
NAJUTA KWENDA HONEYMOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 09
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji174]
β€œ Afadhali nimalize majukumu yangu niondoke.” Aliongea Mke wa Gaby.

β€œ Mmmmh! mbona wananichanganya hawa? Majukumu gani waliyokuwa nayo?” Nilijiuliza.



β€œ Majukumu gani Dada!” Nilimuuliza.

Hakunijibu. Alinitaka nimfate bila kumuuliza maswali. Nilimfata . Hatua kadhaa mbele niligeuka nyuma .Nilimuona Sam akiondoka na kaka yake Gaby.

Tuliingia ndani. Moja kwa moja tulienda chumba namba saba.

β€œ Karibu!” Aliniambia.

Niliingia . Nilikaa kitandani na kuangaza macho kila pande.

β€œ Unashangaa nini? Hiki chumba tumekodiwa Mimi na Mume wangu. Na hiki ni kitanda ambacho nakitumia na Mume wangu. Lakini najua, wewe humu sio mgeni.” Aliniambia.

Kauli yake ilimaanisha anajua kilichotokea.

β€œ Nisamehe Dada. Lakini ujue hakuna baya nililolifanya na mumeo.” Nilimwambia. Aliniangalia bila kunijibu lolote. Alinishika mkono na kunitaka twende bafuni.

β€œ Inabidi ujisafishe. Mwili wako inabidi uwe safi .” Aliniambia.

Sikushangaa. Nilisimama na kuingia bafuni. Ajabu, naye aliingia.

β€œ Vipi?” Nilimuuliza.

β€œ Vipi nini?” Naye aliniuliza. Alishika Top yangu na kunifungua zipu.

β€œ Nitavua mwenyewe .” Nilimwambia.

β€œ Jukumu langu la kwanza ni kuhakikisha upo safi.”

β€œ Ndio kazi uliyopewa?”

β€œ Hapana. Majukumu aliyonipa sio haya. Haya ni maandalizi tu . Jukumu lenyewe linakuja.” Aliniambia huku akinivua nguo. Baada ya kunivua naye alivua nguo zake zote.

Alichukua sabuni na kunipaka sehemu mbali mbali za mwili wangu.Baada ya kunipaka alijipaka na yeye. Alifungulia maji na kunisafisha. Alinisafisha huku akinielekeza.

β€œ Hizi dharau gani ? Inamaana wanadhani sijui kuoga?” Niliwaza moyoni. Uvumilivu ulinishinda. Niliona dharau zimezidi. Nilimshika mikono na kumtaka aniache. Nilimwambia nitaoga mwenyewe

Alinikatalia. Kata kata alikataa. Aliendela kunisafisha huku akijisafisha na yeye. Alinisafisha kiungo kimoja kimoja.

Saa moja mbele tulimaliza. Tulitoka bafuni. Alifungua begi lake na kutoa vipodozi. Alinipaka sehemu mbali mbali za mwili wangu. Pia alijipaka . Kila alichonifanyia ,alijifanyia pia.

Alifungua begi lingine na kutoa sex dress mbili. Alinipa moja nikavaa .Naye akavaa moja.

β€œ Mimi na wewe tumeolewa kwenye hii familia. Hatutakiwi kuwa na maswali mengi. Pia yatupasa kufanya kile tunachoambiwa.” Aliniambia. Alifungua begi tena na kutoa vitambaa vidogo viwili.

Alinifunga machoni.

β€œ Unaenda kukutana na mumeo. Hautakiwa kutoa icho kitambaaa.” Aliniambia.

β€œ Kwanini nisitoe?”

β€œ Ni mila. Haupaswi kukitoa. Kama utakitoa utaleta mkosi mkubwa .Mumeo naye atakuwa kafungwa kama wewe, naye hataruhusiwa kukitoa.” Aliniambia.

Aliniambia nisiondoke mle ndani na wala nisifunguwe kitambaa mpaka mume wangu atakapokuja.

Aliondoka.

………………

Hazikupita sekunde tatu mlango ulifunguliwa. Aliingia mtu na kuja kunivamia kitandani. Alinibusu na kunipapasa sehemu mbali mbali za mwili wangu.

β€œ Huyu si mume wangu! Huyu sio Sam.” Niliwaza. Nilikishika kitambaa kichwani na kutaka kukitoa. Kabla sijakitoa nilikumbuka onyo nililopewa.

β€œ Kamwe usije kukitoa kitambaa.” Niliyakumbuka maneno ya Mke wa Gaby.

β€œ Lakini Huyu Sio Sam. Siwezi fanya Mapenzi na mtu mwingine tofauti na Mume wangu.” Niliwaza. Nilikishika kitambaa na kutaka kukitoa.
Leo nime waunga watu 300 kwenye group la whatpp bure kama sijakuunga emb nitext now whatpp 0768315707[emoji4][emoji3590][emoji432][emoji120]


Pia
Gusa link hapa uiskilize chap simulizi ya sauti uenjoy
[emoji9][emoji432][emoji444][emoji116]

View: https://youtu.be/V5okAj_8Glk

Usisahau ku subscribe......
 
