Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Hapa there is something going on back stage.

Mmmh Comeon lets think outside the box

Huyu jamaa yawezekana yuko Hai ila ana mpango wa kubadilisha akaunti mana baada ya kutoa hii story watakaomfata inbox kuomba onba ni wengi

ila i believe its not true. amalize stori afu afariki tena na mkewe come on guys!!!

stop thinking using emotions and crtical thinking
Nilikuwa nasikia Jamiii Forum Kuna watu wa ajab Leo nimeamini mtu ajizushie kifo au familia yake izushe kifo ili iweje!!??? usilolijua ni sawa na usiku wa Giza watu wangapi wanakufa na wapendwa wao,Kuna watu wanaishi kwa mapenzi na urafiki mtu anashinda himili uchungu wa kumpoteza mpendwa wake wengine wanapata msongo wa mawazo/depression wengine ndio kifo presha inawasumbua inawapelekea kifo.
 
Hii quote yake nitaiishi daima "Keep your life profile low, be straightforward, be humble and get yourself out of trouble, enjoy life".
Mimi pia nili screen shot kumbe alikuwa anaaga kwa kumaanisha
 

Attachments

  • Screenshot_20230503-112928.jpg
    Screenshot_20230503-112928.jpg
    224.3 KB · Views: 33
Huyu jamaa yawezekana yuko Hai ila ana mpango wa kubadilisha akaunti mana baada ya kutoa hii story watakaomfata inbox kuomba onba ni wengi

ila i believe its not true. amalize stori afu afariki tena na mkewe come on guys!!!

stop thinking using emotions and crtical thinking
Jamaa alkua vzuri kwenye kupangilia script pia
 
Halafu mwisho wa episode ya mwisho akatoa taarifa kuwa mtu yoyote atakaye ichapisha nje ya JF itakuwa kosa.

ina maana pengine mtu akiichukua akaipost kwingine mmiliki halali anaweza kujitokeza na kuhoji.

Nazidi kupata ukakasi zaidi na zaidi.


ngoja tuone
Kuna watu vilaza embu FUTA hio Nshomile Aisee unatia aibu Wahaya alishasema mmiliki ni Netflix ananpost humu 30% kitabu 70% anapost hapa hata Netflix alowaambia na kuwatumia link waone.
 
Nilikuwa nasikia Jamiii Forum Kuna watu wa ajab Leo nimeamini mtu ajizushie kifo au familia yake izushe kifo ili iweje!!??? usilolijua ni sawa na usiku wa Giza watu wangapi wanakufa na wapendwa wao,Kuna watu wanaishi kwa mapenzi na urafiki mtu anashinda himili uchungu wa kumpoteza mpendwa wake wengine wanapata msongo wa mawazo/depression wengine ndio kifo presha inawasumbua inawapelekea kifo.

wewe kaa pembeni, huna kichwa cha kuchambua mambo kwa dakika 5 mbele.

Huna akili hiyo, Hata niingeelezea hapa kila details ya kwanini nasema hii ni staged huwez kunielewa

Umenielewa bwana mdogo?
 
Kuna watu vilaza embu FUTA hio Nshomile Aisee unatia aibu Wahaya alishasema mmiliki ni Netflix ananpost humu 30% kitabu 70% anapost hapa hata Netflix alowaambia na kuwatumia link waone.

Wewe kichwa panzi, huwez kukataa kuwa wapo waliokuzidi uwezo wa akili na namna ya kufikiri na miongoni mwao ni mimi.

huna utashi wa kufiki sawa?

Aya kojoa ukalale
 
mmmh mzee mbona kama kuna ka mchezo.

mara watoto wakaona notifications, mara wanajua kuhusu wewe! kwenye akaunti ya kiongozi au akaunt ya mama yao????


Something fishy here
Gily alizoeana na marehemu kutokana na ucheshi wake na wakawa wanaongea mbalimbali haswa afya yake mpaka na mkewe na wanae akawajulisha kuhusu uwepo wa Gily ikitokea lolote basi Gily ndo atakae julisha wadau wake wa hapa Jamii Forum na mkewe alikuwa akimpa update Gily hata mtoto wake wa kiume alifunga safari kwenda huko lakini presha ikamsumbua ikapelekea Mama Yao kupoteza maisha hivyo watoto walikuwa na simu ya mama yao wakaitumia kutoa taarifa na Baada ya Gily kuwaomba wafanye hivyo sababu watu wengine wa hovyo walikuwa wakim attack Gily akawaomba waandike wao wenyewe.
 
