Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Episode moja kwa wiki mtawezaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hongera sana tumepata somo ila nimeteseka sana...maana huu uzi nilikuwa nauluka, ningekuwa nasoma bibilia kama huu uzi kiti cha mbele peponi nimeanza j4 nimemaliza j5 ya leo, kama nina pepa ya UE kesho.

Aisee mema ya nchi umejua kuyala...kweli somtimes usiache tenda wema...wewe umelipwa hapahapa sio mbingunì. You are so lucky.

Ila mademu wa kibongo aseme tuzae ntalea mwenyewe hesabu maumivu kama umeoa, mwezi tu hajatoa posho anakuja kukubwagia mwanao kwa mkeo.



Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
 
Episode moja kwa wiki mtawezaaaaa😂😂😂
Mkuu asante kwa kurudi tena baada ya break ya pasaka pamoja na familia.
Binafsi sikujua kama ungekuwa muungwana ukaja kufanya muendelezo baaya ya ile break kulingana tabia za jf hasa mtu akiwa anasimulia maisha yake katika upande wa mafanikio zaidi (kama sijakosea hii ndio imesababisha balaa uko PM kwako).

Kimsingi story yako inafundisha sana hasa mikasa ya mwanzo kwenye malezi na mwishoni huku kwenye masuala ya 6*6.
Najua umedhamiria kuikatisha hii story ila kwa nafasi yako fanya walau moja kwa wiki au kila inapopatikana nafasi,wafuasi wako tuko pamoja nawe.

Bado tunahitaji kujua mwisho wa hii familia yenye mchanganyiko wa mataifa tofauti zitachangamana kwa namna gani katika ukuaji wao. Kuna kitu cha kujifunza hapo.
 
Mkuu asante kwa kurudi tena baada ya break ya pasaka pamoja na familia.
Binafsi sikujua kama ungekuwa muungwana ukaja kufanya muendelezo baaya ya ile break kulingana tabia za jf hasa mtu akiwa anasimulia maisha yake katika upande wa mafanikio zaidi (kama sijakosea hii ndio imesababisha balaa uko PM kwako).

Kimsingi story yako inafundisha sana hasa mikasa ya mwanzo kwenye malezi na mwishoni huku kwenye masuala ya 6*6.
Najua umedhamiria kuikatisha hii story ila kwa nafasi yako fanya walau moja kwa wiki au kila inapopatikana nafasi,wafuasi wako tuko pamoja nawe.

Bado tunahitaji kujua mwisho wa hii familia yenye mchanganyiko wa mataifa tofauti zitachangamana kwa namna gani katika ukuaji wao. Kuna kitu cha kujifunza hapo.
Asante sana Rule bender
Nashukuru kwa pongezi. Ni kweli balaa ni zito pm, ila ni kundi dogo tu lilitoleta balaa. Wengine wote wamenifata kwa ushauri na mawazo, tukaelewana.

Kuna kundi dogo la watu wasio jiheshimu, wanazani wanaweza kupata kila wanachotaka. Mtu mmoja anatuma messages 40 bila kujibiwa, huyo dish liko sawa kweli??

Hata mimi napenda sana niumalize huu mkasa, ila ratiba zimenibana. Naweza kuwa na post mara moja au mbili kwa wiki maana tofauti ni saa 1 tu, shida ninayoogopa ni kama watu watavumilia?

Sipendi wapate arosto, waniweke kwenye kundi la wale wale. Ila kama watakubali nitafanya hivyo. Wewe kama muwakilishi wa hilo hebu waulize mie sina neno ati.

Kama wanaogopa arosto, tusubiri nikiwa na mda tuimalize, huku mbele ni kutamu sana, angalia picha ya mwisho kwenye post ya mwisho
 
Asante sana Rule bender
Nashukuru kwa pongezi. Ni kweli balaa ni zito pm, ila lni kundi dogo tu lilitoleta balaa. Wengine wote wamenifata kwa ushauri na mawazo, tukaelewana.

Kuna kundi dogo la watu wasio jiheshimu, wanazani wanaweza kupata kila wanachotaka. Mtu mmoja anatuma messages 40 bila kujibiwa, huyo dish liko sawa kweli??

Hata mimi napenda sana niumalize huu mkasa, ila ratiba zimenibana. Naweza kuwa na post mara moja au mbili kwa wiki maana tofauti na saa 1 tu, shida ninayoogopa ni kama watu watavumilia?

Sipendi wapate arosto, waniweke kwenye kundi la wale wale. Ila kama watakubali nitafanya hivyo. Wewe kama muwakilishi wa hilo hebu waulize mie sina neno ati.

Kama wanaogopa arosto, tusubiri nikiwa na mda tuimalize, huku mbele ni kutamu sana, angalia picha mwisho kwenye post ya mwisho
Don't stop man,you never know how many people you inspire with your story.
Kwa akili yako kubwa najua hilo kundi dogo unalimudu vizuri sana hivyo tunakuachia umalizane nalo kwa namna yako mwenye.

