Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ndio mkuu wale mapacha wa Violet!Masikini, kumbe kuna harusi ya vijana wake mwaka huu. Sijui hii familia itakuwa imeumia kiasi gani, msiba usikie kwa jirani tu. 😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu wale mapacha wa Violet!Masikini, kumbe kuna harusi ya vijana wake mwaka huu. Sijui hii familia itakuwa imeumia kiasi gani, msiba usikie kwa jirani tu. 😢
Aiseeee inaumiza sana, kweli hakuna aneijua kesho yake.Ndio mkuu wale mapacha wa Violet!
Kaka hapa umeniacha, mwingine nani tena???Pole kwa familia, kwa kupoteza watu wawili katika kipindi kifupi. Mwenyezi Mungu awatie nguvu.
Juzi juzi hapa Cousin Alifiwa na mamamkwe wake!! Yani mama wa mkewe!Kaka hapa umeniacha, mwingine nani tena???
Daaah! Mbona hii ilinipita?, masikini Rose atakuwa na wakati mgumu sana kwa kweli. Mama kabla hajapumzika mume nae. Ohh God.Mwezi march Cousin Alifiwa na mamamkwe wake!! Yani mama wa mkewe!
Acha tu mkuu ni uchungu na huzuni na masikitiko sanaa!😭Daaah! Mbona hii ilinipita?, masikini Rose atakuwa na wakati mgumu sana kwa kweli. Mama kabla hajapumzika mume nae. Ohh God.
Ukiachana na kifo cha Leadermoe, si nimeona pia taarifa za kifo cha mkewe? Au Mimi ndio nachanganya madesa?Juzi juzi hapa Cousin Alifiwa na mamamkwe wake!! Yani mama wa mkewe!
Kwa kweli, kama kuna mtu unapaswa kumthamini, inabidi kufanya hivyo ukiwa nae, maana baada ya hatua mbili huwezi jua yeye au wewe utapatwa na nini. Tunapswa kuishi kwa upendo.Acha tu mkuu ni uchungu na huzuni na masikitiko sanaa!😭
Mkewe? Hapana utakua umechanganya madesa aposto!!Ukiachana na kifo cha Leadermoe, si nimeona pia taarifa za kifo cha mkewe? Au Mimi ndio nachanganya madesa?
Kwakweli mkuu!Kwa kweli, kama kuna mtu unapaswa kumthamini, inabidi kufanya hivyo ukiwa nae, maana baada ya hatua mbili huwezi jua yeye au wewe utapatwa na nini. Tunapswa kuishi kwa upendo.
Masikini , nilivyokuona hapo juu unasema habari ya mama mkwe , nimeumia zaidi maana nikajua hujui .Mkewe???? Hapana utakua umechanganya madesa aposto!!
Kaka wao ni wao, hii tarifa ni ya kweli?? 😭😭Masikini , nilivyokuona hapo juu unasema habari ya mama mkwe , nimeumia zaidi maana nikajua hujui .
Pole Antonnia mkewe @ledadermoe aitwaye rosmariini kwa hapa jamvini hatunaye tena .
Pole sana inauma , inaumiza , inatesa , niko very frustrated sikuwaza Gibson kuondoka mapema hivi na shemeji kumfuata kwa huu mda .
Hakika kwake tutarejea [emoji24][emoji24]
Taarifa niliyoona hapa jamvini Inasema Rosmariin mkewe Leadermoe nae hatunae. Au 🤷♂️🤷♂️
Taarifa aliitoa Gily ndio. Pia akatuma na screenshot huko juu ya alivyotaarifiwa na watoto wa marehemuKaka wao ni wao, hii tarifa ni ya kweli?? 😭😭
Jessusssss😳😳😳😳😳!!Masikini , nilivyokuona hapo juu unasema habari ya mama mkwe , nimeumia zaidi maana nikajua hujui .
Pole Antonnia mkewe @ledadermoe aitwaye rosmariini kwa hapa jamvini hatunaye tena .
Pole sana inauma , inaumiza , inatesa , niko very frustrated sikuwaza Gibson kuondoka mapema hivi na shemeji kumfuata kwa huu mda .
Hakika kwake tutarejea [emoji24][emoji24]