Staged how? Walikuwa ni mke na mume, so it's nomo wao kujoin kwenye platform pamoja, especially kama walikuwa nje ya nchi, hii ilikuwa ni njia ya kuwa connected na TzHii habari iko kama stage managed, account zote mbili zimeingia JF, 2017,,
Something fishy
Yanii nilikua sijausoma uzi alopost Gil ndio nimeupitia Saivi nakuona ni simanzi juu ya simanzi 😭😭😭!!Rose amefariki pia 😭 😭
Tumuombee mtoto Eila.......anapita kwenye wakati mgumu mno
Kha! Kweli Jamii Forum Kuna viumbe mbona mie na mume wangu tukijiunga Instagram kwa wakati mmoja!!!Hii habari iko kama stage managed, account zote mbili zimeingia JF, 2017,,
Something fishy
AminKiukweli jana sijapata usingizi kabisa leo tena na habari za rosemarry kufariki mmenikata maini kabisaa. Yaan within one week mme na mke jamani nimejikuta chozi limenidondoka siku yangu imevurugia eeh mola wangu mpendwa wapokee viumbe hawa wako kwa mikono yako miwili, ijaze familia yao nguvu,faraja na amani ktk kipindi hiki kigumu wapumzike kwa amani AAMIN.
Simu ya mama yao wanayo. Huko hospital alikuw na wanae wawili. Mama yake alitoka kumpoteza mama yake mzazi kwa hiyo hakushauriwa kwenda.
Sasa watu wanatuma ujumbe kule wanapata notifications ndipo kwa account ya mama yao wakanijulisha kafariki. Watoto wanajua kuhusu mimi.
hakijaaribuka kitu, mimi ni msemaji tu hapa JF. Watoto nao wako uko nchi ya watu Turkey Sasa nimewaomba ndugu wawatafute JF uongozi wawajulishe kuweni na uvumilivu. .
Na ww umehisi jambo ambalo nami nalihisiHii habari iko kama stage managed, account zote mbili zimeingia JF, 2017,,
Something fishy
Sio vbaya mtu akahisi jambo la tofautiKha! Kweli Jamii Forum Kuna viumbe mbona mie na mume wangu tukijiunga Instagram kwa wakati mmoja!!!
Kijana unajitahidi kua na intelijensi nzuriHapa there is something going on back stage.
Mmmh Comeon lets think outside the box
MUda ni rafiki mzurimmmh mzee mbona kama kuna ka mchezo.
mara watoto wakaona notifications, mara wanajua kuhusu wewe! kwenye akaunti ya kiongozi au akaunt ya mama yao????
Something fishy here
Kijana unajitahidi kua na intelijensi nzuri
MUda ni rafiki mzuri
Chumvi zpo nyingi nimeisoma vzurTatizo la stori nyingi huwa zinateka hisia za watu na mwishoni huamua mambo kwa emotions.
ila ukiisoma hii stori na mtiririko wa matukio kwa kichwa kizuri utagundua hapa kuna some sort of drama.
Ila inahitaji watu wenye kipawa cha hali ya juu cha kun’gamua mambo
Chumvi zpo nyingi nimeisoma vzur