MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

Na lazima awe wa karibu akuume.....

Shetani ana majaribu mabaya sana.

Mzazi wako kakuleta duniani na amekupa love kesho anakuwa kafara....

So sick n so sad...
kweli boss, ni jambo baya sana sema tunatofautiana maamuzi wengine wanaona ni jambo la kawaida
 
Zima data kama inaboa
 
Mkuu nimesoma kwa makini sana simulizi hii.Uchawi upo na ushirikina umetamalaki.Kuna matajiri wengi utajiri wao ni wa punje.
nataka kufahamu uhusiano uliopo kati ya utajiri na ulozi? unaweza kunielezea mkuu.
au Mshana Jr hebu njoo saidia hili.
 
tumalizie bc hayo aliyoyaacha mwamba
 
Sasa Diana Spencer pesa si zipo kwa mganga, shida nini Hapo? Kama home Kuna watu 6 wamekaa kihasara hasara unamtoa mmoja kwa faida ya wengine😃😃


ONYO:
Usije kupractice huu utani😃
Ni upuuzi mtupu!!
Hata niambiwe nimtoe ndugu anayepigania maisha yake ICU siwezi fanya huo upumbavu.
 
Dah huu mkasa unaskitisha sana na kufunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…