Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Part Eight B : If you wear my shoes, you won't walk.

[emoji1284]You're going to be a daddy.

Jan 22, 1999, nilipokea email toka kwa Violet nilipoifungua nilikuta taarifa za yeye kupata mimba.

(nililala nae zike wiki tatu nikiwa Finland ).

Mambo mawili yalitokea, kwanza nilipata furaha sana nikiamini naenda kupata mtoto na mzungu, jambo la pili liliondoa furaha yangu baada ya kukumbuka kuwa sitamuoa Violet .

Nilimweleza mama kuhusu hiyo taarifa, lakini alisema kama kweli ni damu yangu atanitafuta tu.
(mama aliamua kunikatisha tamaa kuhusu Violet kisa Rosemary).

***
March 12, 1999, ninapokea tena email toka kwa Violet akinitaarifu kuhusu kifo cha baba yake.

Mzee Collins alipata ajari ya gari, aligongwa na roli na kuingia mtaroni. Akikuwa anatoka shambani kwake, baada ya kumfikisha hospitali alifarika ndani ya masaa wawili tu.

Nilichanganyikiwa sana kwa taarifa iile,

" Nimempoteza baba nikiwa na ahadi nae ya kunywa chai na wajukuu zake, haikutimia"

"Ninamkosa Violet ambae amebeba damu yangu, ahadi ya ndoa imekufa."

"Nimempoteza mzee Collins huku akiwa ameniahidi kunifundisha mbinu za kufanikiwa katika biashara, ahadi haijatimia."

Matukio yote hayo, yametokea chini ya miezi 3 tu. Unaweza kuhisi niliumia kiasi gani.
Nilimuomba mama aniruhusu niende msibani.

Lengo langu ni kwenda msibani, kisha nipate wasaa wa kumweleze Violet kuhusu ombi lake la ndoa, na maamuzi yangu, nikirudi iwe mazima, maana niliamini Violet hatataka kuniona tena baada ya kujua ukweli.

***

Nilishiriki mazishi ya mzee Collins, nikitumia nafasi hiyo kumfariji Violet na mama yake. Nilikaa wiki moja tu, nilijilizisha kuhusu mimba ya Violet na nikawa na uhakika ni yangu. Nimekaa nae wiki tatu ikiwa ni mwezi December 18, Jan 30 ananitaarifu ana mimba.

Sikuweza kumueleza kuhusu maamuzi yangu kutokana na hali aliyokuwa nayo , niliamua kunyamaza.

(ana mimba changa, amepoteza baba)

Nilimshauri ahamie kwa mama ili apate mtu wa kum-care, alikubali. Wiki ilipoisha nilimuaga Violet na mama yake ili nirudi nyumbani.

Mama alinipatia bag lilikua na documents ndani. Akaniambia ni mzigo wangu toka kwa mume wake.

Kumbe uliandaliwa kabla sijaondoka kule ile safari ya kwanza, walishindwa nipatia kutokana na zile taarifa za msiba.

Nilipokea lile bag, lakini nilipanga kuangalia kilichomo nikifika Dar ili kama nimepigwa za mbavuni niwe nimesharudi kwetu.

Kesho yake niliondoka, nilimwomba Violet apumzike tu, asinisindikize kutokana na hali yake."

Kiitos
**********

Next

Part Eight C: Tihamba Songea, 'Twende Songea.'

April 18, 1999
Table.jpg
Sana%20inaboa.jpg
Vio%202.jpg
 
Part Eight B : If you wear my shoes, you won't walk.

[emoji1284]You're going to be a daddy.

Jan 22, 1999, nilipokea email toka kwa Violet nilipoifungua nilikuta taarifa za yeye kupata mimba.

(nililala nae zike wiki tatu nikiwa Finland ).

Mambo mawili yalitokea, kwanza nilipata furaha sana nikiamini naenda kupata mtoto na mzungu, jambo la pili liliondoa furaha yangu baada ya kukumbuka kuwa sitamuoa Violet .

Nilimweleza mama kuhusu hiyo taarifa, lakini alisema kama kweli ni damu yangu atanitafuta tu.
(mama aliamua kunikatisha tamaa kuhusu Violet kisa Rosemary).

***
March 12, 1999, ninapokea tena email toka kwa Violet akinitaarifu kuhusu kifo cha baba yake.

Mzee Collins alipata ajari ya gari, aligongwa na roli na kuingia mtaroni. Akikuwa anatoka shambani kwake, baada ya kumfikisha hospitali alifarika ndani ya masaa wawili tu.