Nikiwa kama msemaji mwakilishi wa wasomaji wa huu uzi ondoa shaka kuhusu dozi ya mara 2 kwa wiki mkuu. Ila mimi pamoja na wachache wengine tulikuwa hatujajiandaa kwa break ya ghafla kwa siku ya leo,tafadhali tunaomba utupie kimoja kirefu cha kuanzia arosto leo hii.
 
leadermoe amekula sana mbususa, mwishoni anahubiri injuli hii sio poa kabisa.

Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
Mkuu Dadii , kupotea njia ni wakati wa kwenda tu, huwezi kupotea njia wakati wa kurudi. Labda uamue kujipoteza.

Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa, bali yeyote aziungamaye na kuziacha hupata rehema. Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha BWANA, bali yeye afanyaye moyo wake kuwa mgumu huangukia kwenye taabu.
 
Misusing situmii kabisa sasa ila ukweli humuweka mtu huru nishakunyw kisusuo mpaka cha maziwa mtindi😬

Kama una afya mgogoro unaweza kupelekwa hospital kuna siku nilikunyw kisusuo kizito moyo ulienda kasi sana😀
🤣🤣🤣🤣 Kama gari la mwendo kasu sio
 
Mkuu hongera sana tumepata somo ila nimeteseka sana...maana huu uzi nilikuwa nauluka, ningekuwa nasoma bibilia kama huu uzi kiti cha mbele peponi nimeanza j4 nimemaliza j5 ya leo, kama nina pepa ya UE kesho.

Aisee mema ya nchi umejua kuyala...kweli somtimes usiache tenda wema...wewe umelipwa hapahapa sio mbingunì. You are so lucky.

Ila mademu wa kibongo aseme tuzae ntalea mwenyewe hesabu maumivu kama umeoa, mwezi tu hajatoa posho anakuja kukubwagia mwanao kwa mkeo.



Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
Asante mkuu, hawapendi kukususia mtoto, tatizo ni kipata kidogo ndio maana wanataka mshirikiane.

Wapo hapa hapa bongo wenye pesa zao, unawzalisha tunamalizana, shida yao mtoto.
 
Why tushindwe kuvumilia ikiwa hatukulipi chochote na utakuwa unatumia muda wako bure kutuburudisha. Ni mjinga tu ambae ataanza kulalamika arosto
Wote wangekuwa na uelewa kama wako ingekuwa raha sana.

Ngoja nitoe ahadi, Jumamosi ya wiki kesho, nitaanza kushusha episode 2 kwa siku. Ila ni Jumamosi na Jumapili pekee. Sawa wapendwa.
 
Don't stop man,you never know how many people you inspire with your story.
Kwa akili yako kubwa najua hilo kundi dogo unalimudu vizuri sana hivyo tunakuachia umalizane nalo kwa namna yako mwenye.

Nikiwa kama msemaji mwakilishi wa wasomaji wa huu uzi ondoa shaka kuhusu dozi ya mara 2 kwa wiki mkuu. Ila mimi pamoja na wachache wengine tulikuwa hatujajiandaa kwa break ya ghafla kwa siku ya leo,tafadhali tunaomba utupie kimoja kirefu cha kuanzia arosto leo hii.
Wote wangekuwa na uelewa kama wako ingekuwa raha sana.

Ngoja nitoe ahadi, Jumamosi ya wiki kesho, nitaanza kushusha episode 2 kwa siku. Ila ni Jumamosi na Jumapili pekee. Sawa wapendwa.

Leo episode ni ngumu hapa niko na cm tu na siko home, ule mkawa uko kwenye pc. Vumilia next week 👍
 
Wote wangekuwa na uelewa kama wako ingekuwa raha sana.

Ngoja nitoe ahadi, Jumamosi ya wiki kesho, nitaanza kushusha episode 2 kwa siku. Ila ni Jumamosi na Jumapili pekee. Sawa wapendwa.

Leo episode ni ngumu hapa niko na cm tu na siko home, ule mkawa uko kwenye pc. Vumilia next week 👍
Umeeleweka mkuu,shukrani kwa niaba yao.
 
Don't stop man,you never know how many people you inspire with your story.
Kwa akili yako kubwa najua hilo kundi dogo unalimudu vizuri sana hivyo tunakuachia umalizane nalo kwa namna yako mwenye.

Nikiwa kama msemaji mwakilishi wa wasomaji wa huu uzi ondoa shaka kuhusu dozi ya mara 2 kwa wiki mkuu. Ila mimi pamoja na wachache wengine tulikuwa hatujajiandaa kwa break ya ghafla kwa siku ya leo,tafadhali tunaomba utupie kimoja kirefu cha kuanzia arosto leo hii.
Aliyekuchagua kuwa kiongozi wetu ni nani🤣

Basi kama mwekahazina humu ndani naweka namba mtume hela ya bando, kahawa na feni au AC. 😄 Ili kwenda kununua PC nyingine aina ya apple kwa sababu PC imeibiwa na Alfred na kakimbia nayo south😄
 
Back
Top Bottom