MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

Mkuu hope jibu lako umelipata sasa
Nimesoma story yako yote ila sijaona sehemu mama mkubwa wa joseph alizisaga vp lin au ilikuwaje yan kisa cha huyo mama mchawi sijakiona naamini ukiongezea bandiko kuhusu hyu mama mchawi stori itaendelea kuwa na funzo zaidi kwenye haya maisha tunayoishi
 
Leo ntauliza niko maeneo haya haya...ila mie sio sijaamini naamini ni kweli..maana watu wa huku ambaye haparticpate kwa waganga nadhan wakuhesabu! Funzo kubwa hili
Pamoja na hilo la kuparticipate kwa waganga, tatizo kubwa ni huyo anayetafuta utajili hana mfumo wa kuuendesha na ndiyo maana wengi uambulia haibu na fedhea kwa baadaye,

Watu wengi hasa (mnaowaita matajili) wanatumia ndumba siyo kidogo ni sana, ila wana fuata nji sahihi ya waliowapa ndumba na hao watu wanafahamika wengine wapo bungeni wengine wapo mtaani nk.

Na kuna tatizo la ujinga, uafrika na elimu vyote hivyo vinachangia pakubwa kukosa mfumo mzuri na ndiyo maana wengi uishia haibu na kufa vibaya huku unaacha jamii ikikosa muelekeo.
 
Nimesoma story yako yote ila sijaona sehemu mama mkubwa wa joseph alizisaga vp lin au ilikuwaje yan kisa cha huyo mama mchawi sijakiona naamini ukiongezea bandiko kuhusu hyu mama mchawi stori itaendelea kuwa na funzo zaidi kwenye haya maisha tunayoishi
Soma POST namba 127 nilimjibu mdau aliyeuliza Kama wewe.
Nilisahau kuandika jana kwenye andiko
 
Mkuu ndani ya mwaka huu nimepanga nikatembelee home(kiabakari) baada ya miaka 14 ,Mungu akijaalia ntafika huko nikashuhudie ma don
Hahah hata ukanda wenu hapo kiabakari wapo mbona mkuu...

Karibu umpigie kampeni wakuru magige achukue viatu vya mkono
 
Nigga umenikumbusha far sana Mimi naishi Kijiji Cha pili Butuguri hii habari ni ya kweli na naikumbuka lakini hapo kwenye huo umbali aliotoa umeme sidhani Kama ni sahihi.




Nakumbuka mbunge mkono alikuwa kwenye harakati za kuleta umeme pale Kijijini huyo dogo akaona anacheleweshwa akawafuata tanesco mwenyewe na umeme ulitolewa kiabakari.




Dogo Alikuwa na dharau sana kuna siku tulikuwa wote na ndugu yake wa baba yake mkubwa hapo centre wakawa wanabishana kuhusu utajiri yule ndugu yake akamwambia Mimi sibishani na wewe kwa sababu pesa zangu nazitafuta kwa akili na zako ni za ulozi habari ikaishia hapo.

R.I.P mzee Nyanda na mzee Nyakangala
Wewe ndugu unatokea kwa nani hapo Butuguri?
 
Utajiri wa PUNJE ni mbaya sana,kuna jamaa sasa ni apeche alolo mwanzoni alikuwa na MTONYO hatari MANSION la hatari Mkewe alikuwa anatembelea BIMA ila sasa jamaa analala Chumba Kimoja.
Kuna mmoja ni Don ana matruck Kama zote lkn Hana mtoto wa kuja kurithi,kwa maana aliuza kizazi chake kwa shetani,kaenda kuomba apewe mtoto kaambia achague apate mtoto au arudishe utajiri wao
 
Ni chama gani kwanza huyo wakuru
Wakuru Magige humjui pale kiabakari ?

ni Makamu wa chuo Muccob baadae akapewa ukurugenzi wa bodi ya korosho kabla ya kutolewa...jirani yake IGP sirro pale kiabakari
 
Kuna mmoja ni Don ana matruck Kama zote lkn Hana mtoto wa kuja kurithi,kwa maana aliuza kizazi chake kwa shetani,kaenda kuomba apewe mtoto kaambia achague apate mtoto au arudishe utajiri wao
Duuuh kwa hiyo akachagua nini?
 
Mkuu huko nimeondoka 2007 mpaka leo hii ckuwah kurud
Wakuru Magige humjui pale kiabakari ?

ni Makamu wa chuo Muccob baadae akapewa ukurugenzi wa bodi ya korosho kabla ya kutolewa...jirani yake IGP sirro pale kiabakari
 
So wakuru ni jembe na nyundo
Wakuru Magige humjui pale kiabakari ?

ni Makamu wa chuo Muccob baadae akapewa ukurugenzi wa bodi ya korosho kabla ya kutolewa...jirani yake IGP sirro pale kiabakari
 
Back
Top Bottom