General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,868
- 2,210
Nishapita nayo mkuuBoss mzigo tayari..nakala uione kwenye jalada
Umejitahidi kuelezea vizuri japo hawakosekani wale wajuajiSawa boss
mimi natokea kwa mbeza, unapafahamu mkuu?Wewe ndugu unatokea kwa nani hapo Butuguri?
butuguri huko huko karibu na masurula.Mbeza ni maeneo gani boss...bado sijapafahamu?
sawa mkuu..mimi ndio wa hukoMasurula napajua pale mnadani...mpaka kisamwene
yeah..ni member mkuuππ Mkuu kumbe ndio maana umejipa hii username?
Wewe ndugu yangu sana chiefu, karibu mno huku sitimbi..
.vijana wameanzisha page yao huko fb "Butuguri yetu" nadhani ni member kule.
UtajiriDuuuh kwa hiyo akachagua nini?