NAJUTA KWENDA HONEYMOON- NILICHOFANYIWA SITAKUJA KUSAHAU – 09
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji174]
β€œ Afadhali nimalize majukumu yangu niondoke.” Aliongea Mke wa Gaby.

β€œ Mmmmh! mbona wananichanganya hawa? Majukumu gani waliyokuwa nayo?” Nilijiuliza.



β€œ Majukumu gani Dada!” Nilimuuliza.

Hakunijibu. Alinitaka nimfate bila kumuuliza maswali. Nilimfata . Hatua kadhaa mbele niligeuka nyuma .Nilimuona Sam akiondoka na kaka yake Gaby.

Tuliingia ndani. Moja kwa moja tulienda chumba namba saba.

β€œ Karibu!” Aliniambia.

Niliingia . Nilikaa kitandani na kuangaza macho kila pande.

β€œ Unashangaa nini? Hiki chumba tumekodiwa Mimi na Mume wangu. Na hiki ni kitanda ambacho nakitumia na Mume wangu. Lakini najua, wewe humu sio mgeni.” Aliniambia.

Kauli yake ilimaanisha anajua kilichotokea.

β€œ Nisamehe Dada. Lakini ujue hakuna baya nililolifanya na mumeo.” Nilimwambia. Aliniangalia bila kunijibu lolote. Alinishika mkono na kunitaka twende bafuni.

β€œ Inabidi ujisafishe. Mwili wako inabidi uwe safi .” Aliniambia.

Sikushangaa. Nilisimama na kuingia bafuni. Ajabu, naye aliingia.

β€œ Vipi?” Nilimuuliza.

β€œ Vipi nini?” Naye aliniuliza. Alishika Top yangu na kunifungua zipu.

β€œ Nitavua mwenyewe .” Nilimwambia.

β€œ Jukumu langu la kwanza ni kuhakikisha upo safi.”

β€œ Ndio kazi uliyopewa?”

β€œ Hapana. Majukumu aliyonipa sio haya. Haya ni maandalizi tu . Jukumu lenyewe linakuja.” Aliniambia huku akinivua nguo. Baada ya kunivua naye alivua nguo zake zote.

Alichukua sabuni na kunipaka sehemu mbali mbali za mwili wangu.Baada ya kunipaka alijipaka na yeye. Alifungulia maji na kunisafisha. Alinisafisha huku akinielekeza.

β€œ Hizi dharau gani ? Inamaana wanadhani sijui kuoga?” Niliwaza moyoni. Uvumilivu ulinishinda. Niliona dharau zimezidi. Nilimshika mikono na kumtaka aniache. Nilimwambia nitaoga mwenyewe

Alinikatalia. Kata kata alikataa. Aliendela kunisafisha huku akijisafisha na yeye. Alinisafisha kiungo kimoja kimoja.

Saa moja mbele tulimaliza. Tulitoka bafuni. Alifungua begi lake na kutoa vipodozi. Alinipaka sehemu mbali mbali za mwili wangu. Pia alijipaka . Kila alichonifanyia ,alijifanyia pia.

Alifungua begi lingine na kutoa sex dress mbili. Alinipa moja nikavaa .Naye akavaa moja.

β€œ Mimi na wewe tumeolewa kwenye hii familia. Hatutakiwi kuwa na maswali mengi. Pia yatupasa kufanya kile tunachoambiwa.” Aliniambia. Alifungua begi tena na kutoa vitambaa vidogo viwili.

Alinifunga machoni.

β€œ Unaenda kukutana na mumeo. Hautakiwa kutoa icho kitambaaa.” Aliniambia.

β€œ Kwanini nisitoe?”

β€œ Ni mila. Haupaswi kukitoa. Kama utakitoa utaleta mkosi mkubwa .Mumeo naye atakuwa kafungwa kama wewe, naye hataruhusiwa kukitoa.” Aliniambia.

Aliniambia nisiondoke mle ndani na wala nisifunguwe kitambaa mpaka mume wangu atakapokuja.

Aliondoka.

………………

Hazikupita sekunde tatu mlango ulifunguliwa. Aliingia mtu na kuja kunivamia kitandani. Alinibusu na kunipapasa sehemu mbali mbali za mwili wangu.

β€œ Huyu si mume wangu! Huyu sio Sam.” Niliwaza. Nilikishika kitambaa kichwani na kutaka kukitoa. Kabla sijakitoa nilikumbuka onyo nililopewa.

β€œ Kamwe usije kukitoa kitambaa.” Niliyakumbuka maneno ya Mke wa Gaby.

β€œ Lakini Huyu Sio Sam. Siwezi fanya Mapenzi na mtu mwingine tofauti na Mume wangu.” Niliwaza. Nilikishika kitambaa na kutaka kukitoa.
Leo nime waunga watu 300 kwenye group la whatpp bure kama sijakuunga emb nitext now whatpp 0768315707[emoji4][emoji3590][emoji432][emoji120]
 
Back
Top Bottom