Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Hapa there is something going on back stage.

Mmmh Comeon lets think outside the box

Nilikuwa nasikia Jamiii Forum Kuna watu wa ajab Leo nimeamini mtu ajizushie kifo au familia yake izushe kifo ili iweje!!??? usilolijua ni sawa na usiku wa Giza watu wangapi wanakufa na wapendwa wao,Kuna watu wanaishi kwa mapenzi na urafiki mtu anashinda himili uchungu wa kumpoteza mpendwa wake wengine wanapata msongo wa mawazo/depression wengine ndio kifo presha inawasumbua inawapelekea kifo.
 
Hii quote yake nitaiishi daima "Keep your life profile low, be straightforward, be humble and get yourself out of trouble, enjoy life".
Mimi pia nili screen shot kumbe alikuwa anaaga kwa kumaanisha
 

Attachments

  • Screenshot_20230503-112928.jpg
    224.3 KB · Views: 33
Jamaa alkua vzuri kwenye kupangilia script pia
 
Kuna watu vilaza embu FUTA hio Nshomile Aisee unatia aibu Wahaya alishasema mmiliki ni Netflix ananpost humu 30% kitabu 70% anapost hapa hata Netflix alowaambia na kuwatumia link waone.
 

wewe kaa pembeni, huna kichwa cha kuchambua mambo kwa dakika 5 mbele.

Huna akili hiyo, Hata niingeelezea hapa kila details ya kwanini nasema hii ni staged huwez kunielewa

Umenielewa bwana mdogo?
 
Kuna watu vilaza embu FUTA hio Nshomile Aisee unatia aibu Wahaya alishasema mmiliki ni Netflix ananpost humu 30% kitabu 70% anapost hapa hata Netflix alowaambia na kuwatumia link waone.

Wewe kichwa panzi, huwez kukataa kuwa wapo waliokuzidi uwezo wa akili na namna ya kufikiri na miongoni mwao ni mimi.

huna utashi wa kufiki sawa?

Aya kojoa ukalale
 
mmmh mzee mbona kama kuna ka mchezo.

mara watoto wakaona notifications, mara wanajua kuhusu wewe! kwenye akaunti ya kiongozi au akaunt ya mama yao????


Something fishy here
Gily alizoeana na marehemu kutokana na ucheshi wake na wakawa wanaongea mbalimbali haswa afya yake mpaka na mkewe na wanae akawajulisha kuhusu uwepo wa Gily ikitokea lolote basi Gily ndo atakae julisha wadau wake wa hapa Jamii Forum na mkewe alikuwa akimpa update Gily hata mtoto wake wa kiume alifunga safari kwenda huko lakini presha ikamsumbua ikapelekea Mama Yao kupoteza maisha hivyo watoto walikuwa na simu ya mama yao wakaitumia kutoa taarifa na Baada ya Gily kuwaomba wafanye hivyo sababu watu wengine wa hovyo walikuwa wakim attack Gily akawaomba waandike wao wenyewe.
 

unaonekana wewe ndo msemaji wa huyo Gily

umetoa maelezo kuliko hata huyo Gily.

yani mama afariki kwa presha afu mtoto achukue simu aanze kumtumia ujumbe gily kuwa sasa hv mama amefariki
huo muda unatoka wapi ?


Kijana umekamatika kwa uongo aisee,, tena wewe ndo bonge la muongo.

Acha ujinga hatudanganyiki
 
wewe kaa pembeni, huna kichwa cha kuchambua mambo kwa dakika 5 mbele.

Huna akili hiyo, Hata niingeelezea hapa kila details ya kwanini nasema hii ni staged huwez kunielewa

Umenielewa bwana mdogo?
Mjinga mpe cheo na ukibishana na mpumbavu mpumbavu utakuwa wewe,kaa na ujinga wako embu nienzi ushauri wa marehemu moja wapo aliniambia J.F Kuna watu wa Kila aina na upeo wa kila aina daima jiepushe na majibuzano yasio na lazima moja ya kauli ya andiko lake la mwisho be humble stay out of trouble enjoy life.
 

Kushikwa akili ni dalili ya kudhihirisha ujinga wako.

Huwez hata kutumia hizo akili zako kiduchu

We tuambieni hii Movie inatoka lini na itakuwa streaming netflix lini???
 
Kila mmoja ana namna yake na Mungu anavyo mpa nguvu nilifiwa na Mama yangu kipenzi wakati ma Dr wanipa taarifa walishangaa nilivyokuwa strong sikulia nikamshukuru Mungu nikaomba nimuone kabla hajapelekwa chumba Cha kuhifadhi maiti NIKAMUOMBEA Dua Mama yangu kipenzi Kisha nikawa napigia simu ndugu jamaa na marafiki kuwajulisha nikaingia social media FB na Instagram kuwapa watu taarifa ndugu jamaa na marafiki na taarifa za msiba ratiba,Kila mmoja ana namna yake ya ku handle jambo.siku njema.
 

Huyo mtoto unayemsema ana misiba miwili apo mama na baba afu unasema anakuwa strong

Ndugu ngumu
 
Huyo mtoto unayemsema ana misiba miwili apo mama na baba afu unasema anakuwa strong

Ndugu ngumu
Nshomile wa Muleba na Nourhan
Wakuu tusifanye mambo yakawa mengi sana, ukweli wanaujua wahusika. Sisi wengine tuna haki ya kukubaliana nao au kukataa, ila tusijiaminishe kuwa haiwezekani. Yawezekana kuwa kweli na yawezekana kuwa uongo.
 
Nashauri tu mkuu.
Kama haya uliyoandika hapa yalikuwa makubaliano yenu PM au njia yoyote ile unakosea kuyaleta hapa jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…