Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Yeah imeharibunsana watu wangu wa karibu. Hata mimi nimejitahidi kukaa mbali na alcohol😀

Ila mwaka jana nilipiga mbege za kutosha 🤣🤣 japokuwa sio Chacombe kuna mda naisikia inanukia puani tu from no where
😅😅😅😅 Pole sana mkuu, mimi niligundua mapema kichwa changu hakiwezi pombe.

Kwanza kwetu hakuna hata anaejaribu.
 
😅😅😅😅 Pole sana mkuu, mimi niligundua mapema kichwa changu hakiwezi pombe.

Kwanza kwetu hakuna hata anaejaribu.
Nikinyw naongea sana kingereza. Kwa kweli tuko wengi. Unaweza sema huyu mzungu wa wap full ngeli sasa kuwa kawaida kinapotea. Nilishawahi ambiwa anzisha sala hapo tuko na wageni wametoka nchi za Africa nikashindwa nikawaz ningekuwa na alcohol ningepiga sala mpaka mvua inyeshe😀 Brothers and sisters gives me an AMEN🤣
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji4] Ameeeeeeen
Umetisha Gily, pombe sio chai, nilikosa tunda la Jasmin hivi hivi naona.
 
Kibinadamu nimeona namna Violet alijeruhiwa naendelea kusoma nione hatima ya Violet.
 
Hahahaaa pombe noumaaa sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…