Gily alizoeana na marehemu kutokana na ucheshi wake na wakawa wanaongea mbalimbali haswa afya yake mpaka na mkewe na wanae akawajulisha kuhusu uwepo wa Gily ikitokea lolote basi Gily ndo atakae julisha wadau wake wa hapa Jamii Forum na mkewe alikuwa akimpa update Gily hata mtoto wake wa kiume alifunga safari kwenda huko lakini presha ikamsumbua ikapelekea Mama Yao kupoteza maisha hivyo watoto walikuwa na simu ya mama yao wakaitumia kutoa taarifa na Baada ya Gily kuwaomba wafanye hivyo sababu watu wengine wa hovyo walikuwa wakim attack Gily akawaomba waandike wao wenyewe.

unaonekana wewe ndo msemaji wa huyo Gily

umetoa maelezo kuliko hata huyo Gily.

yani mama afariki kwa presha afu mtoto achukue simu aanze kumtumia ujumbe gily kuwa sasa hv mama amefariki
huo muda unatoka wapi ?


Kijana umekamatika kwa uongo aisee,, tena wewe ndo bonge la muongo.

Acha ujinga hatudanganyiki
 
wewe kaa pembeni, huna kichwa cha kuchambua mambo kwa dakika 5 mbele.

Huna akili hiyo, Hata niingeelezea hapa kila details ya kwanini nasema hii ni staged huwez kunielewa

Umenielewa bwana mdogo?
Mjinga mpe cheo na ukibishana na mpumbavu mpumbavu utakuwa wewe,kaa na ujinga wako embu nienzi ushauri wa marehemu moja wapo aliniambia J.F Kuna watu wa Kila aina na upeo wa kila aina daima jiepushe na majibuzano yasio na lazima moja ya kauli ya andiko lake la mwisho be humble stay out of trouble enjoy life.
 
Mjinga mpe cheo na ukibishana na mpumbavu mpumbavu utakuwa wewe,kaa na ujinga wako embu nienzi ushauri wa marehemu moja wapo aliniambia J.F Kuna watu wa Kila aina na upeo wa kila aina daima jiepushe na majibuzano yasio na lazima moja ya kauli ya andiko lake la mwisho be humble stay out of trouble enjoy life.

Kushikwa akili ni dalili ya kudhihirisha ujinga wako.

Huwez hata kutumia hizo akili zako kiduchu

We tuambieni hii Movie inatoka lini na itakuwa streaming netflix lini???
 
unaonekana wewe ndo msemaji wa huyo Gily

umetoa maelezo kuliko hata huyo Gily.

yani mama afariki kwa presha afu mtoto achukue simu aanze kumtumia ujumbe gily kuwa sasa hv mama amefariki
huo muda unatoka wapi ?


Kijana umekamatika kwa uongo aisee,, tena wewe ndo bonge la muongo.

Acha ujinga hatudanganyiki
Kila mmoja ana namna yake na Mungu anavyo mpa nguvu nilifiwa na Mama yangu kipenzi wakati ma Dr wanipa taarifa walishangaa nilivyokuwa strong sikulia nikamshukuru Mungu nikaomba nimuone kabla hajapelekwa chumba Cha kuhifadhi maiti NIKAMUOMBEA Dua Mama yangu kipenzi Kisha nikawa napigia simu ndugu jamaa na marafiki kuwajulisha nikaingia social media FB na Instagram kuwapa watu taarifa ndugu jamaa na marafiki na taarifa za msiba ratiba,Kila mmoja ana namna yake ya ku handle jambo.siku njema.
 
