moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
Mmh nina swaliInshallah [emoji120] wao ni wao
shukran jazilan akhy.
amal 'an tantahi almushkilat alsihiyat , samihni laqad nasiat.
barak allah fik hayatan wafiratan. [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh nina swaliInshallah [emoji120] wao ni wao
shukran jazilan akhy.
amal 'an tantahi almushkilat alsihiyat , samihni laqad nasiat.
barak allah fik hayatan wafiratan. [emoji120]
utasikia yesu ruwaaa babaaa(kwa bezi)hapo hapoNdivyo Nilivyo mkuu, pesa ni karatasi tu, utu kwanza.
Sasa ulitaka nisimpe hata nauli? Tena alipata ya tax kutoka ubungo mpaka mtoni kijichi, sema kwa kuwa ni chagga nature, akaona apande daladala. Elewiiiiiii
Wambie wapunguze kuongea kichagga wakinogewa. [emoji1787]
OhoooKweli kabisa.
Alfred alikuwa mjinga sana. Cha ajabu akaenda kujihusisha ma sembe South, jamaa wakam murder baada ya kuleta janja janja.
Ila nilichangia mwili wake kurudishwa hapa ili azikwe, mzee wake alikuwa mtu mwema sana.
[emoji1787][emoji1787]Kuna mmoja nilikuw nae Rombo huko analiaa "mamaaaa" "shsshhhhh" "yeuwiiiiiii" kusema kweli nilisikia raha sana[emoji3]
nasikitikaKila kiumbe anaitwa mwanamke anayo, ni utundu wako tu kuyafungulia.
Kwamba huna maji?nasikitika
Baadae shangazi usije fukuzwa kazNtarudi
Pesa ya madafu hiyo tu😀😀😀Pesa mingi arifu, hata kuandika hapa ni nox kinoma
Ile kitu ni ndogo ila ina mambo mengi🤣 **** siku niliamua kuikojolea mkojo wa kawaida ili nione itakuwaje😀Kuna mahali ulillkosea, ngoja kikao kijacho tutatoa mifano ya pocha kabisa, inaonekana hauko makini kikaoni. 😁