Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Jamani kuweni makini, sina muwakilishi yoyote bongo, send money for your own risk.Aliyekuchagua kuwa kiongozi wetu ni nani🤣
Basi kama mwekahazina humu ndani naweka namba mtume hela ya bando, kahawa na feni au AC. 😄 Ili kwenda kununua PC nyingine aina ya apple kwa sababu PC imeibiwa na Alfred na kakimbia nayo south😄
🤣🤣🤣🤣 hutaki tupate hela uunankataa🤣🤣🤣 Jamani kuweni makini, sina muwakilishi yoyote bongo, send money for your own risk.
Nshakutibulia mzee wa fursa, famchezo nini🏃🏃🏃🏃
Changa nature stand uppppp
Ooh dude. Anyways nitajipa cheo cha kiongozi wa nidhamu.😂😂😂😄
Aisee babaangu eee. 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Sawaaaaaaaaaaaa. Nakuongea cheo cha ku tag watu kila nikipost,
Sema tags hazifiki,sijui kwanini!Sawaaaaaaaaaaaa. Nakuongea cheo cha ku tag watu kila nikipost,
Kwani uko nae? Mwambie umeitoa kwenye daladala😄😄😄😄 ila ninavyomfahamu huyo dada anaweza kukwambia muongozane akahakikishe kama kweli umeitoa kwa daladala😆😆😆Thanks a lot, I received your hug. Now with this scent, how do I tell Violet.😂😂
GentlemenRoho safi ndio maana nilitumia tafsida kwa wale wabishi, kuna wengine walielewa wakasepa
sijakimbia bana,rudi basiSi ulinikimbia. [emoji41]
naijua lakini siwezi kuinywaMisusing situmii kabisa sasa ila ukweli humuweka mtu huru nishakunyw kisusuo mpaka cha maziwa mtindi[emoji51]
Kama una afya mgogoro unaweza kupelekwa hospital kuna siku nilikunyw kisusuo kizito moyo ulienda kasi sana[emoji3]
kwa niaba pia ya antonnia na gily nasema hiviiiii TUMEKIBALIIIIIIIAsante sana Rule bender
Nashukuru kwa pongezi. Ni kweli balaa ni zito pm, ila ni kundi dogo tu lilitoleta balaa. Wengine wote wamenifata kwa ushauri na mawazo, tukaelewana.
Kuna kundi dogo la watu wasio jiheshimu, wanazani wanaweza kupata kila wanachotaka. Mtu mmoja anatuma messages 40 bila kujibiwa, huyo dish liko sawa kweli??
Hata mimi napenda sana niumalize huu mkasa, ila ratiba zimenibana. Naweza kuwa na post mara moja au mbili kwa wiki maana tofauti ni saa 1 tu, shida ninayoogopa ni kama watu watavumilia?
Sipendi wapate arosto, waniweke kwenye kundi la wale wale. Ila kama watakubali nitafanya hivyo. Wewe kama muwakilishi wa hilo hebu waulize mie sina neno ati.
Kama wanaogopa arosto, tusubiri nikiwa na mda tuimalize, huku mbele ni kutamu sana, angalia picha ya mwisho kwenye post ya mwisho