Rose anampenda kweli leadermoe. Ikiisja hii ingependeza angeandika uzi mwingine maisha yake na Rose mikasa ugomvi na kama alishwahi msaliti Rose. Kikweli mwanamke mmoja hawezi nmmtosheleza mwanaume. .Mtoto Rose anakuwa na hisia sana akiwa na mwamba. Inaoneka anampenda sana mwamba. Eti Gily
Hapo mwisho pole sana. Nimecheeeka😂😂😂
Nilitaka kutoa ushauri kama huo umeniwahi.Sasa apo leadermoe kila mtu yuko na uzuri wake😂😂, 🌹 mary unampenda since then na inaonekana atakaa na mama vizuri,,😂😂
ila purple nae ni pisi ya kwendaa, yuko fin, ana mpunga ila hatokuwa na muda sana na mama kwasababu nayeye ako na family yake kule😂😂
Apo tuangalie your priorities 😂😂.. Au oa ote sasa😂😂au basii
Hivi wewe unamuamini leadermoe kuwa hapashi kiporo na purple🤣🤣 ahaaa weee he is a man trust me hata akatae yule lazima anapasha kiporo tu labda kichache😀Sasa apo leadermoe kila mtu yuko na uzuri wake😂😂, 🌹 mary unampenda since then na inaonekana atakaa na mama vizuri,,😂😂
ila purple nae ni pisi ya kwendaa, yuko fin, ana mpunga ila hatokuwa na muda sana na mama kwasababu nayeye ako na family yake kule😂😂
Apo tuangalie your priorities 😂😂.. Au oa ote sasa😂😂au basii
Hongera sana mkuu.Rose anampenda kweli leadermoe. Ikiisja hii ingependeza angeandika uzi mwingine maisha yake na Rose mikasa ugomvi na kama alishwahi msaliti Rose. Kikweli mwanamke mmoja hawezi nmmtosheleza mwanaume. .
Watching hivi ndoa unayotumikia ina miaka mingap? 😀 Next week mke wangu ananizawadia mtoto. Wiki hii niko nyumbani nae yani nimepata na kitambi🙃Ukiwa na mke mwema utafurahi sana. .
Kumbe huna shida na ndoa za mitala? wanawake kama nyie bado mpo😀Nilitaka kutoa ushauri kama huo umeniwahi.
Mwezi ufini, mwezi tz💃💃💃
Huu mwaka wa kumi iwe kheri ikifika 25 years nachinja ng'ombe watatu. Wengine miaka 25 wanauana kabisa 😀 wanahesabu miaka kwa majeraha😀 kama unavyosoma umri wa mtu😀 . .Hongera sana mkuu.
Nina miaka 25 kwenye ndoa, asikwambie mtu ndoa tamuuuuuuuuuu haa ukipata kichaa wako mmoja anaekuelewaaaa🤣🤣💃💃
Bora mjuane tu mtaheshimiana😎, ukijifanya cha peke yako atajaza foreni ya michepuko.Kumbe huna shida na ndoa za mitala? wanawake kama nyie bado mpo😀
Sijawahi msaliti mke wangu inawezekana kwa sababu ninabanwa sana na biashara na miradi. Aisee umenena vyema hata kunguru hachungwi😀Bora mjuane tu mtaheshimiana😎, ukijifanya cha peke yako atajaza foreni ya michepuko.
Mwanaume halindwi anajilinda Gily 🤣🤣
Hii safari itakuwa nzuri sana. Mkuu tutaenda kwa mrombo au chimbo gani, napenda nyama sanaMarahaba mdogo wangu. Nitakaribia nitakuja na Johnnie Walker n leadermoe ngoja tujipange. .
anaenda kusoma masters ulaya😀Navile anapenda kwenda ulaya😂😂😂 isingekua mamaake kukataa
Tutaenda popote pale pasikose tu nyama ya mbuzi mzee😀Hii safari itakuwa nzuri sana. Mkuu tutaenda kwa mrombo au chimbo gani, napenda nyama sana
Watu wema bado wapo mkuu, mika 25 hata kofi sijawahi pata naachaje kumpenda huyo mume💃💃Huu mwaka wa kumi iwe kheri ikifika 25 years nachinja ng'ombe watatu. Wengine miaka 25 wanauana kabisa 😀 wanahesabu miaka kwa majeraha😀 kama unavyosoma umri wa mtu😀 . .
Hongera sana mkuuSijawahi msaliti mke wangu inawezekana kwa sababu ninabanwa sana na biashara na miradi. Aisee umenena vyema hata kunguru hachungwi😀
Ila nahisi mwanamke anayemlinda sana mwanaume anampq ushawishi wa kucheat. Ila kama hana habari na wewe inasaidia sana. .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata sielewi ninejikuta nimempenda Rosemary [emoji846] ana sifa nzuri kakubalika hadi kwa mama.
Najiuliza kwaresma imekuwa kali leo au ni hisia tu za kumpenda [emoji257]
Kuna siku nilikutana na dada mzuri tumbo likawa linauma aisee nikasema hawa ndio [emoji1652] [emoji1652] [emoji1652] wanaowasikiaga wazungu. Kuja kushtuka likawa tumbo la kuhara [emoji3][emoji2]
Priority kama priority [emoji16][emoji16]Sasa apo leadermoe kila mtu yuko na uzuri wake[emoji23][emoji23], [emoji257] mary unampenda since then na inaonekana atakaa na mama vizuri,,[emoji23][emoji23]
ila purple nae ni pisi ya kwendaa, yuko fin, ana mpunga ila hatokuwa na muda sana na mama kwasababu nayeye ako na family yake kule[emoji23][emoji23]
Apo tuangalie your priorities [emoji23][emoji23].. Au oa ote sasa[emoji23][emoji23]au basii