So alikuwa storyteller ambaye muhusika mkuu mwisho wa picha alitakiwa kufa???? Anyway wao na dunia yao. Ya Jf yatabakia JfMkuu kweli uliona mbali... Angalia haya maigizo yao wanayotoa leo! !
Huyo mtu kupitia uzi wake huu alijinadi sana na kujifanya ana hela wa mamtoni mi dolari anajua kutembezea msuli wanawake aliinadi ni mtu wa michongo wanawake na watu wengine wakajaa pm kukawa na tsunami huko kuua soo ameamua kubadili id kwa staili hii ya kufeki kifo!!
Kwahaya maigizo nina imani hata katika story yake kuna over exaggeration nyingi sana kuliko uhalisia!
I smell something fishy here!!
kama leo hii nikifa utasema kuwa Gily alikuwa wa maigizo. Ila humu ndani kuna watu wananijua fika mpaka na familia yangu kama Nourhan, Ms eyes, mwachiluwi na wengine nazungumz nao nje ya jF kama CK Allan, kuna watu nimefanya nao business nkSo alikuwa storyteller ambaye muhusika mkuu mwisho wa picha alitakiwa kufa???? Anyway wao na dunia yao. Ya Jf yatabakia Jf
R.i.p umeniachia homework[emoji120][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo Ruhuwiko hunter club hutajua mkuu
Mpaka nimeona wivu walahi ukizingatia tupo kipindi cha majonzi [emoji24]Advance hio sis mi form 5 ye 2nd year !! Outing day ni kwa mwamba tu [emoji23][emoji23]! Ananinunulia chips mayai mishikaki na soda nakula tukimaliza Nakumbuka alikua ananikanda na mabarafu mwili mzima ananifuta vizuri kisha anaenda kuniogesha [emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] !
Life la boarding na ujana bana!!
Sijui Nilitaka nicoment nini ila ni majonzi tuu[emoji24][emoji26]Mpaka hapa tulipofikia, najikuta nimevutiwa sana na mrembo Violet, sijui kwanini...?
Pitia commentMbona taarifa haitolewi rasmi jamani kesho ndio maziko?
Acha tu mkuu. Violet kaachiwa familia pekeake.Sijui Nilitaka nicoment nini ila ni majonzi tuu[emoji24][emoji26]
Hivi mnakuwa hampitii comments?????!!!Gily tupatie updated basi msiba upo wap na mazishi yanafanyikia wap wenye uwezo na kama wapo hapo A town wahudhurie
Okay,lkn yeye mwenyewe aliahidi ataendelea kutupatia taarifa kadiri anavyopata,ila na imani muda leadermoe atakua ameshapumzishwa kwenye makazi yake ya milele[emoji24][emoji26]Hivi mnakuwa hampitii comments?????!!!
Gily kashaliongelea hana update yoyote toka aongee na mtoto wa marehemu Harrison akamwambia wanaenda Finland kuaga kisha watammoumzisha nyumba yake ya milele kwao Arusha pembeni ya Mama yake na mtoto alimwambia atamtafuta akili yake ikikaa sawa toka hapo hajawasiliana nao tena na wala alipowatafuta no response [emoji107][emoji135]
Ndio maisha mama,hao walipendana kweli na penzi Lao lilikuwa ni lile naturallyKhaaa Rose kafariki....jamani ndo kwanza naona...
Mhhh sina cha kusema ...
May her soul Rest in Peace
Aliahidi na kuna taarifa alitoa ina maana hujapitia comments soma comments ya 2257 page ya 128Okay,lkn yeye mwenyewe aliahidi ataendelea kutupatia taarifa kadiri anavyopata,ila na imani muda leadermoe atakua ameshapumzishwa kwenye makazi yake ya milele[emoji24][emoji26]
KwakweliNdio maisha mama,hao walipendana kweli na penzi Lao lilikuwa ni lile naturally
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kwahiyo haikua leoKumbe ndo uyu mwamba wame zika toka last week mbona .naona mme pigwa kalenda mjuba yuko chini zamani sanaaa au hamna wadau wakubwa Arusha.
Mh jamani hebu tupe habari kamili basi...hatuna habari wenzio tupo tupo tuKumbe ndo uyu mwamba wame zika toka last week mbona .naona mme pigwa kalenda mjuba yuko chini zamani sanaaa au hamna wadau wakubwa Arusha.
Baba wao ni wao washazika wewe endelea tu kula mema ya kustaafu 😁Kumbe ndo uyu mwamba wame zika toka last week mbona .naona mme pigwa kalenda mjuba yuko chini zamani sanaaa au hamna wadau wakubwa Arusha.