Nilichanganyikiwa sana kwa taarifa iile,

" Nimempoteza baba nikiwa na ahadi nae ya kunywa chai na wajukuu zake, haikutimia"

"Ninamkosa Violet ambae amebeba damu yangu, ahadi ya ndoa imekufa."

"Nimempoteza mzee Collins huku akiwa ameniahidi kunifundisha mbinu za kufanikiwa katika biashara, ahadi haijatimia."

Matukio yote hayo, yametokea chini ya miezi 3 tu. Unaweza kuhisi niliumia kiasi gani.
Nilimuomba mama aniruhusu niende msibani.

Lengo langu ni kwenda msibani, kisha nipate wasaa wa kumweleze Violet kuhusu ombi lake la ndoa, na maamuzi yangu, nikirudi iwe mazima, maana niliamini Violet hatataka kuniona tena baada ya kujua ukweli.

***

Nilishiriki mazishi ya mzee Collins, nikitumia nafasi hiyo kumfariji Violet na mama yake. Nilikaa wiki moja tu, nilijilizisha kuhusu mimba ya Violet na nikawa na uhakika ni yangu. Nimekaa nae wiki tatu ikiwa ni mwezi December 18, Jan 30 ananitaarifu ana mimba.

Sikuweza kumueleza kuhusu maamuzi yangu kutokana na hali aliyokuwa nayo , niliamua kunyamaza.

(ana mimba changa, amepoteza baba)

Nilimshauri ahamie kwa mama ili apate mtu wa kum-care, alikubali. Wiki ilipoisha nilimuaga Violet na mama yake ili nirudi nyumbani.

Mama alinipatia bag lilikua na documents ndani. Akaniambia ni mzigo wangu toka kwa mume wake.

Kumbe uliandaliwa kabla sijaondoka kule ile safari ya kwanza, walishindwa nipatia kutokana na zile taarifa za msiba.

Nilipokea lile bag, lakini nilipanga kuangalia kilichomo nikifika Dar ili kama nimepigwa za mbavuni niwe nimesharudi kwetu.

Kesho yake niliondoka, nilimwomba Violet apumzike tu, asinisindikize kutokana na hali yake."

Kiitos
**********

Next

Part Eight C: Tihamba Songea, 'Twende Songea.'

April 18, 1999
View attachment 2564006View attachment 2564007View attachment 2564008
Nuktaaaa
 
Part Eight B : If you wear my shoes, you won't walk.

[emoji1284]You're going to be a daddy.

Jan 22, 1999, nilipokea email toka kwa Violet nilipoifungua nilikuta taarifa za yeye kupata mimba.

(nililala nae zike wiki tatu nikiwa Finland ).

Mambo mawili yalitokea, kwanza nilipata furaha sana nikiamini naenda kupata mtoto na mzungu, jambo la pili liliondoa furaha yangu baada ya kukumbuka kuwa sitamuoa Violet .

Nilimweleza mama kuhusu hiyo taarifa, lakini alisema kama kweli ni damu yangu atanitafuta tu.
(mama aliamua kunikatisha tamaa kuhusu Violet kisa Rosemary).

***
March 12, 1999, ninapokea tena email toka kwa Violet akinitaarifu kuhusu kifo cha baba yake.

Mzee Collins alipata ajari ya gari, aligongwa na roli na kuingia mtaroni. Akikuwa anatoka shambani kwake, baada ya kumfikisha hospitali alifarika ndani ya masaa wawili tu.

Nilichanganyikiwa sana kwa taarifa iile,

" Nimempoteza baba nikiwa na ahadi nae ya kunywa chai na wajukuu zake, haikutimia"

"Ninamkosa Violet ambae amebeba damu yangu, ahadi ya ndoa imekufa."

"Nimempoteza mzee Collins huku akiwa ameniahidi kunifundisha mbinu za kufanikiwa katika biashara, ahadi haijatimia."

Matukio yote hayo, yametokea chini ya miezi 3 tu. Unaweza kuhisi niliumia kiasi gani.
Nilimuomba mama aniruhusu niende msibani.

Lengo langu ni kwenda msibani, kisha nipate wasaa wa kumweleze Violet kuhusu ombi lake la ndoa, na maamuzi yangu, nikirudi iwe mazima, maana niliamini Violet hatataka kuniona tena baada ya kujua ukweli.