Kila mmoja ana namna yake na Mungu anavyo mpa nguvu nilifiwa na Mama yangu kipenzi wakati ma Dr wanipa taarifa walishangaa nilivyokuwa strong sikulia nikamshukuru Mungu nikaomba nimuone kabla hajapelekwa chumba Cha kuhifadhi maiti NIKAMUOMBEA Dua Mama yangu kipenzi Kisha nikawa napigia simu ndugu jamaa na marafiki kuwajulisha nikaingia social media FB na Instagram kuwapa watu taarifa ndugu jamaa na marafiki na taarifa za msiba ratiba,Kila mmoja ana namna yake ya ku handle jambo.siku njema.

Huyo mtoto unayemsema ana misiba miwili apo mama na baba afu unasema anakuwa strong

Ndugu ngumu
 
Kuna muda naona sio kweli ni ndoto lakini ndio ukweli,tulifahamiana na marehemu kwa muda mchache akawa kama rafiki ambae nimemjua maisha yangu yote,tukipiga story za maisha hata utani utasikia embu nishauri jambo flani kama wewe utafanyaje namwambia mbona wewe ndo nategemea akili zako,ujumbe ambao siusahau kamwe nimelala nakutana na meseji nataka nikufanyie jambo ambalo utanikumbuka maisha yako yote sema kiasi cha pesa chochote ambacho utafanya biashara ikulipe zaidi nijibu kabla ya tarehe 28 kuanzia tarehe 2 nitakuwa hospital unaweza ukachelewa kupata majibu nitakujulisha namna ya kupata hizo pesa au unataka zikufikie kwa njia ipi nikashangaa sana habari za hospital akaniambia ana tatizo la tachycardia anaenda ku replacement battery ya pacemaker ikabidi ni google tachycardia chanzo Kuna chanzo kimoja nikamtania akasema kweli mie napenda sana na pia msiba wa Mama ulichangia nilikuwa na mawazo sana Nika google side effects za pacemaker ukiwekewa ambayo unapata blood clot kwenye mkono unao wekewa,kupata infection damage kwenye blood vessels au nerves na madhara mengine kwa kweli niliogopa akataniuliza wazo la biashara nikampa wazo langu nikiwa nasita akasema mbona unasita pesa za mwingine unazionea ubahili au huamini nitakupa nikamwambia no wewe mwanadamu mie mwanadamu lolote laweza tokea embu katibiwe kwanza ndo muhimu kuliko biashara zangu,mpaka anaenda hospital tunawasiliana aniambia nakuletea Iphone 14 pro max upigie picha biashara zako namwambia embu pona kwanza achana na simu nikamwambia una jua Triple G unafanana na baba yangu sana kuanzia mwili unavyo tabasamu na hio miwani akacheka nikamtumia picha za Baba akasema Mzee flani kweli tunafanana umbo nikamwambia Baba yangu alikuwa na matatizo ya moyo kama wewe nilimkosa naogopa kukukosa akanitumia baadhi ya vifungua kwenye biblia,nilichelewa kuwasha data siku ya Juma2 nikakuta meseji yake nikamjibu haikujibiwa nikashangaa nikawa na wasiwasi mpaka Gily anakuja kunipa taarifa yupo ICU kwa kweli nilikosa amani moyoni nikawa namuombea Allah ampe shifaa nakuja kuambiwa na Gily amekufa aise niliona anatania akaniambia siwezi tania kuhusu kifo anakuja aniambia 🌹kapata presha nikakosa raha zaidi nasikia amefariki Aisee nguvu ziliniisha Yaani Alkhamis Rose 🌹 Kuna ujumbe alinitumia eti nae hayupo nilikuwa nasema wanae wamepoteza Baba ila Mama wanae kumbe usilolijua kwa kweli nawaonea huruma sana wanae wamepoteza Bibi Baba na Mama ndani ya muda mchache ila na Imani na 💜anawapenda kama wanae atakuwa nao kuwapenda kuwajali kuwaongoza hapo ndio namuelewa G kwanini hakumuacha 💜aende na kwanini 🌹alimkubali 💜awe kwenye maisha yake na akae na wanae.namuomba Mwenyeezi Mungu awarehemu wapendwa wetu hawa awape familia subra kwenye kipindi hiki kigumu kwao kufiwa kunauma sana haswa wazazi.
Nashauri tu mkuu.
Kama haya uliyoandika hapa yalikuwa makubaliano yenu PM au njia yoyote ile unakosea kuyaleta hapa jukwaani.
 
Back
Top Bottom