Naipenda sana sijawahi kinai nampenda Mother Confesser Kahlan halafu Cara, Wizard Zeddy,Richard The seeker, Darken Rahil.🤣🤣🤣🤣 usingeelewa hata, bora umesoma. Ukikaa na mimi nina tabia za Charles Champlin kama unamjua.
Nashukuru kwa appreciation yako, ndilo lengo langu kuleta huu mkasa hapa. 🙏
Amina. Na kwako pia
Feedback zinasaidia na wengi kujifunza.
Aise pole sana, mkasa ulivo mrefu umesoma siku moja?. Hongera, umenikumbusha kuna kipindi niliangalia legend of the seeker, nilianza saa 2 asubuhi mpaka kesho yake. Big up
Naomba kuuliza swali mheshimiwa je??changamoto nikubwa au ndogo kiasi gani kuzaa watoto kwa wamamatofauti tofauti??je maswala ya upendo kati yao nawatoto watumbo moja kuhisi wnaahaki kuzidi wengine???..ukipata nafasi nijibu hili tafadhali mkuu.
Hii series niliipenda sana.Naipenda sana sijawahi kinai nampenda Mother Confesser Kahlan halafu Cara, Wizard Zeddy,Richard The seeker, Darken Rahil.
🤣🤣🤣 Pole sana kakaDaaaaah yashanikuta hayo mzee mwenzangu kila nikimfikilia yule man'gati wangu....issue kdg tu kazimia hili la kumletea mtoto anajua ntauwa bule mtoto wa watu.
Basi hata nikiambiwa ntalea mwenyewe natokea mlango wa uani.
🤣🤣🤣 Inaendele ila asia hapana kwa kweli. Mbona Tanzania hujaitaja mkuuMzee kwanza hongera kuiwakilisha vyema nchi huko mambele, ulianzia India ukapita Ulaya, Arabuni na Amerika, kama stori ingendelea nadhani ungefika Asia.
Barikiwa sana.
Ndugu unaumwa nini? mbona unatupa preshaHabari ya Jumanne wadau. Hope mko poa
💚😰Poleni wana Yanga
❤️👏Hongereni wana Simba
Kuimba kupokezana, huwezi imba verse na chorus peke yako.
Kuanzia Jumamosi ya tarehe 22, nitaweka mwendelezo wa huu mkasa, kila siku mpaka Jumapili ya tarehe 30 nitakuwa nimemaliza.
Nimeona hali ya kiafya haiko sawa, mwezi May nina appointment ya kufanya matengenezo, huenda nikapumzika kwa muda mrefu, sipendi kuwakwaza, hata nilichotaka mjifunze hakitakuwa na maana tena. Pia nimetakiwa kupunguza matumizi makubwa ya Electronic devices kama simu na computer. Hivyo basi, nalazimika kumaliza mapema kabla ya muda huo.
Karibuni sana, hii sehemu iliyobaki ndio lengo langu kuu la kuusimulia huu mkasa. Utaona kunusurika kifo, majuto, maisha mapya, ugonjwa, nk.
Umenitoa hofu. Ila Mungu ni mwema siku zote. Ndugu zetu waislam wanadai kuumwa ni ibada. Katika maisha yetu tunajua kuomba tu mda wote hatujui kushukuru. .Usiogope kaka, utajua ndani ya hizi siku chache. 🙏
Pole sana shukurani pia ila Allah akufanyie wepesi japo Avatar yako imenitia huruma maana inasadifu hali yako ya sasa ikiwa siko nje ya dhahania.Habari ya Jumanne wadau. Hope mko poa
[emoji172][emoji27]Poleni wana Yanga
[emoji3590][emoji122]Hongereni wana Simba
Kuimba kupokezana, huwezi imba verse na chorus peke yako.
Kuanzia Jumamosi ya tarehe 22, nitaweka mwendelezo wa huu mkasa, kila siku mpaka Jumapili ya tarehe 30 nitakuwa nimemaliza.
Nimeona hali ya kiafya haiko sawa, mwezi May nina appointment ya kufanya matengenezo, huenda nikapumzika kwa muda mrefu, sipendi kuwakwaza, hata nilichotaka mjifunze hakitakuwa na maana tena. Pia nimetakiwa kupunguza matumizi makubwa ya Electronic devices kama simu na computer. Hivyo basi, nalazimika kumaliza mapema kabla ya muda huo.
Karibuni sana, hii sehemu iliyobaki ndio lengo langu kuu la kuusimulia huu mkasa. Utaona kunusurika kifo, majuto, maisha mapya, ugonjwa, nk.
Aisee unaweza zungumza na mtu ikiwa hujui hali yake. Ila katutoa hofu au labda anatupa moyo tu?Pole sana shukurani pia ila Allah akufanyie wepesi japo Avatar yako imenitia huruma maana inasadifu hali yako ya sasa ikiwa siko nje ya dhahania.
Habari ya Jumanne wadau. Hope mko poa
💚😰Poleni wana Yanga
❤️👏Hongereni wana Simba
Kuimba kupokezana, huwezi imba verse na chorus peke yako.
Kuanzia Jumamosi ya tarehe 22, nitaweka mwendelezo wa huu mkasa, kila siku mpaka Jumapili ya tarehe 30 nitakuwa nimemaliza.
Nimeona hali ya kiafya haiko sawa, mwezi May nina appointment ya kufanya matengenezo, huenda nikapumzika kwa muda mrefu, sipendi kuwakwaza, hata nilichotaka mjifunze hakitakuwa na maana tena. Pia nimetakiwa kupunguza matumizi makubwa ya Electronic devices kama simu na computer. Hivyo basi, nalazimika kumaliza mapema kabla ya muda huo.
Karibuni sana, hii sehemu iliyobaki ndio lengo langu kuu la kuusimulia huu mkasa. Utaona kunusurika kifo, majuto, maisha mapya, ugonjwa, nk.
Saikolojia ya maongezi ya huyu ndugu yetu imeleta picha mpya katika maongezi lakini pia avatar ni kama imeruhusu tuamini akili inachowazaAisee unaweza zungumza na mtu ikiwa hujui hali yake. Ila katutoa hofu au labda anatupa moyo tu?
Sawa shukrani pia.Asante sana kaka, Mungu ni mwema siku zote, kila goti litapigwa kwake. [emoji120]