***

Nilishiriki mazishi ya mzee Collins, nikitumia nafasi hiyo kumfariji Violet na mama yake. Nilikaa wiki moja tu, nilijilizisha kuhusu mimba ya Violet na nikawa na uhakika ni yangu. Nimekaa nae wiki tatu ikiwa ni mwezi December 18, Jan 30 ananitaarifu ana mimba.

Sikuweza kumueleza kuhusu maamuzi yangu kutokana na hali aliyokuwa nayo , niliamua kunyamaza.

(ana mimba changa, amepoteza baba)

Nilimshauri ahamie kwa mama ili apate mtu wa kum-care, alikubali. Wiki ilipoisha nilimuaga Violet na mama yake ili nirudi nyumbani.

Mama alinipatia bag lilikua na documents ndani. Akaniambia ni mzigo wangu toka kwa mume wake.

Kumbe uliandaliwa kabla sijaondoka kule ile safari ya kwanza, walishindwa nipatia kutokana na zile taarifa za msiba.

Nilipokea lile bag, lakini nilipanga kuangalia kilichomo nikifika Dar ili kama nimepigwa za mbavuni niwe nimesharudi kwetu.

Kesho yake niliondoka, nilimwomba Violet apumzike tu, asinisindikize kutokana na hali yake."

Kiitos
**********

Next

Part Eight C: Tihamba Songea, 'Twende Songea.'

April 18, 1999
View attachment 2564006View attachment 2564007View attachment 2564008
Imekuwa fupi chief,hii simulizi ni tamu sana. Nasubiri muendelezo.
 
Part Eight C: If you wear my shoes, you won't walk.

[emoji1666]I'll marry your daughter.

Tihamba Songea, 'Twende Songea.'

April 18, 1999

Napokea taarifa kuwa Rosemary ni mja mzito. Kweli mpaka wakati huu sikuwa sawa kutokana na matukio ya haraka haraka.

Nilimwambia mama kuhusu mimba ya Rosemary, mama alifurahi sana.

(nikajiuliza mbona kwa Violet hakufurahi hivyo)

Alinishauri nimveshe pete Rosemary mapema, kisha tufanye mipango ya ndoa ili mtoto azaliwe ndani ya ndoa.

Mama alitaka kabla sijamvesha Pete Rosemary , nimweleza kuhusu Violet. Tulikubaliana kisha Rosemary Akaitwa aje, Lengo tuongee mbele ya mama.

Nilimwambia mama siwezi kumweleza kuhusu Violet, kwa sababu nitamuumiza na huenda nikamkosa.

(I cheated on her and I slept with Violet, I lied to her about my trip.)

Mama alisema nisiogope ni bora nipate dawa mapema hata kama ni chungu, kuliko kuficha ugonjwa utakao niumbua baadae.

Rosemary alikuwa mtiifu sana, (kama vile alikuwa na hamu na ndoa), alikuja tukawa na kikao kidogo.

Mama : " sasa mama nimekuita ili tuongee, kuna mambo unapaswa kuyajua kabla uhusiano wenu haujafika mbali sana."

"Kuna mambo ukiyajua mapema hayatakuumiza Kam vile ukifichwa ukajua baadae, au unasema uongo mama?. "

Rosemary: "Nikweli mama"

Mama : " Sijajua malengo yenu ni yapi, uhusiano wenu ukoje. Nataka mnieleze leo ili tuone namna ya kufanya, ndio maana tuko wote hapa."

"Edson unatakiwa uanze wewe, mwanaume ndie huanzisha mahusiano."

Edson : "Sawa, mimi nampenda sana Rosemary , natamani siku moja awe mke wangu."

Mama: " umemsikia mwenzako mama.?"

Rosemary : " Nimesikia mama, kwa upande wangu sitamani siku moja, natamani hata sasa niolewe na Edson, ni mwanaume mwenye upendo sana, nampenda sana tangu tumefahamiana. "

Mama :" kumbe mnapendana, inabidi sasa muwekane wazi mapito yenu, Edson. "

Edson :" Mama sasa mimi niongee nini tena, nisaidie tu maana unajua. "

Mama: " Huna aibu kudeka mbele ya mwanamke?, Rosemary mama, kuna jambo mwenzako anashindwa kukwambia, ni kwa vile anakupenda, anahofu kukuumiza. Ila inabidi ulijue sasa. "

" unajua kama mwenzako anatarajia kuwa na watoto.? "

Rosemary alikodoa macho, akaniangalia usoni kisha wakamjibu mama.

