Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mwingine...nnao wengi!Uko active, dk0 ushalike na kujibu?
Ni yule tulieenda siku ile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingine...nnao wengi!Uko active, dk0 ushalike na kujibu?
Ni yule tulieenda siku ile?
Ushanishinda tabia sasaMwingine...nnao wengi!
Wee!Ushanishinda tabia sasa
Geita kwema?Wee!
Nimehama huko ht sijuiGeita kwema?
UVumilie tuTukubali tukatae ulozi upo shida Sasa ni utajiri wa masharti🤔
Eheeee ndio maana sikuwezi, uko wapi tena?Nimehama huko ht sijui
XirariEheeee ndio maana sikuwezi, uko wapi tena?
Mimi lazma unipeleke siwezi kukubali walaiUVumilie tu
Wewe shida yako ni kutoroka hii nchi unataka kuzamia kenya?Xirari
TwendeMimi lazma unipeleke siwezi kukubali walai
Nshawahama na linchi lenuWewe shida yako ni kutoroka hii nchi unataka kuzamia kenya?
Umesoma yoteWalokole hamtakiwi hapaí ½í¸! Maliza mkuu!
😳😳😳Nshawahama na linchi lenu
Ndiyo mkuuUmesoma yote
Ha ha ha aseeAu ni wewe nini? Kwenye jina lako la mwanzo ukiondoa "a" ndio jina lake halisi[emoji1][emoji1]
Vipi kuhusu nyumba za pale kwao ziliuzwa nazo?Nigga umenikumbusha far sana Mimi naishi Kijiji Cha pili Butuguri hii habari ni ya kweli na naikumbuka lakini hapo kwenye huo umbali aliotoa umeme sidhani Kama ni sahihi.
Nakumbuka mbunge mkono alikuwa kwenye harakati za kuleta umeme pale Kijijini huyo dogo akaona anacheleweshwa akawafuata tanesco mwenyewe na umeme ulitolewa kiabakari.
Dogo Alikuwa na dharau sana kuna siku tulikuwa wote na ndugu yake wa baba yake mkubwa hapo centre wakawa wanabishana kuhusu utajiri yule ndugu yake akamwambia Mimi sibishani na wewe kwa sababu pesa zangu nazitafuta kwa akili na zako ni za ulozi habari ikaishia hapo.
R.I.P mzee Nyanda na mzee Nyakangala
Mimi imenishindaNdiyo mkuu
Ha ha ha usiiogope 40,Hata mimi.[emoji3][emoji3]
Ndio maana nikasema ikitokea 40 imefika halafu bado.