Rosemary :" Hapana mama, hajawahi niambia. "

She was like, better be a lie, or else I'll show you.

Mama : " alihofia kukuumiza, anatarajia kupata watoto mapacha , huko Finland. "

" Rosemary gazed at me again with piercing eyes, her face fading."

Mama : " ni vizuri ukajua ukweli ili msije gombana mbeleni, maana dunia haina siri."

Rosemary :" nashukuru sana mama kwa kunijulisha hili, Edson hakuwahi niambia, lakini nafikiri ni kwa vile hatukuwahi kuongele mipango ya ndo. Nimefurahi kuujua ukweli mapema"

(Rosemary was talking with her eyes on me, like she was saying what you didn't have in me.)

Kwa jibu lile moyo ulishtuka, nikajua nimemkosa Rosemary.

Mama : " Sawa mwanangu, sasa mwenzako anataka muoane, naomba kusikia kutoka upande wako, uko tayari?."

Mommy's been helping out until she's done too much.

Edson : " Mama mbona uko speed sana. Rosemary kwanza nashukuru kwa kunielewa, ni kweli sikuwahi kulisema hili kwa vile sikuwa najua namna nzuri ya kukujulisha, mama amenisaidia, asante mama. "

" I got up off the couch and took the ring from my pocket (gold ring ). I stretched out my left hand (I asked her to receive me).

I said to Rosemary,

Edson : "my love, I seek approval from your heart, I need you in my life. "

Rosemary alidondosha chozi, akatulia kama dakika 1, kisha akainuka na kuupokea mkono wangu,

Rosemary : "Edson, I am ready to give you consent in my heart, I have taken care of your position since I knew you. I've been waiting for you to come and ask me, finally today it's come true, thank you Edson."

Nilimvalisha mchumba wangu Pete, kama ishara ya uchumba rasmi mbele ya mama.

Mama alifurahi, na kigeregere kidogo

Edson :" Asante sana Rosemary kwa kupokea moyo wangu, nakuahidi hutajutia uamuzi huu, Asante sana.

Niliongea nikimvuta Rosemary ili nimkumbatie

Rosemary : "Edson, I love you so much."

Mama akaona amesahaulika, akasema

Mama : " wanangu nimefurahi kwa hatua yenu hii, nimefurahi kuona mnavyopendana. Nawatakia maisha mema wanangu, Mungu awatangulie daima."

Mama alimaliza akanitemea mate usoni na mikononi kama ishara ya Baraka, wakafanya hivyo kwa Rosemary pia, kisha akashika tumbo la Rosemary na kutamka

Mama : " kuanzia siku hii ya leo, tumbo hili libebe watoto wenye afya njema, wenye kuwatii wazazi wao, waheshimu kila mtu, wamatafute Mungu siku zote."

" Mheshimiane, mpendane, mtunziane siri. Malizeni tofauti zenu haraka inapobidi ili msifaidishe watu. Nawaombea maisha yenye Baraka tele, mzae na kule , msomeshe na kuoza watoto wenu. "

Edson na Rosemary:" Asante sana mama. "

Song: Golden Hour
Artist: Kacey Musgraves
Released: 2018
Album: Golden Hour
Genre: Country

All that I know
Is you caught me at the right time
Keep me in your glow
'Cause I'm havin' such a good time with you

Baby, don't you know
That you're my golden hour
The color of my sky
You set my world on fire
And I know, I know everything's gonna be alright

I used to get sad
And lonely when the sun went down
But it's different now
'Cause I love the light that I found in you

Baby, don't you know
That you're my golden hour
The color of my sky
You set my world on fire
And I know, I know everything's gonna be alright
Mm

You make the world look beautiful, ooh
I thought I'd seen it all before
But lookin' through your eyes
It looks like paradise

You set my world on fire, yeah
And I know, I know everything's gonna be alright
You're my golden hour
The color of my sky
You set my world on fire
And I know, I know everything's gonna be alright
Yeah, I know, I know everything's gonna be alright
Golden hour
Oh

**********

Next

Part Eight D: If you wear my shoes, you won't walk.

[emoji593]Tihamba Songea, 'Twende Songea.
Table.jpg
Engaged%20.jpg
Sana%20inaboa.jpg
Mama%20.jpg
 

Attachments

  • Mama%20.jpg
    Mama%20.jpg
    43.3 KB · Views: 42
Back
Top Bottom